Siku hizi harusi za kiislam zimekua kama za kikiristo wanawake na wanaume wake sehemu moja hivi nyinyi mashek mambo kama haya kwa nini mnayafumbia macho wakati mnajua ni makosa
Ni sahahi kabisa naungana na wale wote wanatoa comments kuhusu kuchanganyika wanaume na wanawake,ndio dini yetu inavyotutaka sasa sisi tujitahidi tu kufuata tu tusiongeze yetu sisi. Ila sasa tumefanya kama ndio utamaduni na kila siku zikienda tunazidisha mambo. Mimi nikioa hao best mans wanasubiri msikitini nikienda kumuona mke wangu.
ai haifai haya mambo yanayotendeka hapo dini hairuhusu mbo kaahaya nikudhalilisha dini hiiya kiislam haifai tumcheni Allah hii haifai tusizue vitu jamanii Allah atuongozehaifaiii
Sheikhi wetu mbona ikawa hivyo ungetengeneza ukumbi pia mwali wetu angevaa nikhabu asionekane na wengine lkn alihamdulillah lkn ungefanya marambili kwa wanawake na wanaume shekh wetu lkn naomba msamaha kwa kukumbusha au furaha imezid
Mashaallah kwa kitu gani ? Amechanganya wanawake na wanaume ukumbi mmoja na watu wamenipamba hairuhusiwi. Kasome sura Al ahzab. Hiyo mashaallah itakuwa astaghafirullah
Dr. sule ww n mtafiti wa mambo mengi, ila ss nikuombe kwa heshima zng zote, naomba utenge muda wa kutafiti hii sunna inayotangazwa na mawahabi km wanavyoitwa kw ikhlaasw kabbisa.Allaah akuwezeshe
@@tiffahdangote7548 haifai kwa mwanamke kudhihirisha mapambo yake, na hapo ilipaswa kuwatenganisha wanawake na wanaume. sikutegemea kwa shekhe kama huyo kufanya ujinga huo
@@fatmamajid7908kwani uislam umekufundisha kuita wenzio majahil?kueni wazi na unaweza muita hivyo usiogope mtu muogope mungu maana anaeteleza huinuliwa hatukanwi upoo ama suudia iliwafundisha kutukana?
Mnamkosoa watu kuchanganyika wakati Kuna wengine hapa mnacomment huku mmekaa na mahawara na mnaenda kwenye miziki na mnasikiliza Sasa Nini kiherehere 😂😂😂
Sishangai ninayoyaona hapa yamuhusuyo dr sule!! Sasa naunganisha tu one + one = two .... Dini ya dr ni dini kama zilivyo dini xa wabongo wengi ILA kwa vile yeye ni muhadhir tulitegemea kuona kitu tofaut! Miaka zaid ya kumi nyuma nilibak kinywa waz kama ninavyoshangaa leo ! Nilfka nyumbani kwake kupga hodi anatoka mwanamke mkubwa mzima kichwa wazi!!! Kunisikiliza!!! Cjui mashkh wetu wengi ndvyo mulivyo!! Yote kw yote Dr mjanja tu wa mjini !!! Dini ya kutaftia hela!! Anatumia kipaji kuingiza hela na kupata umaarfu !! Dini hassa yke hassa anayejua ni muumba na yeye kama yeye!!!
Wapumbavu kabisa peleken tamaa zenu mbele mnazaliwa na WA awake mwanamke akifa mnamshika maungo yake na mikono kwenden huko na tamaa zenu hao mnaowaita makafiri ni wa Mungu pia kwani watu wako uchi tamaa TU ndio mmeweka mbele
Siku hizi harusi za kiislam zimekua kama za kikiristo wanawake na wanaume wake sehemu moja hivi nyinyi mashek mambo kama haya kwa nini mnayafumbia macho wakati mnajua ni makosa
Waisilamu tumefika pabaya sana harusi tunafanya kama za kikafiri tujiepushe kabisa na ALLAH atuongoze
Ni sahahi kabisa naungana na wale wote wanatoa comments kuhusu kuchanganyika wanaume na wanawake,ndio dini yetu inavyotutaka sasa sisi tujitahidi tu kufuata tu tusiongeze yetu sisi.
Ila sasa tumefanya kama ndio utamaduni na kila siku zikienda tunazidisha mambo.
Mimi nikioa hao best mans wanasubiri msikitini nikienda kumuona mke wangu.
Hawa Ndio wanaofanya mambo kama Haya kuonekana ya kawaida .
Wakati ni Mila na taratibu zisizokuwa za kiislam
ai haifai haya mambo yanayotendeka hapo dini hairuhusu mbo kaahaya nikudhalilisha dini hiiya kiislam haifai tumcheni Allah hii haifai tusizue vitu jamanii Allah atuongozehaifaiii
Yaani wabongo mume kaa mkaona m comment mambo kama haya wacheni chuki
Mtihan huu juu ya mtihan
Unatudhalilishia dini yetu we mzee
Kheri ya harusi ila shida Sheikh hakuzingatia mkusanyiko WA wake na waume
Hizi sherehe ziko kinyume kabisa na mafundisho ya dini ya uislamu.
Huyu shekhe wa bakwata hawajielewi hata kidogo
Kuvaa inkhabu sio lazima ilimrad uujue uisilam vzr
Jamani kumkubusha ndio kunakotakiwa binadamu huteleza lkin mnatoa maneno makali haifai jmn
Muogopeni Allah masheikh
Dr sule we ni kioo kuwa Makin kwenye Mambo menge
Sheikhi wetu mbona ikawa hivyo ungetengeneza ukumbi pia mwali wetu angevaa nikhabu asionekane na wengine lkn alihamdulillah lkn ungefanya marambili kwa wanawake na wanaume shekh wetu lkn naomba msamaha kwa kukumbusha au furaha imezid
Mashaallah
Shehe mzima anafanya mambo sio
Masha Allah ❤❤❤❤
Mashaallah kwa kitu gani ? Amechanganya wanawake na wanaume ukumbi mmoja na watu wamenipamba hairuhusiwi. Kasome sura Al ahzab. Hiyo mashaallah itakuwa astaghafirullah
Sote ni wakossaji ya ALLAH tujalie tuwe ni wenye kutubu
Daaaah huuu ndio uelekeo wa dini sasaiv?
Dr. sule ww n mtafiti wa mambo mengi, ila ss nikuombe kwa heshima zng zote, naomba utenge muda wa kutafiti hii sunna inayotangazwa na mawahabi km wanavyoitwa kw ikhlaasw kabbisa.Allaah akuwezeshe
Fafanua Sunna gani ambayo unataka sure atafiti? ila sure sio mwanachuoni
Sunnah gan
@@abubakarally3413 Anazweza akajifunza ki2 kuhusu sunnah
@@user-fq6iw1pb7q hawez akafata sunna ya sisi mawahabi wakat yeye mwenyewe amekamata usufi
Shehe sule ni shehe pesa tu
Haufai wanawake na wanaume wapo sehem moja na wamejipamba wanaume wanaona mapambo ya wanawake ambao sio wake zao
Kwaiyo kwenye shughuli kama hiyo watu wapake mikaa usoni! Acha ushamba mambo yameendelea saivi....acha uzinzi wa kutamani mwanamke asiye mke wako!
@@tiffahdangote7548 haifai kwa mwanamke kudhihirisha mapambo yake, na hapo ilipaswa kuwatenganisha wanawake na wanaume.
sikutegemea kwa shekhe kama huyo kufanya ujinga huo
Tukimwita jahil tutaambiwa tumemkosea shekh, ila huo ni ujahil
Awa masalafi wahuni tu hawa utackia haifai kwaiyo ni mwamba wao wanawataman wachen ujinga haifai nn
@@fatmamajid7908kwani uislam umekufundisha kuita wenzio majahil?kueni wazi na unaweza muita hivyo usiogope mtu muogope mungu maana anaeteleza huinuliwa hatukanwi upoo ama suudia iliwafundisha kutukana?
Huyu jamaa amekua muharibifu sana wa dini huyu, kumbe alikazana kusoma bibilia zaidi akasahau kuusoma vyema mipaka ya uislam wake
Ukisikia wanafki ndio nyinyi
Baya moja lamtu unamtoa utu na thamani acha roho ya kichawi
Asa kakosea wapi huyo nimhadhiri unamshutumu wewe ndo ulokamilika jaman
Silent followers, nimeingia kwa comment section 😂 😂😂
,😅😅
Mnamkosoa watu kuchanganyika wakati Kuna wengine hapa mnacomment huku mmekaa na mahawara na mnaenda kwenye miziki na mnasikiliza Sasa Nini kiherehere 😂😂😂
Lkn nikunyume na uisilamu
Eti sule unajiingiza kwenye dini ya Allah na Mtume wake hiyo ni dini yako na tumbo lako na wasielewa wenzako
Mna tamaa sana wanaume mnaojiita waislam
NDOWAZENU ZINA TOFAUTIGAN NA ZA WAKIRISTO
Mtihani tumewacha ya Mtume na kufata akili zetu na utamaduni wetu😮
Biharusi naona anachati chini kwa chini vp kwema
Wabongo wacheni fitna
Vipizauko
Sishangai ninayoyaona hapa yamuhusuyo dr sule!! Sasa naunganisha tu one + one = two .... Dini ya dr ni dini kama zilivyo dini xa wabongo wengi ILA kwa vile yeye ni muhadhir tulitegemea kuona kitu tofaut! Miaka zaid ya kumi nyuma nilibak kinywa waz kama ninavyoshangaa leo ! Nilfka nyumbani kwake kupga hodi anatoka mwanamke mkubwa mzima kichwa wazi!!! Kunisikiliza!!! Cjui mashkh wetu wengi ndvyo mulivyo!! Yote kw yote Dr mjanja tu wa mjini !!! Dini ya kutaftia hela!! Anatumia kipaji kuingiza hela na kupata umaarfu !! Dini hassa yke hassa anayejua ni muumba na yeye kama yeye!!!
Alichokizungumza mwaipopo kuhusu huyu mtu niukweli kabisa
Alisema nn mwaipopo?
Mh Mh hay mamb yanatok wap
Kwani mko uchi
Wewe dokta sule ni mhuni tuu kwa mambo unayofanya sio uisilamu acha uhuni wewe
Ningejua kua huyu Sheikh alikua na mwana kama huyu basi ningekimbilia kuja kumtaka mwanawe lakini kheri kubwa itapatikana kwa aliyemuoa.
Amiyn amiyn amiyn
Huo sio uislamu huo usela mnafundisha waislamu usela
Wapumbavu kabisa peleken tamaa zenu mbele mnazaliwa na WA awake mwanamke akifa mnamshika maungo yake na mikono kwenden huko na tamaa zenu hao mnaowaita makafiri ni wa Mungu pia kwani watu wako uchi tamaa TU ndio mmeweka mbele
Mkushanyi huu unafaa ktk wsilam .?
Hata nashangaa kwa kweli
Haufai
Kukusanyika kwenye mashindano ya qur an wanaume na wanawake na kwenye makongamano engine je inafaaa.....,!!!!?
Unafaa ila kwa misingi ilioekwa na uislamu
no big no
Juu wa utafiti wako maslim ujuwe una haki za watu nyingi
Kwenye ndege au kwenye magari huwa mnatengwa tamaa TU kwendeni huko