Hawa wezi wangetuachia nchi mbona wengine tunatamani kusaidia watanzania Kwa moyo wote hawa watu wanakosesha haki ya watanzania kupata afya,elimu,maji na majengo ya uma wakati wanakopa Hela za ukopa hazitakiwi kuliwa kiasi hicho
Haya mambo ndio magu aliziba mianya pesa ikapatikana ikafanya mambo makubwa lkn leo tunaambiwa mama anatafuta hela kwa wadhamini kumbe pesa anaiacha ndani wanatuibia tu, naomba watanzania wakuelewe na wtafute namna ya kuchukua hatua stahiki
Mpina Wewe ndio Gen Z pekee hapa Tanzania , wapenda nchi yetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Mungu usikilizwe na usiposikilizwa tuko na wewe unanikumbusha mbaaliiiiiiii 😢😢😢😢
Kweli huyu mnafukuza bungeni? Hivi watu kama Hawa Kwanini hamuwapende? Wasaidieni kufanya vizur si tunawalipa mishahara nyie kuweni waadilifu jamani mtapata tabu nyie nafamilia zenu mnakula hamsikii vibaya pesa za walipakodi mpeleka makumbani mwenu nyinyi wake wa waizi wakatazeni waumezenu au wakezenu mtadhurika nyie shauri zenu
Pamoja Sana Luhaga Mpina endelea kuwatetea watanzania ili kodi zetu zitumike Kwa maendeleo ya watanzania na mafisadi washitakiwe na kufilisiwa❤
Wa kulaumiwa ni mama Samia mlea majizi na mlea mafisadi atupishe
Safari hii wakusikilize kama kweli wabunge mnapenda nchi mna ulazima wa kumuunga mkono huyu Gen Z wetu Mungu akutunze
Mpina nimekuelewa sana Mungu akulinde sana
Mpina kuanzia Leo wewe ni rafika yangu, sikuizi nakuelewa sana
Mpina kanyagia hapo hapo kwenye mshono
Nakufuatilia toka Durban KwaZulu-Natal umenifurahisha sanaa akanyagie kwenye mshono😂😂😂
Haya mambo Mpina anayoongelea yachukuliwe hatua
Tanzania imekuwa shamba la bibi
LINI CCM MKAWAJIBISHANA ,KULENI NITTAASISI NYERERE ALIWEKA ,NIJINAI KUMUWAJIBISHA MWANA CCM ,BALI KIINIMACHO SAWA !!! ccm oyeeeeeee !
Mungu tupe watu kama hawa
HII NCHI VIONGOZI WQKUU PIA NIWAPIGAJI.
KWA SABABU WQNANYAMAZIA MAMBO MPAKA YAOZE.
Sasa ni kweli inaumiza na hatari kwa watanzania. Lakini ni panya gani atakayejitokeza mhanga kumfungia paka kengele shingoni?
Umhimu wa kuwa na upinzani kwenye bunge mseto haya yote hayange kuwepo vyama vya upinzani nao hawaeleweki
Mpina kanyagia hapo 😊
Mungu ni mwema sana
Angalia baba wasikupe sumu
Tunahitaji wabunge like this mp.
inabidi kuanda maandamano kwa watu wt wanaozichukua pesa za uma na kuisibabishia nchi kua masikin yani haw wanasiasa wanatuon sis wananchi km masanamu
Aripe yeye Mwenyewe na Mke wake na Famrya yake nzima Uyo ni Mwizi
MWIGULU NI JAMBAZI NA SASA ANAMILIKI TIMU YA SOCA!!
Huyu bwana habahatishi
BADO INANIUMA SANA SPEAKER ALIPOKUFUKUZA BUNGENI. HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YA TANZANIA INAYOJIVUNIA NI NCHI YA AMANI. HAKUNA AMANI BILA YA HAKI
Hawa wezi wangetuachia nchi mbona wengine tunatamani kusaidia watanzania Kwa moyo wote hawa watu wanakosesha haki ya watanzania kupata afya,elimu,maji na majengo ya uma wakati wanakopa Hela za ukopa hazitakiwi kuliwa kiasi hicho
Watanzania tumuunge mkono Mpina. Anatuwakilisha sisi wakati wabunge wengine kimya
Mbona mmerudia ile mmepost jana😢
Acha warudie baada ya kutumbuliwa
Namuona Musa na fimbo yake.
Haya mambo ndio magu aliziba mianya pesa ikapatikana ikafanya mambo makubwa lkn leo tunaambiwa mama anatafuta hela kwa wadhamini kumbe pesa anaiacha ndani wanatuibia tu, naomba watanzania wakuelewe na wtafute namna ya kuchukua hatua stahiki
Atupaswi kudharau maneno mazito anayotoa, mheshimiwa Mpina... uenda yanaukweli?... Nchi inapigwa!!... Mhe. Raisi shimo ilo analifukua... lifukie madhara yake sio leo... nakuamini... Kiongozi wetu.
Kwa hiki luhaga mpina anaongea umasikini unaletwa na viongozi tunao wachagua
Hao waliotumbuliwa wamesomea wap kwanza
Hiii ni hatarii
Tanzania imekuwa ni shamba la bibi. Wabunge kimya. Katuloga nani? Mwigulu mama hamugusi, kuna Siri gani kati yawo?
Mpina Wewe ndio Gen Z pekee hapa Tanzania , wapenda nchi yetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Mungu usikilizwe na usiposikilizwa tuko na wewe unanikumbusha mbaaliiiiiiii 😢😢😢😢
Wapetu jamangu
Mpina Mungu kakutolea jibu malipo ni hapahapa duniani Ccm oyeeeee kazi inaendelea
Kweli huyu mnafukuza bungeni? Hivi watu kama Hawa Kwanini hamuwapende? Wasaidieni kufanya vizur si tunawalipa mishahara nyie kuweni waadilifu jamani mtapata tabu nyie nafamilia zenu mnakula hamsikii vibaya pesa za walipakodi mpeleka makumbani mwenu nyinyi wake wa waizi wakatazeni waumezenu au wakezenu mtadhurika nyie shauri zenu