Tazama tofaut, dewj utajiri wake ni dollar billion 2, kule duniani watu wanamiliki adi dollar billion 100 na kuendelea, wao kulipipia iyo million 8 per hour ni kama Kama kununua pipi.
Pesa zipo kwa akilii yamajitaji ya kila mtu anaehitaji kununua ndege nayo Ni hatua ya mahitaji kwa anaehitaji kwahiyo huyo hata chupi avai si Ana sulualii.
Hizo hela za kununua ndege bora ukawajengea maskini apartment wakae bure angalau kesho utazikuta amall zako kwa Allah. na tunakuombea Allah akuzidishie kwa njia ya kheri ammin.
Ashaakidot Kidot Lyova ivi ww katika watu wanaojitolea misada huwex mwacha huyu kiumbe unatukana hata pesa Moja Kumpa tu kilema hujawahi unajuaje km huko kwnu hajawahi toa msaada mmeshazoea mtu akitoa msaada Mpk ajitangaze chefuuu mfyuuu zako
Sio Hana tamaa hapana! Hana uwezo huo wa kutumia ndege binafsi kwani hujamsikia kasema kutumia ndege binafsi ni gharama na katoa mfano wa kwenda na private jet A.kusini.
Mmmh! Bado sio tajiri ulipambwa Tu na jarida la Fobes na shida hizo Mali huna maamuzi nazo kudhamini Simba ni matakwa ya familia coz tangu Baba yako alifanya
Hassani Hussein ni kweli Mo anayoyasema... Simba hamtaki kumuuzia atajunua ndege ya nn... matajiri wa ulaya km Abramovich anawabeba wachezaji kwenye ndege yake.... anafanyia bussiness kwny Yatch yake soo Mo. ameeleza vzr na ndio maana ameweza kua tajiri
Kwani hao matajiri wenye ndege zao c wachumi?!!!shida pesa sio zake yeye ni msimamizi kwani Nani hafahamu Baba yake Mzee Dewji alikua mdhamini wa Simba na ndo alikua mwenye Mali! Yeye ni muangalizi wa Mali ya familia isipotee Hana maamuzi binafsi ndo maana anatoa sababu za kushindwa kumiliki ndege na kuitumia kua mi gharama
Mo anaswali ndio maana anahekima ya matumizi,kweli atafika mbali,nakumbuka alipohojiwa BBC alisema anadeni kubwa na watanzani waliomuombea kipnd chote alichopoteaga na hvyo kutoa sehem ya utajiri kusaidia masikini.
Unaongea bila data mkuu sio kila unachokiona kwenye mitandao ni chakuchukua tu jitahidi uwe mfuatiliaji wa mambo usiabudu mitandao kwani mangapi yamezushwa na mitandao mwisho wa siku niuongo mtupu Unaweza kutupa ushahidi wa wazi kuwa yeye ni mfuasu wa hiko unachosema
uko sawa kabisa Azeez huo ndio ukweli wenyewe hayo mengine anaongea ni story tu.kwa maana unaposema dewji ana akili kwa kuto nunua ndege then una maanisha john travolta,anyemiliki zaidi ya ndege moja,donard trump na wengine ni wajinga..?sio kweli HILI NI SWALA LA PESA NA UWEZO SIO AKILI.DEWJI BADO HAJAFIKIA UWEZO WA KUMILIKI NDEGE BINAFSI"PERIOD"
seducer kapero Haaaaaaa haaaa haaaa...Mnajisikiaje kwenye Komentii Buku nyie wawili tuu ndio mmejisapoti ujingaa....Amjajiisi Wachawii kweli uko mlikooo haaa haaaa haaaa...Mbona matajiri wengi awaishi kwenye nyumba zilizoezekwa kwa bati..ni kwamba awana uwezo wakuezekeaa Batii...Tumieni vichwa kuchambua kitu kilichotoka kichwani kwa mtu aliyekuzidi kimaendeleo...Sio mnachambuliaa makalioo Weuuuuuu nyieee alaaaaaaaaaaah...!!!
Tazama tofaut, dewj utajiri wake ni dollar billion 2, kule duniani watu wanamiliki adi dollar billion 100 na kuendelea, wao kulipipia iyo million 8 per hour ni kama Kama kununua pipi.
Kununua ndege Ni maisha mengine hayo sio ufahalii mtu Ana pikix2 na baiskeli kila usafiri unaumuhimu wake
hawa ndio matajiri tunao wataka upo vzr kaka nakukubali Allah akupe maisha yenye kheri Na afya njema akuondoshee hasaad
Uko uarabuni, ulaya watu wanamiliki maYatch na madege na wanazid kutajirika tu. Uyu pesa za familia that's why anajifanya mchumi, hakuna lolote Apo
Pesa zipo kwa akilii yamajitaji ya kila mtu anaehitaji kununua ndege nayo Ni hatua ya mahitaji kwa anaehitaji kwahiyo huyo hata chupi avai si Ana sulualii.
Nakutakia maisha marefu Ndugu Dewji
Duh! Jamaa yuko critical knoma ndo maana anazd kuwa tajir
Yes sir
Hizo hela za kununua ndege bora ukawajengea maskini apartment wakae bure angalau kesho utazikuta amall zako kwa Allah. na tunakuombea Allah akuzidishie kwa njia ya kheri ammin.
we mchumi nimekupenda kaka
nice,watu kama hawa ndio wanaohitajika ktk jamii
Mo anaishi economically zaidi
Hana uwezo huo mbona kasema kua ni gharama kusafiri na ndege binafsi
@@stanslausmteme8455 Mtu mwenye utajiri wa 1.9 Billion dollars ashindwe kununua hivi vibombadia vya watu sita vya million 4 usd
hahaaa unatumia hakili ww hutak ujinga kbsa
yuko vizuri kwenye esabu usifanye kitu kwa kuwa fulani kafanya hingera sana kaka moo
Vendelin Massawe Massawe hio ndio akili bora ukatoe hio pesa ukawape watoto yatima
Vendelin Massawe Massawe huyo simba hana akili awape masikin haswa waremavu huko kwetu
safiiiii sana kaka Yangu ishi kama ndoto zinavyo kuerekeza na si kuiga hao maribuken barkiwa saana saana mungu you pamoja nawe
Ashaakidot Kidot Lyova ivi ww katika watu wanaojitolea misada huwex mwacha huyu kiumbe unatukana hata pesa Moja Kumpa tu kilema hujawahi unajuaje km huko kwnu hajawahi toa msaada mmeshazoea mtu akitoa msaada Mpk ajitangaze chefuuu mfyuuu zako
Tutegemee kukutana na mabilionea wengi vivuli kwa serikali hii ndugu zangu
huyu jamaa pasua kichwa anaishi kwa mahesabu sana hana tamaa ya kuiga matumiz big up sana
alinamaka kyando taarabu
Sio Hana tamaa hapana! Hana uwezo huo wa kutumia ndege binafsi kwani hujamsikia kasema kutumia ndege binafsi ni gharama na katoa mfano wa kwenda na private jet A.kusini.
@@stanslausmteme8455 utopolo mnashida
Haya tuoneshe private jet ya GSM😆
@@stanslausmteme8455 Nani kakuambia hana uwezo.
huyu jamaa sio bilionea no trillionea wa tanzania
Ishi unavyoweza sio unavyopenda such is life big up huo nfo mfano mzuri wa kuiga
kila la heri kaka dewji japo hatujuani
Mmmh! Bado sio tajiri ulipambwa Tu na jarida la Fobes na shida hizo Mali huna maamuzi nazo kudhamini Simba ni matakwa ya familia coz tangu Baba yako alifanya
zako wew hizo mali zote
Huyu engekua muafrica nafkiri engenunua madege kibao kwa sifa ndio maana muafrica hasongi mbele
Mbona uarabuni waarab wanamiliki madege na Yatch zakutosha na wanazid kuwa matajiri, uyu muoga coz ni pesa za familia anaogopa
Thamani ya Simba ni kubwa mno kuliko mnavyofikiria wadau kuweni makini
simba hoyee
hhhhh Abromovic ni m2 mwengine bana na ndio Tajir wa kwanza wa England
Hassani Hussein ni kweli Mo anayoyasema...
Simba hamtaki kumuuzia atajunua ndege ya nn...
matajiri wa ulaya km Abramovich anawabeba wachezaji kwenye ndege yake....
anafanyia bussiness kwny Yatch yake soo Mo. ameeleza vzr na ndio maana ameweza kua tajiri
Ndiomaana anakuwa Tajiri
Sema uwezo wako haukuruhusu acha Maneno mengi
Utopolo mnamatatizo kweli
Basi tuseme GSM anayo private jet 😆
unajua mahesabu poa
Kwani hao matajiri wenye ndege zao c wachumi?!!!shida pesa sio zake yeye ni msimamizi kwani Nani hafahamu Baba yake Mzee Dewji alikua mdhamini wa Simba na ndo alikua mwenye Mali! Yeye ni muangalizi wa Mali ya familia isipotee Hana maamuzi binafsi ndo maana anatoa sababu za kushindwa kumiliki ndege na kuitumia kua mi gharama
too much brain
Mo maneno maxima lakn bad maskin mbele ya majir wa ulaya abrah ni billny was dunia wew Africa hugusi think hard before u make chocht
Mo anaswali ndio maana anahekima ya matumizi,kweli atafika mbali,nakumbuka alipohojiwa BBC alisema anadeni kubwa na watanzani waliomuombea kipnd chote alichopoteaga na hvyo kutoa sehem ya utajiri kusaidia masikini.
Very smart 👍🏼
Tatizo ni hiyo timu uliyowekeza ni bora hiyo fedha ungeenda kununua korosho !
unaakili sana MORE
Wacha ubaili
MO you are The Man
SIKILIZA SIMULIZI HII MPYA YA KUSISIMUA
💯💯💯💯💯
DAHH ,,,,,HEBU UMESOMA VITABU GANI VYA UCHUMI MOH??????
Jamaa anajitambua
Heri utumie hela Ujikinge
Hongeraa akili kubwa hyo.
wewe ni zaidi ya mabiliona
Vizuri mkuu
Anakielw anch kifany
Anakielw anch kifany
we ni singida united
Safi mo
hongera sanaa Dewji
kuna tajiri gn mwingine bongo ambaye ni free masonic
Bakhresa
Mashallah, unaakili sana.
aichukue tu simba
haswaaa
Big up Brother uko powa tu
safi sana
creative focus
Kwa nini uwendi misibani?
asante baba
good
yupo kwenye orodha ya Freemason wala simpapatikii sababu pesa za uchawi
Shuweha Haruna Omari Ikwena namm tafta za halali tuzione ha ha ha mbna ww hauna kitu kama mm tuu na wala ss sio freemason
Acha roho mbaya wewe una ushahidi na unachosema
+Yusufu Jamali nawewe ni mmoja wao ndio maana watetea ushetani
+Yusufu Jamali tatizo lako wewe ni mshamba wamitandao upo you tube tu mitandao mingine hupo mengi huyajui wewe
Unaongea bila data mkuu sio kila unachokiona kwenye mitandao ni chakuchukua tu jitahidi uwe mfuatiliaji wa mambo usiabudu mitandao kwani mangapi yamezushwa na mitandao mwisho wa siku niuongo mtupu
Unaweza kutupa ushahidi wa wazi kuwa yeye ni mfuasu wa hiko unachosema
MWENYE KUFIKIA UWEZO WA KUNUNUA CHOMBO CHA NAMNA HIYO HUNUNUA BILA KUPIGA HESABU MCHWALO,HAKUNA AIBU KUSEMA SIJAFIKIA KIWANGO HICHO.
uko sawa kabisa Azeez huo ndio ukweli wenyewe hayo mengine anaongea ni story tu.kwa maana unaposema dewji ana akili kwa kuto nunua ndege then una maanisha john travolta,anyemiliki zaidi ya ndege moja,donard trump na wengine ni wajinga..?sio kweli HILI NI SWALA LA PESA NA UWEZO SIO AKILI.DEWJI BADO HAJAFIKIA UWEZO WA KUMILIKI NDEGE BINAFSI"PERIOD"
seducer kapero Haaaaaaa haaaa haaaa...Mnajisikiaje kwenye Komentii Buku nyie wawili tuu ndio mmejisapoti ujingaa....Amjajiisi Wachawii kweli uko mlikooo haaa haaaa haaaa...Mbona matajiri wengi awaishi kwenye nyumba zilizoezekwa kwa bati..ni kwamba awana uwezo wakuezekeaa Batii...Tumieni vichwa kuchambua kitu kilichotoka kichwani kwa mtu aliyekuzidi kimaendeleo...Sio mnachambuliaa makalioo Weuuuuuu nyieee alaaaaaaaaaaah...!!!
Private jet anayo bakhresa ambaye hata uzidishe mara mbili utajiri wake bado hajamfikia Mo
Tulia kijana mali bila Daktari huisha bila habari
Upo sahihi