HIVI KWELI SIKU INABADILIKA SAA 6 USIKU? WATU WA MUNGU TUFUNGUE MACHO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 68

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 6 หลายเดือนก่อน +6

    Nikweli hata Kwa akili fupi jua linapozama siku imeisha na kuingia nyengine kutokana na jua kuzama lkn hii sasita usiku hata kiakili utaona hakuna logic ni jambo la watu kulibuni lkn akili ya kutamvua ni Aisha jua lizame au jua lichomoze siku ishabadilika hapo inaingia akilini

  • @user-xn5bh3nd7c
    @user-xn5bh3nd7c 4 หลายเดือนก่อน

    Sheeh mungu akubaliki !! Kwa jisi unavyo jitowa mhanga !! Ili watu waujue ukweli !!

  • @nenolakristomaisha.5611
    @nenolakristomaisha.5611 6 หลายเดือนก่อน +5

    UKWELI UNAOENDANA NA AKILI, NI KWAMBA SIO KWELI SIKU KUWA INABADILIKA SAA 6 USIKU, SIO KWELI KABISA.

  • @flxgreen6346
    @flxgreen6346 6 หลายเดือนก่อน +1

    Somo zuri asante, alafu kingine ukiangalia kalenda ya kawaida (gregorian)na mwezi unavyoenda haviendani , yaani mwezi unaweza ukawa ni full moon lakini kalenda ya kawaida unakuta ni tarehe za katikati ya mwezi.

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 6 หลายเดือนก่อน +6

    Wasabato wao siku mpya uwanza pale tu inapofika saa 12 jioni jua linapo zama na wala sio saa sita usiku.

    • @abdulrahmankafuku3449
      @abdulrahmankafuku3449 6 หลายเดือนก่อน +2

      Wasabato wapo sawa , Wasabato ni waislam B wanafuata maandiko lkn wanaovuruga ni hao wengine

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 6 หลายเดือนก่อน

      @@abdulrahmankafuku3449 👍

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน

      Wasabato wanasimama na maandiko

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 6 หลายเดือนก่อน

      @@richardnganya2311 Upo sahihi kabisa.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 หลายเดือนก่อน

      Wasabato nina waheshimu sana na Nguruwe pia hawali

  • @user-zz6ni6tz2i
    @user-zz6ni6tz2i 5 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi yesu alizaliwa mwezi wangpi

  • @TheIranga101
    @TheIranga101 6 หลายเดือนก่อน +2

    Masaa, Siku Mwezi vyafaa nini kama haumuabudu Mungu katika ROHO na KWELI......

    • @kaliskaguzkalis4424
      @kaliskaguzkalis4424 6 หลายเดือนก่อน

      Imani ndo chanzo cha kukufanya upambanue ukweli na uongo sasa itakuwa imani gani ya kuukubali uongo na uongo ni dhambi

  • @joycekoech8277
    @joycekoech8277 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kalenda, tarehe, masaa ... hizo zote hazijalishi...... cha muhimu ni kumuabudu Mungu kwa roho na ukweli wakati wowote na mahali popote.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 6 หลายเดือนก่อน

      Soma Daniel I 7:1-25 UTAKUA anachisema USTAZI hamza naye analazimu kunadili majira na nyakati SASA wewe unasema haijalishi SWALI uongo SIO dhambi??? SASA Mungu kasema ikawa jioni ikawa asubui SIKU yakwanza HALAFU wewe uukasema ikawa USIKU ikawa asubui SIKU yakwanza hutokua muongo nauongo nidhambi?? HALAFU unasema haijalishi.USTADHI hamza fundiaha kunawatu wanavichwa vigumu kwasababu TU baba ZAO na mama ZAO wanasherekea hataki kukubali UKWELI huu.

  • @jafarimnaro704
    @jafarimnaro704 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @yusuphhassan9619
    @yusuphhassan9619 6 หลายเดือนก่อน +4

    Assalaam alaykum,wamesikia,

  • @mahindiumakinisa4732
    @mahindiumakinisa4732 6 หลายเดือนก่อน +1

    Endelea kutufundisha mm naelimika sana na mafundisho yako ubarikiwe sana

  • @omaar5693
    @omaar5693 6 หลายเดือนก่อน +2

    wao kwao ni 12 ama

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa upande wako upo sawa. Lkn sis wengine tunatumia hiyo nafasi kuhubiri habari za Yesu kwa wenye dhambi. Hatuna muda na mabadiliko ya saa, tuna muda wa kumhubiri Yesu, iwe usk au mchana.

    • @barakamshiu7146
      @barakamshiu7146 6 หลายเดือนก่อน

      elewa hoja mzeee.... hapa swala ni kwanini usherekee mwaka mpyaa usikuu? siku haibadiliki usiku.... hiyo ndio hojaa.... siyo maswala yausahihi wa kuhubiri mchana au usiku

    • @moshinyashebo7981
      @moshinyashebo7981 6 หลายเดือนก่อน

      Ni ufahamu TU lakini yesu ni yeye yule Jana na Leo hata milele upon mwanadamu duniani kwa kusudi lake

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 6 หลายเดือนก่อน

    Sheikh yupi . uislamu hawana desturi hiyo za kusherekea upagani huo ,wakristo ndyo wanakesha na vinanda vyao

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 6 หลายเดือนก่อน +1

    Utachelewa sana kwenye mambo hayo yasiyokua na maana. Chunga nafsi yako na moyo wako hata Yesu aliikuta hiyo hakuongelea hilo maana mtu anahumiwa na sio siku

    • @user-fx5yi1rz9l
      @user-fx5yi1rz9l 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hayaana maana kwako.pamoja na mambo mengi yenye maana tunayoyafanya duniani Lazima na akili zetu zifunguliwe.

    • @ezekielmwakalindile1922
      @ezekielmwakalindile1922 6 หลายเดือนก่อน

      Amina mtumishi

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 6 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo mnakubali kudanganywa?

  • @mrx8608
    @mrx8608 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli siku ya mungu hubadilika SAA 12 jioni HATA sabato huaanza SAA 12 jioni ndiyoo sabato mpya

  • @musajulias3392
    @musajulias3392 5 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏👏 kweli

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 6 หลายเดือนก่อน

    Waislam kalenda yetu siku inabadilika jioni baada ya kuzama na huu sio mwaka mpyaaaaa

  • @user-cf2kr7lb1w
    @user-cf2kr7lb1w 6 หลายเดือนก่อน +3

    Usiwasemee waislam, sisi Waislam siku Ina badilika jua likizama na kalenda ya waislam inafuata mwezi

  • @hemedisufiani3219
    @hemedisufiani3219 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli usiku unaanzia saaa 12 jioni

  • @hassanissa611
    @hassanissa611 6 หลายเดือนก่อน

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 6 หลายเดือนก่อน

    Im proud to be the seventh day Adventist

  • @imranjuma1197
    @imranjuma1197 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @binalikhamis785
    @binalikhamis785 6 หลายเดือนก่อน

    😮

  • @kasimsaleh7103
    @kasimsaleh7103 6 หลายเดือนก่อน

    Wambie kk hao

  • @lusajoantony5703
    @lusajoantony5703 6 หลายเดือนก่อน +2

    Usiabudu saa Wala siku, tafuta kumwabudu MUNGU katika Roho na kweri MUNGU ndio anatafuta watu wabuduo ktk Roho na kweri sio kukalili siku na masaa hizo niporojo unapoteza mda

    • @ezekielmwakalindile1922
      @ezekielmwakalindile1922 6 หลายเดือนก่อน

      Hakika mtumishi umenena

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 6 หลายเดือนก่อน

      Tatizo lenu wakristo mmezoea kudanganywa na kulishwa matango pori

  • @georgekamosi9501
    @georgekamosi9501 6 หลายเดือนก่อน

    Ni mbaya sana kupotea halafu haujui kama umepotea

  • @user-ey6ip5lf4p
    @user-ey6ip5lf4p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli uko sawa leo umenifungua

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nawewe unafunguliwa na nabii wa maigizo tangulini sheirh akawa nabii Nye ni wale wale waiosemwa kwenye kitabu Cha Mithali 14 mstari wa 15

    • @user-ey6ip5lf4p
      @user-ey6ip5lf4p 6 หลายเดือนก่อน

      @@robertphilip385 nimekubali kwa hoja kwa vigezo soma mwanzo 1:3-5 kila jambo litafakari

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha 6 หลายเดือนก่อน

      Wote mnaomckiliza huyu anayejiita nabii ni wajinga na hao wanaosema wao ni wasabato na wengne waislam akili haziwatoshi. Muulizen nabii wenu tangu azaliwe leo ana umri wa miaka mingap? Kisha na nyie mnaomshabikia mna umri gn tang mzaliwe? Na mmepata umri wenu kwa kalenda ip?dunia yote inaongozwa na kalenda ya tangu kuzaliwa kwa yesu hata kabla ya kuzaliwa kwa yesu walihesabu hivi hiv!!

  • @mtokambali6186
    @mtokambali6186 6 หลายเดือนก่อน

    Hosea 4:6

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 6 หลายเดือนก่อน

    Ss waislam cku inabadilika saa12 kuingia saa1

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 6 หลายเดือนก่อน

    Mwanzo wa siku ni kuzama kwa jua.

  • @richardkyalo443
    @richardkyalo443 6 หลายเดือนก่อน

    nikweli siku ya mungu imesha wazungu doo wanangojea bado

  • @MussaEzekiel-jn8hj
    @MussaEzekiel-jn8hj 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wasabato tukisema tunaitwa watu wasiku

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 6 หลายเดือนก่อน

    Sikuelewagi Dunia ikienda kulia wewe unaenda kuchoto kwa akili yako wewe unaweza kubadili kalenda

  • @ProsperLuoga
    @ProsperLuoga 6 หลายเดือนก่อน

    Kwelikabisa ubarkiwe

  • @abubakarmhesa5742
    @abubakarmhesa5742 6 หลายเดือนก่อน

    kuna wakati unakuwa kimya sana ndugu

    • @imranjuma1197
      @imranjuma1197 6 หลายเดือนก่อน

      Muombe uje darasani kwake

  • @ezekiellucas8981
    @ezekiellucas8981 6 หลายเดือนก่อน

    Nakfatlia sn ww ulie na maarifa kama hy

  • @bindawood978
    @bindawood978 6 หลายเดือนก่อน

    Katika Uislamu hakuna skukuu ya mwaka mpya

    • @daudiayubu4464
      @daudiayubu4464 6 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli Sikukuu ya mwaka mpya wa kiisilamu ipo

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 6 หลายเดือนก่อน

    Kuma la mama yako

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni muislam?

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu5426 6 หลายเดือนก่อน

    QURAN NI KITABU CHA SHETANI,WEWE NAE NI KAONGO

  • @edwardpeter9014
    @edwardpeter9014 6 หลายเดือนก่อน

    Kwani tokea siku kubadilika saa 6 usiku ulibadilikaa nini ?

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani kwann Mungu anatuambia tuoe kwani ukizini upati mtoto tendo kwani linabadilika c lilelile kama huna elimu ya dini yako usipende kuyachukulia mambo rahisi ishi vile Mungu anatuelekeza au Kama umeamua kuishi kwa ushetani bac ishi ivyo lkn ukweli utaambiwa Ili ucje sema cjui

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa upande wako upo sawa. Lkn sis wengine tunatumia hiyo nafasi kuhubiri habari za Yesu kwa wenye dhambi. Hatuna muda na mabadiliko ya saa, tuna muda wa kumhubiri Yesu, iwe usk au mchana.

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 6 หลายเดือนก่อน

      @togolanimndeme anawapinga wazungu ila vitu vya wazungu anatumia, tena kwa manufaa yake.