Fix You: Mapenzi ni ya wawili lakini duniani hatuishi wawili - Na Counsellor Salome

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 22

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana dada Iren kuolewa hakunibadilishi Mimi kuwa mtoto wa wazazi wangu ,Ila kuhusu chochote kitakachohitajika kimaandishi tulichozalisha na mwenza wangu kitaandikwa Kwa jina la mume wangu sababu tumepata nikiwa kwenye himaya yake lakini kuhusu jina langu jamani ni utambulisho wangu kwamba Mimi ni mtoto wa wazazi wangu ndoa imenikuta mikononi mwa wazazi wangu so ndoa ni ngeni wazazi ndo wenyeji wangu ,nami naenda kuwa mwenyeji wa watoto wangu so jina litabaki vile alivyonikuta

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 5 หลายเดือนก่อน +3

    Irene na wewe una hekima sana siku moja na wewe uwe guest tukusikie

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist 5 หลายเดือนก่อน

    Obrigado irene and counselor

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 5 หลายเดือนก่อน +2

    Salome natural beauty ngozi zuri

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 5 หลายเดือนก่อน +1

    Iyi mada kiufupi nikuwa : kuna nafasi kwawapenda nao inabidi kipindi uko namwenzio kila kitu fikra zako ziwe kwamwenzio na pia kuwa wabunifu nakuweka isia zenu kipindi mpo pamoja nakushirikiyana ila kwa watu wainje tuusiyane((kijinsi)) nasio kinjisiya) ayo yote tumepita huku nakule ila point nikuwa marriage nikuishi namwenza wako kwa hali ya ubinadamu na hofu y mungu iwepo.

    • @toyikudratullah1466
      @toyikudratullah1466 5 หลายเดือนก่อน +1

      From burundi kubwa zaidi hofu ya mungu kupenda kupenda kweli heshima popote utakuwepo utakapo kuwa ione ahadi yamwenzio utaishi vyema.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 5 หลายเดือนก่อน

    Mmeongea majengo kweli ,ukweli kabisa ili kurejesha heshima ya ndoa ni tujaze kutaka kujua unapoeleweshwa elewa kuwa unapendwa na unaeeleza eleza Kwa maana ya kumjenga unaempenda hii ikiwa wote watazingatia itakaa sawa

  • @FatmaSalum-gq1mb
    @FatmaSalum-gq1mb 5 หลายเดือนก่อน

    Katika watu walio nifumbua machano ni huyu dada

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwamba kauzu sana alieenda kulala nje ukweni akamacha mke kwao. Aisee hii ni mbaya sana.

  • @aliethmashauri8499
    @aliethmashauri8499 5 หลายเดือนก่อน

    Miss you salome hope nimefurahi kukusikia, nimemiss proud wife sana,❤ nilitoka kwa ajili ya changamoto za masomo😢😢

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 5 หลายเดือนก่อน

    Iren napenda vipindi vyako na naumia Sana nisipokuona

  • @ayubcharles8973
    @ayubcharles8973 5 หลายเดือนก่อน

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 5 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mume hupenda kutoka kutoka lkni itategemea na mke nyumbani amani ipo😂😂

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi sikubadilisha Jina kwa sababu za “Identity” ingawa Ninaona ni vyema kwa mwanamke kubadilisha ubini na kuwa na ubini wa ambao ni ubini wa watoto wake. Kwa Ujumla familia moja inakuwa na ubini mmoja, ili kutokuonyesha utengano kwenye familia. Ila kwa upande wangu hata ubini wa baba yangu doesn’t matter as much as my own name, nilitaka kubaki na Jina langu la kuzaliwa na sio mke wa flani au mama flani au Mrs Flani. Kwangu mimi kuwa mimi ni jambo kubwa sana, ni identity yangu, kiini cha mimi kuwa mtu. Kwahiyo sikutaka Jina langu lipotee na mume wangu hatuwa na shida ya kuchukua Jina la ubini wake, ila bado ninalifikiria pengine nitabadilisha huko baadae na kukubali kuwa Identified kwa kuanza na Mume wangu.

  • @omarsalum4052
    @omarsalum4052 5 หลายเดือนก่อน

  • @NickolathaRwelamila
    @NickolathaRwelamila 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤