EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Reporter wako Millard Ayo amefika mpaka Shinyanga kwa Mfanyabiashara Bilionea Mtanzania Joseph Temela ambae alitangazwa na Serikali kwamba amepata jiwe la ALMASI lenye thamani ya BILIONI 3, atazifanyia nini pesa zake? historia ya kutoka familia masikini, ulinzi wake ukoje baada ya hizo BILIONI?
Gonga like bila kikomo kama unapenda Millard Ayo azidishe subscribers kibao apa★☆☆☆☆
Z Classic Fashionz
Hongera sana *MILLARD AYO* kwa makala ya kipekee. Natazama kutoka Zanzibar!
Bro congrats God bless you 3billion is very little amount is equivalent to 150 million kenya shiling but dont forget to tithe God will Give you wisdom to invest wisely
Hivi kweli unampenda #Millard Ayo like hapa
Interview Kali sana 🌍🇹🇿👍
Upo vizurii milad
Wote muhojaji na muojiwa wote wate wametulia! Very excellent interview!!!
Kamanda niaje, ee bana sory utakapoona link yangu naomba unisapoti kusubscribe
th-cam.com/video/cy2IbfNXA_Y/w-d-xo.html
Official Anania Lijahe bila shaka sana kiongozi na hata kama kuna usaidizi mwingine unaweza kuitaji ambao ninaweza kuitatua basi nishtuwe hapa anzuantoine@yahoo.com
@@antoinea.katembo5326 asante sana kaka
Mungu mkubwa..haijalishi umesota mda gani..mda ukifika hufungua milango.
Trust in God and you make it in life be honest with tithing and God will open great doors in your life
Natamani iwe ivo kwangu jamani 🙏🙏
Upo sawa nikweli siku zikifika Allah anakuinua fasta
Saf sana
God is over everything trust in God every time
Pesa haiko mkononi iko kichwani. Your dreams is the biggest success.
Nambie kamanda
th-cam.com/video/cy2IbfNXA_Y/w-d-xo.html
True
Hongera kwake hongera pia Millard Ayo napenda kazi yako ubarikiwe sana
Mambo fatma, sorry mamy nina chanel yangu naomba unisapoti kusubscribe
Naomba jibu moja sio mengi moja tuu jamani watanzania wenzangu kuwa namaisha mazuli ni moja JUUDI ZAKO 2 MIPANGO YAMUNGU 3 KUFOSI KWAKO kama unaaso kama mm jibu moja tuwekane sawa jamani
Nilichojifunza kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba ni mfanyabiashara damu
Kama anaimiliki diamond kiwanja nikipendacho mwanza, basi ni dhahiri kwamba huyu jamaa alikua tajiri hata kabra ya hilo jiwe
Anko kamfungulia dunia kuwa anachotaka! Tujifunze kitu Hapo! Japo usitegemeeh kulipwa jema ahsante #joseph
Kama unankubal Millard gonga like👍
Wewe jembe millard
Namkubali sana sana
Mambo niaje
Mjomba Josef nimefulai Sana kukuona leo
Shimano mjomba hakika leo nimefulai sana
Kweli tuliosoma ndio wajinga.Tuna calculate risk sana
Keagle Eagle umeona ee, na ndicho kinacho tuponzaga
Sanaaaaa
Hapana kusoma ni muhimua sana na kutoka kimaisha ni mipango ya muungu.huo ni mtaz
Jamaa Check hii bro if you can
1.Temela Diamond Hotel Mwanza
2.Temela Diamond Hotel Dodoma
~TDH~
3. Diamond NightClub~Julius Nyerere International Airport
Ukiwa na pesa unaishi popote walahi! Hongera Joseph ht usiposoma ukitumia akili yako vzr unatoka tu!
Pia ni mtihani
Anakula magengen nimemuelewa sana
Nimefurahi sana kuona unalinda faragha ya mali za mtu. Kunanzia plate number ya Bodaboda hadi magari ya tajiri. Waandishi wengine wangemulika hadi chooni
heshima bigete umetisha San kama umeliona hilo
Bigete naququbali
Sana umetisha brother
Duuuuuh kudadeki kweli mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua
😂😂😂😂😂
Umenichekeshaaaa
Billion 3 kibongo bongo sio mchezo...
Millard you rock it...
Hizi ndo habar za kurusha zina influence vijana kupambana pia zina entertain maendeleo
Alfred Davas mo
So kibongo bongo hizo ni pesa nyingi hata iweje mzee billion So mchezo
Yah true Nicky...
Kweli
kutoka kimaisha ni juudi zako na kumuomba Mungu Kwa kila nyendo..!
Nifollow @kingo_calius Instagram, kwa comedy, Ili uongeze miaka ya kuishi
Good
Amen
Big up Millard...ww kibokooo na unajuwa kazi yako,huna spear na popote unafika,utabaki kuwa juu tuu
Muandishi Millard ayyo wewe ni msomi og unajua kuficha plate no za tajiri unaemhoji saaaaaf unasiri za utangazajina uandishi
Hizi ndo habar tunazo zitaka hakuna mamb ya umbea ooh sijui umedeti na mademu wangapi kabla zakupata almas lkn millard anauliza maswali ya maan big up hizi medi online nyengine zimejaa upuuzi tu
Umesema ukweli sana
Kabisaa
Shaaban Ramadhan 🤣🤣🤣kweli kabisaaa
Yaaani
Inaitwa professionalism
Huyo mjanja kauza bilioni 3 ila ataki kusema anaogopa wajanja wa mjini
Wale mnao wafahamu blocker wa Aina nyingine #like hapa th-cam.com/video/dQzDnRGvr-s/w-d-xo.html
Jamani mimi namupenda sana mirady atanikija tzd napenda nimuone nimsalimie
Mpeni pole millardayo hilo kovu,sikujua kuwa alitokewa na problem.From Zambia
Hongera joseph temela, bilionaire mpya wa tarehe 07/04/2019 nchini tanzania uwakumbuke wenzako
mabilionea wapo wengi wengine ni viongozi wa serikali wameficha mali zao..huwez kuniambia kiongozi anasimamia mradi wa bilioni 42 asiibe bilioni 10
Ukpata hela alafu ukaishi mjini kingereza lazima ukijue tuu 🤓😂 complicated, otherwise, Dollar,No,It depends,manage,simple, imagine,swaga za kisomi kabisa🙏Hongereni Sana Millard & Billionaire
Hahahaaa ...weweee😃😃😃😃😃
Safi
Ni kweli kabisa birds of the feathers flock together
😂😂😂😂😂hatar fireee
Kiingereza kweli simple, ukiwa na mkwanja!
Dah! Kweli maisha nipopote sio lazima shule, shule nimuhim ila kama namna yakusoma mtu hana ndo hiv tena Mungu anapanga maisha ya bina Adam yajua Mungu pekeake jmn me nakupend bure #millard
Hongera millard kwa kutuletea habari nzur
Nampenda Sana Mungu Ni fundi Sana acheni aitwe Mungu anainua vinyonge bila kujali muonekano hapa najifunza kuwa Mungu amempa mwanadamu akili na lzm kujikubali na kujiamini.kisha umtegemee yeye .kutokea hapo mafanikio yapo .ndugu zangu elimu ya kwanza aliyotupa Mungu ni Akili.mengine hayo Ni matokeo .God can.kuishia drs la Saba sio kufeli maisha na kusoma Sana sio kufaulu maisha.
Ayo nakubali sana kwa kujitoa kwako hili kujaribu kufikisha ujumbe kwa watanzania salute sana bro
We agha wewe interview kama hiz zinakuhusu
@@irenefaustine4205 Yah najua but nipe mda kdg ntaanza
Hongera sana brz temela.Mungu akuzidishie mara 1000.kazi njema.
Watu wa drs 7 ni noma sana wanapiga mapesa kuliko mapro hatari sana
😂😂😂
Ujue Mungu habagui
Akina Msukuma, Kishimba n.k
Maprof wenyewe kama akina paramaganda kabudi? 😂😂😂😂 mara mia mbili uishie la nne😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa
sema sisi waafrika tumejaa uongo ndaniyanafsizetu hata huyu jamaa anaongea uongo hadi machoyake yanamsuta
Uyu sio mchimbaji kama ilivyo tangazwa na serikali, huyu automatic ni mfanya biashara ya madini na nyinginezo. Na wauzaji waliuza million kumi wakaenda bar.
Salehe Innocent ni kweli bna
Exactly
ni mchimbaji ambaye ameadvance, yeye hachimbi, Bali kaajili wachimbaji, hamsikilizi wajameni
Millard nakupenda bure
@@upendorobert7298 we hujui lolote kuhusu uchimbaji nina uwelewa Wa kutosha kwenye uchimbaji mdogo coz nishachimba na nikaambulia vumbi.
Nmekupenda bure millad jaman mpaka umefika kwetu love u love u
Yaan nyumbani kabisa Maganzo
+255762297199...jiungereo.uwebrioneyazaidi
Msukuma bwna utamuona km fala vle lkn wqnaakili awq wtu
Ishi maisha yako simple kama vile ulikuwa ukishi zamani
Millard Ayo you're the one who has a good and really story
Take five 👊👊
nimeamini kweli tusikate tamaa mungu yupo
Yes girl don't give up and you never ,imagine huyu mzee toka kitambo anapata tu some of na anapiga kazi long time Ila haku give up till today anapata zari Kama hilo ni Noma Sana but we have to learn from to him
Millad Ayo you will be rich because you really fighter.
Mambo vipi
He is already a rich
@@re_up_gang 😃😃😃 true
kwahio mzee baba ulirudi kwa mguu naona umeanza safari na kibegi mgongoni alafu jamaa anakuacha hivihvi
Ni kweli biashara ni siri kwenye makubaliano pia kumtangazia mtu mafanikio yake ni kumuweka kwenye wakati mgumu kimazingira
Braza Chanel yako ishakuwa na adds za kutosha!
th-cam.com/video/i8GiTCljSJM/w-d-xo.html
Naomba uangalie hii video kidogo tu
🙏🙏❤️❤️🙏🙏
Haya Maisha bhana Unaweza kulala Masikini ukaamka Tajiri Sito Kata Tamaa Naamin ntafika ninapo oataka Waalah
Uyo tajiri kitambo hapo kaongezea .........jamaa anajituma na muaminifu mno
Huyo hakulala masikini alikuwa anapamban lala wewe kjn 😁
hata ungekuwanayo huwezi kumpa kila mtu
Hongera sanaaa uncle Joseph.Mungu abariki kazi ya mikono yako
Milard una maswali magumu jaman, Vingine vunga vunga bana Hadi kulipwa au lah,🤣🤣
Nice C.E.O wa DIAMOND kiwanja cha bata rock city
Nakkbal kwa kila habari zako kama na ww unaikubal ayo tv tujuane kwa like
mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
😂😂Et akuandkii barua
Ok, but true
Kwakweli my
Kweli kabisa 😂
Nimeelewa aisee.Watu wenye pesa zao hawapendi kijulikana
Fursa katika nchi yetu ni nyingi.. Ni akili yako tu 🙌🙌🙌
haswaaaaaa
Watu wavivu wanataka kuletewa
@@ilovejesus9303 😂😂😂 mteremkoo unaumiza hawajui
Mashaallah Mariam
Mariam call me 0684606015
Namfaham Mr.TemelA nimeamini Kweli unapojishushA na kua mnyenyekevu Mung Hakutupi maana jamaa yuko So humble and simple hata Ukienda kwenye hotel yake ya Diamond pale Mwanza ukamkuta unaweza dhan yye ni mteja tu wa kawaida ilA WapambE nuksi ndo wanavimba hatar.Mungu ni mwemA nataka nije kuwa Temela wa miaka ijayO🙏 Mungu mzidishiE huyU babA
Hilo swala ni Siri Millard.....nmemkubali Mzee that's how we roll G.code
Hivi kuwa Billionaire in kitu cha mchezooo eeeeh....!!!
Nikiona habari ambayo AYO uneitoa ndo naikubali na najua umeifanyia uchunguzi wa kutosha na tena ya maana. Wengine wajifunze kwako siyo story za matusi matusi. Bigup sana kaka
romana mbelle umenena point,,, Wee subiri kuanzia kesho utaona channel nyingine wanaedit heading na kupost kwao
Mashabiki ya Arsenal tunampunga bhana c unamuona Joseph Temela apo 😂😂😂😂
Makala mazuri sana Millard Ayo. Hongera sana! Kwingineko, watoto wa Maradona, Argentina walifungwa 2-0 na vijana wa Colombia jana. Hata Free kicks za Messi hazikuwaokoa. Nenda youtube utafutize - hashtagmpasuamsonobari- Kwa kujua yaliyojiri
Ee dodo bahati kwa mtu mwenye shamba😉😁🤗.. akaweka jembe chini akaenda mjini kununua motocar ss ni tajiri🔥🔥
Hongera sana Millard Ayo kwa kazi nzuri ya utangazaji.
kaka shkamoo naomba kunamambo nataka nkushirikishe plz naomba untafute kwa namba 0744845396 plz samahan naomba ncheki
Bos wangu Mr Joseph temelwa hana neno mpenda watu
Darasa lasaba billionea, nakingereza Anna kichapa, namfananisha na mzepwagu wa njombe darasa lasaba kasuka mfumo mkubwa wa kutoa umeme, wote hao hawaitaji CIVII zenu zavyuo.
Kusoma sana ni uoga wa maisha
Mama Chris 😁😁😁 vipi ww upande wako
Amejfunza na marafk zake weng wasom
Hapo kwenye kuomba ela hapo . Pole ndungu ukiwa na njaaa na wala uwaoni
Msomi wa HKL lini unategemea kupata billion 3????
Jamaa katulia na anajielewa. Hongera kaka.
Hahahaha, wewe Betrice wewe
Nani ameona mdomo wa milladayo umekua mwekundu sana..... Itakua shida ni nn
steve wanga weee jamaa umeniwahi nilitaka kuandika hivohivo
Uende analamba Sana lolo🤣🤣🤣
@@mdomani2404 😂😂😂😂
Bilionea anaongea Kwa pozzz Hadi raha
Hahahaha, Kaka acha kutufurahisha, kwamba bilionea anaongea hadi raha!
Nmependa xana jinsi Joseph alivyoenjoy interview na mtu wa nguvu Millard
Hongera Joseph, fungua Fixed deposit account, nunua hisa kwenye makampuni makubwa, tulia fedha ikutengenezee pesa. Achana na traditional business
Kampun gani kubwa utapeleka 2bn wakat mishahara tu ni 500mil
"Opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu" Mwisho wa kunukuu nadhani mnanielewa. Kaeni na wimbo wa vyumaaa ......
Hiyo Akili unayo uzungumzia BILA PESA NI UPUMBAVU MKUBWA MNOO
Milard utafika mbali sana unakipaji kiukweli MUNGU akuongoze, hii Habari Nimeipenda, fundisho tusikate tamaa 👏👏
Huwa nakufuatilia sana Millard,kama kuna makosa unafanya kwenye kazi zako za habari,basi endelea kuyafanya maana makosa hayo ni yenye faida.Unagharamika sana kutafuta habari,nina imani initiative hii uliyochukuwa kwenda hadi Shinyanga imenifanya nikuone ukiwa mbali sana kama utajaaliwa umri mrefu(Nakuombea hili)..Wengi wameiona ya kawaida hii.Keep and push up the good work
Ha ha haa ninekufuma huku Leo.
Ooh jmn mungu ni mwema jmn
usimsahau anko, make alikuachia duka, mkumbuke nayeye, hata watoto wake
Nothing comes easy, unawezaona kakaa miaka zaidi ya tisa bila kupata Mali na alitaka kuacha hiyo biashara lakin wakati huohuo akitoa hela kwa wafanyakazi wake bila yeye kuingiza pesa, hapo tujifunze kuwa na uvumilivu ukianguka amka pangusa mavumbi na songa mbele zaidi kwa sababu kesho yako huijui. Keep fighting never giver up.
Niaje Brother, sorry naomba utakapoona link yangu ya youtube unisapoti kusubscribe
Toa%10 wasaidie yatima na masikini
Vivian Chawe unampangia?
KUDADEKI TUMESOMESHWA MPK CHUO BADO TUNAKULA UGARI MAHARAGE NYUMBANI KWA WAZEE
Millard hebu tupe story hapo uliposhonwa usoni kwenye kipanda uso ilikuwaje
Mengine ni person bro
Asubui Intaneti Inasumbua Hii Airtel Imechoka Sana Kama C TH-cam Saa Moja Uduma Ziro Bado Mnasavaivu Tanzania
Tumia zantel iko poa sana
Airtel hamna kitu aisee
Ago sorry watia ranging ya mdomo😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Aliyegundua tanzanite kubwa Arusha
Bora waafrika mfanye wenyewe kuliko kuwaachia wageni kukamata kuchuma
Kaz nzuri sana Millard ayo......hongera bro kwa kutusua dili kubwa mungu anakuonesha njia ukiamin...
Yaani mie nimegundua kuwa mbilionea wengi si wasomi, eti sijui degree, masters, hakuna, sijui tunakwama wapi, lakini wanaomiliki mabiashara mkubwa ni std 7, nahisi wasomi ni kujiona na kuona ni wakufanya kazi flani flani na si kazi za kujichanganya, ambazo ndo zinapesa nyingi.
True
Wasomi ubongo umesimamia kwenye vyeti tu
😁😁😁😂😁😁
Tunasoma muda mrefu mno
Mimi nilijua amechimba yeye
Kumbe kanunua
Ila kweli rizki ya MTU ipo mikononi mwa mtu
mohamed fogo aliyo iyokota kapewa m 20 na pkpk kaka tunae apa ktaa
@@sadickngoromole935
Dar noma kweli kwani
Hakupajua pa kuuza
@@sadickngoromole935 Kwani hao wachimbaji walikuwa wanachimba kwenye mgodi wa jamaa ama?Kama wangeenda kuuza kimya kimya kwa hela nyingi bila kumshirikisha jamaa ingekuwaje?
Mgodi ni wa kwake
Mjomba anajibu vizuri utasema katuongopea kutuambia kaishia la saba 😂
Maarifa Nac endeleeni kukalili kuwa darasa la saba si siku. Ukweli elimu nzuri ukiacha mambo ya ujuzi/fani flani ni exposure
Jamaa anaenda mbweo inaonekwa kashiba sana😂😂😂😂😂😂😂
USIKATE TAMAA, HUWEZI JUA MWENYEZI MUNGU AMEKUPANGIA UTAKUWA TAJIRI LINI, ONGEZA JUHUDI
Tusife moyo mungu amuweke huyu baba mtangazaji mashaalah makini sana
Naomba nielekezeni jinsi yakuipitisha jamani
Huyu jamaaa anazo hela tangu kitambo sana,nafikiri kaongezewa tu.
Big Temela Mungu akuzidishie nakukubali sana pamoja Na kumiliki pesa mingi kiasi hicho huna majivuno watu wote unawathamini
Alipe walimu wamfundishe kisha afanye mitihani
Ukiwa na salio mpaka sura zinakuwa fresh bila hata kutmia vipodozi
Ukiwa na salio mpaka sura zinakuwa fresh bila hata kutmia vipodozi
Biashara ya madini uwa ni siri sana na mfanyabiashara wa kweli awezi sema yote
Mr. Magibo habari, sorry father utakapoona link yangu naomba unisapoti kusubscribe
milardy ayo ni habar nyingine kabisa anatafuta vitu ambavyo watanzania wanaviitaji###