Ww ni mwanamke Na insha'Allah Allah atakupa mlango wa Pepo opposite na Rasulillah KAZI yako imetukuka mnoooo ❤❤ ❤Kwa ajili ya Allah endelea Mungu akupe maisha marefu na afyaa njema amin3 yaarabl Alamein
Maisha ni rahisi sana kuyazungumza ila kuyatekeleza ni kazi sana. Unaweza fanya yote hayo na ya ziada lkn bado mambo yakaenda kombo. Behind the scene ya yote hayo ni kuzidisha dua tu ehuch
Watu tunapenda kuyafanya hayo ila humo humo ndio mnakuwa mwanzo wa kuombana talaka,mengine mtufundishe na dua za wanawake visirani sio kutuona wanaume tunajisahau hapana majumbani tunagombezwa hivi utaweza kumtoa mtu out mtu kama huyu unaogopa asije akakuchamba mbele za watu yakakutoka makofi ndio ukawa mwisho wa ndoa yenyewe kukosekana maudambwi udambwi kwenye ndoa zetu si kwamba hatupendi ila miongoni mwenu vivuruge.
Asante madam Leila. Kweli na upo sahihi kuhusu haya mambo. Wazungu wao kila wiki hupeana maua au chocolate japo kuwa sio vitu vya bei ghali, ni ishara tu ya kumthamini na kumpa zawadi mkeo au mwenzio. Unayosema yapo tupo wengi tunajisahau kufanya hayo mambo.
Ww ni mwanamke
Na insha'Allah Allah atakupa mlango wa Pepo opposite na Rasulillah
KAZI yako imetukuka mnoooo ❤❤
❤Kwa ajili ya Allah endelea Mungu akupe maisha marefu na afyaa njema amin3 yaarabl Alamein
Wewe NI moja Kati ya Wanawake wema Allah akulipe inshaalah
Allaah akulipe kheri Kwa mawaidha yako yanayojenga
maneno
mafunzo murua sana
jazaakillahu khair
MashaAllah dada i
Mashaa Allah tabaraka Allah
Manshaaallah ❤naaaaaaaam habibty
Content ipo vizuri sana
Hongera anty kwa kuwakumbusha wanaume,ingawa sie wengine hatuawahi kufanyiwa hata moja kati ya hayo ,wapewe maua yao wanaofanya hayo
Maisha ni rahisi sana kuyazungumza ila kuyatekeleza ni kazi sana. Unaweza fanya yote hayo na ya ziada lkn bado mambo yakaenda kombo.
Behind the scene ya yote hayo ni kuzidisha dua tu ehuch
We fanya kwa kutegemea kupata radhi za allah.ukitaka kuyajua ya binadamu hutoyamaliza.
MashaAllah nmekuwa nikikufatilia sana madame ila ninahamu sana ya kuongea nawe unishauri moja kwa moja sijui nitafanyaje naomba msaada wako
Cya
Mashaallah tabarakallah
Aliahmdulillah kwa elimu ya ndoa
mashaAllah mawaidha mazuri sana kipenzi Allah akuhifadhi akupe afya njema uzidi kutuelimisha
Fffffffffffff
Ffffffffff
Jazakallah khayran
Shukran
Mashaa Allah shukran kwa maneno mazuri yenye kujenga Mungu akubariki
Karibu Sana Pemba dada yangu
Mungu akubariki amin3
Safi sana sister tunakuelewa vizuri
mchaga romantic . kuwa romantic itampa sh. ngapi . inaliwa au?😂😂😂 ebu acha mambo ya kitoto basi. sisi tunatafuta pesa . kazi kweli kweli😂
Maashallah
Asa usipoobwa pesa na mke wako akuombe nani, mwanamume mwenzangu
Maashaallah madam nikweli kabisa wanajisahau sana
Ahsante nduguyangu ,namambo mengine yanawakosesha baraka viumbe ,kwakutokujua kwetu🎉
Mimi nkifatana n mume wangu 😂😂labda nenda spitali au mazishini au polisi wezi wametuibia...Alhamdulilah niko n 29kwenye ndoa wala hatugombani.
Positively right,thank u
Very much mama.
👏👏
Vizuri Sana madam leila
Hakikaa mungu ukuzidishiye hekims
Watu tunapenda kuyafanya hayo ila humo humo ndio mnakuwa mwanzo wa kuombana talaka,mengine mtufundishe na dua za wanawake visirani sio kutuona wanaume tunajisahau hapana majumbani tunagombezwa hivi utaweza kumtoa mtu out mtu kama huyu unaogopa asije akakuchamba mbele za watu yakakutoka makofi ndio ukawa mwisho wa ndoa yenyewe kukosekana maudambwi udambwi kwenye ndoa zetu si kwamba hatupendi ila miongoni mwenu vivuruge.
Haswaaaaaaa
Tumeelewa ugali mama😅😅
CHAKULA BONGO AHSANTE YA NINI NA ZAWADI
👍
Aslm ,Alkm,war,wab.kuhusu zawadi, anarudi saa 4:30, saa 5:00, kufuturu magengeni,halafu unampa zawadi
Twayyib
Kwani ile michezo ya kwenye tv ni halali kwa wanawake wa kiislam kuangalia?
Halaf hi y kununa n kua vichaa inawakuta wwke wkiafrika tu?!
Google
Asante madam Leila. Kweli na upo sahihi kuhusu haya mambo. Wazungu wao kila wiki hupeana maua au chocolate japo kuwa sio vitu vya bei ghali, ni ishara tu ya kumthamini na kumpa zawadi mkeo au mwenzio. Unayosema yapo tupo wengi tunajisahau kufanya hayo mambo.
Mashallah mawaidha mazuri yenye nasaha za wanadoa nk: