BANDA BORA LA KUKU CHOTARA | KIENYEJI, FUGA KUKU WENGI KWENYE ENEO DOGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2019
- Banda bora la kuku chotara na kuku wa kienyeji.
Fuga kuku wengi kwenye eneo dogo kwa ubunifu wa banda la juu.
Ubunifu kwenye ujenzi wa banda la kuku ni muhimu sana ili uweze kufuga kuku wengi hata kama una eneo dogo.
Banda hilo unaweza kufugia kuku wa aina yeyote, kuku wa kienyeji, chotara na kuku wa mayai.
Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 th-cam.com/video/0XmXo-8o5DY/w-d-xo.html
naaza aje kufuga kuku
Naomba Sana sijuwi unapatikana wapi naomba Sana niwahsap au unipigie
A.A.Habari ya leo kaka.Mimi nilikua nàtaka kutengezewa banda kama hiyo lako lakini Niko mbali Mombasa Kenya.
Napenda. San. Ufugaj. Wa. Kuku. Basi. Nina endereya. Kujifunza🇧🇮♥️
Nzur bro
Mh kitaalamu hapo ni rahisi sana magonjwa ya kuambukiza kaa njia ya hewa kuingia maaana hewa ni ndogo
Good things bro 🙏
eeish ...mko fiti wazito... nisha get ideas za kujenga keja za kuku...asanteni sana...big love from kenya..
Ma challah 👍👍👍
Hongera sana kwa ubunifu wako
Mashaallah nimkenya ninatamani sna kufunga
Nimeipendaaa sanaa hii
Niko Kenya kazi nzuri ndugu
kwa kweli, hongera sana, huu ndio ubunifu unaohitajika. safi sana, nimependa hii idea, iko vizuri sana. lakin napenda kuuliza swali, vipi kuhusu suala la hewa safi kuingia na hewa chafu kutoka kwenye banda, nilitarajia kuona madirisha makubwa ya kuingiza hewa safi na kuondoa hewa chafu. ahsante
Kazi safi bro,ongera sna
Shukrani
Ndugu zangu hii kazi ya ufugaji ni nzur ilimrad tu ukiweka nia
Look great video and good information
Nimependa Sana .....vyote ....ulivyotuandalia ...naitaji mawaidha zaidi ....
Very educative
Maaanshaallah. Mapambano yako yana manfaa. Allah akujalie afya na maarifa zaidi. Nimeelimika kiasi.
Pamoja sana ndugu
Nakupataje.... Nataka unidizaidie banda
Baba unaweza
This is very good, job well done
Thanks
Hongera Sana Kaka
Safi sana asee
Brother uko vizuri nimefulaishwa Sana takutafuta
Karibu Sanaa
Ningekuwa karibu ningekuja kukutembelea, ila naomba unisaidie hili je unawezaje kuuweka huo mfumo wa yai litagwe mwishoni mwa Banda then liserereke hadi nje na kutoka likiwa safi kabisa
Ndio inawezekana kabisa
I like that....
Pamoja sana ndugu
Haya maisha kama masiala we Fanya tu kuna watu hawana utani na maisha
Hahaaaaa 🤣🤣
Hongera Sana
Asante kwa somo zuri. Nahitaji kutengenezewa banda km hilo
Wasiliana naye, namba zake ziko kwenye video
Nimekupenda bure bro
asante kwa kutupatia mautundu juu ya ujenzi wa cage yetu ya kibongo.
Pamoja sana
Nimekusoma sana kaka, umeeleza vizuri sana kuhusu suala la kufuga katika eneo dogo. nimepata hamasa ya kufuga katika eneo langu dogo.
Great video and information..salamu kutoka kenya...
Napenda kufuga kuku
Nimelipenda
Shukrani sana
Hongera sana sana.
Asante
Umeniihamasisha sana suala la ufugaji wa kuku katika eneo dogo
Very good 👌
Shukrani sana
asante sana una roho nzuri, na utafika mbali
Asante sana
Mwanga wa jua vp
Kuku kienyeji ya siku moja ni pesa ngapi
Hiyo ni jela ya kuku
Good work
Inagharimu pesa mingi kujenga
Ao kuku wa kienyeji au chotara
Elezea Banda Hilo la kukusanya mayai
I like Very much your poultry farm house design. But you didn't show properly all the house design and room
Nzuri kupata uzoefu kutoka Kwa mfugaji
nimejifunza kitu, jamaa nimemkubali
Mbunifu hatari
Zuri sana
Asante kwa mafunzo mazuri
Asante kwa mrejesho wako
Thanks bro.Nataka kuanza na chache kama tano hivi for a trial can u help plz
Asante br pia nintakutafuta
Karibu
Nzuri sana. What about kutembea tembea, mazoezi hawahitaji?
Sa mazoezi ya nn wkt hawa kuku hawana kitambi na uzito mkubwa kwa kuku ndo unatakiwa soko linakuwa zuri zaidi unauza kwa bei utakayo wewe na siyo mnujuzi atakaye😃
Asante Sana nashkuru najifunza kila cku ninapenda Sana kufuga kuku nawashukuru Sana Changamkia Fursa kwaelimu nikiwa tayari kuanza nitawatafuta Kwa elimu Zaid
Unakaribishwa sana
@@changamkiafursa Asante Sana
Bonjour grand frère je suis en RDC je suis passionné de faire l'aviculture mais je n'ai pas d'expérience puis je avoir une formation ?
Vp kuusu jua maana kuku anahitaji jua
Umenihamasisha asante
Asante sana kwa mrejesho wako
Kwa majina kamili naitwa Luqman Kassim kutoka inchini Kenya. Nimependa sana mradi wenu wa kuku naomba sana kujiunga na nyinyi kwenye ufugaji wa kuku
Kazi zuri sisi tuko Congo rdc kuku tu ta panta n'a muna gan?i
Asante sana
Niko Kenya unawezakujakunijengea banda
Umetumia sh. Ngapi kutengeneza CAGE
Nice
Good
Habari kaka office zako zipo wapo nataka kufika na kupata ushauri afu naomba mawasiliano
Ok nimekupata vzr ndg, je hilo banda lako la ukubwa wa chumba kimoja, ambcho umeweza kuku 90,,limegharim shilingi ngapi, ?
Thanks for sharing am in Kenya will you come to design it for me? I love it
Thanks for the invitation
@@changamkiafursa any time
Nataka kuku wa malawiii msaada jaman
Naomba kujiunga na kikundi cha furusa
J'aim beaucoup c'est que vous faites, mai je ne comprends pas là langue
Nime kukubali jamani ,sijui uko wapi maana banda nimelipenda
Niko Kibaha... Naomba mawasiliano pls... Nataka unifanyie hay mabaanda
GOOD
Very nice
Shukrani
safi sana kiongozi
Banda kama hilo gharama yake ni shilingi ngapi
Asante bro, tufunze jinsi ya kujenga ili kurahisisha kuchukua mayai
Tuko pamoja
Uko vizuri nimependa Banda lako bei Gani?
Uko na mafunzo mazuri.Unapatikana wapi.nahitaji kujengewa nyumba ya kuku. huko Kisumu, lakini niko Nairobi ,Kenya
Naomba mawasiliano ya mtaalam
Naomba namba yako ndugu, wewe ni mwl mzuri
nzr
Hiyo nyavu ndogo iko na kipimo gani(shimo) na iunapatikana kwa hardware?
Inaitwa chicken wire
Ndio inapatikana hardware
Nimejenga, na nimeshaweka kuku, mtihani kuku wanataga, ila sijui yupi anayestahili kulalia maana sielewi anayetaga, naomba nijibu
Kwahio hawalalii
I will like to meet you Plz tell me how?
Mbona giza sana bwana Hatikuku?
Mwanga upo wa kutosha madirisha yapo sehemu mbili na ni makubwa
iyo ya kuzuia kinyesi kisiende ameeka nini kaka
Vipimo za nyumba za kuku ni gani?
kaka ubarikiwe sana imenitachi hapo uliposema mbona hawanizaidi ngoja nipambanemwenyewe uck mwema
Pambana
Hi Kaka,,hope uko sawa but nimefurahishwa na kazi yako
nimeipenda iyo mwalim
Unaweza ukaweka kuku juu na sungura chini?
Hongera kwa ubunifu huu naamini hutatua changamoto kwa wafugaji wenye maeneo madogo, naomba kuuliza kuhusu eneo la kucheza kwa kuku limezingatiwa hapa?
Idadi ya kuku kwenye cage imezingatia ukubwa wa eneo
@@changamkiafursa aksante!
Kaka hakika nimekuelewa tena Sana ila kwa namna mayai yanavyokuja mbele kutoka yanapotagiwa sijajua umepadisainije hapo
Ila hewa vip apo
Hewa ipo ya kutotolesha kwa sababu madirisha makubwa yako pande mbili
Asante Sana kabsaaaaàa
Kwan ako apa Kenya 🇰🇪 am????
Mabanda dizain hii kuku anaweza atamia umo
Hili banda limegharimu kiadi gani cha pesa?
Mm niko ukonga napataje no yk kwa ushauri zaidi?nataka nifuge ikiwezekana nisaidie no yk nikupigie au nije kabisa nione
Tazama hiyo video mpaka mwisho ametoa namba zake.
Habari.
Mimi nlikua naomba msaada kuku wangu wamevamiwa na utitiri.
Halafu hivi chokaa inasaidia kufukuza utitiri?
Utitiri tumia dawa inaitwa ultravin au akheri powder
Asante
Mm nataka kufunga kuku wa mayai!! Je inachukua miezi gapi ndio waannze kutaga mayai? Alfu niwe na kama pesa gapi ya kuanxia? Naomba usaidizi broo
Je mtu akitaka kununua kuku anakupata wapi ama mnafanya delivery?