Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Hayo ndo maisha yanavyotakiwa kajala hongera kwakubadili mwenendo wa maisha yako ❤️❤️❤️❤️
Nampenda sana kajala yupo really anajielewa sio kama mikapuku mengine ya bongo movie huyo ndio beauty with brain banaa
Kama unajuwa amemwelewa kajala piga like hapa
Awwwww kajala anaongea kiutu-uzima hadi raha, Mungu akuzidishie maisha marefu Kajala wetu! Zama ua the best💜
Nampenda sana huyu dada na mtoto wake.
Yaan napendaga kujifunza kutoka kwake pia napenda life style yake.
Ipo siku na Mimi nitakuwa Boss. Hongera Kajala
I real love Kajala She's pretty and intelligent go girl God is there all the time never give up😍😘
Nimerud hapa baada ya zile video 😥stay strong Mama Paula
Kajala we mzuri usiwe unaweka zile nywele fupi hapo umependeza sn, hongera kwa biashara kubwa na nzuri
Hatamimi nampenda sana kajala, zaidi sana filamu zake, uzuri na urembo wake....hongera sana na kazi njema.
Una upendo sana uvumilivu mungu huko nawa ubarikiwe wewe na family yako
Hongera sana kajala kwanza kwa kuacha pombe lakini pili kuwa mwanamke imara mpambanaji, keep it up, Mungu akujalie afya njema na uzima yele.
Nakupendaga bure kajala you treat as matured
She inspires me much hard working woman
Mmmh .
Hii chai mdangaji tu kama anavyomtrain mwanae
nawapenda sana Paula na kajala
Uliza kapitia mboo ngapi mpaka kufikia hayo maendeleo😎
Mwambiye nampenda sana yani ni mwanamke anajiheshim nakujitambua yeye ninani then she’s not show off like other movie artist
Mungu wa ajabu hongera kwa kuacha po oooooombe
Dada zamaradi na kupenda sana
Kajala usijichubue Mbona we mzuri😘😘
Hongera sana dada kajala office nzuri sana
Nakupenda kajala mungu akujalie maisha marefu
Nawapenda jamn zama na kajala
Dada zamarad rkebisha sauti ipo chini sana pia ongera❤🎉
Mimi interview ya zamaradi kama mtu hajalia siangalii nataka nikisoma comment nione zama weka tissue mezani jamani 😂 😂 😂 😂 🙈
Wewe kama mimi... Ukute hadi awepo studioni kwake
Hongera kwa kwa kuacha pombe inarudisha maendeleo nyuma sana
Uyu dada anaakil Sana ya utafutaji,nakukubal kajala ata mm nmejifunza kutoka kwako soon nitafungua yang mng akipenda
Amiin🙏🏼😍
Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
🤣🤣🤣🤣
hahahaha
Feelings of a mother is alive.uliona haya
Hardworking woman @Kajalaa..💓💓🥂#Zamarad una hoji m2 vizurii hadii achokii jaman bigup 2 u✌🏽✌🏽
nalipenda hili lidada lizuri and bigup kwa kukua mam
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Mungu akuepushiye usirudi tena huko.
Hongera kajala unajielewa sana dear.
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
Hongera zama na kajala interview nzuri ila kajala capital c kwa wasanii tuu watanzania wengi wanashindwa kufanya biashara kwa sababu ya capital.
Kajala weusi wako mzuri jamani usijibadilishe rangi.
Da zama unapenda kutafuta watu machozi🤣🤣 sema unajua
Hongera Sana mwanamke mwenzangu mungu akubariki daima, nawapenda kajala na bbygirl wetu
Kajala mpole sana sema mitandao inamponza nampenda sana
Zama sijawahi jutia MB zangu kwenye interview zako
Nampenda. Kajara hafek maisha nampenda sanaaaaaaa
Jamani namupendag kajala san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💋💋
Mashallah Mzuri Mama paula
Hongera npe kibarua cha kufanya usafi 😘😘😘👌
Hongera kajala
Waoo nice iko day nitafka hapo ulipo kajala
Nakupenda kajara maisha unayo ishi binty yako
She’s very beautiful and humble
Nice Interview 👍 hongereni Wanawake wa Nguvu
Congratulations Kajala
Zamaradi you is the best😎
Interview nzuri na sauti ni nzuri sana .big up kajala sauti Leo inasikika vzr
Ila miziwadumu
Am inspired kajala uko vzr u're so politely my God give u strength
Kajala❤❤ nakupenda kweli ntangu zamani ila leo pendo limeongezeka kwamaamuzi uliochukuwa kuacha pombe mungu akuwezeshe
Nice interview
Kajala nakupenda Sana my sister
Kajala she's so pretty🙌❤
Munira Ahmed aise munira kila kona upo mh
Mungu akujaalie jmn we dada kajala nakupendaga sana nimim zulfa
Hongera Kajala
Nzuri sana nampenda pia sema siku nyingine atueleze kisa chote na jinsi alivyoweza kutoka jela .Asante Zamaradi show zuri.
Alitolewa na wema kwa Pesa lkn alikuwa afungwe miaka 7jela
Alikuaga amefungwa kwa kosa gani dear
Hongera zako kajala mungu akupe unalo lihitaji ameen inshaallah 🤲
Hongera Na MUNGU AKUBARIKI kajala Kwa kuacha pombe na kusimama katka KAZI zako Insha,Allah 🙏 MUNGU AKUSIMAMIE
Maashaallah
Nami napenda sanaa
I love her💞💞💞
Good interview
Hongera sana
This interview forecasts everything happening today in Kajala's life. Her worst fears are confirmed, sadly
Nimemuonea huruma😢
duh😪
@@ghalibally8252 kweli kabisa mimi pia tena zaidi. amewekeza sana kwa hali na mali kwa bintiye, ila binti mwenyewe kamponza
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
@@hukuUJERUMANI kakangu mm mwenyewe nimeishiwa pozi lkn mungu yuko ni kweli walitaka kumkomoa dada wa watu pole snaa mam paula 😥🤲
Kajala kapendeza sana😍
Vile nampend kajala ' Mwanae paul😍 😍
Kajala nakupenda sana
Yaani ukinyoa unapendeza zaidi
zama unajua sana kuhoji
Hongera sana Kajala 😘
Mashallah
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
yan mm pia nilitaman kujua hilo kwann walihitilafiana
Mbona alishaisema kipindi chanyuma kwamba hajafuta anayo
@@m.mmarckus6298 but kipindi cha nyuma ndia....anaweza badilisha mawazo ....lol....
mungu akuzidishie
U are really my dear
Nampenda sana kajala
Mashallah, hongera sana kuwa mama bora
WAooooo so nice
Kajala anafanana na bahat bukuku sijui ni macho yangu?
Ni kweli wanafanana sana
Kwel kabisa sikufuatilia imebid nimchunguze
Much lov
Kajala kama uliwacha tembo swadakta kbsa👌
Heshima kwa zamarad
Very good conversation, very clever ladies
Tuongee ukweli wasani sijui namatakwa yao ao hawaolewagi na wakiolewa basi ni kwaka 1 wala myaka 2 na akiza katoto kamoja nanjo basi
Okoka my sister..
I love you kajala
Kajala is so pretty 🇰🇪
Ongera shogaangu upo vizuri
Zamarad ur the best
Umenifunza kajala
dada ana akili uyuu
Safi sana
Tukumbukeee hiii jmn tumempenda kajalaa tuendlee kumpndaa nakupndaa sna ni2023 bad naftlya ya nyuma
Kaz nzr mama paula
Love you kay
Kabisa. kajala uko naakili mutu mwenye anakata mutoto Uwo si mama
Mmh 🙅♀️🙅♀️ hapana uyu. Bingwa wa interview ni salama aise. Watu wake wanatiririka kinomi. Uyu zama mmh 🙅♀️🙅♀️
Nimekupenda bure kwa kumjali mwanao😘😘😘
Interview nzuri Sana. Lakini hatukujua Kajala alifungwa jela kwa sababu gani.
Dhuluma km ckosei
Hongera Dada
da zamaradi we nimstarabu Sana onaonekana unahekima mungu akulinde
Nakupenda sana..lakin napenda zaid ukiwa na konde
Mimnanishangazaga hoo tupate msaada, Nakila siku hoo tumefunguwa office hoo byashara. Namkiulizwa nibeigani garama mnasema milioni 70 au milioni 100. Sipesa izo mh
Kajala nakupenda dha! Zamaradi mpz safi sana bonge la interview