RPC Muroto kaja na hii nyingine, Madereva Dodoma wapata tabu sana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2018
  • Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma likiongozwa na RPC Gilles Muroto limeanza operation ya kukagua na kukamata madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani pamoja na wenye magari mabovu ambapo hadi sasa zaidi ya magari 30 yakiwa yamekamatwa huku wahusika wakitarajiwa kufikishwa Mahakamani muda wowote ili waweze kushugulikiwa kwa mujibu wa sheria.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 390

  • @user-br7nc7hw3l
    @user-br7nc7hw3l 6 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana mkuu wote wangekuwa km ww ni raha sana shukurani mkuu mungu akupe maisha marefu

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 6 ปีที่แล้ว +82

    😂😂😂😂 Piga like kama unamkubari G Muroto

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 6 ปีที่แล้ว +13

    Ila muroto bana unatuma maombi ya kwenda gerezan😂😂😂😂😊😂😂

  • @bakarimdindile1273
    @bakarimdindile1273 6 ปีที่แล้ว +3

    excellent RPC Gilles muroto hivi ndivo inavo takiwa inchi yetu iwe bora, lakini watanzania sio dodoma ,watanzania ni mikoayote ya tanzania hivyo kila mkoa ,na RPC wote waige mfano wa gilles muroto hapo ndipo inchi yetu itasonga mbele na itabadilika ,ajali zitapungua ,watanzania tutasafiri salama salimini,eeeee MUNGU ibariki tanzania

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 ปีที่แล้ว +17

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😃😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Etii ilo janga likuendee wewe na ndugu zako 😃😃😃😃😃 Be blessed Kamanda kwa kazi yako

    • @marymarwa8428
      @marymarwa8428 6 ปีที่แล้ว +1

      Trey Ibrahim hahahahaaaa nimecheka

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 6 ปีที่แล้ว +1

      Trey Ibrahim afu nqona kama kapendezaaa vile

    • @treyibrahim3327
      @treyibrahim3327 6 ปีที่แล้ว +2

      marry chacha hata mm hahahahahahahah 😃😃😃😃

    • @treyibrahim3327
      @treyibrahim3327 6 ปีที่แล้ว

      😃😃😃😃😃😃😃 Asha uyu mzee nouma aiseee

  • @charlessarrwat7291
    @charlessarrwat7291 6 ปีที่แล้ว +8

    Nice..lazima wapate tabu sana

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 5 ปีที่แล้ว

    Very good kamanda

  • @gabrielgidasangahalamga6875
    @gabrielgidasangahalamga6875 5 ปีที่แล้ว

    safi kamanda mngu akulinde

  • @abubakarhassan1915
    @abubakarhassan1915 4 ปีที่แล้ว +4

    Mh vip kuhusu magar ya serikali kuvunja sharia?

  • @million.onlinetv659
    @million.onlinetv659 6 ปีที่แล้ว +6

    Kamandaa wangu hapo nimekuelewaa.....kwaaambaaaa.......'"UNAPELEKA MAOMBI KUINGIA GEREZANI'"..... . ......kiukweli watapataa tabu sanaaa.....nimesemaa ..watapata tabu sanaaa

    • @maulidmustafa3840
      @maulidmustafa3840 4 ปีที่แล้ว

      Ivi KAZI ya huyo RPC nikukamata magari. Kwann asigawe kaz Kwa waliochini yake??

  • @jacksonmkome439
    @jacksonmkome439 6 ปีที่แล้ว +11

    safi sanaaaah Kamanda... coz uzembe Mdgo kama Huuu unaleta madhara makubwa...kisha tunaanza kulaumu serikali..@

  • @bernardchibwana6176
    @bernardchibwana6176 6 ปีที่แล้ว

    Vaaa vizuri brother, kamanda mungu akupe nguvu

  • @jangaboy1877
    @jangaboy1877 5 ปีที่แล้ว

    Mm namkubali Sana kamanda

  • @abdulazizymhando5745
    @abdulazizymhando5745 6 ปีที่แล้ว

    kazi nzuri sana afande

  • @kenedynashon9717
    @kenedynashon9717 6 ปีที่แล้ว

    Nchi nzima kungekuwa na maaskari kama huyu tungekuwa mbali sana,chapa kazi kamanda,achana na wapuuzi wanaosema kwamba unatafuta kiki,tushawazoea mazoba kama hao hawakosekani😂😂😂😂😂😂

  • @omanioman8952
    @omanioman8952 6 ปีที่แล้ว +3

    Piga kz baba mungu akupe afya na akurinde daima ayataisha ila yatapungua

  • @luckychanneltv8762
    @luckychanneltv8762 6 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana mheshimiwa mroto, uliinyoosha nyakato national mwanza ,endelea kupiga kazi usiogope

  • @gilbertpaul371
    @gilbertpaul371 6 ปีที่แล้ว +7

    Kamand njoo na huku mwanza kuna gari zinatembea upande huku

  • @adamwaziry2253
    @adamwaziry2253 6 ปีที่แล้ว +7

    Yote hayo kuficha mambo wanayo fanya.badala watupe majibu ya watu wasio julikana badala watupe muafaka kwann wanapiga raia mpaka wanawaua.badala watupe ripoti ya lisu kupigwa risasi.mpaka leo kimya.

  • @rockystnaftali3490
    @rockystnaftali3490 6 ปีที่แล้ว +31

    Jamani mtu akikaa tu ofisini mtasema akipiga kazi anatafuta kiki eeh mwalimwengu mnamazito sana

    • @seifdisail3007
      @seifdisail3007 6 ปีที่แล้ว +1

      Rockyst Naftali fanya kile unachokiona ni sahihi usifate maneno ya watu....

    • @gilbertpaul371
      @gilbertpaul371 6 ปีที่แล้ว

      Si ndo hapo

    • @omarymbuguni4164
      @omarymbuguni4164 5 ปีที่แล้ว

      Anatafuta kiki hata hivyo

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Binadamu hawana wema ndugu yangu!!!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      @@omarymbuguni4164 hata wewe unatafuta kiki!!!

  • @cynobaby50
    @cynobaby50 6 ปีที่แล้ว +13

    Mambo ni motooo....

  • @zainabujuma4278
    @zainabujuma4278 6 ปีที่แล้ว +1

    Jamani ajari zimezidi cn kwa kweli afande piga kazi, mungu akusimamie.

    • @allyduwa9914
      @allyduwa9914 4 ปีที่แล้ว

      Mumeo angekuwa drive hayo usingesema maana ingekula kwako

  • @sarahkalinga732
    @sarahkalinga732 6 ปีที่แล้ว

    naipenda sana kazi zako piga kazi baba

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 6 ปีที่แล้ว +11

    Namkubali sanaa kamanda

  • @shaabanabdallah4831
    @shaabanabdallah4831 6 ปีที่แล้ว +1

    Ukifanya makosa barabarani unapeleka maombi kwenda gerezani 😂😂😂😂😂 jamani kazi ipo kwakweli

  • @shaabanabdallah4831
    @shaabanabdallah4831 6 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 jamani ningekua dodoma ningehama mimi watapata tabu sanaa

  • @omanoman1576
    @omanoman1576 4 ปีที่แล้ว +1

    navitabu vinasema ukimzallisha mtu hufi naww hadi uzalilike

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 6 ปีที่แล้ว +3

    Kati ya ajali mbaya sana nizile zinazo husishwa na magari ya michanga.

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 6 ปีที่แล้ว +4

    Haaaahaaaaa..Eti sasa unakwenda Mahakamani Brother..

  • @juliankuka2496
    @juliankuka2496 6 ปีที่แล้ว +4

    i love this officer how he handles stuff bring him to Nairobi...

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 6 ปีที่แล้ว

    Simamia paka wanao jamba ovyo siwapendi mimi jitu linajamba 24hrs bila ata kuonea huruma wezio walio mzunguka 😂😂😂

  • @johnsanda4931
    @johnsanda4931 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndomaana juzi kawa mnyonge kwa mkuu wake utafikiri siyo yy

  • @allybomba4125
    @allybomba4125 6 ปีที่แล้ว

    dah huu mtihani maana wasio soma na tulitegema ajira ugera sasa imekuwa kazingumu sana kwa sasa

  • @meshackjackson3262
    @meshackjackson3262 6 ปีที่แล้ว

    Kama hutak kufanya kaz utapata taabu sana kaz kaz tu kamanda tanzania ya mafanikio ileee naiona inakujaaaa

  • @jacksontesha7997
    @jacksontesha7997 5 ปีที่แล้ว +1

    Bongo Kazi na Kamera bhana....tutauzaje Sura sasa ....Kazi haziuziki....

  • @alengeswedi6962
    @alengeswedi6962 5 ปีที่แล้ว

    Wanyooshe babu nakuona kwa mbali unawapa funzo tamu

  • @bensonisilivery6572
    @bensonisilivery6572 6 ปีที่แล้ว

    Noma Sana uyu Mzee

  • @ahmadkibamba7245
    @ahmadkibamba7245 6 ปีที่แล้ว +1

    Siyo kila kosa faini na kesi ukisoma sheria hipo sehemu.inaelekeza kumuelekeza dereva kosa lake kwa mara ya kwanza na mara ya pili ya tatu unamchukulia hatua

  • @modeystaraxy3440
    @modeystaraxy3440 3 ปีที่แล้ว

    AO waendeshaji wamagari makubwa wangetengenezewa jia zao mapolini uko Cz wanaua tu watu kwa ushamba wao wa matumizi mabaya ya barabara siyapendi kuyaona

  • @davidkilolelo8212
    @davidkilolelo8212 5 ปีที่แล้ว

    Nafurahi sana nikimuona tu afande muroto

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 4 ปีที่แล้ว

    Haya makosa Ni kupiga faini ili wakatengeneze magari kwenda mahakamani Ni kupotezea muda mahakama na kila mtu

  • @shkonlinetv1756
    @shkonlinetv1756 6 ปีที่แล้ว +2

    nadhani ingefaa kupewa elimu kabla ya kupelekwa mahakamani.. ukimfunga sio kumsaidia.. unafanya kazi njema ila hekima itafutwe badala ya kwenda kumtia mtu jela aache kuzalisha na kuendesha familia.. please sheria ni mawazo yetu na utu ni wetu ambao ndio wa thamani zaidi..

    • @hassanimazila2054
      @hassanimazila2054 6 ปีที่แล้ว

      wazo jema

    • @obbymiles277
      @obbymiles277 6 ปีที่แล้ว

      Bro unadhani hawajui,ndio maana inaitwa kuvunja sheria ya barabara means wanajua fika.watu kazini

  • @frankilovesongchengula4672
    @frankilovesongchengula4672 6 ปีที่แล้ว

    uyu father namuerewaga sanaaaaa yani huyu na Media wana undugu

  • @evancesimbaya2056
    @evancesimbaya2056 6 ปีที่แล้ว

    Piga kazi kamanda G.Muroto "Mchuma janga hura na ndugu zake" hapa nimekuelewaa kamandaa.

  • @athumanimafugalo9917
    @athumanimafugalo9917 5 ปีที่แล้ว

    Huyumwenye asili ya kiarabu alipoambiwa kapakia watu 21 alistuka na kumuangalia kamanda in kama MTU aliyesingiziwa kosa.

  • @jumabakari6451
    @jumabakari6451 6 ปีที่แล้ว

    Bradha utakwenda mahakamani sawa

  • @omarrashid6215
    @omarrashid6215 5 ปีที่แล้ว

    Sheria ipi jaman inasema huna kiakisi mwanga unapelekwa mahakamani naombeni elimu juu ya hilo kwa mwenye kujua

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 ปีที่แล้ว +2

    Hadi rais ongee ndio mnafanya kazi zakuonea na sio zakuepusha ajari..inakela hadi Magufuli alalamike ndio nanyi mnaonea watu...Barabara mbovu na finyo.na kibaya gari hazna service rekod...anzieni garage na used spare parts. Na barabara then mtoe mafunzo sahihi...mfano mnapopishana dereva wapunguze speed.na upepo kwenye matairi ni muhimu sana..tyrod end.lake end.ball joint. Driving shaft.. Toshen bar.hivi muhimu sana

  • @deniswilson9069
    @deniswilson9069 3 ปีที่แล้ว

    Nilini mtaanza kuwabana wamiliki wa maabasi na maloli wawalipe madereva wao mishahara mizuri ili sisi abilia tunaotegemea usafiri huu uwe wa uhakika na kuondoa hofu za kimazingira

  • @shaksbinsalim453
    @shaksbinsalim453 3 ปีที่แล้ว

    Ndiyo maana lGP siro akakupakazia kwa kupenda sifa hikukamata na wandishi wa habari imekujalini na ww unajisikiaje hasa

  • @soldiersjinny4146
    @soldiersjinny4146 5 ปีที่แล้ว

    sawa

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 6 ปีที่แล้ว +10

    Hahahaahha uyu kamanda nampenda

  • @davidmajula5518
    @davidmajula5518 6 ปีที่แล้ว

    Unakwenda mahakamani brother😯😀😀😀
    Piga kaz #kamanda saryuti kwako

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei7136 6 ปีที่แล้ว

    Braza utaenda mahakaman sawa

  • @aikajuma6855
    @aikajuma6855 6 ปีที่แล้ว +1

    watapata tabu sanaaaaaa ila uangalie na trafik wanachukua rushwa wao ndio wanayaona hayo yote lakin hawafanyi kitu ....ajali kila siku

  • @givoncekiwelu1896
    @givoncekiwelu1896 6 ปีที่แล้ว +3

    Majid katisha,co wamchezo mchezo

  • @mohammedsalum6376
    @mohammedsalum6376 4 ปีที่แล้ว

    Geleza litajaa madeleva kwani kama mtu hajaweka kiaski mwanga kwanini usimuonye mpaka umpeleke gelezani

  • @venanceroman5113
    @venanceroman5113 4 ปีที่แล้ว

    Mimi nomeona magari yamagereza mabovu lakini yanatembea haya kuna yanayo beba taka hayana hata taa waniruhusu nikae hapa barabarani niwakamatie mawili tu yakwao wanatuonea tu magari yanabeba mawe lazima libondeke bwana

  • @kassimkazinza8060
    @kassimkazinza8060 4 ปีที่แล้ว

    murotoo nomaaa

  • @latasimon9303
    @latasimon9303 6 ปีที่แล้ว

    Kwann brother unaendesha bus bovu😀😀😀

  • @cassianndunguru3560
    @cassianndunguru3560 6 ปีที่แล้ว

    Huyu kwanini asichukue uku wa jeshi la police tz IGP...... anapiga sana kazi.

  • @karimmsosa4262
    @karimmsosa4262 6 ปีที่แล้ว +2

    mzee posho za barabarani nazo vipi? kwa trafiki? Anakufa kibudu.

  • @mohamedmsuya707
    @mohamedmsuya707 6 ปีที่แล้ว +1

    Ghafla nmejikuta napenda kumfuatilia kamanda Moroto!

  • @silimumwamba6279
    @silimumwamba6279 6 ปีที่แล้ว

    kama umechuma janga utakula na Ndugu zako Aiseee kaz kaz

  • @saidndimbwa4976
    @saidndimbwa4976 6 ปีที่แล้ว

    Mzee anavowadisplini kwa kuwatoa mikono mfukoni vijiti mdomoni anafurahisha..

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 ปีที่แล้ว +3

    Kamua mzee kamanda

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 ปีที่แล้ว

    Uwe mfano wa kuigwa uyu afande anachapa kazi sarut yako mzee fundisho kwa kila mtu ila anapenda kuongea kwa kuwapapasa watumiwa napenda

  • @leskarmeikok8956
    @leskarmeikok8956 6 ปีที่แล้ว

    Huyu kamanda anastaili pongezi

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 6 ปีที่แล้ว

    Iendelee tu ni safi sana

  • @petermim
    @petermim 6 ปีที่แล้ว +2

    Kufa kibudu dag😂😂😂🙌🙌🙌😂😂

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 ปีที่แล้ว +1

    Kaingia kwenye radar za G.muroto

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 6 ปีที่แล้ว +8

    Watapata Tabu sana

  • @geofreymatengo9746
    @geofreymatengo9746 4 ปีที่แล้ว

    AFANDE moroto huka haki ya kumuagiza mtu kupelekwa mahakamni wewe kazi yako ni ulinzi na usalama acha kudhalilisha watu

  • @adaash6591
    @adaash6591 5 ปีที่แล้ว

    Hakuna alie kufa mtu kama Ana makosa alipe fine sio prison wtf is this akil ziko mikunduni

  • @pambanomwadia4946
    @pambanomwadia4946 6 ปีที่แล้ว +1

    mtengeneze na barabara co mnakagua magari tu ajali nyingi zinachangiwa na barabara zetu mashimo kibao

  • @simonmkondya1115
    @simonmkondya1115 6 ปีที่แล้ว

    kazi unayoo

    • @muhdmimu8857
      @muhdmimu8857 6 ปีที่แล้ว

      Simon Mkondya kiki wanatafuta

  • @johnsanda4931
    @johnsanda4931 4 ปีที่แล้ว

    Kuhusu tairi hata yy ukiangalia hata kiatu chake kimeisha

  • @mimiliism
    @mimiliism 6 ปีที่แล้ว

    Kila mchuma janga hula na ndugu zake

  • @lastseen6815
    @lastseen6815 6 ปีที่แล้ว +5

    Ilo janga likuendee ww na ndugu zako😂😂😂😂😂

  • @wilfredmunuo1308
    @wilfredmunuo1308 6 ปีที่แล้ว

    kila mchuma majanga hula na ndugu zake

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว

    Pigeni kazi ndugu, kila cku ajali jaman

  • @shahamzanda5857
    @shahamzanda5857 6 ปีที่แล้ว

    #mchuma janga hula na wakwao

  • @aleyslaim4935
    @aleyslaim4935 6 ปีที่แล้ว

    Hio yakuzidisha Abiria ndio wanapenda Sana hao MA Askari wabarabarani wakiingia ndani kukagua wanaona kabisa watu wamezidi lakini hawachukui hates yoyote

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 5 ปีที่แล้ว

    Wanauza sura tu hao police

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 6 ปีที่แล้ว

    mikoa yote wangekuwa kama huyu safi.. sana... hawa ndio makamanda wanao endana na kasi ya prsidaaa... viva

  • @geoffreymwarabu8323
    @geoffreymwarabu8323 6 ปีที่แล้ว

    Mchuma janga hula na nduguze! Nimecheka mpaka basi

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 7 หลายเดือนก่อน

    Mnakaaa kwenye nyumba mbovu

  • @stanleykimani937
    @stanleykimani937 6 ปีที่แล้ว

    Ni hatari tatiz rushwa

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 6 ปีที่แล้ว +1

    Anataka kuchukuwa nafasi yas Siro sasa na tutapata tabu sana, Hawa waandishi wameandaliwa

  • @sss3s867
    @sss3s867 6 ปีที่แล้ว

    mkuu Wewe ulifaa uje usimamie mkoa WA daresalaam. yaani barabarani town city center bus zinajaza abiria mpaka inakuwa hatari Kwa afya sio tu Kama itatokea ajali. hasa hayo MA bus 🚌 ya mwendo kasi wao wanapakia tu na speed Kali Sana.

  • @richardsonmanjira7315
    @richardsonmanjira7315 5 ปีที่แล้ว

    Goood muroto

  • @januariponera388
    @januariponera388 6 ปีที่แล้ว

    Mtasema sana kama anasifa ila ndo anachapa kazi angekua anakaa ofisini tu mngesema mzembe hapa Tanzania tunaonekana wapumbavu sababu y majing michche

  • @funneybozzendaddy7631
    @funneybozzendaddy7631 6 ปีที่แล้ว +2

    Unachuma janga na familia yako😂😂😂

  • @humphreymalema3024
    @humphreymalema3024 6 ปีที่แล้ว

    napenda sana kamanda

  • @mwitasamwel7972
    @mwitasamwel7972 6 ปีที่แล้ว

    Kumbe cku hv hakuna faini!!!!!!!!?

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 6 ปีที่แล้ว

    Ivi tudu lisu anaedeleaje
    Au bado anapata tabu sana 🤗

  • @piruuaziz8944
    @piruuaziz8944 6 ปีที่แล้ว

    Kamanda usiangalie upande mmoja tu, huko kwako kwa askari wako pia kumeoza, tafuta mbinu ya kudeal nao pia. Wanakula sana rushwa huku barabarani. Notification wanapewa madereva waadilifu ila wengi wanatoa tu KK.

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi4955 6 ปีที่แล้ว

    hahahaaaaa ila afande muroto anavitisho eti mattzo yako ss hayatuhusu hahahaaaaa apo chachaaaaaaa

  • @innoboo158
    @innoboo158 6 ปีที่แล้ว

    Uyu Kamanda anazingua bhana

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 5 ปีที่แล้ว

    Huyu kamanda anatosha, namuhusudu kichizi😀😀