Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Kajala Winfrida Masanja ndo jina lake alipopewa na Mama yake kipenzi alipozaliwa. Mama ambaye alikua akilitumikia jeshi la Polisi Tanzania miaka ya nyuma, ambaye alihakikisha binti yake huyu anakua katika maadili yaliyo bora na nidhamu yake iwe ya hali ya juu. So nini haswa kilitokea mpaka akawa si mtoto mzuri yule ambaye Mama alifanya kila aliwezalo kuhakikisha anakua hivyo miaka ya nyuma? Sasa ni Mama na mfanyabiashara anayejielewa tu. Ila yepi haswa ambayo yalishawahi kutokea kwenye maisha yake na ambayo hajivunii hata kidogo?
Mimi na K tunafahamiana miaka mingi sana, mara ya kwanza tulikuna kwenye michezo, kwenye uwanja wa basketball wa Pazi pale Drive In enzi hizo, skuizi nadhani panaitwa Ubalozi maana ni mkabala kabisa na ubalozi wa Marekani na uwanja umo ndani ya nyumba za Tanesco na sisi pia tulikua tukipaita hivyo. I remember alikua anakuja kucheza na sisi enzi hizo yeye anasoma Jitegemee nami nasoma Makongo Secondary School, hakua mchezaji mkaaali ila alikua na juhudi, na kwa mujibu wa maongezi yetu haya aliniambia ile pia ilikua ni moja ya njia zake za kutoka nyumbani na kupata kijihewa ivi, kwa kukutana na watu tofauti 😀. Sisi tulikua tukimshangaa kwa mitkasi yake mingi, alikua anatoka, yuko na marafiki ambao walikua wakubwa kuliko yeye na kama alikua na mambo mengi ivi. Ila huko ndo kukua sasa, maana unachojifunza wakati unafanya jambo ndo hapo unapoweza kujua kama ni zuri au baya na kama lina faida nawe au laa.
Next thing I know Kajala ni mpenzi wa producer mataaata haswa enzi hizo ndani ya P-Funk na kwenye story zetu za humu amezungumzia hilo kwa urefu haswa, vile walivyokutana, alivyokua anakaa nae, reaction ya wazazi wake na waalimu shuleni na mahusioano yao mpaka yalipofika tamati. Jinsi ambavyo walikua wakiishi yeye na PFunk bila ya Mama yake Majani kujua kama mwanae anaishi na mwanafunzi ndani ya nyumba yake na mpaka akapata mimba bila ya yeye kujua. Paula alipozaliwa ndo mambo yakawa hadharani.
Mapenzi yake na PFunk yalikua na mambo mengi ambayo niliyauliza kwenye episode hii ya 35, walikutanaje, waliendeleaje, wazazi, Paula na pengine watu wengine kuhusika na mapenzi yao hayo. Aliniambia mwisho wa siku ilibidi afanye liwezekanalo ili aweze kutoka humo na maisha yaendelee na akafanikiwa kukutana na mtu mwengine Ila na kwake naye mambo hayakua matamu kama ambavyo yalianza. Yaliisha kwa machozi na chuki ambayo anadhani iko upande
wa pili zaidi maana kwake maisha yamesogea na maombi yake ya kuanza upya yamebarikiwa.
Kajala amepitia mambo mengi kwenye maisha yake ambayo mengine anajivunia na mengine siyo hata kidogo. Kama kawaida, yangu matumaini utaokota mawili matatu humu na ambayo pia kama nia na madhumuni yatakufanya ushangae na kujifunza mwisho wa siku. Tafadhali enjoy!
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Hakuna kama mama kama unampenda mama yako achia like
👍
Akuna asie penda mama
Tuliokuja hapa baada ya video ya Paula na vannyboy
Mimi huanzia na description box. Nasoma kwanza maelezo ya Salama kuhusu mgeni. Kama na wewe unasoma na kupendezwa na maandishi ya Salama basi tumpe Like zote Salama & team!
Asantee sikuwah kuwaza kama huwa anaandika huwa nakimbilia comments tu
Mimi sisomi kabisa
@@samoocoolingsystem93 Kwanzia leo uanze kusoma huwa anaweka na yake usiyoyajua kwenye video.
@@kazkaz1943 haha😄 karibu🤗 ila kuna zingine haweki description kama ya Speshoz sikuona sijajua formular ikoje labda marafiki zake ndo anatudescribia.
th-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/w-d-xo.html
Kwa interview hii Paula hana Kosa🤔🤔🤔
Nampenda sana sister Kajala yuko very humble mwenyezi MUNGU azidi kumuweka zaidi na zaidi na amzidishie kipato chake cha kila siku
Ameen ameen ameen
Kumbe mtoto karidh tabia zakooo duuh
Huyu ni mfano wakuigwa
Kajala ulikua na hatari wazee wako wote police bado unatoroka nyumbani bila woga wewe kiboko sio mamba 😀😃
🤣🤣🤣🤣🤣
hila kajala ulimsumbua sana mama lakini mzazi achoki kwa mwane pia unabidi umshukuru sana wema kwa wema wake kama jina lake
Mama uwa hachoki kwa mtoto wake jmn, hongera kina mama wote
Best interview,,, Kajala is DOPE,,, super tanzanian artist
GOD bless you aunty Salama
Ni mama mzuri sana kajala..Alafu ameongea point..wanawake wengi hawawezi ondoka kwenye abusive relationship,na watu wengi hawachukulii serious
Salam tuletee mkojani 😂
What I have noticed about Salama Jabir;
Ana IQ kubwa (akili nyingi)
Anaweza kumfanyia interview mtu tasnia na rika yoyote
Mungu akutangulie kwa kila jambo
Kajala mtoto wakike akishakua anatakiwa aelezewe kila kitu hakuna haja ya kumficha hususan mapito ulio pitia
Haka ka story ka kajala Ni Paula wa pili
Exactly
Mtu hachungwi Zaidi ya kujichunga mwenyewe
Kajal Mzuri mashallah anaongea vizuri
Salama mwarabu hajui kuhusu mawigi 😂😂
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Salama ur so good...u were born to do this
Daaaah!!! Maisha Haya!!! Unaambiwa hicho kipindi unatamani yoyote atokee mi nlikuwa nakupigia hesabu nikajishtukia, yaani nami ungekuwa wantaja hapo kwa Salama nyeee
duh ww nae
You wanted to be a catholic sister- uliweka nadhiri Kwa Kinywa Chako na mungu Akasikia-so as a Christian you either go ahead and be a sister or break that nadhiri- it’s easy you just say a prayer and you will be free-spiritual warfare
Mmmh how .......is that prayer that easy
ya dunia ni mengi mungu hatakuacha hata upitie majaribu ya aina gani.ndani yako mungu yupo...ulipenda kuwa sista coz mungu yupo ndani yako...ilike that watu wasikudiscribe kwa ubaya .ilike you...you good.
Kajala interview yako itakuumbua paula amechukua cv yako
Nice interview hakuna sugar coating ki ukweli tunaomjua Kajala hajaongopa kitu. Alikuwa hustler kweli jitegemee
Nikki mbishi ajae basi
Love this ladyy! Much love kajala! I remember meeting you samaki samaki ulikuwa na kina baby madaha and i gave you a hug 2015/6! 🥰
Asante Jesca kwa kutubadilishia gauni😆
Jaman hiyo sale ya kazini loooo!!!
😅😅😅
@@bskpstationery5388 Najua kama ni sare
Hahaha
th-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/w-d-xo.html
Napenda sana interview za Salama,Kajala asante kwa kutupa somo la maisha,nakupenda sana.alafu wewe si mnafiki.
Kajala ume fail kidogo hapo ume date na Harmonize lakini weye ni mutu good na naku elewa kwa kila kitu ata hapo unavyo shutumiwa sababu ya ku mleya mwanao you're so good...Hope everything will gonna be fine stay prying for your family especially your daughter even that She's dating a star too
Tuletee zamaradi mketema
Kajala usiofu kila mtuu anapitia changamoto ya utoto
Kajala nampenda tu basi
Yarabiii kumbe kajala ni mweusi ? Harmonize unajuwa ni mikorogo ?
Kumbe ulianza kuchepeka zamani dada,unauso wakipole kumbe auko ivo
Ila wa watu Kwan we mkamilifu badala ya kujifunza kitu unaanza kujudgeeee acha hizoooo
Yaan cku hz una be have knakike,mpaka unasukaa!!!!!🤗🤗
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kila siku namuomba sana Mungu anisaidie nielewe Kiswahili mapema ili niwe naelewa interview zako Salama
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😁😁😁😁😁
Hichi ulichoandika ni kingereza eh??
Nani kakuandikia hapo
th-cam.com/video/QzqbXK2nVC0/w-d-xo.html
Tafuta hata watu wa kawaida
Kweli mama ni mama na mama alikopitia hataki mwanae apite hongera sana Kajala, jitahidi na mwanao.
Kajala kwa hiyo hukumaliza shule, na ulikuwa na miaka 17 au 18 wakati unamzaa mtoto
Nawa penda Sanaa 🎉
Ellen wa tz ❤❤❤
Exactly, always namuona kama Ellen degeneres.
Daaah ni kweli kasoro Ellen anagawaga hela
we salama unahoj mahsiano y wenzako tuuuuu ww ukiulzwa yako ugomvii why!!!?
😂
🤣🤣🤣🤣 acha noma
Kondeboy umeingia sipo hapa..
Sikujua kama ntafika mpaka mwisho wa interview... humble lady, beautiful and very authentic. nime enjoy na nimejifunza big up Salama
There was no reason kumtaja P-Funk na sounds alizokupiga...unamchafua, Don dwell on your past
Kumbe mwanao ajakosea kuwa km ww
Umekosea hp kwani kilema sio mtu ujafa ujaumbika
Nimechelewa nampenda sana kajala mimi
Tumesoma wote saint Agness Songea
Salama j ‘ unaweza mnooooooo☝️ila liko tatizo kwa wale unawaohoji
Winifrida nampenda sana
Salama tunaomba uteletee wema sepetu😍
Kweri na yeye
Hello guys nahitaji support zenu tafadhali pitia channel yangu na pia Subscribe ili kijana wenu nifike lengo
Yawapi ukae hapohapo malengo kwio
Aisha Arusha 😁😁wenzako wanawanga usiku ww mchana kweupee nakubali Aisha
Ila nampenda sana kajala
Wema anakuwaga Na ROHO nzuri tu
She is adorable ❤
Aisee kumbe umesota pole sana had jela mwaka mmoja
One of the best interviews in town with the best interviewer#SALAMA
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
big up kajala
Miaka 8 ni mingi mno kuishi na kumvumilia mtu
Kajala Nakupenda unajitambua sana huna maringo ukihojiwa
Samahani kidogo mtu akitaka kuoa analeta barua embu niambie mi sijawahi shoga angu 🤣
😂😂😂😂 na anavyoitamka sasa
Wemaa.kumbe.amekutowaa.jelaa.daa.wemaa.anahurumaa
Majaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiìiiiii
Kajala ulikua na usichana m'baya sana kama mtoto wako sasa hivi mungu awape nguvu sasa tuletee Fayma maana huko aliko hali maututi kasalitiwa na bikra
🤣
Nampenda sana kajala
Tuwekeeni MR BLUE MBONA HUYU MTU MNASKIP AU KWA VILE SIO RAFIKI WA SALAMA
Jamani JESCA ANAKIJUNGU MASHALLAH
Kilima cha raha hicho
Mhhh
Mimi huwa naskia Raha sana NINAVYOONA HICHO KIJINGU
Kumbe Paula kaiga hapa
Kpindi kina sauti ndogo
🤣🤣🤣🤣 ndugu simu yako ndo mbovu uoni aibu comment yako hiyo uko peke yako
Salama tuletee NASEEBU NYANGE tafadhari
Salama mzuri bana
mlete nikki mbishi
Sound very low
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Salama na wewe acha maisha ya ajabu ajabu umri huo hujajifunza umuhimu wa kuwa ndoa khaaaaaa
Salama na wewe acha maisha ya ajabu ajabu umri huo hujajifunza umuhimu wa kuwa ndoa khaaaaaa
Nakubali
Mama zetu wana hurumaa saanaa
Salama mtu wangu Sana
Kitu nampendea sio mongaji nakupnda to
Nayipenda sana kabisa umeongea sahihi
FILM BORA YA KISWAHILI 2020
th-cam.com/video/WS-8SwYWm_E/w-d-xo.html
Salama tuletee Mh MAGUFULI
😀😀😀
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Nakupenda sana zaidi kuwa wewe nimkatoliki
JE UNAMATATIZO YA NGUVU ZA KIUME SIKILIZA HAYA MAELEZO HAPA KUTOKA KWA MTAALAMU
th-cam.com/video/oHXabKKB5n4/w-d-xo.html
Nakukubali kistuliiii
Muongo muongo ulikuwa wa kijani kwa sababu ya kutokukandwa maji.
So sad... watoto wajifunze kutokuchanganya shule na Mambo mengine
Kumbe ndo maana unampenda dini umeishi na ma sister
Ivi wew Salama ni mwislamu ao kafiri?
Kweli mlilikodi akaja paula
Thanks for uploading 1st part
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI 👇👇
th-cam.com/video/5T9EV26uVGE/w-d-xo.html
NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Salam turetey na madam wema
Namesake 😘😘
Nawapenda sn
Saf San P FUNK MAJANI
maswali mazuri
WAKATOLIKI SHIKAMOONI JMN
WALIKUA WAMESHAJUA KAMA UNAHUSIKA DADA
Inyuma sasa Leo Paulo anaanza muchezo wa mama Paulo ameanza visa
Uliongeaga Point Utasema Sio Ww