Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Kwakwel huyu jamaa ana dhima kubwa sana mbele ya Allah. Wapi mnaupeleka Uislamu ndugu zangu . Siku ya Kiama kuna mengi sana ya kujibu wewe Haji Manara . Usitumie Umaarufu wako kuiangmiza Dini ya Uislamu. Allah anifungulie mwisho mwema .aamin
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiun, ni msiba Haji manara musimcheze shere Mtume, yaani mnatangaza hadhara ya Nabii hlf mnapiga muziki, wapi mmetowa ktk hadithi au aya ya quran kwamba muziki ni ktk dini
Mungu hajakataa burudani za kistaarabu hapo hakuna matusi nyimbo inafundisha maneno ambayo hata mwenyezi mungu mwenyewe ameyapitisha na hiyo ni kama qasida tu hakuna ubaya mungu hajasema mufikirie kufa tu msifanye mambo mengine mumfikirie yeye tu,kuna mambo ambayo mungu hawezi kukupa adhabu kubwa kama utalifanya bila kukufuru kupita kiasi nyimbo pia zinapunguza stress zinafundisha kwa ameimba kumsifu mungu na mtume wake na akaimba hujafa hujaumbika hayo ni mafundisho makubwa ambayo mwenyezi mungu hawezi kukuadhibu eti kwa sababu umetumia vyombo tusiifanye dini ya kiislamu kuwa ngumu kiasi kwamba waislamu wajione wapo gerezani lakini kuna mambo yaliyofanywa na manabii hayawezi kufanywa na binadamu wa leo kwa mfano mtume Muhammad saw alifunga mwaka mzima haya wewe unaweza mtume aliongea na mungu alishushiwa wahai je wewe kwanza hii ndio njia sahihi ya muislamu kupata burudani.someni vizuri vitabu sio kutoa laana tu nyinyi ndio wale msiofanya kazi kwa kisingizio mungu yupo ataleta,
Mh! Ndugu yang ww umesoma lkn naona elimu yako inakupoteza Yani Leo unattea mziki acha fikira potofu mwenyez mungu s.w. kupitia Qur'an na mtume wake Alisha eleza njia za kutowa mafundisho Na akabainisha haqi na batli na mziki ukazungumzwa ktk Aya tofaut za Qur'an mpk ukatolewa mfano wa muimbaji hata awe na saut nzr kiasgani bas nisawa na saut ya punda Yan hapa pamefanywa kufru kubwa Sana Tena et kwabaraka za mtume apo kunabaraka gan Ww unadanga nyika na hizo mbwembwe za haji manara na kujifanya shekhe anaushekhe gan kuuzalilisha uislamutu Et unafokea watu ww amesomawap dini acha izo ww,
Acha uongo wewe ..Mtume amesema sauti 2 zimelaaniwa duniani na akhera ...kwanza sauti ya mwanammke wakt wa msiba na nasuti za vinanda wakt wa furaha ...hilo ulijue kuwa haifai kupiga mnanda umelaaniwa..😢😢😢unasema tu kwa matamanio yako ya kidunia..?pole sana.kisha nakujulisha kua sauti ya mwanamke ni aura..yaani uchi....hapo anaimba mbele ya wanaume kibao haifai kisha wanapiga mnanda Allah awaongoze ktk njia sahihi.@@saidbakar-qo6ri
HASBIALLAH WANEEMALWAKILI HUU KWANZA HAPA NAOMBA TUJIFUNZE KITU KUNA BAADHI YA MDHEHEBI YANACHOCHEA WATU KUINGIA KWENYE MAMBO MACHAFU NA KUONEKANA NI MAZUR NA TABIA HII NDIO INAYOTUHARIBIA UISILAM WETU
Nyie mnajitia dhiki ya meneno ya huyu subhanallah huyu ata hajuwi km kuna siku ya mwisho na hisaab ndio maana hana khofu ya Allah yaarabb muhidi mja wako yaani anasifia kawacha ya akhera haya maulidi ya mtume au taarab subhanallah
Sasa hapo wakristo wamefanya nini tena hebu acheni kuhukum jaman wote tunasoma maandiko tunaamini ila hakuna hata mmoja Aliyefika mbinguni akaiona hiyo kweli tusihukumu kbsaaa maaana hakuna aliyekufa akarud akayashuhudia hayo
Hapo mashekhe bado mpewe mirungi na shisha maana mnashangilia kama mpo mpirani SHEKHE NYUNDO ALLHA HUMA FIRAHU WARAHAMAHU MASKANA FIL JANAT ULISEMA UKWELI QASWAIDA NI NDUGU YAKE TAARABU.
hili manara linapenda starehe za dunia wallahi sasa linaingilia na dini munaliangalia tu linapotosha umma kwa matamanio yake lipate pesa za kumnunulia zai lisa vichupi na vipendo vya kuoneshea mitandaoni
Yote mabaya yamekusanyika ktk hadhara hii,wanawake kuzihirisha mapambo yao mbele ya wanaume,kuimba mbele ya wanaume,kuchanganyika wanawake na wanaume.na mbaya zote ktk dini vinanda na magita yametokea wapi.subhanalllah Allah atupe mwisho mwema.
Yaani kila cku zikenda watu wanafanya uzushi tu katika dini dah inasikitisha sana mhm haramu inafanywa halali mwanamke anaghani sauti yake mbele ya umati wa wanaume na wao wanashangiria kwa mayowe na kanzu kubwa makoti na kofia dah 😢😢😢😢😢
Hakuna aliye msafi mbele zake mungu tena hao mnaowakadhfu nakuwahulumu ndio siku ya mwisho watawapatia hta Tone la machozi mkate kiu ya moto mkali kikubwa Tuombeane sio kusimangana sisi sote hapa Dunia sio yetu tunapita tu
yani haitakua shida tena kugundua ibada hii potofu iliyojificha kupitia kichaka cha kumsifu mtume .huu ni mziki wamelaaniwa wpigaji na wenye kusikiliza na hii hasa asili yake ni nyimbo msidanganywe na we da rukia umri umeenda tubiaa .usiendekeze dunia
Hivi jman ni swahaba gn achana na mitume ambae ailiwahi kufanya haya tunayoyafanya hivo kweli dini ingesimama kirahisi yani ufanye hivo ujidanganye unapata thawabi ee yaarabbi tusaidie waja wako
manara Allah Aqbaru nynyi mwaichezea dini ndo nni ushenzi huu hivi hmna KAZI za kufanya nynyi madhwarimu et n hajji innalilah wainnailaih rajjiun mmelaaniwa Allah awangamize 6:51 😢😢😢😢
Ndio maana M/Mungu anakupa kinachostahik maana wengine wakizidishiwa neema za allah humsahau alie wapa. Huyo manara umaarufu wa ndani ya nchi tu leo unayafanya hayo kua nihalal
Wacheni uhuni hizi sio qaswida ni majimbo kama majimbo mengine tu msitupumbaze endeleeni kupotoka na kuupotesha umma ila yote haya mtalipa mbele ya Allah
yaa allah tuongoze ktk njia ilio nyooka aamiin
AMEEN
Maanara uwe na heshima usimtaje MTUME MUHAMMAD SALA NA SALAM KWEYE UCHAFU KAMA HUOWO
Tumuombe Mwenyezi Mungu (s.w) atujaalie mwisho mwema! Amin.
Rip sheikh NYundo... Angekuepo Marehemu Sheikh NYundo angekemea hii Subhanallah
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Kwakwel huyu jamaa ana dhima kubwa sana mbele ya Allah. Wapi mnaupeleka Uislamu ndugu zangu . Siku ya Kiama kuna mengi sana ya kujibu wewe Haji Manara . Usitumie Umaarufu wako kuiangmiza Dini ya Uislamu. Allah anifungulie mwisho mwema .aamin
Kwa hiyo wewe ushapewa kazi ya kuhukumu watu waende motoni au peponi,hongera kwa kazi hiyo bwege mkubwa weww
@@rajabubwakila1977 kwanz Nenda kasome Uislamu kisha utajua nini nmekiongelea hapo. Huwezi jua Uislamu umeamrisha nini na umekataza nini kama huna Elimu
Allah tupe mwisho mwema mimi na familia yangu na kizazi changu huu ni msba mkubwa
Duh dini imefkia hivi malengo yavwenzetu yametimia kadri dunia inavoisha ndio tunazidi kuangamia,SUBHANALLAH.
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiun, ni msiba Haji manara musimcheze shere Mtume, yaani mnatangaza hadhara ya Nabii hlf mnapiga muziki, wapi mmetowa ktk hadithi au aya ya quran kwamba muziki ni ktk dini
Mungu hajakataa burudani za kistaarabu hapo hakuna matusi nyimbo inafundisha maneno ambayo hata mwenyezi mungu mwenyewe ameyapitisha na hiyo ni kama qasida tu hakuna ubaya mungu hajasema mufikirie kufa tu msifanye mambo mengine mumfikirie yeye tu,kuna mambo ambayo mungu hawezi kukupa adhabu kubwa kama utalifanya bila kukufuru kupita kiasi nyimbo pia zinapunguza stress zinafundisha kwa ameimba kumsifu mungu na mtume wake na akaimba hujafa hujaumbika hayo ni mafundisho makubwa ambayo mwenyezi mungu hawezi kukuadhibu eti kwa sababu umetumia vyombo tusiifanye dini ya kiislamu kuwa ngumu kiasi kwamba waislamu wajione wapo gerezani lakini kuna mambo yaliyofanywa na manabii hayawezi kufanywa na binadamu wa leo kwa mfano mtume Muhammad saw alifunga mwaka mzima haya wewe unaweza mtume aliongea na mungu alishushiwa wahai je wewe kwanza hii ndio njia sahihi ya muislamu kupata burudani.someni vizuri vitabu sio kutoa laana tu nyinyi ndio wale msiofanya kazi kwa kisingizio mungu yupo ataleta,
Mh! Ndugu yang ww umesoma lkn naona elimu yako inakupoteza
Yani Leo unattea mziki acha fikira potofu mwenyez mungu s.w. kupitia Qur'an na mtume wake Alisha eleza njia za kutowa mafundisho
Na akabainisha haqi na batli na mziki ukazungumzwa ktk Aya tofaut za Qur'an mpk ukatolewa mfano wa muimbaji hata awe na saut nzr kiasgani bas nisawa na saut ya punda
Yan hapa pamefanywa kufru kubwa Sana Tena et kwabaraka za mtume apo kunabaraka gan
Ww unadanga nyika na hizo mbwembwe za haji manara na kujifanya shekhe anaushekhe gan kuuzalilisha uislamutu
Et unafokea watu ww amesomawap dini acha izo ww,
Nikweli mungu hajakataa lkn ilitupa muongozo ni burudani za ainagani alizo zridhia sio yyote unayo itaka ww
Napia akabainisha burudani za ainagani hakuzridhia
@@saidbakar-qo6riandishi kubwa bila dalili ni ujinga
Acha uongo wewe ..Mtume amesema sauti 2 zimelaaniwa duniani na akhera ...kwanza sauti ya mwanammke wakt wa msiba na nasuti za vinanda wakt wa furaha ...hilo ulijue kuwa haifai kupiga mnanda umelaaniwa..😢😢😢unasema tu kwa matamanio yako ya kidunia..?pole sana.kisha nakujulisha kua sauti ya mwanamke ni aura..yaani uchi....hapo anaimba mbele ya wanaume kibao haifai kisha wanapiga mnanda Allah awaongoze ktk njia sahihi.@@saidbakar-qo6ri
Nyundo kaondoka hawa ndio walikua wanamuelewa yule mwamba wakweli nyundo mungu amlipe mena alijua kuongea na hawa watu au na sisi watu
Yarabb tunaomba utupe mwisho mwema ❤😢
Kaka angu hata ukiumwa unasikiliza nyimbo badala ya kufanya dhikri na dua.. jitahidi kaka ktk ibada. Nakupenda sana
Nyundo ragmallhah aliwahi kusema kaswida ni ndugu yake taarab Naam yametimia..
Jamani muogopen Allah dunia mapito 😢
Hiii hpn Kwa kweli mi baba mizima inashangilia na mikanzu vinanada na magita
Innalillahi wainna ilahirajiun manara ww muongope mungu hayomambo na biziki taarabu mbona mnafanana subhanallah
Inalillah wainaillahi rajijn
Hizi ni taarabu tu nyingine,sioni dini hapa.Innalillah wainna ilayh raaji'un
SubhanaLLAH Yarab tustiri waja wako kwani hii ni taarab sio Nashi mchanganyiko wa wake kwa waume ya ALLAH awaongoze walio potea
Hasbiyallaahu waniimal-wakiyl loh huyu kila cku zikenda anazidi tu kufanya kufru na wala hajali dah Yaa A'llaah tuongoze ktk njia iliyonyooka😢😢😢
HASBIALLAH WANEEMALWAKILI HUU KWANZA HAPA NAOMBA TUJIFUNZE KITU KUNA BAADHI YA MDHEHEBI YANACHOCHEA WATU KUINGIA KWENYE MAMBO MACHAFU NA KUONEKANA NI MAZUR NA TABIA HII NDIO INAYOTUHARIBIA UISILAM WETU
Muwe mnamuogopa mungu yaaani dhehebu lingine lichochee wewe kuharibiwa uislam kweli? Acheni kuhukumu hovyo mnajiona nyie ndio mna haki mbele ya MOLA JALAAL
mañara umeponyoka unachanganya dini na mitaarabu amakweli mmezidi 😊
Innalilah wainnailahim rajiuun mcheni Allah kesho Kwa Allah mtajibu Nini sisi tuna wakumbusha huu ni mziki
Allah atuhidi mana kila kukicha balaa zinazidi. Inna lillah waina ilaihi rajioun.
Nyie mnajitia dhiki ya meneno ya huyu subhanallah huyu ata hajuwi km kuna siku ya mwisho na hisaab ndio maana hana khofu ya Allah yaarabb muhidi mja wako yaani anasifia kawacha ya akhera haya maulidi ya mtume au taarab subhanallah
Mashehe wetu jamani wamekaa kabisa wana enjoy rabb tusitiri 😢
Me nilifikiri hii tv ni ya kiislam mwanzo na mwisho wa kuangalia tv hii ni Leo in Sha Allah
Hii ni yawaenda mbinguni.
Mtihani kwa kweli ata mimi pia nilizani ni tv ya mawaidha ya kiislam
Tamasha la muziki wa pwani ingekuwa ndio jina zuri,kufungamanisha na dini ni utapeli😂
Ushasema😂🎉
Subhaanaallah Allah atuongoze haifai jamani hivi sivyo😢
inasikitisha kwa kweli waislam tumekuwa hatujui dini kiasi hichi tunajirusha steem kwa matamanio ya dunia inna lillahi wa inna illayhi rajuun
Si hatujui vo..ni tuna dharau maarisho wallah mtihani
Huu msiba nlikuwa cjauona innallilah wainnallilah rajiun…Allah atupe mwisho mwema
WAHUNI WAKUBWA NA MIKANZU YAO! 👀👀
Salaaaala,
Miziki jamani katika uislamu haimo
Mc Haji Manara mashallah ❤❤❤❤
Wanaiga wakristo sasa bado kusema Yesu Mungu tu
Sasa hapo wakristo wamefanya nini tena hebu acheni kuhukum jaman wote tunasoma maandiko tunaamini ila hakuna hata mmoja Aliyefika mbinguni akaiona hiyo kweli tusihukumu kbsaaa maaana hakuna aliyekufa akarud akayashuhudia hayo
Hii sio kabisaa astaghfirulaa
Daah...hii ndo kazi ya babdeo kumbe....bora Abu khaula alivyokataa mahojiano nae...😢
Mbna hamna tofauti na wakatoliki
Apo wakatoriki wenyewe wakasome
Kesho jiandaeni na majibu kwa allah
Mwenzetu umeshayajibu nini??! Na kwa kiasi gani upo salama na msafi kwake JALALI?? ( MUHIMU MIMI NAWEWE TUOMBEANE DUWAA NJEMA (
Tena wao ndio unaweza kufika huko ukawaomba hta tone la machozi wakudondoshee unywe hacheni kuhukumu hovyo
Ina maaaana wote waliokaa hapo mnawaona niwajinga? Kumbukeni mungu tunamtukuza kwa nyimbo pia na swala acheni kuhukumu hovyo
Hapana hii sio sawa kbc
Innalillah waiina ilaihi Rrajiuun
Mnasherehekea muziki dah
Mwenyezi Mungu haombwi kwa nyimbo
Mungu anatukuzwa kwa nyimbo pia
Ndio sababu malaika wanaimba nakumsifu
Tujaribu kutofautisha kaswida na Taarabu japo yatakuwa ni maneno mazuri ya Mwenyezi Mungu.
Allah atupe mwisho mwema Amini tunako enda siko
Hajimanara hujulika
N upokindigani allh akuhidiiiii
Eti wamekutana walevi, waimba mziki wamevaaa hovyooo utadhani wakristoooo hahahahah
Sana, mi nimejiuliza kwani apa, ni kanisani wanaimba kwaya au,
Hapo mashekhe bado mpewe mirungi na shisha maana mnashangilia kama mpo mpirani SHEKHE NYUNDO ALLHA HUMA FIRAHU WARAHAMAHU MASKANA FIL JANAT ULISEMA UKWELI QASWAIDA NI NDUGU YAKE TAARABU.
Dunia hii ina maajabu
Nashukuru kwa elim yangu ndogo nilio pata
Izo ni nyimbo wana wanafanya ni din
Yule sheikh wazanzibar orhman maalim haya serikali na alhah magugu na dhahabu waonaje shekhe au unawaongoza wa mwamposa kaenikimya tu alhah analipa
@@user-hj4bc5uh2x maybe he don't see this tv thats why he's the best sheik
We mlaji mirungi mmoja umeipendaa acha kujifanya hupendi wakati mnasaga mongokaa pamoja
hili manara linapenda starehe za dunia wallahi sasa linaingilia na dini munaliangalia tu linapotosha umma kwa matamanio yake lipate pesa za kumnunulia zai lisa vichupi na vipendo vya kuoneshea mitandaoni
Manara wachizika naona
Na kuna dua na vinanda shekh
Yote mabaya yamekusanyika ktk hadhara hii,wanawake kuzihirisha mapambo yao mbele ya wanaume,kuimba mbele ya wanaume,kuchanganyika wanawake na wanaume.na mbaya zote ktk dini vinanda na magita yametokea wapi.subhanalllah Allah atupe mwisho mwema.
hatari voo dini munaipeleka wapi bongo munamkabidhi manara mtu wa starehe za kidunia
Wapotezwa na Haji Manara awapoteza tuu apoo
Tubia na weyee tena Allah kakupendaa kakupa umri mrefu upate kutubia lkn wataka upoteza ta pumzi hunatena
@@fatmasaid4114 hahahaaaa hili jamaa linapenda starehe za kidunia limepagawa wallahi
@@fatmasaid4114 msiba voo
ndy tukisema maulidi nikama tarabu wanasema sisi tunampinga mtume wetu na kutuita wahabi tatz watu hawasomi dini
Yaani kila cku zikenda watu wanafanya uzushi tu katika dini dah inasikitisha sana mhm haramu inafanywa halali mwanamke anaghani sauti yake mbele ya umati wa wanaume na wao wanashangiria kwa mayowe na kanzu kubwa makoti na kofia dah 😢😢😢😢😢
Rukia Ramadhani Bint Abiazi ❤❤
Mimi ni mpenzi wa khaswida lakini kwa hivi Subha Allah
Taarabu hizi mmeziweka kwny dini babdeo ujiandae kwa ALLAH
Hi ni makosa,ndivo Allah anavoombwa kusamehe makosa
Ni kweli ni mwimbaji mzuri.Nilimsikiza zamani
Halafu hii channel tujue mojaaaa iko upande gani duniani au akhera
Mashallah kazi nzuri
Innalilahi wainna ilaihi... haram, haram, haram.
Huku Tanga hii ni kijamvi hapo mirungi na shisha . .
Dahhhh nyimb kweny maulid dahhh😢😢😢😢😢😢
Kwani nini tofauti ya nyimbo na kaswida
@@abiabi9353Ni ndugu tu mjomba na shangazi
Jaman watu mnamodomo michafu khaaa😢😢😢
Hizi sio Kaswaidaa,,Haya ni mambo ya pwanii,, .
Usikute mufti yupo na kayanyamazia
Msichanganye kasida na nyimbo za kumsifu mtume wetu Muhammad SAW hatari jamani majanga yamezidi.
Hakuna aliye msafi mbele zake mungu tena hao mnaowakadhfu nakuwahulumu ndio siku ya mwisho watawapatia hta Tone la machozi mkate kiu ya moto mkali kikubwa Tuombeane sio kusimangana sisi sote hapa Dunia sio yetu tunapita tu
Mbona hapa wengi wanafiki
yani haitakua shida tena kugundua ibada hii potofu iliyojificha kupitia kichaka cha kumsifu mtume .huu ni mziki wamelaaniwa wpigaji na wenye kusikiliza na hii hasa asili yake ni nyimbo msidanganywe na we da rukia umri umeenda tubiaa .usiendekeze dunia
Hivi jman ni swahaba gn achana na mitume ambae ailiwahi kufanya haya tunayoyafanya hivo kweli dini ingesimama kirahisi yani ufanye hivo ujidanganye unapata thawabi ee yaarabbi tusaidie waja wako
manara Allah Aqbaru nynyi mwaichezea dini ndo nni ushenzi huu hivi hmna KAZI za kufanya nynyi madhwarimu et n hajji innalilah wainnailaih rajjiun mmelaaniwa Allah awangamize 6:51 😢😢😢😢
Jamani Ogopeni siku ya Mwisho Watu wazima Bado munaikumbatia Dunia Rudini Kwa Allah wetu mutakwenda kujibu kulioyatenda
😢😢😢 msibwa mkubwa
Kizazi chakuhukumiana kazi ya hukumu niyake jallah jalal
Aswaaaaaa waaaambie
Hii sio hadhara ya mtume jamani. Dah
Kazi mnayo mlokamilika kabla hamjafa
❤
Ila Haji ni muongo. Zingizi na hicho kipande wapi na wapi!? Hilo neno lipo kabla Zingizi hajazaliwa
Allah awaongoze kwenye heli
Hawa si waislamu Ni waswahili
Haji Manara منافق
Katoka kukanyaga mavi karukia mikojo sijui ndo kuna tofauti ipi hapo dah mitihani bilisi kweli anatuweza
Manara mwenyewe ana laana iliyopitiliza bastaad
Baada ya harmonise now Manara, Allah tuongoze😢
Yaaaaani comment zote humu nizawatoa hukumu tu kaaaaah😢
Hata na mashekhe waliojumuika Imani zao ni kama manara wa michezo ya mpirasio dini hiyo
Kunguru kumpaka rangi hawi njiwa kamwe.
Inna lillah waina ilayhi rajiuun
Ndio maana M/Mungu anakupa kinachostahik maana wengine wakizidishiwa neema za allah humsahau alie wapa. Huyo manara umaarufu wa ndani ya nchi tu leo unayafanya hayo kua nihalal
Babdeo miladu ni chaneli ya kidini au ya muziki, mbona hamueleweki mbona mnachanganya nyama ya nguruwe na ng'ombe
Dah hatari hadhara ya nani?manara unayumba sana..unakosea sana
Wacheni uhuni hizi sio qaswida ni majimbo kama majimbo mengine tu msitupumbaze endeleeni kupotoka na kuupotesha umma ila yote haya mtalipa mbele ya Allah
Qaswida my bro ni lugha ila ni nyimbo kama nyimbo nyingine
Rukia ramadhani mama tubia tena umri ushakuwa mkubwa huo tena tubia
Dah kweli acha tusemwe sasa nitaarabu au mauridi?
Mchanganyiko wa wanawake na wanaume,,na masheikhe wako mbele,,innalillahi wainna ilayhi raajiuun,,,tukiambiwa tunakuwa wakali
10:52
Babdeo mambo km haya sio yakidini unaudhalilisha uislam watu wa dar mumezidi sasa kaaa
Wenyewe wanajiita kipenzi vya mtume😂
Wangekuwepo maswahaba mungekula makwaju nyote mlohudhuria kwenye disco
Nww pia unaweza kuwachapa si unafata ya maswahaba ALAH awaridhie.
Manara acha kumtaja mtume wetu fata yaki sitarehe yako wewe umesoma dini lkni mungu ndo atakuhukumu
Hyu mzee haji manara yye mwenyewe sialituambia alisomesha chuo kwa maalim basaleh ssa vtuko hv vp jmn ma vipensi mara uuzi huu naule jmn