MFUGAJI WA KUKU GREGORY KILEO /HAJATAKA KUAJILIWA MAREKANI /NINA KUKU ELFU 20 NA ZAIDI.... PARY 1.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 มิ.ย. 2022
- JMTZ MEDIA kila siku ya IJUMAtunakuletea mgeni ambaye inawezakuwa ni mfanyabiashara au mjasiliamali lengo ujifunze mambo mbalimbali ambayo labda ulikuwa huyafahamu au uliyafahamu kwa udogo sana kwa manufaa ya kuongeza ujuzi ili uweze kujukwamua kimaisha na kuongeza pato la taifa kwa ujumla.
ijumaa hii tunaemgeni wetu mfanyabiashara na mjasiliamali ndugu GREGORY KILEO ambaye ni mfugaji mzuri wa mifugo mbalimbali lakini leo ataongelea ufugaji wa kuku zaidi.
----------------------------
Contact +255 62 347 3374
INSTAGRAM: Gregmifugo - บันเทิง
Wow, Africa Is Paradise Everything Is Available Cheaply. Fursa Za Hapa Ni Abundantly Immeasurable
Kazi Ni kazi na kila kazi Ni utumwa na kujituma ndio maana lazima ata biashara utatumwa na mteja wako hivyo kazi Ni wajibu kwa kila mtu tofauti Ni vitengo yaani namaanisha kuajiriwa au kujiajiri yote Ni sawa kinachotakiwa Ni kufuata kanuni tu
✌️✌️
Ukikua utajuwa kutumia akili vzr
Mtangazaji hUna experience yeyot kuhusu ufugaji, kuna vitu vitamu umetunyima kwenye maswali Yako😢😢😢
Uko sahihi ufungaj zifahamu sana
Weee jamaa kiswahili unakijua 100% bro mfugaji. Lakini Unazingua ujue. Unatukera
Nmecheka Sana ulivouliza Kama ningerudi bongo
Kaz nzur
Mmmh layers wanataka uingereza wakiwa na siku Moja? Layers wanatozalishwa bongo ila chimbuko lake ni uingereza
Nimekusoma br.
🔥🔥
Hongera sana.
🙌
Nice interview 👍
Shukrani
Mungetuekea contact za Kileo na Hata akaunt zake za Social network kwaajili ya kuendelea kujifunza kupitia yeye
Sawa mkuu muda huu tunaweka pitia kwenye maelezo 👍kwa kuwa nasi.
mm naitaji mbolea ya kuku mniuzie
Hello.. sorry naeza pata no za uyo kaka plz
Kuku mbegu gani?
Safi
Shukran kwa kuwa nasi @shedrack
Unakaa wapi mimi nataka mbegu
@@jasminbashiri1988 Namba zipo kwenye maelezo hapo juu
nataka vifarnga bro
AMAZING
🔥🔥
Pona sioni
tunaomba namba
Zipo kwenye maelezo
mm naomba mbolea ya kuku muniuzie
😂mtangazaji unajua Sana maswali
🙌
Jmtz,
Tupeni namba za huyo jamaa.
Contact zipo kwenye maelezo chini ya video
Nimependa wew unakaa wapi
Namba zao zipo kwenye maelezo hapo juu
Boaring interview 😢 but good content
mtangazaji badilisha namna ya kuongea, mahadhi unayoyatumia hayaendani na maudhui ya video.
Shukran kwa maoni yako na Shukran kwa kuwa nasi 🙌
Mbona anatangaza vizur tu
@@kkkkkkk2714 🎉🎉🙌
Naomba namba ya huyo jamaa mh
Ipo kwenye maelezo chini ya video
💯🇧🇮🙏💪🇧🇮👍💯
Pamoja na kusoma na kutembea kote jamaa hujaelimika ongea lugha yako vizuri
Vipi kwa ambao hawajui kiswahili?
Ulitaka aongee kimakonde?
🤣🤣
Wew umeelimika tuonyeshe kampuni yako kam yeye alivyotuonyesha mdomo koma
@PatrickMathias-cs9qc Kwa vitendo 🤣🤣
KUKU ANATAGA BILA DUME MZEEE
L0
kaka yangu nahitaji unisaidie mimi nafuga kuku wa nyama lakini sijaona faida
Angalia namba kwenye maelezo ya hiyo interview then wapigie.
Kaka naomba kuongea nawewe.
👍👍
Kuku wa mayai ni kawaida kutaga miaka 2. Jamaa nae kiswahili anakijua ila anajifanya hakijui.
🤣 Shukran kwa kuwa nasi #Jackson
Haha 😂
Naomba no yako
Huyo jamaa is boring…kizungu miiiiiiingi!
Kizungu si lugha tu kama lugha zingine anachoboa nini hapo hujapenda ujumbe au kizungu ?
@@Jmmediaonlinesisi hatuelewi kizungu!!
@@jerrymcbride2230 😂😂basi sawa interview zijazo tutazingatia hilo 🤝
Safi.. na kuku ni haina gani?
Na anauzaje?..transport hiko?
Stupid Interview. Waste of my time. Hakuna nilichojifunza kwenye hii video. Ni majigambo au mafunzo?
Usjali wakati mwingine tuta andaa makala nzuri zaidi, asante kwa kuwa nasi.
Namba hazpo mbna
Jamaa hataki usumbufu nadhan😆😆