ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nimeipenda hiyo Imani ya kumtegemea Mungu.hongera kwa Yote unayoyafanya ktk kuelimisha.Mungu akubariki sana❤❤
Asante sana Kaka kwa kutushirikisha mambo mazuri, je ukitaka kufanya usafi hapo unafanyaje, si hayo matandazo yatatoka! Kwa wazoefu mnisadie
Unayatoa Kila baada ya mwezi mmoja
Kwenye wizi ,weka mbwa wakali sana itasaidia
God bless you brother nakufatilia sana natman nifanye makubwa katika ufugaji
Kaka kazi nzuri sana. HongeraUnapatikana mkoa gani?
Ningenda kukutembelea tukaongea kwa ukaribu ili nipate maarifa zaidi kwani niko na mapwnzi ya kufuga kuku
👏👏👏👏👏Mungu akubariki sana
Amina
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
Good job
Thanks
Safi sana
Umewpa Dawa ngani wakapona
Mimi tatizo wanyam wakal wananirudisha nyuma
Biosecurity vipi?
Nakusikiliza sana mwaya,apo mama amesema doxy , ni kidonge kile cha binadamu?au
Tyrodox, IPO ya kuku kabisa, lkn kama unabana na unakuku wachache unaeza tumia hata hiyo.
Habari ndugu nataka kujuwa hao kuku 250 wanaweza kuishi kwenye hilo banda la ukubwa huo hadi umri gani?
Kuku mkubwa wa miezi 5
Ningependa kujua unapatikana wapi
Napatikana Mtwara
Unapatikana wapi mkuu
Mtwara
Mtwara upo sehemu gani
Nimeipenda hiyo Imani ya kumtegemea Mungu.
hongera kwa Yote unayoyafanya ktk kuelimisha.
Mungu akubariki sana❤❤
Asante sana Kaka kwa kutushirikisha mambo mazuri, je ukitaka kufanya usafi hapo unafanyaje, si hayo matandazo yatatoka! Kwa wazoefu mnisadie
Unayatoa Kila baada ya mwezi mmoja
Kwenye wizi ,weka mbwa wakali sana itasaidia
God bless you brother nakufatilia sana natman nifanye makubwa katika ufugaji
Kaka kazi nzuri sana. Hongera
Unapatikana mkoa gani?
Ningenda kukutembelea tukaongea kwa ukaribu ili nipate maarifa zaidi kwani niko na mapwnzi ya kufuga kuku
👏👏👏👏👏Mungu akubariki sana
Amina
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
Good job
Thanks
Safi sana
Umewpa Dawa ngani wakapona
Mimi tatizo wanyam wakal wananirudisha nyuma
Biosecurity vipi?
Nakusikiliza sana mwaya,apo mama amesema doxy , ni kidonge kile cha binadamu?au
Tyrodox, IPO ya kuku kabisa, lkn kama unabana na unakuku wachache unaeza tumia hata hiyo.
Habari ndugu nataka kujuwa hao kuku 250 wanaweza kuishi kwenye hilo banda la ukubwa huo hadi umri gani?
Kuku mkubwa wa miezi 5
Ningependa kujua unapatikana wapi
Napatikana Mtwara
Unapatikana wapi mkuu
Mtwara
Mtwara upo sehemu gani
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje
Napenda kujua dawa hiyo inaitwaje