RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 138

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 23 วันที่ผ่านมา +6

    Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama,
    Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC

    • @israelifissoo2141
      @israelifissoo2141 20 วันที่ผ่านมา

      haha sasa iyo balistic ata tz tunayo kama ujui

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 24 วันที่ผ่านมา +7

    Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.

  • @user-es3kb5ou6r
    @user-es3kb5ou6r 25 วันที่ผ่านมา +2

    Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu2937 23 วันที่ผ่านมา +1

    I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina

    • @rashidkapile
      @rashidkapile 22 วันที่ผ่านมา

      Wananikumbusha mbali sana

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 25 วันที่ผ่านมา +6

    Vichanel vya kisengeeee

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 25 วันที่ผ่านมา +5

    Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 24 วันที่ผ่านมา

      Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 24 วันที่ผ่านมา

      @@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 25 วันที่ผ่านมา +6

    Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke

  • @JumanneMwita
    @JumanneMwita 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana

  • @user-go3du6or5v
    @user-go3du6or5v 24 วันที่ผ่านมา +3

    Ndo nini?sasa

  • @WasswaMajegere
    @WasswaMajegere 23 วันที่ผ่านมา

    So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations

  • @janerosejohn8373
    @janerosejohn8373 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.

  • @lolodaprincess7411
    @lolodaprincess7411 24 วันที่ผ่านมา +2

    Najivunia Utanzania♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 23 วันที่ผ่านมา

    nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 24 วันที่ผ่านมา +2

    Uhame bongo uende wapi

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 24 วันที่ผ่านมา +1

    Askri wako vzr sana ninawapongeza sana

  • @rizionemajura4707
    @rizionemajura4707 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 24 วันที่ผ่านมา

      Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw

    • @pavlotz8084
      @pavlotz8084 14 วันที่ผ่านมา

      Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 25 วันที่ผ่านมา +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @DubaiRolla-rx9nz
      @DubaiRolla-rx9nz 25 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😢

    • @JamesDakki
      @JamesDakki 24 วันที่ผ่านมา +1

      Tuombe vita ya kirafiki na M23😂😂

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 24 วันที่ผ่านมา +1

      Waende mara ngapi?

  • @DonardNzogera
    @DonardNzogera 24 วันที่ผ่านมา

    Tanzania We are the top

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 25 วันที่ผ่านมา +3

    Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu 25 วันที่ผ่านมา +1

      Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu,
      2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target....
      Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera

    • @NeemaJuma-xn9nw
      @NeemaJuma-xn9nw 25 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu 25 วันที่ผ่านมา

      @@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo...
      Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo...
      Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w 25 วันที่ผ่านมา

      Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa

    • @JafetiKanyala
      @JafetiKanyala 25 วันที่ผ่านมา

      Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani

  • @user-qv7kq5ps5h
    @user-qv7kq5ps5h 25 วันที่ผ่านมา

    congraturation for 5M millardayo team

  • @bestscenes955
    @bestscenes955 24 วันที่ผ่านมา

    In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 24 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍

  • @africannewschannel330
    @africannewschannel330 25 วันที่ผ่านมา +4

    Ule ujinga uko Tanzania

  • @mohammedally9466
    @mohammedally9466 25 วันที่ผ่านมา

    The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kaumia ilo Kofi imeanguk

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 24 วันที่ผ่านมา

    Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote

  • @RajabuKhatibu-nl4uk
    @RajabuKhatibu-nl4uk 20 วันที่ผ่านมา

    Asanteni sana

  • @drcezzane3630
    @drcezzane3630 22 วันที่ผ่านมา

    Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 24 วันที่ผ่านมา

    Napenda kazi kama hizi?

  • @francenipala
    @francenipala 25 วันที่ผ่านมา

    Kwahy ndio kakazen hao

  • @SirmeDon
    @SirmeDon 25 วันที่ผ่านมา

    Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys

    • @OmaryMgoss
      @OmaryMgoss 25 วันที่ผ่านมา

      Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 17 วันที่ผ่านมา

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 25 วันที่ผ่านมา +6

    Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂

    • @IddyAmir-gq1jr
      @IddyAmir-gq1jr 25 วันที่ผ่านมา +1

      Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone

    • @rejobu9723
      @rejobu9723 25 วันที่ผ่านมา

      Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w 25 วันที่ผ่านมา

      Huna akili ww

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 25 วันที่ผ่านมา

      Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?

  • @ObediMeyan
    @ObediMeyan 18 วันที่ผ่านมา

    Ni noma sana

  • @SharonGodwill
    @SharonGodwill 25 วันที่ผ่านมา +3

    ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu

  • @dicksonmlibwa3661
    @dicksonmlibwa3661 24 วันที่ผ่านมา

    Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s 18 วันที่ผ่านมา

    Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 25 วันที่ผ่านมา +1

    Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo

    • @salyali7807
      @salyali7807 25 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 25 วันที่ผ่านมา

    Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 24 วันที่ผ่านมา

      America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 25 วันที่ผ่านมา

    hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin

  • @kennedyariembi5545
    @kennedyariembi5545 19 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣

    • @mtaanasanaa6557
      @mtaanasanaa6557 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hujui Maana ya maonesho???

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 25 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NeemaJuma-xn9nw
      @NeemaJuma-xn9nw 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@mtaanasanaa6557jibwa

    • @kisrahcogar8538
      @kisrahcogar8538 24 วันที่ผ่านมา

      Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 23 วันที่ผ่านมา

      Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita

  • @TibaTito
    @TibaTito 25 วันที่ผ่านมา +1

    Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa

    • @raymondmilanzi
      @raymondmilanzi 25 วันที่ผ่านมา

      Acha kuwaza mabaya

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 24 วันที่ผ่านมา +1

    SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.

    • @geuzasilvester1715
      @geuzasilvester1715 23 วันที่ผ่านมา

      Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 23 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani

  • @zackhisa955
    @zackhisa955 21 วันที่ผ่านมา

    5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please

  • @Nashohaule
    @Nashohaule 17 วันที่ผ่านมา

    Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark

  • @ShabaniRamadhani-jb6wy
    @ShabaniRamadhani-jb6wy 13 วันที่ผ่านมา

    Waziri akiogea juu ya buge hili

  • @neemaevance80
    @neemaevance80 24 วันที่ผ่านมา

    Safi ❤❤❤🙏

  • @ramxonforex772
    @ramxonforex772 24 วันที่ผ่านมา

    nchi yetu bana

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 23 วันที่ผ่านมา

    Badoo sanaaa

  • @manasehi
    @manasehi 25 วันที่ผ่านมา

    Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 25 วันที่ผ่านมา

    Bado sanaa

  • @abubakaryabdallah4708
    @abubakaryabdallah4708 23 วันที่ผ่านมา

    Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 25 วันที่ผ่านมา

    Haya tumekubali

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 24 วันที่ผ่านมา

    Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2

  • @RichardElias-km9ql
    @RichardElias-km9ql 14 วันที่ผ่านมา

    Amna kitu apo

  • @kevinatinda2242
    @kevinatinda2242 24 วันที่ผ่านมา

    This is more of comedy;;

  • @ABBASIKANDULU-kl8zc
    @ABBASIKANDULU-kl8zc 19 วันที่ผ่านมา

    Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅

  • @user-wv1ls4oh4l
    @user-wv1ls4oh4l 24 วันที่ผ่านมา

    Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 24 วันที่ผ่านมา

    Mhm😂😂

  • @Artburn254
    @Artburn254 14 วันที่ผ่านมา

    sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣

  • @kandaboy3026
    @kandaboy3026 15 วันที่ผ่านมา

    Bure kabisa

  • @ssaa7495
    @ssaa7495 25 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @davidnamu6374
    @davidnamu6374 23 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂

  • @amossimon1095
    @amossimon1095 9 วันที่ผ่านมา

    haha hatar

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 23 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @babawamtaa8538
    @babawamtaa8538 23 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 24 วันที่ผ่านมา

    Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.

    • @Jal210
      @Jal210 24 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga wewe

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 24 วันที่ผ่านมา

      @@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.

  • @WinfridaFabian
    @WinfridaFabian 24 วันที่ผ่านมา

    Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n 25 วันที่ผ่านมา +1

    Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 25 วันที่ผ่านมา

      Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 25 วันที่ผ่านมา

      Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 25 วันที่ผ่านมา

      Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@clementsabuni1918🙄🙄🙄🙄🙄

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 24 วันที่ผ่านมา

      @@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.

  • @almahdialmahdi5545
    @almahdialmahdi5545 8 วันที่ผ่านมา

    ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر

  • @saidimussa8128
    @saidimussa8128 25 วันที่ผ่านมา

    Duh sasa mbna sion maajabu sas
    Duh !

  • @kipkorirprotus9573
    @kipkorirprotus9573 24 วันที่ผ่านมา

    Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu

  • @Uhuru351
    @Uhuru351 25 วันที่ผ่านมา +1

    Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂
    ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA

    • @justice607
      @justice607 25 วันที่ผ่านมา

      Canteen is good😅😅

  • @KHAMIS_SHILINGI
    @KHAMIS_SHILINGI 25 วันที่ผ่านมา

    Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 24 วันที่ผ่านมา

      😂😂

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 25 วันที่ผ่านมา

    Ujingaaaaaaa

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 18 วันที่ผ่านมา

    Jeshi la znz ndo nnalolitaka 😂

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 24 วันที่ผ่านมา

    Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 25 วันที่ผ่านมา

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 21 วันที่ผ่านมา

    Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 25 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂

  • @saidijuma5424
    @saidijuma5424 24 วันที่ผ่านมา