HAJI MANARA AFUNGUKA KUHUSU ALLY KAMWE "HAKUNA BOSS" | TUTAFANYA KAZI PAMOJA | AJIBU MASWALI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Karibu sana mwamba, tulikumis.
Karibu sana Bugati tulikumiss sana kwenye mpira
Tunamtaka manara kitengo Cha Usemaji Kamwe Abaki Afsa Habar!!! Safiii sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manara
Nyooooo😏😏hatumtaki
Uko sawa
Mwamba huyu hapa 🤝🤝🔥💛🔰
Sema tena🤣🙈🙈huyu kiboko
Ajj kudadeki nimependa unavojibu maswal kwel wew ni giant🤝🤝🤝
Nimefurahi sana kufunguliwa kwako Haji Manara
Wew ndio umemfungulia?
We nae unataka kują kutuvuruga tu! Najua Eng. Atakutafutia kitengo, ile kwenye usemaji , tumesharidhika sana na Ali Kamwe
We utakua kolo😂😂
Huyu huwa siyo msemaji wa yanga ila huwa mhamasishaji wa yanga
Chukua Pepsi big. Unahoja nakuunga mkono.
Umeona ee
Mokolo hawampendi Manara kwasababu tangu atoke simba timu lao Makolo halifanyi vizuri
Huna lolote unafata tonge tu mwachie kijana wa watu ally kamwe Paige kazi tunampenda kijana mwenzetu
Aibu kwa visununu walio hamia kule. --- kutoka kule " wanajitoa mpaka ufahamu kwasababu ya chuki binafsi "
Ndo ukubwa uo I prisiate that😊
Ally Kamwe kazi anayo,,,,,shida ishamkuta!!
Boss ni Mungu fanyeni heshima watangazaji😂😂
Namkumbuka Dr Sule alisema Domo lamanara linahofisha Ynga itachukua makombe Back to back
Bugatti kama Bugatti hatimaye karudi twende kazi
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania karibu Sanaa kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho jibu maswari machache wasikuweke Tena kweye majaribu kuwa makini bugati
Safi sana bugatti.. Karibu sana mpambambanaji
Sawa
Boss wa Yanga ni mmoja tu, naye ni Engineer Rais Hersi Said! Hakuna sababu ya uchonganishi na uchochezi!
Nakubali sana haji
Turikumiss sana
Interest ni Football " a pin point"
Nakubali manara
Welcome Back Bugati
Fanya kazi ya kuipeleka Dini mbele acha Tena na Mambo ya kipuuzi
manara fanya mambo mengine pale yanga ally anatosha
Huyu Hana lolote wakati hafanyi Mambo ya kumpendezesha Allah
Nakubal
Haji kuwa na kauli nzuri sie sote yanga usiwaje watu usimi
Xafi xanaaaaaa
Bugatii baba lao,shusha like
Ila unapenda UKUBWA NA SIFA,
Uo ushamba wa kumchukua zailisa tujue ndoulumbukeni au Acha ujinga mbona kina ingenear wanita comfrenc hatuoni wake zao ulimbuken haji hunaishu unaliwa pesa tu apo😊
Ila Wenye D 2 tumeelewa kuwa bosi ni yupi!.
Nakukubali
Bugatti ninavyokujua Kwa Ali Kamwe , mtagombana tu , na kwenye office yoyote lazima kuwe na boss kwa Mujibu wa Taratibu za yanga Haji manara ni msemaji wa yanga na Ali Kamwe ni Meneja wa Habari na Mawasiliano , hivyo Ali Kamwe ni Boss
WATAFANYA kazi tu
Alikamwe anatosha kaka
ally abaki msemaji ameipa mafanikio team huyu ni kama mzee magoma tu
Sawa Bugatti
Kalibu mwamba wetu tubebe kombe la CAF
Manara wewe ndio kilakitu.lazima wewe ndio ubaki.huyo mwingine anatumia nguvu sana sio mambo yake hayo.wewe ndiyo ubaki tunakupenda manara.tulikumiss
Ali kamwe hamfikii manara.
apo sas makoro watajuwa hawajui 😂
Tunakuitaji bugati wanachi wamekumis sana
Mgali fulan mkuubwaaaaa😅😅😅 tens kalibu
Apo manara Ana jipendekeza tuu😂
Ali Kamwe kwisha habari yake
Manara wallah nakukubali sana kwa shughuli za mpira wengine wanaiga
Yanga anatawala Tanzania kwa mpira Nchi kwa misimu mitatu ndo anatawala acha Uongo zungu😂😂😂
Uyu Manara anasema kwenye wametoka kumya5 camana dufahamishe kumyaka5 nakumyaka 2 huoni utfauti??? Kumya2 kombe2 kumyaka5 irikuwaje?? Uyu Manara nimagoma naba2😛😛😛😛
mimi naona ally kamwe anatosha hersi mtafutie haji manara cheo kingine
😂😂wanyoshe waandishe waandishi wamchongo😂😂🎉🎉🎉🎉
Bugatti ni kifaa Hana baya aisee
Gonga like kwa Bugatti hapa
Mwandishi kapigwa mbata.. soma hahaha
............is back😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Umeanza kumsema boss wako😅😅😅😅😅
😂 Sure
sema tulia na mkeo shenz kabisa
ss Ali kamwe anatutosha jaman uyu nae tena
Sasa upere umemkuta mkunaji uyu ndiyo mtu wa hamasa kiukweli kama mwana yanga nimefurahi sana
Kwani bado umeajiliwa
Manara anakuja kuivuruga idara ya habari ya Yanga
Hilo ndio linalokuja kutokea,,,
Wasemaji 2 naonhawa mh haya
Bro bugatti nakuelewa ww piga kaz maneno yapo 2
ata mtukane karudi kama amtaki tuachie tunae mtaka kawakosea nini
Mungo huyo kamwe hana lake
Acha zako wewe Ally kamwe boss wako huwez ondoka
Na huyo mke wako msitiri
Atuachie kamwe wetu
Nakupenda bugati,zaylissa niachie sasa inatosha bhana 😂😂😂
Kazeeka Asee ... Afu huyu zai Nae Hata kama NI Hela Asee Daaah
Haji sio Mzee kiivyo, ni ngozi zao Tu ndio zilivyo na ndio zinazomfanya aonekane Mzee,,,,
Mwaka huu watakoma mwamba karudi
Soga tu huyu hatumtaki yanga mnafiki maluku huyu simba
Manara huna lolote Unalongolongotu Aca Ally Kamwe aendereze kwenye urishindiwa tumefika mbari na Ally Kamwe acamaneno sasa iyimyaka miwiri Yanga ingekuwawapi??? Rudi simba tuwaciye Ally wetu
Bos wako alli kamwe wewe acha ujinga yule alikamwe nibos wako wewe
Labda co operative n ugomvi Huna jipya
Kumekucha kumekucha
Bugatti mmoja 2
Mmmm Kamwe kazi anayo
Mbona unazeeka sana Nakushauri hii Fani ya usemaji uachane nayo hora uwe kocha wa uto
Mwamba gani.mvuta sogara huyo
Magoma shugulika na huyu naye
Thubutuu hizo pesa unatoa weee kenge wee jenga wee huo uwanja kama rahisi mbona hana nyumba huna na unapanga hadi leo
Manara ni bland sio kama Hana nyumba
Bugati ni mmoja
Ali kamwe na privaldinho vitumbua vimetiwa mchanga
Shida wanayo,,,,maana huyu bwana ni mtu wa tulumbatulumba
HAJI MANARA UKO VIZURI ILA ITAPENDEZA ZAIDI UKIREJEA SIMBA SPORTS CLUB
Alishafukuzwa SIMBA
@@jumakapilima7295 JE PALIKUWA NA UHALALI WA YEYE HAJI MANARA KUFUKUZWA SIMBA? Hata kama kafanya MAKOSA HAJI MANARA ANASTAHILI MAUA YAKE.
@@YOSHUAMWAMPETA hakuna aliyejuu zaidi ya taasisi
@@jumakapilima7295 JE HIYO NI HOJA YAKO?
wewe ni chawa lazima Rafiki zako wote wawe na pesa