MANENO YA DOKTA SULE BAADA YA MTOTO WAKE KUOLEWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 เม.ย. 2023
  • #IqraaTvTz #ImaniThabiti #Mawaidha #islamicchannel #maulidnabi

ความคิดเห็น • 95

  • @ramadhanikenga274
    @ramadhanikenga274 7 หลายเดือนก่อน +5

    Siku hizi harusi za kiislam zimekua kama za kikiristo wanawake na wanaume wake sehemu moja hivi nyinyi mashek mambo kama haya kwa nini mnayafumbia macho wakati mnajua ni makosa

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi1191 7 หลายเดือนก่อน +5

    Waisilamu tumefika pabaya sana harusi tunafanya kama za kikafiri tujiepushe kabisa na ALLAH atuongoze

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 7 หลายเดือนก่อน +10

    Ni sahahi kabisa naungana na wale wote wanatoa comments kuhusu kuchanganyika wanaume na wanawake,ndio dini yetu inavyotutaka sasa sisi tujitahidi tu kufuata tu tusiongeze yetu sisi.
    Ila sasa tumefanya kama ndio utamaduni na kila siku zikienda tunazidisha mambo.
    Mimi nikioa hao best mans wanasubiri msikitini nikienda kumuona mke wangu.

    • @elallymoussa2980
      @elallymoussa2980 7 หลายเดือนก่อน +2

      Hawa Ndio wanaofanya mambo kama Haya kuonekana ya kawaida .
      Wakati ni Mila na taratibu zisizokuwa za kiislam

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 7 หลายเดือนก่อน +5

    ai haifai haya mambo yanayotendeka hapo dini hairuhusu mbo kaahaya nikudhalilisha dini hiiya kiislam haifai tumcheni Allah hii haifai tusizue vitu jamanii Allah atuongozehaifaiii

  • @Aminasaidmunyu
    @Aminasaidmunyu 6 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani wabongo mume kaa mkaona m comment mambo kama haya wacheni chuki

  • @user-mw6bz5gs7s
    @user-mw6bz5gs7s 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mtihan huu juu ya mtihan

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 8 หลายเดือนก่อน +10

    Unatudhalilishia dini yetu we mzee

  • @mohammedhussein6748
    @mohammedhussein6748 7 หลายเดือนก่อน +6

    Kheri ya harusi ila shida Sheikh hakuzingatia mkusanyiko WA wake na waume

  • @athumanmziray448
    @athumanmziray448 7 หลายเดือนก่อน +10

    Hizi sherehe ziko kinyume kabisa na mafundisho ya dini ya uislamu.

    • @raniahAbdul
      @raniahAbdul 7 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu shekhe wa bakwata hawajielewi hata kidogo

  • @hashimuhakimu240
    @hashimuhakimu240 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kuvaa inkhabu sio lazima ilimrad uujue uisilam vzr

  • @lugnahnassor1504
    @lugnahnassor1504 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani kumkubusha ndio kunakotakiwa binadamu huteleza lkin mnatoa maneno makali haifai jmn

  • @ibrahimahmed3548
    @ibrahimahmed3548 7 หลายเดือนก่อน +3

    Muogopeni Allah masheikh

  • @rashidsaid-sy1nr
    @rashidsaid-sy1nr 7 หลายเดือนก่อน +3

    Dr sule we ni kioo kuwa Makin kwenye Mambo menge

  • @fatumasalim3915
    @fatumasalim3915 7 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikhi wetu mbona ikawa hivyo ungetengeneza ukumbi pia mwali wetu angevaa nikhabu asionekane na wengine lkn alihamdulillah lkn ungefanya marambili kwa wanawake na wanaume shekh wetu lkn naomba msamaha kwa kukumbusha au furaha imezid

  • @ochumediatz
    @ochumediatz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @user-cb5wf7ig9l
    @user-cb5wf7ig9l 24 วันที่ผ่านมา +1

    Shehe mzima anafanya mambo sio

  • @fatumasalim3915
    @fatumasalim3915 7 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah ❤❤❤❤

    • @raniahAbdul
      @raniahAbdul 7 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah kwa kitu gani ? Amechanganya wanawake na wanaume ukumbi mmoja na watu wamenipamba hairuhusiwi. Kasome sura Al ahzab. Hiyo mashaallah itakuwa astaghafirullah

  • @KassimShora
    @KassimShora 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sote ni wakossaji ya ALLAH tujalie tuwe ni wenye kutubu

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 8 หลายเดือนก่อน +3

    Daaaah huuu ndio uelekeo wa dini sasaiv?

  • @AliDaud-si3fg
    @AliDaud-si3fg 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dr. sule ww n mtafiti wa mambo mengi, ila ss nikuombe kwa heshima zng zote, naomba utenge muda wa kutafiti hii sunna inayotangazwa na mawahabi km wanavyoitwa kw ikhlaasw kabbisa.Allaah akuwezeshe

    • @abubakarally3413
      @abubakarally3413 8 หลายเดือนก่อน +1

      Fafanua Sunna gani ambayo unataka sure atafiti? ila sure sio mwanachuoni

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sunnah gan

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@abubakarally3413 Anazweza akajifunza ki2 kuhusu sunnah

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 7 หลายเดือนก่อน

      @@user-fq6iw1pb7q hawez akafata sunna ya sisi mawahabi wakat yeye mwenyewe amekamata usufi

  • @rashid3562
    @rashid3562 7 หลายเดือนก่อน +2

    Shehe sule ni shehe pesa tu

  • @sharifarashid942
    @sharifarashid942 8 หลายเดือนก่อน +35

    Haufai wanawake na wanaume wapo sehem moja na wamejipamba wanaume wanaona mapambo ya wanawake ambao sio wake zao

    • @tiffahdangote7548
      @tiffahdangote7548 8 หลายเดือนก่อน +4

      Kwaiyo kwenye shughuli kama hiyo watu wapake mikaa usoni! Acha ushamba mambo yameendelea saivi....acha uzinzi wa kutamani mwanamke asiye mke wako!

    • @fatmamajid7908
      @fatmamajid7908 8 หลายเดือนก่อน

      @@tiffahdangote7548 haifai kwa mwanamke kudhihirisha mapambo yake, na hapo ilipaswa kuwatenganisha wanawake na wanaume.
      sikutegemea kwa shekhe kama huyo kufanya ujinga huo

    • @fatmamajid7908
      @fatmamajid7908 8 หลายเดือนก่อน +6

      Tukimwita jahil tutaambiwa tumemkosea shekh, ila huo ni ujahil

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 8 หลายเดือนก่อน +1

      Awa masalafi wahuni tu hawa utackia haifai kwaiyo ni mwamba wao wanawataman wachen ujinga haifai nn

    • @princefeisla3692
      @princefeisla3692 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmamajid7908kwani uislam umekufundisha kuita wenzio majahil?kueni wazi na unaweza muita hivyo usiogope mtu muogope mungu maana anaeteleza huinuliwa hatukanwi upoo ama suudia iliwafundisha kutukana?

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 7 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa amekua muharibifu sana wa dini huyu, kumbe alikazana kusoma bibilia zaidi akasahau kuusoma vyema mipaka ya uislam wake

    • @KhojaNasri
      @KhojaNasri 7 หลายเดือนก่อน

      Ukisikia wanafki ndio nyinyi

    • @KhojaNasri
      @KhojaNasri 7 หลายเดือนก่อน

      Baya moja lamtu unamtoa utu na thamani acha roho ya kichawi

    • @SirajuKhalidi-sz6gu
      @SirajuKhalidi-sz6gu 6 หลายเดือนก่อน

      Asa kakosea wapi huyo nimhadhiri unamshutumu wewe ndo ulokamilika jaman

  • @RehemaWere
    @RehemaWere 6 หลายเดือนก่อน +1

    Silent followers, nimeingia kwa comment section 😂 😂😂

  • @AbdallahOmmar
    @AbdallahOmmar หลายเดือนก่อน +1

    ,😅😅

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mnamkosoa watu kuchanganyika wakati Kuna wengine hapa mnacomment huku mmekaa na mahawara na mnaenda kwenye miziki na mnasikiliza Sasa Nini kiherehere 😂😂😂

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 6 หลายเดือนก่อน +1

    Eti sule unajiingiza kwenye dini ya Allah na Mtume wake hiyo ni dini yako na tumbo lako na wasielewa wenzako

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mna tamaa sana wanaume mnaojiita waislam

  • @abuuabdillahsalafimhapa3839
    @abuuabdillahsalafimhapa3839 8 หลายเดือนก่อน +3

    NDOWAZENU ZINA TOFAUTIGAN NA ZA WAKIRISTO

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mtihani tumewacha ya Mtume na kufata akili zetu na utamaduni wetu😮

  • @MahmoudAli-rs5mi
    @MahmoudAli-rs5mi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Biharusi naona anachati chini kwa chini vp kwema

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wabongo wacheni fitna

  • @user-pr8rx5ss6w
    @user-pr8rx5ss6w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Vipizauko

  • @omarkhamys9818
    @omarkhamys9818 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sishangai ninayoyaona hapa yamuhusuyo dr sule!! Sasa naunganisha tu one + one = two .... Dini ya dr ni dini kama zilivyo dini xa wabongo wengi ILA kwa vile yeye ni muhadhir tulitegemea kuona kitu tofaut! Miaka zaid ya kumi nyuma nilibak kinywa waz kama ninavyoshangaa leo ! Nilfka nyumbani kwake kupga hodi anatoka mwanamke mkubwa mzima kichwa wazi!!! Kunisikiliza!!! Cjui mashkh wetu wengi ndvyo mulivyo!! Yote kw yote Dr mjanja tu wa mjini !!! Dini ya kutaftia hela!! Anatumia kipaji kuingiza hela na kupata umaarfu !! Dini hassa yke hassa anayejua ni muumba na yeye kama yeye!!!

    • @HassanHassan-fo8rw
      @HassanHassan-fo8rw 6 หลายเดือนก่อน

      Alichokizungumza mwaipopo kuhusu huyu mtu niukweli kabisa

    • @omarkhamys9818
      @omarkhamys9818 6 หลายเดือนก่อน

      Alisema nn mwaipopo?

  • @MudarisuMudarisu
    @MudarisuMudarisu 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Mh hay mamb yanatok wap

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani mko uchi

  • @athumannyiddy1886
    @athumannyiddy1886 15 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe dokta sule ni mhuni tuu kwa mambo unayofanya sio uisilamu acha uhuni wewe

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ningejua kua huyu Sheikh alikua na mwana kama huyu basi ningekimbilia kuja kumtaka mwanawe lakini kheri kubwa itapatikana kwa aliyemuoa.

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 8 หลายเดือนก่อน +1

      Amiyn amiyn amiyn

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huo sio uislamu huo usela mnafundisha waislamu usela

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wapumbavu kabisa peleken tamaa zenu mbele mnazaliwa na WA awake mwanamke akifa mnamshika maungo yake na mikono kwenden huko na tamaa zenu hao mnaowaita makafiri ni wa Mungu pia kwani watu wako uchi tamaa TU ndio mmeweka mbele

  • @dullafarsiy1230
    @dullafarsiy1230 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mkushanyi huu unafaa ktk wsilam .?

    • @fatmamajid7908
      @fatmamajid7908 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hata nashangaa kwa kweli

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q 8 หลายเดือนก่อน +2

      Haufai

    • @suleymanmohd3418
      @suleymanmohd3418 8 หลายเดือนก่อน +3

      Kukusanyika kwenye mashindano ya qur an wanaume na wanawake na kwenye makongamano engine je inafaaa.....,!!!!?

    • @salimutwahiri3693
      @salimutwahiri3693 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unafaa ila kwa misingi ilioekwa na uislamu

    • @roseatienoogutu7641
      @roseatienoogutu7641 7 หลายเดือนก่อน +1

      no big no

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 8 หลายเดือนก่อน +1

    Juu wa utafiti wako maslim ujuwe una haki za watu nyingi

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenye ndege au kwenye magari huwa mnatengwa tamaa TU kwendeni huko