Nimefurahishwa na somo hapo juu natamani kufika ofisini kwenu kujifunza zaidi ili nami nifikie kiwango kizuri kwenye ufugaji wangu naomba mawasiliano namba za simu
Am so greatful for this education please Asante asante asante sana ubarikuwe ndugu lakini naomba number yako ili siku moja utani visit Uganda for more information please naomba 🙏🙏
Idea nzur ila kwa kuku wa kienyeji humu unawabana sana wanahitaji kujinafasi
Kuku wa kienyeji kufuga humu ni maonevu tu
somo zuri sana, asante kwa elimu yako.
Maelezo yamekamilika ahsante sana
Asante sana Mr philicon , nimefuraia Kwa masomo
Hongera sana brother nimependa ujengaji wa banda liko simple
The session is good for sure Ican
Hongera saana KAKA unakipaji cha kuelimisha kabisa.
Mm nataka holo handa
Hongera Sana kwa mafunzo haya
Na shukuru sana 🇨🇩
Asante kwa kipindi kizuri naomba namba ya simu ya huyo jamaa
Kaka uko vizuri nimependa
Safi sana.
madini ta kutosha 👍
Namba
Nambari ya simu
asante kwa drs
Tunaomba no zake
Nimeipenda Banda lilivyo sijui napataje mawasiliano ni na shida ya utengenezaji wa banda
Wasiliana na Malembo Farm Dar es saalam
Nitapataje vipimo halisi vya hili banda nimelipenda
Vipim c amevitaj jamani au hujasikia
Thanks for the very informative video.
Nice video and good presentation.
Well done Brother Philicon.
Tanks brother Hemed Abdullah
Kazi nzuri sana
@@philiconmalembo6624❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimefurahishwa na somo hapo juu natamani kufika ofisini kwenu kujifunza zaidi ili nami nifikie kiwango kizuri kwenye ufugaji wangu naomba mawasiliano namba za simu
Naomba namba yake
Asante
Shanga za kiunoni
niko mkoa wa Songwe chakula chakuku naweza kukipata wapi
Nitaomba kupata kufika ofisini kwenu,
Am so greatful for this education please Asante asante asante sana ubarikuwe ndugu lakini naomba number yako ili siku moja utani visit Uganda for more information please naomba 🙏🙏
Nina shida kutaka ushauri naomb namba ya group kujiunga
Asante kutufundisha naomba pia namba yako kwa ajili ya darasa niko Itigi
Hiyo jiki ni ile ya kuondolea madowa kwenye nguo?
Naweza kupata wapi matetea mazuri ya kuanzia
Mm nafuga kuku wakienyeji xjawafungia ndani nikitaka kuanza kutumia chanjo kwanae fahamu naomba anielekeze
Vip umo ao kuku wanaweza kujamiana??
Motivated
Kwa elim hii namimi nimeshawishika sana kufuga
Asante mwalim kwa mafunzo
Nimependa darasa mwl utanisaidiaje ili nami ni fahamu kutengeneza hiyo chakula mbadala?
Kazi nzuri
Ni kama kuku wamejibana sana. Je kuku wa kienyeji hapo watastawi?
*
huyu jamaaa anafuga anajibu maswali bila chenga
Good music
Mimi nimevutiwa sana na huo ufugaji wa kisasa mimi najaribu kufuga lakini nimegungua kuna makosa mengi naomba jinsi ya kuwapata ili nielimishwe
No be
Kaka hio music "twendeni shambani" nimeupenda nitaupata wapi?
Yaan mwenyewe nautafuta kwa udi na uvumba, ukipata naomba unirushie best angu
@@j.l.m9621 ok nawe ukiupata nirushie pia
Nyimbo za zamani kipindi hicho kilikuwa kinakuja sakumi namoja kila siku
Ukifika huko shambani utaukuta
Nenda tu tbc unapata hii nyimbo
Hizo pleti unauza
Toa namba za mawasiliano tafadhari
Tunatamani sana kufuga lakini vicheche namwewe niwengi sana sababu tuko karibu na msitu tufanyeje?
Jenga banda zuli usiluhusu kuku wako kutembea
Ninaomba mawasiliano ya mtaalamu pamoja na mawasiliano ya mtaalamu wa kujenga mabanda ya kuku wa kisasa kama niliona.
Banda la hivyo linapokea kuku wangapi na linagharimu kiasi gani?!
Kwenye idadi ya kuku nimeelewa Sasa je ghalama ya Banda linaweza fikia kiasi gani
Kweli Kaka , angetaj gharama ya Banda ingeku poa
Tunaombaa namba zako
Nashukur kwa ushaur bora.nao
MBA namba ya cim
Mm nataka holo handa