MKE wa MZEE YUSUF afunguka:Tunapitia tabu, Madeni, SHILOLE amekosea, Tunafanya muziki ni SHIDA tu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Tazama wimbo wa Malikia Leyla Rashid "Yale Yale" kupitia link hii
    • Video

ความคิดเห็น • 543

  • @yusufsalim8906
    @yusufsalim8906 4 ปีที่แล้ว +6

    Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah1829 4 ปีที่แล้ว +2

    Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 ปีที่แล้ว +11

    Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan

  • @aiysharamdhan899
    @aiysharamdhan899 4 ปีที่แล้ว +15

    Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani

    • @salumsaid6572
      @salumsaid6572 4 ปีที่แล้ว +1

      INSHAALLAH ALLAH akujaalie

  • @rehemamlenga4937
    @rehemamlenga4937 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf

  • @edgersenyagwa3583
    @edgersenyagwa3583 4 ปีที่แล้ว +1

    Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 4 ปีที่แล้ว +9

    Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen

  • @EstherClement-wb4jo
    @EstherClement-wb4jo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana dada leyla

  • @hafsaally34
    @hafsaally34 4 ปีที่แล้ว +20

    Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe

    • @halimakibwana7188
      @halimakibwana7188 4 ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @hassaniidrissa5916
      @hassaniidrissa5916 4 ปีที่แล้ว

      Msimtaje marehemu kwa mabaya

    • @vevo3130
      @vevo3130 4 ปีที่แล้ว

      ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind

    • @mk-ed5py
      @mk-ed5py 4 ปีที่แล้ว

      Ameen

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 9 หลายเดือนก่อน

    Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 9 หลายเดือนก่อน

      Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki.
      Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo.
      Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake

  • @mlasinyongolo3256
    @mlasinyongolo3256 4 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 4 ปีที่แล้ว +6

    Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing

  • @wazirshaame8025
    @wazirshaame8025 4 ปีที่แล้ว +20

    Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera

  • @hamadeddymaclayz
    @hamadeddymaclayz ปีที่แล้ว +1

    Leyla Rashid mrembo sana na mpole

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana tutakutazama ļ

  • @bernadethakilegu2142
    @bernadethakilegu2142 4 ปีที่แล้ว +245

    Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 ปีที่แล้ว +1

    Ulikosea kumzungumzia mke mwenzio alie kufa tayali hana jinsi ya kujibu tuhuma

  • @lydiahrweyemamu7305
    @lydiahrweyemamu7305 4 ปีที่แล้ว +8

    Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 4 ปีที่แล้ว +7

    Mashallah madam, karibu mjini

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 ปีที่แล้ว +25

    SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam

    • @peterchipasula1527
      @peterchipasula1527 4 ปีที่แล้ว

      Dunia imeisha ,,kweli hajitambui

    • @naimasaid7763
      @naimasaid7763 4 ปีที่แล้ว +5

      Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki

    • @Da-cr6ow
      @Da-cr6ow 4 ปีที่แล้ว

      Tena msiba uso ndugu

    • @kidaumtumbwi1128
      @kidaumtumbwi1128 4 ปีที่แล้ว +2

      Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni

    • @habibakhalfan1065
      @habibakhalfan1065 4 ปีที่แล้ว

      Mzito_mmm_Allah_atunusuru

  • @kabakajuma5916
    @kabakajuma5916 4 ปีที่แล้ว +1

    Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 ปีที่แล้ว +6

    Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru

    • @tiamo726
      @tiamo726 4 ปีที่แล้ว

      Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake

  • @hadijapazia8255
    @hadijapazia8255 4 ปีที่แล้ว +24

    Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 ปีที่แล้ว +9

    lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 4 ปีที่แล้ว +20

    Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 4 ปีที่แล้ว +4

      kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika
      Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu.
      Muzik ni biashara, Ajira

    • @shebaminde7656
      @shebaminde7656 4 ปีที่แล้ว +2

      @@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu

    • @shaniabdallah2921
      @shaniabdallah2921 4 ปีที่แล้ว

      Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 ปีที่แล้ว +11

    Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 ปีที่แล้ว +8

    Mtangazaji yupo vzr kwa maswali

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 4 ปีที่แล้ว +5

    Leila mm nakuombea Allah akuongoze usilifikilie tumbo fikiria Dunia Riziki mungu mtoaji

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 ปีที่แล้ว +14

    Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 ปีที่แล้ว +5

    Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf

  • @haikha-vn8sb
    @haikha-vn8sb 4 ปีที่แล้ว +140

    Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 ปีที่แล้ว +13

    Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +3

    Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.

  • @maryndomba7028
    @maryndomba7028 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimekupenda bure leyla wngu😍😍

  • @asia9930
    @asia9930 4 ปีที่แล้ว +3

    Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 4 ปีที่แล้ว +15

    Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏

  • @faidhasaid9605
    @faidhasaid9605 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtangazaji yupo vizuri Sana keep it up

  • @davidmaswe6887
    @davidmaswe6887 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah nakupenda

  • @aminamwinyi4427
    @aminamwinyi4427 4 ปีที่แล้ว +2

    ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni
    Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu..
    ,ukimuombea

  • @aliclauclau4208
    @aliclauclau4208 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana dada

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah poleni sana aki

  • @salumallynannume6724
    @salumallynannume6724 4 ปีที่แล้ว +3

    Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi.
    Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin.
    Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 4 ปีที่แล้ว

      Ndio iyo tamaa mziki pesa ndio mana sasa inaingia fitna

    • @rukiamwinyihija7849
      @rukiamwinyihija7849 4 ปีที่แล้ว

      Kabisaa

  • @hadijakabona955
    @hadijakabona955 4 ปีที่แล้ว +22

    Nampenda uyu Dada mie

  • @annelyimo6065
    @annelyimo6065 4 ปีที่แล้ว +6

    Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah

  • @alisalum6464
    @alisalum6464 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh

    • @rashman3530
      @rashman3530 4 ปีที่แล้ว +1

      gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 ปีที่แล้ว +7

    Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.

    • @rauhiyafasihi8908
      @rauhiyafasihi8908 4 ปีที่แล้ว

      Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba

    • @asteriaaron3205
      @asteriaaron3205 4 ปีที่แล้ว

      @@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔

    • @rashidikanyama7227
      @rashidikanyama7227 3 ปีที่แล้ว

      @@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda

  • @ikhlassathman8782
    @ikhlassathman8782 4 ปีที่แล้ว +2

    Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha

  • @sharifasalum532
    @sharifasalum532 3 ปีที่แล้ว +1

    mashaallah nampenda sana

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 ปีที่แล้ว +15

    Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 4 ปีที่แล้ว +2

    Creez uko vizuri hongera

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 ปีที่แล้ว +9

    Nampenda sana huyu mama

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 4 ปีที่แล้ว +14

    Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini

  • @mariabugingo4524
    @mariabugingo4524 4 ปีที่แล้ว +3

    I love you ddear leila

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 4 ปีที่แล้ว +2

    Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.

  • @aasdfghrehema7204
    @aasdfghrehema7204 4 ปีที่แล้ว +5

    Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝

  • @salmakiungo2538
    @salmakiungo2538 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda buure

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 ปีที่แล้ว +2

    Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!

  • @neemahamissi2740
    @neemahamissi2740 4 ปีที่แล้ว +5

    From Burundi 🇧🇮❤️

    • @muhamedbakar4312
      @muhamedbakar4312 4 ปีที่แล้ว

      Binamu yangu raila unakwama WAP? Mama ahmadi

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 ปีที่แล้ว +9

    Maisha mazuri ni pumzi Leyla

  • @hafsanoman3952
    @hafsanoman3952 4 ปีที่แล้ว +1

    StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 ปีที่แล้ว +7

    A very beautiful and humble lady

  • @vbusolo865
    @vbusolo865 4 ปีที่แล้ว +2

    Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 ปีที่แล้ว +2

    Supper good Leila 👍

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 ปีที่แล้ว +4

    SnS for life 🇹🇿🇦🇪

  • @missmannydxb
    @missmannydxb 4 ปีที่แล้ว +3

    I like her alot 😍😍😍😍😍😍

  • @jumaabayo8617
    @jumaabayo8617 4 ปีที่แล้ว +8

    Leilah ni mke mwenye subra

  • @agathalyimo7578
    @agathalyimo7578 2 ปีที่แล้ว

    Unaongea vizuri leila

  • @zakiakimbinda5014
    @zakiakimbinda5014 2 ปีที่แล้ว

    Mze yusufu

  • @leilamdoe9178
    @leilamdoe9178 4 ปีที่แล้ว +3

    Wajina nakupenda sana

  • @sitisaid8543
    @sitisaid8543 4 ปีที่แล้ว +2

    Sisem kitu watching from 001

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 ปีที่แล้ว +16

    Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza

  • @talha2754
    @talha2754 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Dada nampenda Sana laaiti ningekua nakaa nae karibu ningekua anmpa hi kila kukicha

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 4 ปีที่แล้ว +2

    Nice anita from Bahrain

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashaa ALLAH Leila

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 4 ปีที่แล้ว +13

    Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 ปีที่แล้ว +9

    Ittaqillah_leila_Mungu_aliwatoa_sasa_Mnarudi_katika_Maaswia_loo_

  • @dashuusaalim1943
    @dashuusaalim1943 4 ปีที่แล้ว +5

    Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku

  • @salmaalnaman7477
    @salmaalnaman7477 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu awaongoze katika njia ilio nyooka

  • @lovenessfelix5841
    @lovenessfelix5841 4 ปีที่แล้ว +8

    Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!

  • @ebraawadh1693
    @ebraawadh1693 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita

  • @biubwajuma2968
    @biubwajuma2968 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa

  • @bahatibakari2192
    @bahatibakari2192 4 ปีที่แล้ว +4

    Waooooooooo umelejea mama lao nakupenda

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 4 ปีที่แล้ว +6

    Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"

  • @yusufumbwene6845
    @yusufumbwene6845 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwanamke huyu ni mzuri
    .....naomba kama mwanae yupo tuonane

  • @ibrahimadam4272
    @ibrahimadam4272 4 ปีที่แล้ว +11

    All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake

  • @rosearivitsa8125
    @rosearivitsa8125 4 ปีที่แล้ว +5

    Ako vizuri

  • @rukiamsomi6869
    @rukiamsomi6869 4 ปีที่แล้ว +4

    Anaongea kama mzanzibari mashallah kumbe mmokonde ,,,,❤❤❤

    • @bahatisunga1642
      @bahatisunga1642 4 ปีที่แล้ว +1

      Uyu dada ni mmakonde ?

    • @OmanOman-ep7bw
      @OmanOman-ep7bw 4 ปีที่แล้ว +1

      Mmakonde wa mtwara ila anaasiri ya kiarabu

    • @faudhiaomary9191
      @faudhiaomary9191 4 ปีที่แล้ว

      Sana yuko vizur , hao niwaarab wamakonde,mbona kunawarab wasukuma tena zanzibar chamtoto

    • @rukiamsomi6869
      @rukiamsomi6869 4 ปีที่แล้ว

      Nimewaelewa mashaghala wenzangu 😀😀😀😀

    • @fadheelaobaid6079
      @fadheelaobaid6079 4 ปีที่แล้ว

      @@rukiamsomi6869 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mashaghara mpooooooooooooo

  • @tabiafataki8917
    @tabiafataki8917 4 ปีที่แล้ว +4

    Mpambane maisha ni kigeugeu ,.mpambane mtafanikiwa

  • @fatmann6341
    @fatmann6341 4 ปีที่แล้ว +1

    Wanafanana na menini mashallah

  • @munawaratasaa9518
    @munawaratasaa9518 4 ปีที่แล้ว +7

    Nampenda sana leyla rashid 🥰

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 ปีที่แล้ว +33

    Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu

  • @ruthwanjiru2252
    @ruthwanjiru2252 7 หลายเดือนก่อน

    Leyla mtulivu

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 ปีที่แล้ว +2

    Waaaaah hakika ma tatizo ni ma baya munoo kumbe kajifugua juzi tu

  • @rizikiali8149
    @rizikiali8149 4 ปีที่แล้ว +1

    Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya

  • @jamilambarouk4746
    @jamilambarouk4746 4 ปีที่แล้ว +1

    Bilayla mziki upo ktka damu yake anakiri kua binafsi anaupenda kwa dhati hvo hawez kuacha so na mzee Kazi ipo Sana t

  • @laythatsuleiman7184
    @laythatsuleiman7184 4 ปีที่แล้ว +5

    Muhimu kula na makaazi
    Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 4 ปีที่แล้ว +14

    Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 ปีที่แล้ว +8

    MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu