Wasikydanganye KUKU WA KIENYEJI Wanalipa - Laki 3 kwa Kuku 50! 🔥

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Kumekuwa na Makala nyingi za upotishaji kuhusu kuku wa kienyeji kuwa hawalipi, binafsi mi nasema wasikydanganye.
    Kuku wa kienyeji ni biashara na inaweza kukuingizia kipato cha ziada.
    Jifunze kupitia video hii.

ความคิดเห็น • 22

  • @eliya2664
    @eliya2664 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante saana ndugu yanga nilianza kufuga na mwanga kidogo ila zaidi nimefanikiwa maana kupitia kuku 10 sasa ninaelekea kuwa mfugaji mkubwa nina vifaranga zaidi ya 100 wa zaidi ya mwezi 1 na vifaranga 100 wa chini ya mwezi 1 kupita changamkia fursa thanks bro ni miezi 4 tu naelekea kufikia kuku Mia 3

  • @MonicaChalamanda
    @MonicaChalamanda 5 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa somo, eleza na utaratibu wa ufugaji wa broiler(kuku wa nyama).

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba muongozo,vp nitaweza kuanza kufuga kuku kuanzia kuandaa banda,sitaki kuanza na kuku weng.asante sana

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 ปีที่แล้ว +4

    Kuku wa kienyeji Wanalipa sana na hawaumwi ovyo na hawana gharama ya chakula. Nasoko lao ni kubwa. Mimi nilikuwa nafuga kuku chotara nimewacha kwasababu ya Vigo na magonjwa na pesa inaishia kununua madawa na vyakula na faida hakuna. Kuku wa kienyeji ndio mpango mzimaa ! Mayai yake trei sh.15,000 na hayashuki bei.

    • @eliya2664
      @eliya2664 2 ปีที่แล้ว +1

      Yes nukubaliana ba wewe kwa 100%

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 10 หลายเดือนก่อน

      Kuanzia kifaranga hadi kuanza kutaga inachukua muda gan?asante.

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 10 หลายเดือนก่อน

      Ninataka kuanza kufuga kuku.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 ปีที่แล้ว

    Na miss sana group zako na na kufuatilia sana Alhamdulilah nimeanza kufuga

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kaka kuendelea kuhamasisha uma hasa katika kipindi hiki kigumu cha uchumi

  • @nancylubango6394
    @nancylubango6394 2 ปีที่แล้ว +1

    Make one on growth rate from day old to 4month as in picture at every month plz

  • @Maajidabdillah
    @Maajidabdillah 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mwalimu nawapenda sana kuku wa kienyej

  • @SelemanNob
    @SelemanNob 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka xamaani kuku wangu ni waasili. Xhida ni kuwa wanapiga chafya shida na dawa Bora kwa matibabu boss nisaidie

  • @yasinjuma1445
    @yasinjuma1445 4 หลายเดือนก่อน

    @changamkia fursa umefikwa na nini,mbona umetoweka TH-cam?

  • @domcityfarmingcenter7754
    @domcityfarmingcenter7754 2 ปีที่แล้ว

    Uko sahihi kabsa na ukitaka upate faida zaidi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji inabidi uwe nao wengi kwahyo uvumilivu unahitajika ili uwe na uzalishaji mkubwa
    Na kwasasa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele wafugaji wa kuku pure wa kienyeji wanazidi kupungua kila mmoja anakimbilia chotara na kuku wa kisasa
    Kwahyo kwa mtu atakaye pambana kufuga kuku wa kienyeji ni fursa kubwa sana🙏🙏🙏🙏

  • @ramshibashiru5717
    @ramshibashiru5717 ปีที่แล้ว

    Samahani kiongozi ningependa kujua incubator naipataje

  • @nebortshango728
    @nebortshango728 ปีที่แล้ว

    Naomba niuzie mitetea kumi ndugu

  • @nancylubango6394
    @nancylubango6394 2 ปีที่แล้ว

    Thanks so much bro

    • @miselemaninuri4415
      @miselemaninuri4415 2 ปีที่แล้ว

      Nifinze jinsi ya kutotolesha mayai niko nayo na niko mashambani sijui nitafanyaje

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @hollojumannemlimi4496
    @hollojumannemlimi4496 2 ปีที่แล้ว

    Big up, huo ni mpango mzma, typo baba

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 ปีที่แล้ว

    Kuku wakienyeji utatibu wa chanjo ndio uleule?

  • @Jane-qj6oy
    @Jane-qj6oy 5 หลายเดือนก่อน

    Je unauza kuku za mbeguu?