Kwaheri Mama Khadija Baramia
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2019
- Msanii mkongwe wa Taarab Asilia, Bi Khadija Omar Baramia, amezikwa leo Ijumaa (23 Agosti 2019) katika Makaburi ya Mwanakwerekwe, Unguja, baada ya kufariki dunia akiwa matibabuni nchini Oman. Innalillah wainna ilayhir raajiun.
Mungu amlaze pema peponi sis . Baramia khadija
Katutoka ndugu yetu mpenzi
INALILAH WAINA ILAHI RAJIUN
Mpendwa na watu wote akihishimu watu wote makubwa na mdogo mcheshi
Hakuna mfano kama wake
Mungu amlaze malazi mema na
Amuweke Jannat Alfardous
Amin yaraab Amin
Molla amsamehe na amghufurie Ameen
Ewe mola wetu tupe husnulkhatima waja wako yarab husnulkhatima👐
Thanks for this.... Allah amsmhe dhambibzake bibi yangu
Jaman anasinsikizwa kqa nyimbo😓😓😓😓Yarab mola wetu tupe husnulkhatima
Sana... 😥😥😥 may Allah asituonyeshe
Allah amsameh makosa yake atusameh na sisi na atujaalie khusni khaatima
Amen
Mamayoyo last Ameen
Ameen rabi alamin
Inalillahi wainailahi rajiun ,may her gentle soul rest in perfect peace.. Ameen Ya Allah..😢😢
Sifa zake kwa Allah hazipendezi kikubwa sisi julio Baki tumuombe Allah atufishe hatima njemaa
Kweli maneno yako lakini Ina Allah Ghafuru Rahim
Nashangaa... May Allah asitupe sifa hizi tukiaga dunia Allahumma ameen Allahumma ameen
Alla amrehem mama
نسأل الله ان يرحمها و يسكنها في فسيح جناته و يصبر أهلها على فراقها .
Inna lillah waina ileyhi rajiun mwenyezi mungu amlaze pema penye wema Ameen
Heee Allah atupe hussnatul khatima🤲🏼
Innaalillah wainnaaileyhi raajiun
Inalilah wainalilah rajiun pole sana site kwake tutalejea inshallah
Innalillah wainna ilayhi raajiun M.Mungu amjaalie minalfaaiziin Amin
Amin Allah mridhiye mamaetu Amin
"mohd ghassan" il jina nalkumbuka kwenye changin'kuchangizana... iyo nyimbo yke pls tuuploadie humu... shukran
Allah ampe kauli thabit, ni mwezi Mmoja tumekaa na kuzungumza
Poleni wafiwa
inalilllah
Rest In peace, queen❤️❤️
Innallillahi waiinna ilayhi rajiuu
Innalilahi waina ilaihi rajighuun
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun
Ndo mwisho wetu
Allah amsamehe makosa yake
Rest in peace
Mngetia kasida za bwana mtume si kueka nyimbo jmn
Siku zote tunaambiwa mtu husemwa na alichokifanya kwa vile alikua muimbaji inabidi ishallah Mwenyenzi Mungu atupe mwisho mwema
Amin, yarabi husnul khatima
@@mohdmussa5587 Ammin yarab
Ya Allah mjaalie mja wako huyu msamehe madhambi yake ya siri na dhahir, kabri lake liwe kati ya bustani za peponi na pepo ndio iwe mashukizi yake.
Ndio maelezo gani hiyo jaman kuimba ndio sifa gani unampa hatar kubwa Mola atujaliye kheri na mwisho mwema,halafu unajisifu msaani tuliye na wezetu wapi mwezetu atafikia hatar daaah ujana uhai mitihan
Kifo huna huruma
Allah ampe kauli thabit pepo yawe makazi yake ameen
Kwani wasagaji huenda peponi?
@@shammusfredy4158..Sio maneno ya kusema ndg yng hayo Ina Mana tyr ushamuhukumu au?! Huwezi jua mtu mwisho wake na Siri yake ajuaye ni ALLAH tuuu la mcngi ni kuombeyana dua kwa wote au ilikuwa na chuki nae?? !!.
Allah amlaze mahala pema bibi angu💔🤲🏻😭
Ameen na ameen.mzimaa uhti dida
Bas inatosha tafadhalini musifanye Monayo yataka.ata were kuna siku u takufa.jua hilo tobaaaweee
😭😭😭
Innallilah wainnallah lajiun 😭
May he rest
Innallilah waina illah rajiun
Mola amsameh, ampe kauli. AMIN
Amin
Baada kutaja madua na visomo ashindikizwa na majimbo mitihan
Inasikitisha
Allah amsamehe makosa yake