TRAORE ATAIFANYA UFARANSA KUWA MASKINI WANAMUWINDA WAMUUE PUTIN NAYE ANANG'ATIWA VIDOLE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Mimi ni mnzalendo wa Mozambique nduguzangu naehilimisha sana. Allaah awabariki. Sisi kama wafrika tumepigwa Vita mano hadi mpaka Léo sisi ni watumwa WA wazungu
Waafrika hatujielewi
Wewe mwenyewe@@digalo373silentkiller7
Isaya mungu Akubariki Aupendelei dini kabila wala nchi upo katika Uzarendo wa KiAfrica Ubarikiwe kwa hilo 🇹🇿 🇬🇷
Amini kwamba , nataman viongozi wa Africa wafatilie kipindi chake
Tofauti ya mtu na mtu ni AKILI. Asante bro. Naondoka nayo hii...!
Aisee umetisha sana,Mimi wananicheka eti nimeita mtoto wangu jina la kiluga,wanataka nimwite la kizungu ila nimekataa aisee,Niko na wew mkuuuuuuj🎉🎉🎉🎉🎉
Moja ya mjadala konki sana kila mtanzania inabidi imfikie hii, hakikisha haupiti hapa bila kushare hii video mkono kwa mkono. Tanzania tuna vichwa venye madini mno.
Vichwa hivi ni hazina ya Taifa letu.
👍👍👍big up kaka.
Mwl wangu Isaya Benson Mwakilembe nakuelewa sana
Natamani sana wa afrika hasa vijana tuamke ndo tutaikomboa afrika yetu iliyojaaa neema ya kila kitu manaelimisha sana
Hatutaweza mpaka tukatae na dini zao na turudi kwenye asili yetu ya muafrika ila kama tutaendelea kuumia siku zote
Binafsi nahofia ushirika wa Marekani na Kenya, kenya wasije wakatuvuruga huu ukanda wetu I see.
Sisi wakenya hatutaki marekani kabisa lakini Rais wetu ndie anawakatalia sisi tutamwondoa.Hatataki marekana na Europe.
Nimefurahi na simulizi hizi Africa bado tuna ujinga naomba tuwe Burkina faso nk
Mwalimu, Ubuntu pia kwa Warundi, Waha, Wanyarwanda ina maana ya UTU
YEAH LUGHA YA KIBANTU NI LUGHA YAWABANTU HASWA HASWA EASTFRICA... KWA HIYO ZINAINGILIANA.. MFANO KIRUNDI. KiNYARWANDA.KIGANDA.KIFULERO.KIHA. ZIKO NYINGI...
Kambi za Marekani zichomwe moto. Na Maraisi waliokaribisha Wamarekani Wapinduliwe.wakwanza Tinubu.
Hiyo ni ndoto ya mchana😂😂
@@jamesmarumbo6820choko ww
@@jamesmarumbo6820 kwanini UNASEMA ni Ndoto za mchana!!
Nyie ndiyo mnaokata tamaa hata ya kujenga vibanda
Mwalimu nakupata kutoka Cabo Delgado Moçambique, uwe unamshilikisha huyu jamaa. Lakini sio Mpoki Buya maana Mpoki ni kelele nyingi mpaka unashindwa kumuelewa.
Broo uko sawa sana mimi nipo korea hata leo hapa nimebishana na mkorea kuhusu kuiona Afrika haina lolote
Ni kweli sijuwi kwa nini Dunia nzima wanaiyona Africa haina lolote special East Africa.
Which language you speak with Korean
@@suleimankassim7523 kwani wewe unafikiri wanatakiwa kuongea lugha gani ili waelewane
Mwl Isaya nakupata saana ...Mungu akubariki MNOOOO!!!!!!
Nimependa wukweli vijana mana social media zinajali sana afya ya selikali from Malawi following you guys
Ninashukuru Sana mwl. Kwa kuturejesha nyuma na kutukumbusha historia ya Africa ukweli tumeaminishwa na sijui kama tutatoka, labda kwa maombi tu. Mungu atusaidie.
Tutawalaumu hasa watawala wetu wa ccm kwasababu wanajua kuwa ni mifumo ya kikoloni lakini wameihodhi hawataki kuiacha! Leo hii kinachowafanya walete danadana za kupiga chenga upatikanaji wa katiba mpya ni tamaa binafsi tofauti na ubuntu!
Wewe umemwelewa. Anatetea ccm
Mwl mwakilembe sasa nakuelewe unachokifanya, naomba endelea kutuvisha miwani waafrika tufunguke macho zaidi. Mungu akubariki Sana.
Tusisahau tusisahau 😢Mzungu ni mtu mbaya sanaaaaaa.Africa ni rich kuzidi Europe
Mimi husemaga kila siku Mpoki sio mchambuzi nimpiga kelele hii Leo mmechambua vizuri sana kama angelikuepo Mpoki ingelikua ni zogo tupu
Mwalimu katika mijadala uliyo iongea huu bigup mungu akupe hekima hiyo
Usisahahu na new caledonia 🇳🇨 paaific kuna vurugu hawataki ufaransa kule
Kbsa
Kipindi hiki ni kizuri hakika ungeanza muda kuelimisha yaani inapendeza tunahutaji japo kwa wiki iwe mara mbili pls
Naipendasana nchiyangu Tanzania naipendasana afrika kwaujumla wazzungu ikiwemo nataifa uaulaya wamarekani wafaransa likiwa kama taifa ambalo nidaraja lakupitisha Mali zawaafrika kwenda ktk mataifa yaulaya nchi zaafrika Sasa ziamke viongozi waamke waache udumavu wauchumi waungane kuisimamisha afrika upya wanachi tunatambuwa viongozi wazalendo wanaotaka kuikombowa afrika kifikra tunawajuwa wazalendo hao nawengine wameumwawa kwasababu kwasababu yafrika tunazo shinikizwa au mpandikizo kwawazungu mm namshangaa sana raise wakongo shishekedi nirais ambaye Hana fikra zaukomboz ktk taifalake ameamuwa kuichakaza Kongo kuuza utu wawatuwake gadafi raise walibya alitaka kuwaunganisha waafrika kuwakitu kimoja wenyetamaa nafrikra zaudumavu kwahisani zawazungu wakamtowakafara inaumiza sana Leo tumempata kijana huyu ibrahm twaore raise wabuknafaso anahitaji viongozi waafrika waamke wajijitegemee wasiweomvaomba tukiwa namshirika wetu iris yuponyuma yeti onasa raisi wake ya anachokifanya nihoples tumeona juzi akigonga chazy na baden ulayahuko wamemuashia mishumaa kama ishara yakuliangamiza taifa lake kwaushindi viongozi was afrika amkeni kumekucha
Mwalimu katika mijadala uliyo iongea huu bigup mungu akupe hekima hiyo ❤❤❤❤
Asante sana Mwalimu.Tungeomba vijana kadhaa wafunzwe Kiswahili Mwalimu itakuwa rahisi kuunganisha Bara letu teule mana Afrika usipokuwa unajuwa kifaranga au kiingereza huonekani kwamba wewe ni mwafrika sahihi . Tunawasihi mutetee Lugha ya Kiswahili hapo kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika Ethiopia Addis Abab iweze kutanganzwa rasmi kuwa Lugha ya Barani Afrika . Mungu tunakuomba Ubariki Afrika tuweze kujitegemea amani na upendo vitawale
Siku moja Benson uwe raisi wa Tanzania na Africa au uwe Mshauri mkuu wa raisi.
Kaka una madini sana. Ubarikiwe. Unanifurahisha sana kwa kweli unazosema
Naitwa mc Runyengwa. Traore anadai uhuru upya waafrika tumuombe maana manyang'au hawatamuacha salama.
Mmechambua vizuri sana. Kwa sasa wazungu wanapambana sana kujifunza lugha za Kiafrika, ili wahamie Afrika
Ni wakati wa Africa kuamka. Tuna kila kitu tunaweza kujitegemea wenyewe. Viongozi wa kiafrica amkeni komboeni bara hili la Africa
Daaah nikwer kabisa nakumbuka kunakiongozi mmoja arikuja tanzania dar es salaam akasema pananuka
Mimi ni mkongo napenda sana lugha yetu ya Kiswahili maana inatuunganisha sisi wa Afrika .
Peace Energy People
Najivunia kukutana na kuwaona waafrika wenzangu mko salama mahali popote duniani
Wengi wa viongoz waafrika ndio wanachangia baadhi ya nchinyingi za Afrika kuamaskini kwasababu ya njaazao na hii ni laana kubwa sana
Kama wengi kutwa kuzuzura wanaacha rasmali zao afrika wanakwenda kuombaomba watu weupe hawana msaada wa bure
Kazi ya kiongozi ni kubadilisha mfumo pia. Sio kuogopaogopa
Kweli afrika tushikamane tuombeane tu duwa
Yes absolutely yes very good well said 100%true
Africa nzima tumtetee Ibrahim traore
Kabisha bro unaona mbali na mwenyezi mungu amekuyalia kufika apo viongozi wa African wangepeda kukuelewa tunafika mbali walaih tumetekwa akili na wasungu
Umoja wa kiafrika inatakiwa urudishwe kwa nguvu zote haraka
Huyo mwandishi wa Habari anayehoji ni kituko kingine maana hakumbuki,haelewi,hajui lolote kila kitu ni mwalimu😂😂
Poutin mie nampenda sana basi Allah amulinde
Je wawekezaji sio walewale wanyonyaji mbona wasitumie hapahapa.
Kwahiyo yamefanywa mapinduzi na wazungu, historia inaniingia wazungu ndiyo walio anza kukimbilia afrika kutafuta maisha. Kwahiyo turejee kwenye asili yetu.
Siyo kazi rais tumeamua kukengeuka sisi wenyewe
Natamani sana kila mwafrika akusikie, bado wapo Viongozi vibaraka…. Mikopo, utasikia bila aibu kiongozi Rais mzima eti anasema mkopo tuliopata ni mkopo nafuu ever 🤮🤮🤮🤮
Nimejifunza mengi sana kwenu, heshima kubwa kwa kutufungua akili, endelea kutukomboa kutoka kwenye utumwa wa akili kakaa
Ndugu yangu unayeongea uko vizuri tunatamani tungekuwa na watu 10 kama wewe
Ndugu zangu MUNGU atuwezeshe kuyashinda hawa mabeberu....
In sha Allah
Ghana hawamo English colony ila nchi zimewazunguuka wanaongea kifaransa
Ghana, Guinea Bissau, Equatorial Guinea, Sierra Leone si makoloni ya ufaransa.
Raisi wa Ufaransa amepaniki na akipeleka jeshi lake pale Ukraine anaenda kupoteza kwa mara ya pili. Hili linaenda kuiangusha Ufaransa na kupoteza kwenye nchi zenye uchumi mkubwa wa wizi Duniani. Putin, XI, Pyongyang, Rohan wa Iran, tayari wameshaipindua Dunia na kuwa Multipolar. Ile kitu inayoitwa New World Order inakwenda kupigwa kiberiti. Ushoga unaenda kuisha na kuzikwa kwa acidi na moto, Africa hatutaki wasenge.
Africa haiwezi kufunguka Kwa Hawa viongozi wa kiafrika tuliokuwa kuwa nao wapuuzi watupu
Team Ubuntu🎉🎉
Kwn hawa viongozi wetu walijui hili
Jpm alianza kutuonesha njia. Bahatj mbaya alituacha bila kutimiza ndoto zake.
Hawa wakoloni watudhiti waafrika kuna mamba matatu 1.hubinafsi, 2..hukabila 3..udini haha ndiyo yanayo tafuna afrika hotel..
Safi kwa hilo
Mungu amuhifadhi uyo mtoto traore
Wewe!!! Ghana. Angola, Giunea Bissau? Hao si Ufaransa! Ni Uingereza, Ureno, Ureno. Mnapuliza!
Mwakilembe safi sana kh, obuntu
Mwalimu samahani cjaelewa hapo uliposema tunaenda ulaya na marekani kutafuta maisha mi nasema tunaenda kutafuta hela,ila upo vzr sana mpaka natamani kujua unasoma vitabu gani maana upo vzr sana.
I see Magu was visionary, nakumbuka alisema tufundishwe historia yetu vizuri
Sasa kwa nini Tanzania Maskini ???? Na neema zote alokupeni Mungu hamna starehe nazo??? 😂😂😂 kwa ajili mnaabudu siasa kuliko kutafuta maendeleo ya Nchi na Wananchi Maskini.
Corruption
Huyu jamaa siachi kumfatilia namkubali sana
Tunakushukuru kwa taalifa yenye somo na akiri.Fundisheni mwarimu.
Brother mauayako upeweee
Hata cheikh otman aliwai kusema afrika ni kama ndovu imelala siku itaamka itapiga mbio mpaka tushangae
Mungu akulinde isaya wa kilembe
Africa inajifunza nini kama Ufaransa wanataka kumuuaTRAURE?
msisahau pia Morroco na Algeria nazo zilitzwaliwa na Ufaransa
Hizi elimu ziwe endelevu
Hata hii mfumo was dini wametengeza ili musuwache kuwafuata wait lazima waafrica tusome tujue dini yakweli sio wamekuja kupandikiza mifumo yao ya uwongo ili wafuatwe wapate kuiba Mali za waafrica .ibraahiim ametambua dini yakweli iliokua haikubali kuiba wela kuibiwa
Mwanahistoria huyu alikuwa anaitwa Charles Darwin
Ukiwasema wazngu unahulu wa kuishi ila ukiwasema viongozi wa kiafrika unakufa leo.tatizo la afrika ni sisi wenyewe.sisi Tanzania tulianza kuwa na uchumi wa ujamaa.zilikuwa ni Sela za kilusi China Korea kwa kim.tumekaa kwa huwa uchumi miaka 25.tumeteseka sana uchumi wa mtanzania ulikuwa chini sana.afrika tatizo ni ufisadi elimu ya ulaiya na viongozi awataki kuwa wakweli.
Hivi waafrica kwanini huwa tunafanyiwa unyama na hawa mbwa maafrica mmoja anaweza wakunja wazungu wawili lakini hatujiamini hata kidogo hawa wazungu walitufanya kama wajinga ila wao hauwezi wafanyia watainuka kupambana na hatujifunzi kitu hii ni mbaya sanaa ufaransa wanatakiwa wananchi wa bokinafaso wapambane hadi tone la mwisho
Huyuu mwalimu na mkunmbali sana hadi nimejipata nime subscrube
Naimani vikwazo havita leta mabadiliko bali africa ibaki kua africa wajiendeleze kama afrca
Majizi yakiskia stori hizi yanachukia
I love Africa
Mnazingua sehem ya kupata maarifa mazur mnakata. Sasa ndyo nn?
Uko vizuri, mm naamini uwislamu sio dini nimila ya waarabu.
Ucristu sio dini Bali Ni mila ya wazungu
Apo ndipo kunautawala wa sunia
Ukiristo ni ushetani
Hapana! Huo mfano wa Ubuntu sijui umeutoa wapi? Nimefanya utafiti katika hiyo kitu ila umetufunga kamba nadhani ni vema ukarejea kwenye reference zako
Safi sana Mwalimu!🌹🌹🌹
Hii ni kweli, sasa hivi ufaransa hali ni mbaya, wafaransa wenyewe wanalalamika, wanasema hali ya uchumi waoninazidi kuzorota
Afrika tunaweza kujitawala
Mwanafalsafa mmoja alisema "Emancipate your selves from mental slavery,non but ourselves can free our mind have no fear for atomic energy..."
Huyu jamaa namkubali Sana. Katika middle east tumepandikiziwa taifa jipya la Israel kuvuruga na kuifanya middle east isiwe na utulivu
Mungu wetu atamkinda Kiongozi wetu. Amen.
Rest in peace Khaddafi.ulipenda tutajirike ila mabeberu walikuuwa
That is a big move wa Africa wengine wafuate
Ibrahim traole ni komando na siyo kijana wa kumbeza wafaransa wajiandae
Tatizo letu waafrika tutanunuliwa na hawa washenzi kumto roho ndugu yetu tumwombe sana Kwa MUNGU
nimepata tfasri ya neno Ubuntu wanusuru wana ndugu ubarikiwe sana
Nakupata vizur tupe elimu
M2msh unanifulaisha sna katka utangaji na mada mbar mbar barkiwa sana
Mimi uwa najiuliza ata kama ni utumwa bado afrika bongo zetu ni shida ata kugundua hizo rasilimali uwezo hatuna kwanininiiiiii!!!!!
Mozambieq ya kwanza
Jamani mnafafanua vzuri huyo traone angefanfa kazi na magufuli Africa tungesonga mungu amulaze mahali pema magufuli
Uko vizuri mwalimu
Nice nice kk nakupenda sana unalolisema nikweli
Mungu akupe maisha marefu