Naam! Kweli kabisa,mtoto wako ana busara sana .Wazazi hakuna chochote kikubwa unachoweza kumpatia mtoto wako zaidi ya kumzaa. Hiyo shule ya gharama kubwa sana siyo muhimu sana kama unaona uwezo wako hauruhusu.Elimu ni muhimu ila si kuridhisha walimwengu.Mhimu ni kumfundisha mtoto kuishi vyema duniani kwa kusoma shule zenye kutoa elimu nzuri na ada za kawaida tu.Pongezi Zamaradi kwa mahojiano mazuri, pongezi pia Irene Uwoya.❤❤🎉
sister zamarad ur a super woman i lov very much big up and ur interview session very sorry irene uwoya let God be with u in ur hard time ur passing through
Nakuelewa sana mpenzi #IreneUwoya asiejua uchungu wa mwana aende #Leba ataelew why unalia! Ila hongera san mamii unajitahid kbs na Mungu azidi kukupa nguvu na maisha ili umuudumie Mtoto.
MashaAllah IREN UWOYA wangu, Mungu akunilindie nakupenda san my sister, napole kwamitihan unayopitia be strong my star . nilikupendaga kipindi Niko darasa la 6 (2007) adi nikawa nakuhiga kuva adi kuongea najina la Oprah likaniiva mwisho nikacha kuva style zako kwasababu yawazazi wangu wenye dini.ila nakupenda saana Oprah wangu. Kutoka BURUNDI
nimependa show ni nzuri n very creative kwanza ni mtu kuwa Open zaid na mahojiano yaliyo tokea huko nyuma na Tvshow zingine....ila changamoto iliyopo ni juu ya sauti kutosikika vizuri mfano dakika ya 27 sauti inaanza kuyumba na kusikia vby....i hope next more show we wil have gud n great One....i bless the show
@@aminakombo582 😁😁😁sasa wivu wa nini akati ivyo ni vya kawaida mmmm africa bwana umaskini unatuma mtu anasifu kitu cha ovyo kweli ungesema ana miliki gari la kwanza kisamani siyo iyo simu au ungesema nyumba
Dada Zama..you are doing a great job but a nice table between those chairs with a box of tissues and some cute flowers would be nice. Love from Ug🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Zama knows her thing. I rarely watch interviews to the last word... But I just watched upto the time she waved bye😂 more love from Kenya beautiful Zamaradi.. And to Irene Uwoya... You are a one man army.. Being a singke mom is not a walk on the park.. I know that part. I can relate
Best interview Irene amefunguka unatendeaga haki zama ila pale alipokua analia ungejaribu hata kumliwaza kidogo kingine mahijiano mengine pasikose angalau maji na tissue
Kwahio zimekosekana tissue bado hajafanya vizur jamani 😏, mwanamke hand chief 👌na wala si mzigo.Leo hajaweka kitu kesho akiweka soda bado utasema aweke wine ,waja mengine tupunguze.
Unalia? Yaan mi nikifanyiwa interview niongee yangu na mtt wangu hata mtangazaji utalia mpaka ufunge kipindi, single mother sisi hee mungu ndie anaejua.
Very interested....hongera umependeza mnoo...interview iko vzr mmno na nimejifunza kupitia Zamaradi zaidi...kwa jinsi ameweza mchokoza kiulaini Irene nakuweza kuyajibu maswali yote vizuri..hongereni mmno.
Haswaaa hujakosea yaani hawez jua uchungu na kunavyoumizaga kichwa mtu unatafuta pesa ili mtoto apte kuishi poa yaan kuna mda hat wewe hujijali dah mugu atusaidie
Ndio ninategemea na wanaomuuliza wengine wanaruka ruka ty harafu wanataka wajue kiundani, mtu lazima umtegenezee mazigira na namna ya kumuuliza swali kutokana na mazingira
Million 1 nyingi sana unalipwa laki 3 kiwango juu maisha haya yako kama movies, kuna wengine wanashidwa kulipa ada ya million 1 kwa mwaka lakini wengine mpaka million 30 daaah!!!!!!
Zama nlimiss Sana vipindi vyako your the best...and big up to Irene she is a woman and a half 🤗❤️❤️
Naam! Kweli kabisa,mtoto wako ana busara sana .Wazazi hakuna chochote kikubwa unachoweza kumpatia mtoto wako zaidi ya kumzaa. Hiyo shule ya gharama kubwa sana siyo muhimu sana kama unaona uwezo wako hauruhusu.Elimu ni muhimu ila si kuridhisha walimwengu.Mhimu ni kumfundisha mtoto kuishi vyema duniani kwa kusoma shule zenye kutoa elimu nzuri na ada za kawaida tu.Pongezi Zamaradi kwa mahojiano mazuri, pongezi pia Irene Uwoya.❤❤🎉
Irene,you r a hero,singles mothers r hero's,hakuna mtoto anaishi maisha mazuri katika hii dunia kama mtoto was single mother,keep it up dear
Nakubaliana nawe
Bora ata ulimzaaga mtoto wako leo anakuwa faraja kwako, kuliko ungemtoa mungu akulinde umalize mwendo salama
Nakupenda sana Irene mungu akutumzie mtoto wako na mungu akupe mwingine
Km ulishawah kufwatilia interview za irene nahukuona machoz sponges kwa zama km umeona hilo gonga like twende sawa
Nampenda Sana Irene😘umeniliza stay blessed
Nampenda pia IRA anamaringo bora wema
“ Tanzanian Oprah “ people Seem to open up with you Zamaradi . You’ve got that connection with people ! Good interview!
Kate Semiono th-cam.com/video/YIoCQeP48yk/w-d-xo.html
Interested interview.. You need a small table, tissue papers, and maybe some water..
Keylopax Assey I second that
Thank you, I agree.
Kabisa tissue na maji visikose
Pole sana dada yangu mungu atakusaidiya I Love you more ❤❤
Your right
Yaan bonge la interview zama anauliza maswali kiakili sana mpaka irene kaongea ukweli wote sijasikia NO comment 😄😄😄👍👍
Nakupenda sana ayilini kutoka moyoni
Na kuomba uni elewe
Kama unamkubali zama gonga like hapa
Yes
sister zamarad ur a super woman
i lov very much big up and ur interview session
very sorry irene uwoya let God be with u in ur hard time ur passing through
Zamaradi hongera Sana Irene ana kuheshimu Sana kwa kujibu hayo maswali yote
Pole mwaya
Pole saana Iren kwakweli umenistisha saana nimkasa ambao Mimi napitiaa wakusomesha mtoto ivyo nimeumia saana Munqu akutie nquvu
Best interview ever daa zama ur so smrt unapouliza maswali
Bonge moja la Interview....💕💕💕 duh hadi nimelia na Mimi.
Dada Yangu mambo uko wapi jmn ckuon miss you much
Hongera sana zamaradi unahoji kwa step lkn pia maswali yako ya heshima sio ya hovyohovyo yan unajua kuuliza kwa hekima
Kabisa
Fact
Zama as usual
Nakuelewa sana mpenzi #IreneUwoya asiejua uchungu wa mwana aende #Leba ataelew why unalia! Ila hongera san mamii unajitahid kbs na Mungu azidi kukupa nguvu na maisha ili umuudumie Mtoto.
Unaniliza dada uwya❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢
Interview nzur ila ushaur kuwe n Maji,tissue o coffee...
sure @zamaradi work on this
Pole ireni inauma.sana
hahahaha
MashaAllah IREN UWOYA wangu, Mungu akunilindie nakupenda san my sister, napole kwamitihan unayopitia be strong my star . nilikupendaga kipindi Niko darasa la 6 (2007) adi nikawa nakuhiga kuva adi kuongea najina la Oprah likaniiva mwisho nikacha kuva style zako kwasababu yawazazi wangu wenye dini.ila nakupenda saana Oprah wangu. Kutoka BURUNDI
ZCuwimigisha Zchelsea23 pumbavu
ZCuwimigisha Zchelsea23 njoo uku kuna ndugu yako
nimependa show ni nzuri n very creative kwanza ni mtu kuwa Open zaid na mahojiano yaliyo tokea huko nyuma na Tvshow zingine....ila changamoto iliyopo ni juu ya sauti kutosikika vizuri mfano dakika ya 27 sauti inaanza kuyumba na kusikia vby....i hope next more show we wil have gud n great One....i bless the show
Wale wa st Kayumba wenzangu nipen likes
😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂 tupogo na maisha yanasonga
mungu akutiye nguvu
Prisila Kapinga 😁
Haha
This interview makes me cry😰
Safi sana Dada zamalad kwa interview Nzuri nimejifuza kuwa na maelewano mazuri na mtu kabla hajatangulia mbele za Haki, mwanaisha makumbuli toka mbeya
Zama nilikumiss
Irene napenda the way unavoongea yan sauti yako tamu balaa👏👏👏maswali makini, majibu makini kiujumla bonge la interview hongera zamaradi baby😘
Kama umeona I phone toleo jipya gonga like
leleopard mbona kama povuu achaa wivuu
@@aminakombo582 😁😁😁sasa wivu wa nini akati ivyo ni vya kawaida mmmm africa bwana umaskini unatuma mtu anasifu kitu cha ovyo kweli ungesema ana miliki gari la kwanza kisamani siyo iyo simu au ungesema nyumba
evance msyangi na hotel kubwa anazotumia achane nazo kwanza
Na ndo alichotaka kuonyesha
Upo vizuri sanatu
Irene u're a fighter. Wewe ni mama wa mfano wa kuigwa. Ila unajinyonga sana. Million 30 ni gharama sana. Mbona zipo shule nzuri tu za gharama nafuu.
Dada Zama..you are doing a great job but a nice table between those chairs with a box of tissues and some cute flowers would be nice. Love from Ug🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Vp
Wale wanawake wa Wasafi TV wajifunze kutoka kwako Zamaradi, wanakua na kiherehere mingi sana kwa interview zao.....Irene u made me cry😭😭😭😭😭
Huwa naumia nikiona mwanamke akilia especially single moms ...pole irene..God will see you through darling
Atamimi kwweli kabisa
Wasanii mi naonaga kama wanatoa vile
Zama knows her thing. I rarely watch interviews to the last word... But I just watched upto the time she waved bye😂 more love from Kenya beautiful Zamaradi.. And to Irene Uwoya... You are a one man army.. Being a singke mom is not a walk on the park.. I know that part. I can relate
Congratulations sister zama I like the way you put your interview in order more love from Kenya 💕💕❤
Hongera sister ,Lakini Zamarad itapendeza kama utakuwa unaweka tissue na maji wakati unafanya interview ,khatib kutoka England 🙏
Kwa kwel
I like vile camera man anajua kuzoom Irene wakati anaongea kitu iko na uzito
😂😂😂
Sio cameraman ni editor, hapo kuna camera tatu
Nakupenda iren sana yaani unajitambua sana umekuwa mama mzuri sana Kwa kijana wako
Irene umeniliza sana kuhusu mtt sina ata chakuongea pole sana msomeshe mtt ndo msahada wako na msili wako
Ishi kulingana na pato lako..au ulie kila siku.
Mungu anipe maisha marefu kwakweli,nimeuona uthamani wangu kwa wanangu nikiwa kama baba,god bless me.
Victor paul malatu ,Hilo jina la malatu mbona nilababu yangu
Good interview 👌need tissues and some drinks for next time 😊love you Irene 🥰
Irene ure a hero, God will take care of ure son.Don't let anyone judge u. And Don't be intimidated
Best interview Irene amefunguka unatendeaga haki zama ila pale alipokua analia ungejaribu hata kumliwaza kidogo kingine mahijiano mengine pasikose angalau maji na tissue
*MUCH RESPECT ZAMARADI* 🤩
Zama you need tissues if u have to evoke such deep emotions from people.I like your interview the.
Hongera zama
Kwahio zimekosekana tissue bado hajafanya vizur jamani 😏, mwanamke hand chief 👌na wala si mzigo.Leo hajaweka kitu kesho akiweka soda bado utasema aweke wine ,waja mengine tupunguze.
Kwani nn nayeye da Irene asitembee na leso
gloria odaba ,,,its true tissue would do , than wiping out tears with them bare hands
@@stanleymlela2474 aki ww🤣🤣🤣
Kwa mtu aliesoma Communication hii ndio art of asking questions good work Zama
Daahh hayo Manywele jamani mtu unaweza kulala vipi jamani😳😳😳 marefu namna hio mengii kisha mazito dah🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Unalia? Yaan mi nikifanyiwa interview niongee yangu na mtt wangu hata mtangazaji utalia mpaka ufunge kipindi, single mother sisi hee mungu ndie anaejua.
MUNGU atupe wepesi
@@pendogodwin1612 amina
Kibo cha ndesi unaogea maziwa uwiiiio
Acha kbs tunalea kwa shida mno Basi tu
Aloyce Masele yani kila single mother lazima alie kwa chochote kile hujui irene anafanywa nini ili apate ada ...
Huyu mwanadada ana heshima zake interview yake inavutia hana pang'ang'a kama wabongo hao wengine ni mtaratibu hadi una miss tu aendelee na mahojiano
Penda Irene, zama you're the best
Hongera mmno zamaradi...unafanya kitu kikubwa mmno kwenye TV interview zako...blessed more lovely
Cameraman basi sawa tumeshaiona Iphone 11🤣🤣
😂😂😂😂
Nakupenda Sana Irene uwoya Mungu yu nawe pamoja na mwanao.. Pole haya ni mapito ya Dunia everything will be alright 😍😘🙏
Zama unauliza maswali vizuri kama miladi ayo masha allah
Kwa mara ya kwanza nimetoa machoz interview ya Uwoya cjawahi kutoa machoz....pole kumbe unapitia mapito
Technical advice: Kuna Mwangwi unasikika ambao sidhani kama ni necessary, fanyia kazi hilo @Zamaradi
Very interested....hongera umependeza mnoo...interview iko vzr mmno na nimejifunza kupitia Zamaradi zaidi...kwa jinsi ameweza mchokoza kiulaini Irene nakuweza kuyajibu maswali yote vizuri..hongereni mmno.
Daaah nimejikuta ntokwa Na machozi pambana Dada kwa ajili ya mtoto WK krish love
Kama unamkubali irene oya piga like hapa chini
Maoni yangu tu : 30 million is too much for underage. Angekuwa secondary au university ingekuwa stori ingine. Ni vizuri kuelewa kuna Leo na kesho. ...
😂😂😂😆😆🙌🙌
Ni kweli kabisa, Iam not sure kama anastahili kulipa 30m per year ni vema angefanya investment zaidi...
@@gottaboy4178 Yah, 30 million is alot of money. Investment for a better future of that boy would be better
Kadanganyaa her kid is 8 na fee structure...she must have reasons for lying
@@missserenity4589 we unajua international school fee ni ndefu sana
Stay strong,and big up to single mothers😍😍😍
Zama love your interview
Nakupenda Irene unanifanya niwe strong
The best female presenter Zamaradi
Kweli usimjaji usie mjua kuanzia leo nimekpnda bure@irene uwoya💞💞
Kuogea maziwa kisayansi unaongeza bacteria wanaotunza ngozi ya mwili
Kitu nimependa kiswahiliglish hamn had raha zama na Irene mpo vizur wote muuliza na muulizwa nimewapenda
Hongera zama nimependa kabisa interview yako Ireen pole umeniliza
pole mamy mtegemee mungu utashinda mungu akukuzie mwanao ktk kimo na maarifa usikate tamaaa
Ambae ajapitia single mother bila kutegemea hawez jua uchungu wake
Haswaaa hujakosea yaani hawez jua uchungu na kunavyoumizaga kichwa mtu unatafuta pesa ili mtoto apte kuishi poa yaan kuna mda hat wewe hujijali dah mugu atusaidie
@@shamimuabubakari3508 amin
Mimi ni mmoja wa single mother's nishapitia hya yote
Tena single mothers wengi huwa hatutaki watoto wafate nyayo zetu hiwa tunataman wapate tulivhokikosa
@@winifridashoo410 haswa mpenz yaan tubapamab san ili tu mtot asipite ulikopita yup radh mam asivae itu mtoto awe vizur
Jaman comment fupi fupi wengine wavivu kusoma🤔
Yaani
@saidy mtenda. Hahahaha
🤣🤣🤣🤣
Nikweli
Zama, hamna tissue dadangu?
She needs some consolation too...
Nawapenda nyote though.
Irene's make up is on fleek!❤
Atakubembeleza kidogo ili mtu arudi kuwa sawa
😂😂😂 Dah Kwenye Hii Interview Dogo Janja Kachoreshwa Sana Yanii Dah
Hii ni interview yakwsnza Irene kujibu kila swali analo ulizwa
Ndio ninategemea na wanaomuuliza wengine wanaruka ruka ty harafu wanataka wajue kiundani, mtu lazima umtegenezee mazigira na namna ya kumuuliza swali kutokana na mazingira
Milka Metrine true leo akuna no comment
Kbsaa
Milka Metrine kabisaa
Kabisa
uko vizuri dada nakupend
Mil 30 kwa mwaka duh , akija kitaa kupata kazi analipwa wastan mil 1 , haya maisha haya acha tu 🤝🤝🤝
Mil. 30 mmmh! Kwa mwaka.. Tanzania au Ulaya.?
Tanzania hiyo feza boys 😁😂😂
@@fadhiliajali1960 hapana bwana, fedha hafikii fedha hiyo
Kubry Mtutala si ndo kasema hivyo kk 😂😂😂😂
Million 1 nyingi sana unalipwa laki 3 kiwango juu maisha haya yako kama movies, kuna wengine wanashidwa kulipa ada ya million 1 kwa mwaka lakini wengine mpaka million 30 daaah!!!!!!
Irène umenifanya niskie uchungu kweli .krishe anakili Allah amfanyie wepes insha Allah.
Zama weka tissue box pemben yako au hata leso
Hata maji au coffee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa kabisa
Jaman huyu dada ni mbahili
Zamaradi ni mtangazaji Bora. Irene ni mrembo. Napenda akicheka meno yke mazuri.lkn irene unajuta ulchomfanyia ndikuman.lzma itakuja kukulipa hyoo.maskn ndkuman alkua anakupenda mnooo.lkn tatizo ww hujatuliaaa..tumia vzuri uzur wako my sster....
Hongera sana Irene, zama unajua sana kuuliza✔
Zama please lighten the stage imepoa sana make it classy , otherwise it’s dope! You know you are the best! Irene thanks for sharing
joan alfred
Hongera zamarad nakupenda bure unajua kuhoji, Irene penda ww
Hoñgera Zama!! Leo Irene amejitaid sana
Great interview
Tissue on interview please nimenotice interview nyingi za bongo hamuweki interview defenetly emotionals happen
usijali Irene we ni mwanamke mpambanaji utatobowa
Zama na lilommy Napenda sana interview zenu,irene ng'ang'ana tu mamii.
Dada Zamaradi una maswali mazuri sanaa kwa kwerii penda sanaa
Ila Irine mzuri daahhh!!!
Ila atazeeka tu kama sisi 😆😆
@@issanaseeb7699 😀😀😀😀umenifanya nimecheka mpaka nimepaliwa namaji
@@mwanakhatibu3722 Wacha kunichekesha pia😅😝😝😂😂😂
Sharon Mwesh interview nzuri sana Zama vs uwoya
Sharon Mwesh wakawaida sanaaa
That's what we call absolutely mother's heart, mother's love, mother's everything!!
Mwenye interview zake mjini amerudi hongera sana Zamaradi kwa kazi nzuri na zenye ubora
Jmn unajina kama langu 😘😘😘😘😘😘😘😘 lop you wajinà
nakupend weri woy😘😘😘😘
zamaradi is the best his interview is of high level
Irene....she is very emotionally
U can't say she is very emotionally .....but say she is very emotional
Hongereni Sana interview Tamuuuu Kweli Tulivu Kama Mlivyo.Mbarikiwe sana.
Awww mtoto anaakili sana mpeleke shule ya kawaida usijitese Irene huyo mtoto yuko kama mwanangu anavyonipaga moyo your beautiful mama kaza buti mamaa
Irene mbna unatuliza wenzio huku pole dada😭❤❤
Cant wait ya wema..🤗🤗🤗
Jaman acha tuu
Thank you zaman I love you 💞💞
mungu nisaidie single mother mie nimlee mwanangu vizuri
Ameeen
Ameen
Makwiro Jryg pole
H
@@salmaishaq9076 m
Zamaaaaaaaaa nakupenda Bure nipo arusha japo arusha ujatutembelea
Irene answered the question accordingly......Big up zama
Irene umenutoa machozi xna 😢😢😢😢mungu atakupa uwezo jikaze😢😢😢
Ukiwa na mwanamke ambae anakwenda kulipa fee ya 30m kwa mtoto wa primary school ujue umeingia Choo cha kike
Ni kweli kbs
Punguza bangi kdg kijana ila akilewa ni fresh mfyuuuu n miaka 4 lkn
Pole sana Irene wangu mungu yupo 🙏🙏❤️
Naelewa maumiv unaypitia mom
Zamaradi you are the best host in Tanzania love u so much