TRAORE ATAIFANYA UFARANSA KUWA MASKINI WANAMUWINDA WAMUUE PUTIN NAYE ANANG'ATIWA VIDOLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

ความคิดเห็น • 256

  • @saideassanencacha2294
    @saideassanencacha2294 3 หลายเดือนก่อน +38

    Mimi ni mnzalendo wa Mozambique nduguzangu naehilimisha sana. Allaah awabariki. Sisi kama wafrika tumepigwa Vita mano hadi mpaka Léo sisi ni watumwa WA wazungu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 หลายเดือนก่อน +36

    Isaya mungu Akubariki Aupendelei dini kabila wala nchi upo katika Uzarendo wa KiAfrica Ubarikiwe kwa hilo 🇹🇿 🇬🇷

    • @ibradedapro5758
      @ibradedapro5758 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amini kwamba , nataman viongozi wa Africa wafatilie kipindi chake

  • @shabanichillo6879
    @shabanichillo6879 16 วันที่ผ่านมา +1

    Tofauti ya mtu na mtu ni AKILI. Asante bro. Naondoka nayo hii...!

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 3 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee umetisha sana,Mimi wananicheka eti nimeita mtoto wangu jina la kiluga,wanataka nimwite la kizungu ila nimekataa aisee,Niko na wew mkuuuuuuj🎉🎉🎉🎉🎉

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 3 หลายเดือนก่อน +24

    Moja ya mjadala konki sana kila mtanzania inabidi imfikie hii, hakikisha haupiti hapa bila kushare hii video mkono kwa mkono. Tanzania tuna vichwa venye madini mno.
    Vichwa hivi ni hazina ya Taifa letu.

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mwl wangu Isaya Benson Mwakilembe nakuelewa sana

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 3 หลายเดือนก่อน +9

    Natamani sana wa afrika hasa vijana tuamke ndo tutaikomboa afrika yetu iliyojaaa neema ya kila kitu manaelimisha sana

    • @SangaliPower
      @SangaliPower 3 วันที่ผ่านมา

      Hatutaweza mpaka tukatae na dini zao na turudi kwenye asili yetu ya muafrika ila kama tutaendelea kuumia siku zote

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 3 หลายเดือนก่อน +6

    Binafsi nahofia ushirika wa Marekani na Kenya, kenya wasije wakatuvuruga huu ukanda wetu I see.

    • @cathrinegikundi7147
      @cathrinegikundi7147 หลายเดือนก่อน

      Sisi wakenya hatutaki marekani kabisa lakini Rais wetu ndie anawakatalia sisi tutamwondoa.Hatataki marekana na Europe.

  • @KanalMwakalinga
    @KanalMwakalinga 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nimefurahi na simulizi hizi Africa bado tuna ujinga naomba tuwe Burkina faso nk

  • @fredrickvenance6933
    @fredrickvenance6933 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mwalimu, Ubuntu pia kwa Warundi, Waha, Wanyarwanda ina maana ya UTU

    • @KapistoloBwetete
      @KapistoloBwetete 2 หลายเดือนก่อน

      YEAH LUGHA YA KIBANTU NI LUGHA YAWABANTU HASWA HASWA EASTFRICA... KWA HIYO ZINAINGILIANA.. MFANO KIRUNDI. KiNYARWANDA.KIGANDA.KIFULERO.KIHA. ZIKO NYINGI...

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 3 หลายเดือนก่อน +10

    Kambi za Marekani zichomwe moto. Na Maraisi waliokaribisha Wamarekani Wapinduliwe.wakwanza Tinubu.

    • @jamesmarumbo6820
      @jamesmarumbo6820 3 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni ndoto ya mchana😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@jamesmarumbo6820choko ww

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@jamesmarumbo6820 kwanini UNASEMA ni Ndoto za mchana!!
      Nyie ndiyo mnaokata tamaa hata ya kujenga vibanda

  • @ramamakelo3780
    @ramamakelo3780 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mwalimu nakupata kutoka Cabo Delgado Moçambique, uwe unamshilikisha huyu jamaa. Lakini sio Mpoki Buya maana Mpoki ni kelele nyingi mpaka unashindwa kumuelewa.

  • @TwalibFoum
    @TwalibFoum 3 หลายเดือนก่อน +4

    Broo uko sawa sana mimi nipo korea hata leo hapa nimebishana na mkorea kuhusu kuiona Afrika haina lolote

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli sijuwi kwa nini Dunia nzima wanaiyona Africa haina lolote special East Africa.

    • @suleimankassim7523
      @suleimankassim7523 2 หลายเดือนก่อน +1

      Which language you speak with Korean

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@suleimankassim7523 kwani wewe unafikiri wanatakiwa kuongea lugha gani ili waelewane

  • @JamesHonore88
    @JamesHonore88 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwl Isaya nakupata saana ...Mungu akubariki MNOOOO!!!!!!

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 2 หลายเดือนก่อน

    Nimependa wukweli vijana mana social media zinajali sana afya ya selikali from Malawi following you guys

  • @LeocardiaDaniel-sj3wl
    @LeocardiaDaniel-sj3wl 3 หลายเดือนก่อน

    Ninashukuru Sana mwl. Kwa kuturejesha nyuma na kutukumbusha historia ya Africa ukweli tumeaminishwa na sijui kama tutatoka, labda kwa maombi tu. Mungu atusaidie.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 หลายเดือนก่อน +6

    Tutawalaumu hasa watawala wetu wa ccm kwasababu wanajua kuwa ni mifumo ya kikoloni lakini wameihodhi hawataki kuiacha! Leo hii kinachowafanya walete danadana za kupiga chenga upatikanaji wa katiba mpya ni tamaa binafsi tofauti na ubuntu!

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe umemwelewa. Anatetea ccm

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwl mwakilembe sasa nakuelewe unachokifanya, naomba endelea kutuvisha miwani waafrika tufunguke macho zaidi. Mungu akubariki Sana.

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tusisahau tusisahau 😢Mzungu ni mtu mbaya sanaaaaaa.Africa ni rich kuzidi Europe

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6k 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi husemaga kila siku Mpoki sio mchambuzi nimpiga kelele hii Leo mmechambua vizuri sana kama angelikuepo Mpoki ingelikua ni zogo tupu

  • @salimkocha7396
    @salimkocha7396 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwalimu katika mijadala uliyo iongea huu bigup mungu akupe hekima hiyo

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน +7

    Usisahahu na new caledonia 🇳🇨 paaific kuna vurugu hawataki ufaransa kule

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kipindi hiki ni kizuri hakika ungeanza muda kuelimisha yaani inapendeza tunahutaji japo kwa wiki iwe mara mbili pls

  • @FatnaMfinanga
    @FatnaMfinanga 3 หลายเดือนก่อน +2

    Naipendasana nchiyangu Tanzania naipendasana afrika kwaujumla wazzungu ikiwemo nataifa uaulaya wamarekani wafaransa likiwa kama taifa ambalo nidaraja lakupitisha Mali zawaafrika kwenda ktk mataifa yaulaya nchi zaafrika Sasa ziamke viongozi waamke waache udumavu wauchumi waungane kuisimamisha afrika upya wanachi tunatambuwa viongozi wazalendo wanaotaka kuikombowa afrika kifikra tunawajuwa wazalendo hao nawengine wameumwawa kwasababu kwasababu yafrika tunazo shinikizwa au mpandikizo kwawazungu mm namshangaa sana raise wakongo shishekedi nirais ambaye Hana fikra zaukomboz ktk taifalake ameamuwa kuichakaza Kongo kuuza utu wawatuwake gadafi raise walibya alitaka kuwaunganisha waafrika kuwakitu kimoja wenyetamaa nafrikra zaudumavu kwahisani zawazungu wakamtowakafara inaumiza sana Leo tumempata kijana huyu ibrahm twaore raise wabuknafaso anahitaji viongozi waafrika waamke wajijitegemee wasiweomvaomba tukiwa namshirika wetu iris yuponyuma yeti onasa raisi wake ya anachokifanya nihoples tumeona juzi akigonga chazy na baden ulayahuko wamemuashia mishumaa kama ishara yakuliangamiza taifa lake kwaushindi viongozi was afrika amkeni kumekucha

  • @salimkocha7396
    @salimkocha7396 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwalimu katika mijadala uliyo iongea huu bigup mungu akupe hekima hiyo ❤❤❤❤

  • @hakizimanaelie8916
    @hakizimanaelie8916 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mwalimu.Tungeomba vijana kadhaa wafunzwe Kiswahili Mwalimu itakuwa rahisi kuunganisha Bara letu teule mana Afrika usipokuwa unajuwa kifaranga au kiingereza huonekani kwamba wewe ni mwafrika sahihi . Tunawasihi mutetee Lugha ya Kiswahili hapo kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika Ethiopia Addis Abab iweze kutanganzwa rasmi kuwa Lugha ya Barani Afrika . Mungu tunakuomba Ubariki Afrika tuweze kujitegemea amani na upendo vitawale

  • @LearnOutofSchool
    @LearnOutofSchool 11 วันที่ผ่านมา

    Siku moja Benson uwe raisi wa Tanzania na Africa au uwe Mshauri mkuu wa raisi.

  • @richardmhina9537
    @richardmhina9537 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka una madini sana. Ubarikiwe. Unanifurahisha sana kwa kweli unazosema

  • @MussaHamissi-l8f
    @MussaHamissi-l8f หลายเดือนก่อน

    Naitwa mc Runyengwa. Traore anadai uhuru upya waafrika tumuombe maana manyang'au hawatamuacha salama.

  • @swahiliwithvictor6979
    @swahiliwithvictor6979 2 หลายเดือนก่อน

    Mmechambua vizuri sana. Kwa sasa wazungu wanapambana sana kujifunza lugha za Kiafrika, ili wahamie Afrika

  • @EmmanuelNyakebe
    @EmmanuelNyakebe 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni wakati wa Africa kuamka. Tuna kila kitu tunaweza kujitegemea wenyewe. Viongozi wa kiafrica amkeni komboeni bara hili la Africa

  • @mohameddarus3027
    @mohameddarus3027 3 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah nikwer kabisa nakumbuka kunakiongozi mmoja arikuja tanzania dar es salaam akasema pananuka

  • @Saidi1581
    @Saidi1581 18 วันที่ผ่านมา

    Mimi ni mkongo napenda sana lugha yetu ya Kiswahili maana inatuunganisha sisi wa Afrika .

    • @SangaliPower
      @SangaliPower 3 วันที่ผ่านมา

      Peace Energy People
      Najivunia kukutana na kuwaona waafrika wenzangu mko salama mahali popote duniani

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wengi wa viongoz waafrika ndio wanachangia baadhi ya nchinyingi za Afrika kuamaskini kwasababu ya njaazao na hii ni laana kubwa sana

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kama wengi kutwa kuzuzura wanaacha rasmali zao afrika wanakwenda kuombaomba watu weupe hawana msaada wa bure

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi ya kiongozi ni kubadilisha mfumo pia. Sio kuogopaogopa

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli afrika tushikamane tuombeane tu duwa

  • @sultanmohammed8634
    @sultanmohammed8634 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yes absolutely yes very good well said 100%true

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 3 หลายเดือนก่อน +2

    Africa nzima tumtetee Ibrahim traore

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kabisha bro unaona mbali na mwenyezi mungu amekuyalia kufika apo viongozi wa African wangepeda kukuelewa tunafika mbali walaih tumetekwa akili na wasungu

    • @KhaimuMkumbaru-zs7zr
      @KhaimuMkumbaru-zs7zr 3 หลายเดือนก่อน

      Umoja wa kiafrika inatakiwa urudishwe kwa nguvu zote haraka

  • @FarajaKihembwe
    @FarajaKihembwe 4 วันที่ผ่านมา

    Huyo mwandishi wa Habari anayehoji ni kituko kingine maana hakumbuki,haelewi,hajui lolote kila kitu ni mwalimu😂😂

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน

    Poutin mie nampenda sana basi Allah amulinde

  • @vicentmashare6003
    @vicentmashare6003 3 หลายเดือนก่อน +2

    Je wawekezaji sio walewale wanyonyaji mbona wasitumie hapahapa.

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo yamefanywa mapinduzi na wazungu, historia inaniingia wazungu ndiyo walio anza kukimbilia afrika kutafuta maisha. Kwahiyo turejee kwenye asili yetu.

    • @davismuzahula907
      @davismuzahula907 3 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kazi rais tumeamua kukengeuka sisi wenyewe

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 หลายเดือนก่อน +2

    Natamani sana kila mwafrika akusikie, bado wapo Viongozi vibaraka…. Mikopo, utasikia bila aibu kiongozi Rais mzima eti anasema mkopo tuliopata ni mkopo nafuu ever 🤮🤮🤮🤮

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 2 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza mengi sana kwenu, heshima kubwa kwa kutufungua akili, endelea kutukomboa kutoka kwenye utumwa wa akili kakaa

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 5 วันที่ผ่านมา

    Ndugu yangu unayeongea uko vizuri tunatamani tungekuwa na watu 10 kama wewe

  • @user-wd9sk9xt1m
    @user-wd9sk9xt1m 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndugu zangu MUNGU atuwezeshe kuyashinda hawa mabeberu....

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 วันที่ผ่านมา

    Ghana hawamo English colony ila nchi zimewazunguuka wanaongea kifaransa

  • @AbdulrahmanMwambasi-gh7bv
    @AbdulrahmanMwambasi-gh7bv 2 หลายเดือนก่อน

    Ghana, Guinea Bissau, Equatorial Guinea, Sierra Leone si makoloni ya ufaransa.

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434 3 หลายเดือนก่อน +1

    Raisi wa Ufaransa amepaniki na akipeleka jeshi lake pale Ukraine anaenda kupoteza kwa mara ya pili. Hili linaenda kuiangusha Ufaransa na kupoteza kwenye nchi zenye uchumi mkubwa wa wizi Duniani. Putin, XI, Pyongyang, Rohan wa Iran, tayari wameshaipindua Dunia na kuwa Multipolar. Ile kitu inayoitwa New World Order inakwenda kupigwa kiberiti. Ushoga unaenda kuisha na kuzikwa kwa acidi na moto, Africa hatutaki wasenge.

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 หลายเดือนก่อน +1

    Africa haiwezi kufunguka Kwa Hawa viongozi wa kiafrika tuliokuwa kuwa nao wapuuzi watupu

  • @NaimaNamanjoya
    @NaimaNamanjoya 3 หลายเดือนก่อน +9

    Team Ubuntu🎉🎉

  • @IkraamMohamed-gf9xj
    @IkraamMohamed-gf9xj 2 หลายเดือนก่อน

    Kwn hawa viongozi wetu walijui hili

  • @piusmusigula3512
    @piusmusigula3512 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jpm alianza kutuonesha njia. Bahatj mbaya alituacha bila kutimiza ndoto zake.

  • @KhaimuMkumbaru-zs7zr
    @KhaimuMkumbaru-zs7zr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wakoloni watudhiti waafrika kuna mamba matatu 1.hubinafsi, 2..hukabila 3..udini haha ndiyo yanayo tafuna afrika hotel..

  • @ABDISHAKURMANDA-qv2sz
    @ABDISHAKURMANDA-qv2sz 2 หลายเดือนก่อน

    Safi kwa hilo

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu amuhifadhi uyo mtoto traore

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe!!! Ghana. Angola, Giunea Bissau? Hao si Ufaransa! Ni Uingereza, Ureno, Ureno. Mnapuliza!

  • @JanjaCultureOnline
    @JanjaCultureOnline 2 หลายเดือนก่อน

    Mwakilembe safi sana kh, obuntu

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu samahani cjaelewa hapo uliposema tunaenda ulaya na marekani kutafuta maisha mi nasema tunaenda kutafuta hela,ila upo vzr sana mpaka natamani kujua unasoma vitabu gani maana upo vzr sana.

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 3 หลายเดือนก่อน

    I see Magu was visionary, nakumbuka alisema tufundishwe historia yetu vizuri

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa kwa nini Tanzania Maskini ???? Na neema zote alokupeni Mungu hamna starehe nazo??? 😂😂😂 kwa ajili mnaabudu siasa kuliko kutafuta maendeleo ya Nchi na Wananchi Maskini.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa siachi kumfatilia namkubali sana

  • @AnacletNshimirimana-e5o
    @AnacletNshimirimana-e5o 3 หลายเดือนก่อน

    Tunakushukuru kwa taalifa yenye somo na akiri.Fundisheni mwarimu.

  • @emmanuelmwasisi8787
    @emmanuelmwasisi8787 2 หลายเดือนก่อน

    Brother mauayako upeweee

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน

    Hata cheikh otman aliwai kusema afrika ni kama ndovu imelala siku itaamka itapiga mbio mpaka tushangae

  • @mamawamireille4872
    @mamawamireille4872 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde isaya wa kilembe

  • @user-yk5zm3tx9f
    @user-yk5zm3tx9f 3 หลายเดือนก่อน +3

    Africa inajifunza nini kama Ufaransa wanataka kumuuaTRAURE?

  • @dickbaragasi2084
    @dickbaragasi2084 3 หลายเดือนก่อน

    msisahau pia Morroco na Algeria nazo zilitzwaliwa na Ufaransa

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 วันที่ผ่านมา

    Hizi elimu ziwe endelevu

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 2 หลายเดือนก่อน

    Hata hii mfumo was dini wametengeza ili musuwache kuwafuata wait lazima waafrica tusome tujue dini yakweli sio wamekuja kupandikiza mifumo yao ya uwongo ili wafuatwe wapate kuiba Mali za waafrica .ibraahiim ametambua dini yakweli iliokua haikubali kuiba wela kuibiwa

  • @kellymumani9724
    @kellymumani9724 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwanahistoria huyu alikuwa anaitwa Charles Darwin

  • @bechubechuissa8965
    @bechubechuissa8965 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiwasema wazngu unahulu wa kuishi ila ukiwasema viongozi wa kiafrika unakufa leo.tatizo la afrika ni sisi wenyewe.sisi Tanzania tulianza kuwa na uchumi wa ujamaa.zilikuwa ni Sela za kilusi China Korea kwa kim.tumekaa kwa huwa uchumi miaka 25.tumeteseka sana uchumi wa mtanzania ulikuwa chini sana.afrika tatizo ni ufisadi elimu ya ulaiya na viongozi awataki kuwa wakweli.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 วันที่ผ่านมา

    Hivi waafrica kwanini huwa tunafanyiwa unyama na hawa mbwa maafrica mmoja anaweza wakunja wazungu wawili lakini hatujiamini hata kidogo hawa wazungu walitufanya kama wajinga ila wao hauwezi wafanyia watainuka kupambana na hatujifunzi kitu hii ni mbaya sanaa ufaransa wanatakiwa wananchi wa bokinafaso wapambane hadi tone la mwisho

  • @mashafestusmramba7577
    @mashafestusmramba7577 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyuu mwalimu na mkunmbali sana hadi nimejipata nime subscrube

  • @kelvinvitalis2965
    @kelvinvitalis2965 2 หลายเดือนก่อน

    Naimani vikwazo havita leta mabadiliko bali africa ibaki kua africa wajiendeleze kama afrca

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudini 2 หลายเดือนก่อน

    Majizi yakiskia stori hizi yanachukia

  • @RaphaelJickson
    @RaphaelJickson 3 หลายเดือนก่อน +1

    I love Africa

  • @user-ew3zs3yn9f
    @user-ew3zs3yn9f 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mnazingua sehem ya kupata maarifa mazur mnakata. Sasa ndyo nn?

  • @cansuremwiga7282
    @cansuremwiga7282 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri, mm naamini uwislamu sio dini nimila ya waarabu.
    Ucristu sio dini Bali Ni mila ya wazungu
    Apo ndipo kunautawala wa sunia

  • @revocatusleonard6449
    @revocatusleonard6449 2 หลายเดือนก่อน

    Hapana! Huo mfano wa Ubuntu sijui umeutoa wapi? Nimefanya utafiti katika hiyo kitu ila umetufunga kamba nadhani ni vema ukarejea kwenye reference zako

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Mwalimu!🌹🌹🌹

  • @swahiliwithvictor6979
    @swahiliwithvictor6979 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ni kweli, sasa hivi ufaransa hali ni mbaya, wafaransa wenyewe wanalalamika, wanasema hali ya uchumi waoninazidi kuzorota

  • @WilfredMbise-un8qs
    @WilfredMbise-un8qs 2 หลายเดือนก่อน

    Afrika tunaweza kujitawala

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanafalsafa mmoja alisema "Emancipate your selves from mental slavery,non but ourselves can free our mind have no fear for atomic energy..."

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa namkubali Sana. Katika middle east tumepandikiziwa taifa jipya la Israel kuvuruga na kuifanya middle east isiwe na utulivu

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu wetu atamkinda Kiongozi wetu. Amen.

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 3 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace Khaddafi.ulipenda tutajirike ila mabeberu walikuuwa

  • @alibinali_
    @alibinali_ 2 หลายเดือนก่อน

    That is a big move wa Africa wengine wafuate

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ibrahim traole ni komando na siyo kijana wa kumbeza wafaransa wajiandae

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo letu waafrika tutanunuliwa na hawa washenzi kumto roho ndugu yetu tumwombe sana Kwa MUNGU

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p 2 หลายเดือนก่อน

    nimepata tfasri ya neno Ubuntu wanusuru wana ndugu ubarikiwe sana

  • @badulebanda1305
    @badulebanda1305 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nakupata vizur tupe elimu

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c 3 หลายเดือนก่อน

    M2msh unanifulaisha sna katka utangaji na mada mbar mbar barkiwa sana

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi uwa najiuliza ata kama ni utumwa bado afrika bongo zetu ni shida ata kugundua hizo rasilimali uwezo hatuna kwanininiiiiii!!!!!

  • @TugaChafim
    @TugaChafim 2 หลายเดือนก่อน

    Mozambieq ya kwanza

  • @user-jl1ct8be4o
    @user-jl1ct8be4o 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani mnafafanua vzuri huyo traone angefanfa kazi na magufuli Africa tungesonga mungu amulaze mahali pema magufuli

  • @kilalikanestory3635
    @kilalikanestory3635 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri mwalimu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 3 หลายเดือนก่อน

    Nice nice kk nakupenda sana unalolisema nikweli

  • @JumaRamadhani-uv1il
    @JumaRamadhani-uv1il 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu