BI RUKIA AKIIMBA "HUJAFA HUJAUMBIKA" KWA HISIA KUBWA, MANARA AMWAGA PESA, LAYLATUL HELWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 เม.ย. 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น • 246

  • @SaidOmar-sd2yo
    @SaidOmar-sd2yo 2 หลายเดือนก่อน +25

    yaa allah tuongoze ktk njia ilio nyooka aamiin

    • @thedon8467
      @thedon8467 2 หลายเดือนก่อน

      AMEEN

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 2 หลายเดือนก่อน +15

    Maanara uwe na heshima usimtaje MTUME MUHAMMAD SALA NA SALAM KWEYE UCHAFU KAMA HUOWO

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 หลายเดือนก่อน +11

    Tumuombe Mwenyezi Mungu (s.w) atujaalie mwisho mwema! Amin.

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl 2 หลายเดือนก่อน +26

    Rip sheikh NYundo... Angekuepo Marehemu Sheikh NYundo angekemea hii Subhanallah

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 2 หลายเดือนก่อน +15

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Kwakwel huyu jamaa ana dhima kubwa sana mbele ya Allah. Wapi mnaupeleka Uislamu ndugu zangu . Siku ya Kiama kuna mengi sana ya kujibu wewe Haji Manara . Usitumie Umaarufu wako kuiangmiza Dini ya Uislamu. Allah anifungulie mwisho mwema .aamin

    • @rajabubwakila1977
      @rajabubwakila1977 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo wewe ushapewa kazi ya kuhukumu watu waende motoni au peponi,hongera kwa kazi hiyo bwege mkubwa weww

    • @zanlec7357
      @zanlec7357 หลายเดือนก่อน +1

      @@rajabubwakila1977 kwanz Nenda kasome Uislamu kisha utajua nini nmekiongelea hapo. Huwezi jua Uislamu umeamrisha nini na umekataza nini kama huna Elimu

  • @FatumaSaid-ry2eq
    @FatumaSaid-ry2eq หลายเดือนก่อน +6

    Allah tupe mwisho mwema mimi na familia yangu na kizazi changu huu ni msba mkubwa

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England 2 หลายเดือนก่อน +10

    Duh dini imefkia hivi malengo yavwenzetu yametimia kadri dunia inavoisha ndio tunazidi kuangamia,SUBHANALLAH.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 2 หลายเดือนก่อน +25

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiun, ni msiba Haji manara musimcheze shere Mtume, yaani mnatangaza hadhara ya Nabii hlf mnapiga muziki, wapi mmetowa ktk hadithi au aya ya quran kwamba muziki ni ktk dini

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mungu hajakataa burudani za kistaarabu hapo hakuna matusi nyimbo inafundisha maneno ambayo hata mwenyezi mungu mwenyewe ameyapitisha na hiyo ni kama qasida tu hakuna ubaya mungu hajasema mufikirie kufa tu msifanye mambo mengine mumfikirie yeye tu,kuna mambo ambayo mungu hawezi kukupa adhabu kubwa kama utalifanya bila kukufuru kupita kiasi nyimbo pia zinapunguza stress zinafundisha kwa ameimba kumsifu mungu na mtume wake na akaimba hujafa hujaumbika hayo ni mafundisho makubwa ambayo mwenyezi mungu hawezi kukuadhibu eti kwa sababu umetumia vyombo tusiifanye dini ya kiislamu kuwa ngumu kiasi kwamba waislamu wajione wapo gerezani lakini kuna mambo yaliyofanywa na manabii hayawezi kufanywa na binadamu wa leo kwa mfano mtume Muhammad saw alifunga mwaka mzima haya wewe unaweza mtume aliongea na mungu alishushiwa wahai je wewe kwanza hii ndio njia sahihi ya muislamu kupata burudani.someni vizuri vitabu sio kutoa laana tu nyinyi ndio wale msiofanya kazi kwa kisingizio mungu yupo ataleta,

    • @muhamedali3902
      @muhamedali3902 2 หลายเดือนก่อน

      Mh! Ndugu yang ww umesoma lkn naona elimu yako inakupoteza
      Yani Leo unattea mziki acha fikira potofu mwenyez mungu s.w. kupitia Qur'an na mtume wake Alisha eleza njia za kutowa mafundisho
      Na akabainisha haqi na batli na mziki ukazungumzwa ktk Aya tofaut za Qur'an mpk ukatolewa mfano wa muimbaji hata awe na saut nzr kiasgani bas nisawa na saut ya punda
      Yan hapa pamefanywa kufru kubwa Sana Tena et kwabaraka za mtume apo kunabaraka gan
      Ww unadanga nyika na hizo mbwembwe za haji manara na kujifanya shekhe anaushekhe gan kuuzalilisha uislamutu
      Et unafokea watu ww amesomawap dini acha izo ww,

    • @muhamedali3902
      @muhamedali3902 2 หลายเดือนก่อน +4

      Nikweli mungu hajakataa lkn ilitupa muongozo ni burudani za ainagani alizo zridhia sio yyote unayo itaka ww
      Napia akabainisha burudani za ainagani hakuzridhia

    • @litimbaify
      @litimbaify หลายเดือนก่อน +1

      ​@@saidbakar-qo6riandishi kubwa bila dalili ni ujinga

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo wewe ..Mtume amesema sauti 2 zimelaaniwa duniani na akhera ...kwanza sauti ya mwanammke wakt wa msiba na nasuti za vinanda wakt wa furaha ...hilo ulijue kuwa haifai kupiga mnanda umelaaniwa..😢😢😢unasema tu kwa matamanio yako ya kidunia..?pole sana.kisha nakujulisha kua sauti ya mwanamke ni aura..yaani uchi....hapo anaimba mbele ya wanaume kibao haifai kisha wanapiga mnanda Allah awaongoze ktk njia sahihi.​@@saidbakar-qo6ri

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 หลายเดือนก่อน +13

    Nyundo kaondoka hawa ndio walikua wanamuelewa yule mwamba wakweli nyundo mungu amlipe mena alijua kuongea na hawa watu au na sisi watu

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 2 หลายเดือนก่อน +10

    Yarabb tunaomba utupe mwisho mwema ❤😢

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kaka angu hata ukiumwa unasikiliza nyimbo badala ya kufanya dhikri na dua.. jitahidi kaka ktk ibada. Nakupenda sana

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nyundo ragmallhah aliwahi kusema kaswida ni ndugu yake taarab Naam yametimia..

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa684 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani muogopen Allah dunia mapito 😢

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 2 หลายเดือนก่อน +11

    Hiii hpn Kwa kweli mi baba mizima inashangilia na mikanzu vinanada na magita

  • @OmQrf
    @OmQrf หลายเดือนก่อน +2

    Innalillahi wainna ilahirajiun manara ww muongope mungu hayomambo na biziki taarabu mbona mnafanana subhanallah

  • @khamishassan68
    @khamishassan68 2 หลายเดือนก่อน +4

    Inalillah wainaillahi rajijn

  • @RahmaShemdoe
    @RahmaShemdoe หลายเดือนก่อน +3

    Hizi ni taarabu tu nyingine,sioni dini hapa.Innalillah wainna ilayh raaji'un

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 2 หลายเดือนก่อน +4

    SubhanaLLAH Yarab tustiri waja wako kwani hii ni taarab sio Nashi mchanganyiko wa wake kwa waume ya ALLAH awaongoze walio potea

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 หลายเดือนก่อน +1

    Hasbiyallaahu waniimal-wakiyl loh huyu kila cku zikenda anazidi tu kufanya kufru na wala hajali dah Yaa A'llaah tuongoze ktk njia iliyonyooka😢😢😢

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 2 หลายเดือนก่อน +4

    HASBIALLAH WANEEMALWAKILI HUU KWANZA HAPA NAOMBA TUJIFUNZE KITU KUNA BAADHI YA MDHEHEBI YANACHOCHEA WATU KUINGIA KWENYE MAMBO MACHAFU NA KUONEKANA NI MAZUR NA TABIA HII NDIO INAYOTUHARIBIA UISILAM WETU

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Muwe mnamuogopa mungu yaaani dhehebu lingine lichochee wewe kuharibiwa uislam kweli? Acheni kuhukumu hovyo mnajiona nyie ndio mna haki mbele ya MOLA JALAAL

  • @RamadhaniMahamba-cx2so
    @RamadhaniMahamba-cx2so หลายเดือนก่อน +4

    mañara umeponyoka unachanganya dini na mitaarabu amakweli mmezidi 😊

  • @AbdalallaBrahimam
    @AbdalallaBrahimam 2 หลายเดือนก่อน +4

    Innalilah wainnailahim rajiuun mcheni Allah kesho Kwa Allah mtajibu Nini sisi tuna wakumbusha huu ni mziki

  • @rukky4169
    @rukky4169 หลายเดือนก่อน +2

    Allah atuhidi mana kila kukicha balaa zinazidi. Inna lillah waina ilaihi rajioun.

  • @shekhamohd4891
    @shekhamohd4891 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie mnajitia dhiki ya meneno ya huyu subhanallah huyu ata hajuwi km kuna siku ya mwisho na hisaab ndio maana hana khofu ya Allah yaarabb muhidi mja wako yaani anasifia kawacha ya akhera haya maulidi ya mtume au taarab subhanallah

  • @hawamhanga2951
    @hawamhanga2951 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mashehe wetu jamani wamekaa kabisa wana enjoy rabb tusitiri 😢

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 หลายเดือนก่อน +7

    Me nilifikiri hii tv ni ya kiislam mwanzo na mwisho wa kuangalia tv hii ni Leo in Sha Allah

    • @Werema3760
      @Werema3760 2 หลายเดือนก่อน

      Hii ni yawaenda mbinguni.

    • @user-vs7vv7xd2f
      @user-vs7vv7xd2f หลายเดือนก่อน

      Mtihani kwa kweli ata mimi pia nilizani ni tv ya mawaidha ya kiislam

  • @musababdullah5813
    @musababdullah5813 2 หลายเดือนก่อน +20

    Tamasha la muziki wa pwani ingekuwa ndio jina zuri,kufungamanisha na dini ni utapeli😂

    • @meandme3437
      @meandme3437 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ushasema😂🎉

  • @luqmansaid-ip2dm
    @luqmansaid-ip2dm 2 หลายเดือนก่อน +3

    Subhaanaallah Allah atuongoze haifai jamani hivi sivyo😢

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 2 หลายเดือนก่อน +4

    inasikitisha kwa kweli waislam tumekuwa hatujui dini kiasi hichi tunajirusha steem kwa matamanio ya dunia inna lillahi wa inna illayhi rajuun

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 หลายเดือนก่อน

      Si hatujui vo..ni tuna dharau maarisho wallah mtihani

  • @fatmarashidy280
    @fatmarashidy280 หลายเดือนก่อน +1

    Huu msiba nlikuwa cjauona innallilah wainnallilah rajiun…Allah atupe mwisho mwema

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 หลายเดือนก่อน +6

    WAHUNI WAKUBWA NA MIKANZU YAO! 👀👀

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 2 หลายเดือนก่อน +3

    Salaaaala,
    Miziki jamani katika uislamu haimo

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x หลายเดือนก่อน +2

    Mc Haji Manara mashallah ❤❤❤❤

  • @bouryschamata3093
    @bouryschamata3093 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wanaiga wakristo sasa bado kusema Yesu Mungu tu

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Sasa hapo wakristo wamefanya nini tena hebu acheni kuhukum jaman wote tunasoma maandiko tunaamini ila hakuna hata mmoja Aliyefika mbinguni akaiona hiyo kweli tusihukumu kbsaaa maaana hakuna aliyekufa akarud akayashuhudia hayo

  • @user-zz4lz3jb9w
    @user-zz4lz3jb9w หลายเดือนก่อน +3

    Hii sio kabisaa astaghfirulaa

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 หลายเดือนก่อน +3

    Daah...hii ndo kazi ya babdeo kumbe....bora Abu khaula alivyokataa mahojiano nae...😢

  • @nassorkhamis6233
    @nassorkhamis6233 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mbna hamna tofauti na wakatoliki

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696 2 หลายเดือนก่อน +13

    Kesho jiandaeni na majibu kwa allah

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mwenzetu umeshayajibu nini??! Na kwa kiasi gani upo salama na msafi kwake JALALI?? ( MUHIMU MIMI NAWEWE TUOMBEANE DUWAA NJEMA (

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Tena wao ndio unaweza kufika huko ukawaomba hta tone la machozi wakudondoshee unywe hacheni kuhukumu hovyo

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Ina maaaana wote waliokaa hapo mnawaona niwajinga? Kumbukeni mungu tunamtukuza kwa nyimbo pia na swala acheni kuhukumu hovyo

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana hii sio sawa kbc

  • @husseinyathuman87
    @husseinyathuman87 2 หลายเดือนก่อน +2

    Innalillah waiina ilaihi Rrajiuun
    Mnasherehekea muziki dah

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi Mungu haombwi kwa nyimbo

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Mungu anatukuzwa kwa nyimbo pia
      Ndio sababu malaika wanaimba nakumsifu

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl หลายเดือนก่อน +1

    Tujaribu kutofautisha kaswida na Taarabu japo yatakuwa ni maneno mazuri ya Mwenyezi Mungu.

  • @hawalulanga839
    @hawalulanga839 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah atupe mwisho mwema Amini tunako enda siko

  • @alush3138
    @alush3138 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hajimanara hujulika
    N upokindigani allh akuhidiiiii

  • @yusuphhamisi504
    @yusuphhamisi504 2 หลายเดือนก่อน +6

    Eti wamekutana walevi, waimba mziki wamevaaa hovyooo utadhani wakristoooo hahahahah

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 2 หลายเดือนก่อน

      Sana, mi nimejiuliza kwani apa, ni kanisani wanaimba kwaya au,

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 2 หลายเดือนก่อน +13

    Hapo mashekhe bado mpewe mirungi na shisha maana mnashangilia kama mpo mpirani SHEKHE NYUNDO ALLHA HUMA FIRAHU WARAHAMAHU MASKANA FIL JANAT ULISEMA UKWELI QASWAIDA NI NDUGU YAKE TAARABU.

    • @swalehbakari2667
      @swalehbakari2667 2 หลายเดือนก่อน +2

      Dunia hii ina maajabu
      Nashukuru kwa elim yangu ndogo nilio pata
      Izo ni nyimbo wana wanafanya ni din

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 2 หลายเดือนก่อน

      Yule sheikh wazanzibar orhman maalim haya serikali na alhah magugu na dhahabu waonaje shekhe au unawaongoza wa mwamposa kaenikimya tu alhah analipa

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k หลายเดือนก่อน

      ​@@user-hj4bc5uh2x maybe he don't see this tv thats why he's the best sheik

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 28 วันที่ผ่านมา +1

      We mlaji mirungi mmoja umeipendaa acha kujifanya hupendi wakati mnasaga mongokaa pamoja

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน +1

    hili manara linapenda starehe za dunia wallahi sasa linaingilia na dini munaliangalia tu linapotosha umma kwa matamanio yake lipate pesa za kumnunulia zai lisa vichupi na vipendo vya kuoneshea mitandaoni

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน +2

    Manara wachizika naona

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na kuna dua na vinanda shekh

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England 2 หลายเดือนก่อน +17

    Yote mabaya yamekusanyika ktk hadhara hii,wanawake kuzihirisha mapambo yao mbele ya wanaume,kuimba mbele ya wanaume,kuchanganyika wanawake na wanaume.na mbaya zote ktk dini vinanda na magita yametokea wapi.subhanalllah Allah atupe mwisho mwema.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน +2

      hatari voo dini munaipeleka wapi bongo munamkabidhi manara mtu wa starehe za kidunia

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wapotezwa na Haji Manara awapoteza tuu apoo

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 2 หลายเดือนก่อน

      Tubia na weyee tena Allah kakupendaa kakupa umri mrefu upate kutubia lkn wataka upoteza ta pumzi hunatena

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน

      @@fatmasaid4114 hahahaaaa hili jamaa linapenda starehe za kidunia limepagawa wallahi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน

      @@fatmasaid4114 msiba voo

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 2 หลายเดือนก่อน +4

    ndy tukisema maulidi nikama tarabu wanasema sisi tunampinga mtume wetu na kutuita wahabi tatz watu hawasomi dini

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 หลายเดือนก่อน

    Yaani kila cku zikenda watu wanafanya uzushi tu katika dini dah inasikitisha sana mhm haramu inafanywa halali mwanamke anaghani sauti yake mbele ya umati wa wanaume na wao wanashangiria kwa mayowe na kanzu kubwa makoti na kofia dah 😢😢😢😢😢

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x หลายเดือนก่อน +1

    Rukia Ramadhani Bint Abiazi ❤❤

  • @tabujuma9046
    @tabujuma9046 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mpenzi wa khaswida lakini kwa hivi Subha Allah

  • @Harunery
    @Harunery 21 วันที่ผ่านมา

    Taarabu hizi mmeziweka kwny dini babdeo ujiandae kwa ALLAH

  • @abdab8466
    @abdab8466 หลายเดือนก่อน +1

    Hi ni makosa,ndivo Allah anavoombwa kusamehe makosa

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli ni mwimbaji mzuri.Nilimsikiza zamani

  • @zalbak2738
    @zalbak2738 2 หลายเดือนก่อน +6

    Halafu hii channel tujue mojaaaa iko upande gani duniani au akhera

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah kazi nzuri

  • @sabriabdalla9562
    @sabriabdalla9562 20 วันที่ผ่านมา

    Innalilahi wainna ilaihi... haram, haram, haram.

  • @mdeesporttv6509
    @mdeesporttv6509 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huku Tanga hii ni kijamvi hapo mirungi na shisha . .

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kc 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dahhhh nyimb kweny maulid dahhh😢😢😢😢😢😢

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani nini tofauti ya nyimbo na kaswida

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@abiabi9353Ni ndugu tu mjomba na shangazi

  • @halimauwesu
    @halimauwesu 26 วันที่ผ่านมา

    Jaman watu mnamodomo michafu khaaa😢😢😢

  • @MkaliWagoka-bz6im
    @MkaliWagoka-bz6im 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi sio Kaswaidaa,,Haya ni mambo ya pwanii,, .

  • @wisemuddy5381
    @wisemuddy5381 หลายเดือนก่อน

    Usikute mufti yupo na kayanyamazia

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 หลายเดือนก่อน

    Msichanganye kasida na nyimbo za kumsifu mtume wetu Muhammad SAW hatari jamani majanga yamezidi.

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

    Hakuna aliye msafi mbele zake mungu tena hao mnaowakadhfu nakuwahulumu ndio siku ya mwisho watawapatia hta Tone la machozi mkate kiu ya moto mkali kikubwa Tuombeane sio kusimangana sisi sote hapa Dunia sio yetu tunapita tu

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hapa wengi wanafiki

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 หลายเดือนก่อน

    yani haitakua shida tena kugundua ibada hii potofu iliyojificha kupitia kichaka cha kumsifu mtume .huu ni mziki wamelaaniwa wpigaji na wenye kusikiliza na hii hasa asili yake ni nyimbo msidanganywe na we da rukia umri umeenda tubiaa .usiendekeze dunia

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 หลายเดือนก่อน

    Hivi jman ni swahaba gn achana na mitume ambae ailiwahi kufanya haya tunayoyafanya hivo kweli dini ingesimama kirahisi yani ufanye hivo ujidanganye unapata thawabi ee yaarabbi tusaidie waja wako

  • @user-wk8ju9xg4m
    @user-wk8ju9xg4m 2 หลายเดือนก่อน

    manara Allah Aqbaru nynyi mwaichezea dini ndo nni ushenzi huu hivi hmna KAZI za kufanya nynyi madhwarimu et n hajji innalilah wainnailaih rajjiun mmelaaniwa Allah awangamize 6:51 😢😢😢😢

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani Ogopeni siku ya Mwisho Watu wazima Bado munaikumbatia Dunia Rudini Kwa Allah wetu mutakwenda kujibu kulioyatenda

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢 msibwa mkubwa

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 หลายเดือนก่อน +1

    Kizazi chakuhukumiana kazi ya hukumu niyake jallah jalal

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

      Aswaaaaaa waaaambie

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hii sio hadhara ya mtume jamani. Dah

  • @rajabubwakila1977
    @rajabubwakila1977 หลายเดือนก่อน

    Kazi mnayo mlokamilika kabla hamjafa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 หลายเดือนก่อน

  • @mailacamillius
    @mailacamillius 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila Haji ni muongo. Zingizi na hicho kipande wapi na wapi!? Hilo neno lipo kabla Zingizi hajazaliwa

  • @Mussajuma1515
    @Mussajuma1515 หลายเดือนก่อน

    Allah awaongoze kwenye heli

  • @IslamAhmed-xd5my
    @IslamAhmed-xd5my 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa si waislamu Ni waswahili

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 หลายเดือนก่อน

    Katoka kukanyaga mavi karukia mikojo sijui ndo kuna tofauti ipi hapo dah mitihani bilisi kweli anatuweza

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

    Manara mwenyewe ana laana iliyopitiliza bastaad

  • @alwyhissa7358
    @alwyhissa7358 หลายเดือนก่อน

    Baada ya harmonise now Manara, Allah tuongoze😢

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002 หลายเดือนก่อน

    Yaaaaani comment zote humu nizawatoa hukumu tu kaaaaah😢

  • @user-ib3df2hr8i
    @user-ib3df2hr8i 2 หลายเดือนก่อน

    Hata na mashekhe waliojumuika Imani zao ni kama manara wa michezo ya mpirasio dini hiyo

  • @bintmadevu4009
    @bintmadevu4009 หลายเดือนก่อน

    Kunguru kumpaka rangi hawi njiwa kamwe.

  • @user-vs7vv7xd2f
    @user-vs7vv7xd2f หลายเดือนก่อน

    Inna lillah waina ilayhi rajiuun

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana M/Mungu anakupa kinachostahik maana wengine wakizidishiwa neema za allah humsahau alie wapa. Huyo manara umaarufu wa ndani ya nchi tu leo unayafanya hayo kua nihalal

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 2 หลายเดือนก่อน +3

    Babdeo miladu ni chaneli ya kidini au ya muziki, mbona hamueleweki mbona mnachanganya nyama ya nguruwe na ng'ombe

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Dah hatari hadhara ya nani?manara unayumba sana..unakosea sana

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 2 หลายเดือนก่อน +12

    Wacheni uhuni hizi sio qaswida ni majimbo kama majimbo mengine tu msitupumbaze endeleeni kupotoka na kuupotesha umma ila yote haya mtalipa mbele ya Allah

    • @nassor8819
      @nassor8819 หลายเดือนก่อน

      Qaswida my bro ni lugha ila ni nyimbo kama nyimbo nyingine

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x หลายเดือนก่อน

    Rukia ramadhani mama tubia tena umri ushakuwa mkubwa huo tena tubia

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah kweli acha tusemwe sasa nitaarabu au mauridi?

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 2 หลายเดือนก่อน

    Mchanganyiko wa wanawake na wanaume,,na masheikhe wako mbele,,innalillahi wainna ilayhi raajiuun,,,tukiambiwa tunakuwa wakali

  • @FatumaSaid-ry2eq
    @FatumaSaid-ry2eq หลายเดือนก่อน

    10:52

  • @user-nv1oi1ie9h
    @user-nv1oi1ie9h 2 หลายเดือนก่อน

    Babdeo mambo km haya sio yakidini unaudhalilisha uislam watu wa dar mumezidi sasa kaaa

  • @msarama5406
    @msarama5406 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wenyewe wanajiita kipenzi vya mtume😂

  • @seifhamid8329
    @seifhamid8329 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wangekuwepo maswahaba mungekula makwaju nyote mlohudhuria kwenye disco

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b หลายเดือนก่อน

      Nww pia unaweza kuwachapa si unafata ya maswahaba ALAH awaridhie.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 หลายเดือนก่อน

    Manara acha kumtaja mtume wetu fata yaki sitarehe yako wewe umesoma dini lkni mungu ndo atakuhukumu

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 2 หลายเดือนก่อน

    Hyu mzee haji manara yye mwenyewe sialituambia alisomesha chuo kwa maalim basaleh ssa vtuko hv vp jmn ma vipensi mara uuzi huu naule jmn