Poleni sana Sheikh Yusuf na Bi Leila Rashid Allah awahifadhi na kwengine.kwakweli nimefurahi sana kumuona Bibi Leila akiwa na ushungi kichwani.Allah atuongoze ssi wote waislamu na atujaalie Pepo baada yakuondoka ulimwenguni.Nasaha yangu kwako Bi Leila plzz achana na taarab make na bwanako kwa njia yakuridhisha Mungu.Shukran sana
Poleni saana, na umshukuru sana Allah kwa ujasiri aliyokupa hadi ukaweza kupambana na majambazi 4 kwenye silaha ukiwa peke yako,hakika umshukuru Allah na mtoe sadaqa kwa wingi.tumuombe Allah atulinde sote- amiin
pole sana Leyla mungu akusaidie sana unashinda majarib meng sn,we ni mwanamke jasiri,na wewe ndo mwanamke bora WA mfano,kwangu mimi KWA mwaka huu 2019 ,
pole sana mzee Yusuf na daa Leyla na familia yenu Allah awahifadhi na awanusuru kwahayo na mengineyo pia, hakika hii sio dunia ya juzi na jana yakina babuzetu na bibi zetu hii dunia nihatari sana imeharibika,lakini Allah anaona na kipoalicho waandalia majambazi hao.
Poleni sana,Allah atawalaani ishallah,hawana huruma hata kidogo laana kum hao,Wampiga binadamu mwenzio kama jiwe au sanamu jamani pole sana Leila kwa yalokukuta,
mama mcheshi utadhani hukupatwa na tatizo kumbe ulikuwa kwenye hali mbaya yani sipati picha yani kwa mda Wa SAA zima walokaa hao washenzi wezi kwakweli ilikuwa hali mbaya sana, poleni sana jaman Dah, siwapendi wezi , majambazi, vibaka na wachawi siwapendi . hawafanyi kazi za halali kwasabu ya uvivu wamekalia wizi tu shenzi zai . serikali tunaomba mjitahidi kuweka vituo angalau ktk kila kata au kaya/ makazi ya watu, hali si shwari
Mtihani huu kwa waliopatwa na haya wanaelewa nn anachoongea,Hata sisi nyumbani yalitukuta haya yote Lakini Allah alitunusuru walichukua walichokichukua Alhamdulillah tulinususrika
Polen mpenx mmh Sasa mbna apo kwako ni barabrni Sana na nyumba zipo karibu sn kweli majambazi hawana akili jamani wameambiwa na nani mmh maombi muhimu jmni na unayumba kubwa mzurii huna kamera wanajuaje km mnapesa mnabastola mmh anawafaham hao Subkhanalah bora mpohai Allhamdullylah 🙏
Pole kipenzi,hongera sn mtangazaji upo vzr na una nidhamu inaonekana....big up mtangazaji kazi nzuri
Poleeni sana familia Mzee Yusuph pia hongera bi Reila kwa ujasiri Allah aliokupa pia pole kwa maumivu ulioyapaya.
pole Dada Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kwakila jambo
Poleni sana yote mitihani ya mwenyezimungu alhamdulilah mko salama muanze kufuga mmbwa sasa pole sana leyla
Pole kipenzi hakika mungu amekulinda
Mzee yusufu kaongea uongo sana tofauti na mkewe halafu mzee muoga sana sasa sijui mkeo wangemuua au kubakwa sijui ungesema nini
Wakwanza kbsa km unamkubali mama layla gonga like apo
Poleni sana Sheikh Yusuf na Bi Leila Rashid Allah awahifadhi na kwengine.kwakweli nimefurahi sana kumuona Bibi Leila akiwa na ushungi kichwani.Allah atuongoze ssi wote waislamu na atujaalie Pepo baada yakuondoka ulimwenguni.Nasaha yangu kwako Bi Leila plzz achana na taarab make na bwanako kwa njia yakuridhisha Mungu.Shukran sana
Sorry sister Allah give you shifaa and subra Amiiiiiin yaa Allah inshaAllah 🤲💞💞💞
I feel 😢from 🇺🇸
Hasbuna Allah...
Hasbuna Allah x 70
Every day God Has Answers for everything ...
Poleni saana, na umshukuru sana Allah kwa ujasiri aliyokupa hadi ukaweza kupambana na majambazi 4 kwenye silaha ukiwa peke yako,hakika umshukuru Allah na mtoe sadaqa kwa wingi.tumuombe Allah atulinde sote- amiin
Maskin yote yana malipo ayo wey muachie mung tuu dada pole sana
Dahh pole kwa Familia ya mzee yusuph. Hawo majambaz watajulikan tuu inshaallh
Poleni sana kwa mitihan ilio kukuteni mung awape subra na uvumilivu ktk kipind hik kigumu🙏🙏🙏
Amiin
Abuu zayd s
pole sana Leyla mungu akusaidie sana unashinda majarib meng sn,we ni mwanamke jasiri,na wewe ndo mwanamke bora WA mfano,kwangu mimi KWA mwaka huu 2019 ,
pole sana
pole.sana
Nansi Kilovele
pore dada angu
Pole sana dadangu mungu akupe afya Inn shaa ALLAH
Pole Sana dada tena hongera kwa kujiahami.tunaomba polisi wafuatilia kuwakamata
pole sana mzee Yusuf na daa Leyla na familia yenu Allah awahifadhi na awanusuru kwahayo na mengineyo pia, hakika hii sio dunia ya juzi na jana yakina babuzetu na bibi zetu hii dunia nihatari sana imeharibika,lakini Allah anaona na kipoalicho waandalia majambazi hao.
Pole sana sister mungu akupe subra na afya
Nashukur Mko salama tu🙏 Mungu ni mwema
Poleni na mitihani. Kuvuka hili na Jengine. Mlamali hapa Dada
mungu anawaona watakuwa hawaendi mbingun
Ya Allah akufanyie wepes
mjasiri kwl Lela mungu yupo pamoja nanyi
Mackin pole sana inasikitisha sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua na Atakulipieni inshallah 🙏
❤😭
Poleni sana ndugu ALLAH KAREEM mpo hai Alhamdulillah.
Poleni sana , Mzee Yussuf na family awape subra na awajaalie mupate zaidi ya kilichoibiwa
Mutapata zaidi ya hizo mama angu ishahhla mungu atawafanyia wepes
Poleni mitihani, mwenyezimungu atawalinda zaidi inshallah.
Zahben Mohamed
poleni ja mani
Zahben Mohamed usikie Kwa MTU tu ilishanitokea
Pole Sana Dada Leyla Rashid wewe mwana mke shupavu sana pole Sana kwa maumivu bhana
Ukomii
I say poleni. Allah awape shifaa na subra. Allah atawapa zaidi ya mlioibiwa. Ameen yaa Rabbil allamiin
Sham Moha pole cna dada leyla
A alaykum warahmatuwwah
Poleni kwa mtihani uliowakuta..kinachotakiw ni kumshkur Allah kwa kila jmbo na tusiache kumuomba yeye
pole na hongera sana dada kwa ujasiri japo wamekuachia maumivu
Pole dada Umevimba uso jmn pole sanaa
Poleniii sanaa sanaaa Sanaaaa Da leilaaa Mpee pole na kaka yg Mzee Yusuf Pole pole pole sanaaaa Dada
Pole sana dada leyla Allah aawalinde na familia yako. ....ooh jamani mim ningejinyea naogopa majambaz mim nakumbuka walivamia mtaan kwetu duka la mpemba walimuaa mpemba wawatu anatoka msikitini na mkewe alikua ametoka kujifungua jamani majambazi hawana huruma wallah kuweni makini wanaweza kurud tena hao .....siwapendi majambaz,vibaka ,wez wachawi jamani nawachukukia .....
Pole sana dadangu mungu hakunusuru na pengine yarabi
poleni sana familia ya mzee..bi .leyla pole na hongera sana..hapo ungezidisha ujasiri ungewabwaga chini wote..sema roho ya mwanamke naijua
Mtu utafute pesa kwa shida halafu uje umizwe kwa pesa zako mwenyewe daah 😢😢😢😢😢😢
yaani inashangaza. Hawana hata roho za huruma. Mungu anawaona lakini
ina sikitisha san polen
Pole sana mama leyla kwa mtihani uloupata
pole sana malkia wetu Allah akupeni subrah
Poleni sana Allah awanusuru hapo na pengine tena
Pole saana mungu hakupanga
Dah pole sana mpenzi adui wa mtu ni mtu mungu akuponye
subhanaa laaha Pole poele
Polen mwaya mungu akufanyie wepesi upone Leyla
Mungu amewanusuru hapo napengine inshaaAllah
Dah! Poleni sana lakini Bi Leyla ni jasiri Sana
Amiin
Poleni sana,Allah atawalaani ishallah,hawana huruma hata kidogo laana kum hao,Wampiga binadamu mwenzio kama jiwe au sanamu jamani pole sana Leila kwa yalokukuta,
Mwanamuke jasir sana walh daah mungu mwema 🙏
Pole Mungu awape subra
Binadamu jaman kutoa POLE pia inakushinda kaz ni kuangalia nyumba ikoje na kma hajajistiri OVYOOO
Poleni sana. Mungu akuponye
Poleni na mitihani. Hifadhi yake Mmungu katika kudumisha wingi wa Ibada, quraan na Sadaka katika nyumba. Kinga kubwa.
Pole Mum Leila Mungu ukupigania
duuuh pole sana mama yangu kwaa mtihan huu Allah akupe uvumi livu amina
Subhana allah polee sanaa wallahi nasikitika kuweli kuskia hivo dhaah poleni saanaa😓
Pole sana mwenywe mungu akupe shifaa
Pole jmn dada Layla mungu kakurinda sana
Pole saana . Allah atawahifadhi Inshaallah yaarabi.
pole dadangu Allah awaepushe kwa kila baya
Pole sana Leila Allah akufanyie wepesi akuhepushe na mabalaa mengine
Jamani pole mwanamke mwenzetu polesana..
Pole kwamsala jaman mungu awalinde waimbaji wetu
poleni sana kwa mkasa huo.Allah awaadhibu huko waliko majambazi hao.
Pole sana msani wetu
mama mcheshi utadhani hukupatwa na tatizo kumbe ulikuwa kwenye hali mbaya yani sipati picha yani kwa mda Wa SAA zima walokaa hao washenzi wezi kwakweli ilikuwa hali mbaya sana, poleni sana jaman Dah, siwapendi wezi , majambazi, vibaka na wachawi siwapendi . hawafanyi kazi za halali kwasabu ya uvivu wamekalia wizi tu shenzi zai . serikali tunaomba mjitahidi kuweka vituo angalau ktk kila kata au kaya/ makazi ya watu, hali si shwari
Pole Sana
Mbona anafurahi?
Ndio kumshiba Allah MMungu awahifadhi wao na sie Hasbunallah Waneemal Wakeel hiyo mijitu ni mihasidi MMungu atawashinda loo
Poleni sana mungu atawalinda sana
Poleni sana kwa mitihan
Pole sana Leyla. Mungu akuponye na akusaidie kuisahau hiyo hali.
Poleni sana kwa tukio Allah awalinde awanusuru ln Shaa Allah, Pole kwa maumivu Allah akusaidie ln Shaa Allah.
Duh aiseee poleen sana jaman
A very strong woman after all that she still can afford a smile , you are brave mama
Polenii sanaa Mungu wetu sotee..
pole sana habibt inshallah Mola akulinde na mabalaa yote nimesikitika saana dada
We Mrembo my hujapaka make up lkn mashaalah!poleni na matatizo
Duh poleni sana
Duh polen sana Mola atawalinda
Pole sana mwenyezi mungu awaeimamie sana
Pole San mam kipenz
Polen sana mungu awaepushe na mitihan
Pore sana dada kumbwa munguanakupenda san
poleni sana ndugu zangu katika imani
Poleni sana mungu...lnshaallah atazidi..kuwasimamia
Poleni sana dada allh atawashinda hao walimwengu
Mtihani huu kwa waliopatwa na haya wanaelewa nn anachoongea,Hata sisi nyumbani yalitukuta haya yote Lakini Allah alitunusuru walichukua walichokichukua Alhamdulillah tulinususrika
Pole sana atawaongezea mengine
Nimekupenda sana kwa ujasili ulionao polen
ALLAH awape AFWENI, in sha ALLAH malipo ni hapa hapa duniani
madada wa kazi uwa wanatembea na vibaka alafu wanachora ramani kueni makini na wasichana wa kazi
pole sana mzeee
Poleni sanaa
poleni xn ndg zang Mungu atawahukum mchana kweupeee
Pole sana Allah ndo muamuzi mitihani kweli
watungie nyimbo haoo..pole dada
Polen mpenx mmh Sasa mbna apo kwako ni barabrni Sana na nyumba zipo karibu sn kweli majambazi hawana akili jamani wameambiwa na nani mmh maombi muhimu jmni na unayumba kubwa mzurii huna kamera
wanajuaje km mnapesa mnabastola mmh anawafaham hao
Subkhanalah bora mpohai
Allhamdullylah 🙏
Poleen snaa ndugu zetuuu
Poleni sana,,hao jamaa ni wa kupotezwa jela milele
Poleni wapendwa mungu yupamoja nanyi
Pole sana mama mungu akuzaidie utaskia nafuu.
poleni sana mungu anawasafisha
poleni da lela yote hayo mitihan yamungu
Poleni sana
Pole sana Dada mungu ndie muweza ata wahukumia in shaallah 🙏
Mume alikuwa wap wakat unapigwa nyooo
Awa binadamu uloumbwa kinyama ayana hofu ya mungu ipo siku izo fimbo zitawageukia wao duu pole sana
Duh,polen sana ,Mungu mkubwa
Pole dadangu lelay
Mungu akubariki kuwa jasiri
Poleni Allah atawalinda maana ukionekana wangara tu bac wajulikana unahela
Pôle kikumbwa nikumuomba mungu kwa hilo