Kanisa la mungu la kweri ni la ISA yaani (KAN-ISA, Aliye kufa msalabani yaani INRI I =ISA, N =NAZARESI , R=REXLUDAERUM I =ISIRAER. Yaani mungu wa Ibrahim Isaack Isiraeri ndiye Isa masiah. Huu ndio ukweri. Walio ktk aya majina apa chini ni ya lile kanisa lire MALAYA (Ufunuo 17:5-6. ZEWUSI YESU YEZU JESUS Walio ktk
3. Siku moja nitakuwa mwamuzi wa watu wote kama vile kila nabii atakuwa mwamuzi wa kizazi chake. Imeandikwa ya kwamba mitume wataamua makabila kumi na mbili za Israeli kuhusu wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa duniani. Warumi 2:16 inasema kwamba Paulo atakuwa mwamuzi wa watu wote kwa muda ambao yeye alikuwa duniani. Na mimi Kacou Philippe ambaye naongea nanyi, nitakuwa mwamuzi wenu mbele ya Mungu. Angalieni marais wa mataifa. Angalieni viongozi wa kidini na viongozi wa mashirika kama vile UM, UNESCO, wanasiasa, wakuu wa makampuni...mtahukumiwa wote kupitia Injili yangu mimi Kacou Philippe.
Af ww muinjilist ww uciwe mfinyinu wa mawazo cio kila ukiona neno njia ndio huaga lina maanisha dini, coz kuna cku nimeshakusoma njian ya mbagala utasema ni kiristo nayo,
Asante sana tumekusikia sana ila unajuwa uisilaam au neno uislam ina maana gani na kama ukijua maana yake ndy utajua kuwa uislam hakuuleta mtume muhammad bali aliuleta mungu mwenyewe
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
3. Kisha, njiwa wawili wakaja kwangu na wakaenda mara tena juu ya maji. Na kukawa na patwa jua (mwezi), halafu mtu aliyefanana wingu na mwenye kushika Upanga akashuka toka Mbinguni pamoja na mwana Kondoo na dunia ikaangazwa tena. Walisimama juu ya maji na mwana Kondoo akaanza kusema nami kwa lugha isiyo julikana. Sauti yake iliingiya ndani mwangu na nikaanguka kama mfu. Nafsi yangu ikaenda kusimama pamoja nao juu ya maji wakati mwili wangu ulilazwa juu ya mchanga wa bahari. Alipo maliza kusema nami, nafsi yangu ikanirudilia na nikawa tena hai lakini sikuwaona tena. #pkpchaneltv
@@sokakilumbi9293 kwa taarifa yako uongo ukiutaka hata kwenu upo uislamuni ndo maana watu husema hekma ikzd huondoa maarifa kwahyo wamefunyua kuitafuta hekma na nia zao so lazma haya yatokee
Hongera sana!!! Mungu akubaliki sana umemwinua bwana wetu Sisi wakristo tunamsubiri Yesu kumlaki tukiwa hai au mauti.Ninawaonya wale wasioujua Ukiristo wasijiweke kuwakilisha wakristo.
Nawapenda sana walimu wa kristo kwakua mnafatilia kwa yakini jambo kabla hamjafundisha nanyi mnafundisha yalio yakweli. Mungu awape uezo maana twawaitaji kina Mazinge wabatizwe waache kuwadanganya waislamu
30. Jua kwamba unapozaliwa, baraka zote na laana za familia na za wazazi tangu Adamu zinakuwa juu yako. Lakini unapofikia umri wa ufahamu, sio wachawi lakini vitendo vyako vya kwanza huamua uchaguzi wako. Na suluhisho ni kumrudilia kwanza Mungu kupitia nabii wake kulingana na 2 Mambo ya Nyakati 20:20. Tafuta kwanza wokovu. Na wokovu ni tu kupitia nabii aliye hai wa wakati wako. Sio malaika wala kitabu kinachoitwa Biblia au Korani. Sio nabii anayeitwa Musa, Yesu wa Nazareti au Muhammad. Lakini maneno ya mtu aliye hai pamoja nawe. Na wewe, ingawa shida na mateso unayopitia, jua kwanza ya kwamba chanzo ni wewe mwenyewe. Na katika kutafuta suluhisho, hutamwendea nabii ovyo na haifai mtu ovyo akuwekee mikono. Hutabadilisha wokovu wako na faraja ya muda tu ya shetani katika kanisa katoliki, protestanti, ya kiinjili au ya kibranhamisti. Katika Mwanzo 50, Yusufu aliomba kwamba mifupa yake yatoke Misri pamoja na nabii Musa. Na wewe, ikiwa wewe ni mchaguliwa, hupaswi kufa kabla ya kukubali Kacou Philippe, nabii aliye hai wa wakati wako.
Toa andiko basi ktk vitabu vya kale tuone adamu alipo kua muislam...kweli waislam ni 0 wkt mama w Mohammad mpaka amekufa ajui neno uislam sasa adamu uyo vp?Mohammad kazaliwa ajakuta uislam kweli mwalimu wenu kipofu na kawaroga kweli kweli maana mnamshobokea yule mbakaji kamlala Aisha akiwa na miaka 9 so sad moto wa milele umchome yule kafiri wa kiarabu
Nyakati za mwisho hizi kila mmoja atakuja na elimu yake kikubwa ni Kumwamini Mungu na kutii sheria zake maana mwanadamu ana mavumbuzi mengi na ndio maana alitushindwa lakini anatuoa neema ya uhai sababu sisi ni viumbe wake na anatujalia mema japo sisi tunamtenda uovu
Kanisa makanisa yametajwa katika Quraan lakini Yessu hakuwa hi ijenga kanisa wala hakuwa hi kuingia kanisani hata siku moja wala kupitia nje ya kanisa wala haja anzisha ibada yoyote ambayo nyie mnajifanya Sasa twambieni Hilo sinagogi ndio kanisa gani maana mnasema sio msikiti mbona hakuna andiko Yessu ameingia kanisani Imani ya Uislamu hakuileta yeye naye pia ameikuta Imani ya Uislamu
Yesu Kristo hakuja kuanzisha dini duniani. Hakuanzisha dini yoyote wala hakuagiza dini fulani ianzishwe kwa niaba yake. Ukristo wenyewe sio dini ila ni ufuasi tu
Kwanza wew Mtumish umeongea uwongo na unajaribu kuwapotosha Wakrito wenzako na watu wengine, uislamu haukuanza mwaka 622 kama ulivyosema bali mwaka huo ndio kalenda au tarehe ya uislamu. Hebu rudi ukasome tena Qur-aan tuquf halafu urudi tena.
622AD Muhammad alianzisha ilo diini. ISA MASIYA NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA. Muhammad mwenyewe alikubali injili ya Isa masiya ila akupata mafunzo ya kina akawa amefanya kinyume na injili iyo.
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
Dini ni upotovu wapendwa wa mungu nina imani mungu hakuumba dini wanadamu ndio walijigawanya na kuanza mambo ya dini ....mimi si mdini ata juu nshakua confused mungu ni yeye ataniongoza katika maisha
Akuna diini yeyote ipelekayo watu mbinguni bali NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE NI ISA MASIAH asiye badilika milele. Aya majina yaliwekwa ili watu wasimujue mungu wao wa kweri. Yesu kristo Yezu kristu Jesus christ. Mungu wa kweri abadiliki ata na jina lake alibadiliki au kubadilishwa ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
sinagogi ni sehmu ambayo kama wayahudi wasingeenda kinyume na maamrisho ya Allah basi ingekuwa ndio sehemu sahihi ya kuabudia hadi leo lakini kwavile wayahudi walikengeuka amri ya mola wao ndipo Allah akmleta Yesu aje kuwaonya juu ya adhabu ya Allah ktk kukengeuka kwao iwapo hawata tubu na kurudisha sheria ya Allah, kwaiyo yesu ndopo alilazimika kuwafata wayahudi ktk masingogi sehmu ya ibada walio igeuza soko la kufanyia biashara zao. jitihada za Yesu ziligonga mwamba wayahudi walimkataa Yesu na kutaka kumuua ndipo Allah akampaisha juu, pia Allah akawaacha wapotee wayahudi wasiotaka kuongoka na akamleta Muhammad salawahu alyhi waslssam. kuirejesha sheria yake itawale dunia ndio mana ikaletwa misikit sehemu takatifu toharifu kwaajili ya kutekeleza sheria hiza ndiomana waislam hatuingii katika masina gogi kwasababu Yesu kashindwa kuwarekebisha kuirejesha sheria ya Allah
Sinagogi ni mahari panapokutanika tena ilikuwa ni kawaida yao tena wakifanya ibada baada kuwa nyumba zao kubomolewa, hii inaonyesha kwamba nikweli walikuwa wakifanya ibada hapo Kingine tafsiri hii imetolewa na mkusanyiko wa wakristo wote ambao ni viongozi
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
Mungu akubariki sana mtumishi.Umeeongea na kufafanua vizuri sana. Kama mtu anania ya kujua ukweli atakua amejua,ila shida ya wenzetu,Wanakalili na sio kuelewa.Maana kama wanaiamini biblia na kujua kuwa Sinagogi ni Msikiti.Kumbe inawapasa kuifuata biblia yote.
Mimi nilitegemea utatoa andiko kuwa aliingia kanisani lakini hakuna ndio maana umejifungia useme pekeako hata mfichie ukweli bado mtateseka sana mta wadanya wale wasio taka kuachia akili za huru kazi yao ni kuhubiliwa tuu hivi yesu alikuwa mzungu au mswahili leteni maandiko aliyo yatumia ya kiebrania mta danganya watu sana leo mna sema walio tafsiri biblia ni waislam hii yote mwelevu ataelewa likini mjinga hawezi kuelewa
Usiongee pekeako mtafute shekh mkae woote tuoneapo maana akuna Mambo ambayo yesu alifanya na nyinyi mnafanya na wap yesu kaingia kanisani na je BIBIRIA yesu anaijua nakato agizo watu wasome BIBIRIA au yesu haitambui BIBIRIA usiwapotoshe watu mchungaji sema kweli
Binafsi nakusifu kwa uchambuzi mzuri ingawa kuna kupwaya kwa nafasi ya utetezi toka upande wa pili juu ya ulichokichambua nadhani ili kufafanua kama ulivyofafanua na nahdan hii ni njia nzuri zaidi kwakua maandiko na marejeo yapo waz ningependa kushauri juu ya hili kungekua na mdahalo wa hoja usiousisha watu wengi(hadhara).
Kumbe sio kosa lenu mnasubiri kufundishwa na wachungaji badala ya kusoma vitabu sisi waislam tunasoma vitabu kwahiyo hakuna ambacho utamdanganya muislamu cz bibilia tunasoma agano la kale na quran tunasoma ko sijui utapita wapi tusipopajua pole rudini darasani
Katika dini zote hii dini ndo inaongoza kuleta manabii wa uongo na mijitu inawaamini poleni sana mtayumbishwa sana na hao manabii njaa wenu sisi tulii dini ya haki lazima ipigwe mawe wala hatuna papara na kama mnajiamini kelele za nini?ila nyie bhana mna macho lkn hamuoni poleni sana maana hata bibilia mnayodai mnaisoma hamuijui
Njia ni moja tu na ukiikosa hiyo umepotelea kwenye msitu mnene, nayo ni Yesu Chrito, na alisha sema kwamba 'mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi'
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
Sinagogi siokanisa ni msikiti kwasababuhii aina ya sala inayo saliwa ndani yasinagogi nisawa na inavyo saliwa ktk msikiti wasasa 1)sinagogi msikiti hakuna benchi 2) wanasujudu 3) anaombewa duwa ibrahim kitu ambacho kanisani hayo ayafanyiki ndomaana yesu aliingia hekaluni nakupinduwa meza zote nakutawa nje
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Ubalikiwe mungu. akusaidie
MUNGU azidi KUKUPELEKA VIWANGO vinginee pastor
Poleni Wakristo hawo walowaleteya ukristo wajerumani, wa anglican na wazungu wengineo sasa wanaukimbiya Ikristo
Amen mchugaji asante sana kunielimisha mungu akubariki Sanaa
Safi sana mtumishi wa Mungu kwa kuweka bayana Kati ya msikiti na sinagogi kuwa ni mkutano.
Upo Vizuri katika ufafanuzi Safi sana Mtumishi.
Asante sana aman
Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa ufafanuzi mzuri. Mungu akubariki.
Ubarikiwe sana mtumishi
ubarikiwe mtumishi
Upo vizuri sana Mtumishi Mungu akubariki sana napenda uendelee kutuelisha
Umechambua vizuri sana.
Nimekuelewa vizuri
Akili zako kama Paulo endelea kuwapoteza
Paulo tena
Tatizo la hawa wenzetu wamerisishwa tu h
Endelea na akili za malehem mhammadi mkafiri wamaka
@@petromachanga5538 kafiri baba ako na mama ako alokutoa ktk uislamu akakubatiza ukawa ukafiri,
Asante sana kwa mafundisho ya kina
asante sana mtumishi ubarikiwe sana
HAPO SAWA KABISA. Yaani asiyeelewa atakuwa na sikio la kufa. Kumbuka tu kuna wana wa upotevu. Endelea kutupa masomo mengine mtu wa Mungu
Labda wafuga majini
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ushauri wangu tafuta vijana wafundishe habari hizi maana kanisa linaangamia Kwa kutojua haya utapata thawabu Kwa Mungu
Kanisa la mungu la kweri ni la ISA yaani (KAN-ISA,
Aliye kufa msalabani yaani
INRI
I =ISA,
N =NAZARESI ,
R=REXLUDAERUM
I =ISIRAER.
Yaani mungu wa
Ibrahim
Isaack
Isiraeri ndiye
Isa masiah. Huu ndio ukweri.
Walio ktk aya majina apa chini ni ya lile kanisa lire MALAYA (Ufunuo 17:5-6.
ZEWUSI
YESU
YEZU
JESUS
Walio ktk
Nimekupata vzr Mtumishi ubarikiwe
Nimekuelea sana kamanda,nimekupenda bule.
Yesu akimsujudia mungu wake ww ninyi mnafanya ivyo
Macho ya mwili yanasumbua kutambua ya rohoni. Sivizuri kuosha kkmbe nje ilikpendza watu na ndani kichafu
@@jacksonnzai1593hueleweki anamaanisha nini
TATIZO WAKRISTO NA VIONGOZI WENU,HAMUJIBU MAASWALI
Pr. Dominiki hongera hii kazi unayoifanya, ni kubwa mno!! Mungu akubariki sana baba, waelimishe waede Mbinguni.
Barikiwa pia
Amina Mary nashukuru
Wataeleweje wafuasi wamalehem?
Ubarikiwa amen
Ona umepiga shungi la kislam s mnapenda kukaa
Uchi
Nakubali sana maelezo na utafiti wako. Waislam ni janja nyingi kuhadaa watu
Wapi yesu alihingia kanisa 😂😂😂😂 kama hii imani ya ukiristo
Safi sana mtumishi wanapenda kutumia hio mistari kupotosha watu
Leonard Gewa wapoteshwa wwe
3. Siku moja nitakuwa mwamuzi wa watu wote kama vile kila nabii atakuwa mwamuzi wa kizazi chake. Imeandikwa ya kwamba mitume wataamua makabila kumi na mbili za Israeli kuhusu wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa duniani. Warumi 2:16 inasema kwamba Paulo atakuwa mwamuzi wa watu wote kwa muda ambao yeye alikuwa duniani. Na mimi Kacou Philippe ambaye naongea nanyi, nitakuwa mwamuzi wenu mbele ya Mungu. Angalieni marais wa mataifa. Angalieni viongozi wa kidini na viongozi wa mashirika kama vile UM, UNESCO, wanasiasa, wakuu wa makampuni...mtahukumiwa wote kupitia Injili yangu mimi Kacou Philippe.
Kaka nimekupenda pure uko vizuri
Mungu akubariki sana..tunaomba utuletee mada ingine
Sio ingine, Ni nyingine acha upotoshaji
Mungu akuzidishie maarifa zaidi
Af ww muinjilist ww uciwe mfinyinu wa mawazo cio kila ukiona neno njia ndio huaga lina maanisha dini, coz kuna cku nimeshakusoma njian ya mbagala utasema ni kiristo nayo,
@@rajabally2431 heshima ni kitu cha bure
@@rajabally2431 hahahaaaa Elim ya madrasa
Yesu alileta ukristo hakuleta uislamu
Asante sana tumekusikia sana ila unajuwa uisilaam au neno uislam ina maana gani na kama ukijua maana yake ndy utajua kuwa uislam hakuuleta mtume muhammad bali aliuleta mungu mwenyewe
Yaani waislamu nawahurumia kwa kweli
hatuhitaji huruma yako asee
wakati wa ibrihim ili uwe muislam inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na ibrahim ni mtume wake
wakati wa mussa ili uwe muislamu inkubidi uamini kua mungu ni mmoja na mussa ni mtume wake
wakati wa yesu ili uwe muisllsmu inskubidi uamini kua mungu ni mmoja na yesu ni mtume wake
wakati wa Muhammad (S.A.W) ili uwe muislamu inakubidi uamini kua mungu ni mmoja na Muhammad (S.A.W) ni mtume wake
hivo ndivo ilivo kwa mutu wa Allah wote na hio ndio maana ya shahada
ili Yesu awe muislam ilimpasa kuamini kua mungu ni mmoja na yeye Yesu ni mtume wa mungu na hivo ndivo alivokua akiamini.
Imeandikwa wapi au ni maneno yako tu
Mwalimu yupo vizuri sana na Mimi nimemuelewa.
Pastor Habari.
Naomba Mualiko Tujadiliane Kuhusu Maandiko.
Amen asante kwamafundisho Mucungaji ubalikiwe sana
3. Kisha, njiwa wawili wakaja kwangu na wakaenda mara tena juu ya maji. Na kukawa na patwa jua (mwezi), halafu mtu aliyefanana wingu na mwenye kushika Upanga akashuka toka Mbinguni pamoja na mwana Kondoo na dunia ikaangazwa tena. Walisimama juu ya maji na mwana Kondoo akaanza kusema nami kwa lugha isiyo julikana. Sauti yake iliingiya ndani mwangu na nikaanguka kama mfu. Nafsi yangu ikaenda kusimama pamoja nao juu ya maji wakati mwili wangu ulilazwa juu ya mchanga wa bahari. Alipo maliza kusema nami, nafsi yangu ikanirudilia na nikawa tena hai lakini sikuwaona tena.
#pkpchaneltv
Huuu ni ushuhuda au ,sijafaham
Nimejifunza k2 hapo mchungaji asanteee can mungu akubariki sanaaaa nitamuaminii yesu maisha yangu yote
tatizo dini yenu nyinyi wakristo.!! makolokocho mengi imekuwa kama movie yaani uongo mwingi kuliko ukweli au wewe huoni!!,
Dah kwaiyo unamtogoza Nani ?
@@sokakilumbi9293 kwa taarifa yako uongo ukiutaka hata kwenu upo uislamuni ndo maana watu husema hekma ikzd huondoa maarifa kwahyo wamefunyua kuitafuta hekma na nia zao so lazma haya yatokee
Wafuasi wamalehem
Utamfataje malehem???
Hongera sana!!! Mungu akubaliki sana umemwinua bwana wetu Sisi wakristo tunamsubiri Yesu kumlaki tukiwa hai au mauti.Ninawaonya wale wasioujua Ukiristo wasijiweke kuwakilisha wakristo.
Kwanza kabisa Sio baliki bali ni kubariki
Pili Yesu akija atakuwa nasi sisi waislam nasio nyie
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI.
Mchungaji umesahau Yesu alipo sema je sikuwatuma NYinyi thnaashara yaani KUMI na MBILI the Sahara Ni kiarabu
Uko vizuri mno
Nawapenda sana walimu wa kristo kwakua mnafatilia kwa yakini jambo kabla hamjafundisha nanyi mnafundisha yalio yakweli. Mungu awape uezo maana twawaitaji kina Mazinge wabatizwe waache kuwadanganya waislamu
30. Jua kwamba unapozaliwa, baraka zote na laana za familia na za wazazi tangu Adamu zinakuwa juu yako. Lakini unapofikia umri wa ufahamu, sio wachawi lakini vitendo vyako vya kwanza huamua uchaguzi wako. Na suluhisho ni kumrudilia kwanza Mungu kupitia nabii wake kulingana na 2 Mambo ya Nyakati 20:20. Tafuta kwanza wokovu. Na wokovu ni tu kupitia nabii aliye hai wa wakati wako. Sio malaika wala kitabu kinachoitwa Biblia au Korani. Sio nabii anayeitwa Musa, Yesu wa Nazareti au Muhammad. Lakini maneno ya mtu aliye hai pamoja nawe. Na wewe, ingawa shida na mateso unayopitia, jua kwanza ya kwamba chanzo ni wewe mwenyewe. Na katika kutafuta suluhisho, hutamwendea nabii ovyo na haifai mtu ovyo akuwekee mikono. Hutabadilisha wokovu wako na faraja ya muda tu ya shetani katika kanisa katoliki, protestanti, ya kiinjili au ya kibranhamisti. Katika Mwanzo 50, Yusufu aliomba kwamba mifupa yake yatoke Misri pamoja na nabii Musa. Na wewe, ikiwa wewe ni mchaguliwa, hupaswi kufa kabla ya kukubali Kacou Philippe, nabii aliye hai wa wakati wako.
Nilitegemea utatoa andiko ukristo ni dini
Naona unatumia nguvunyingi bila kuthibitisha andiko yakwamba sinago ni kanisa
Yesu ni njiia ya uzima
Usidangwanwe mungu wa
Ibrahim,
Isaack
Isiraeri ndiye
Isa masiya. Mumgu
INRI
Kwanza Neno Biblia halimo ndani ya Biblia.Mimeandika juu. Kwadababu yesu hajataja
MTU Wa content tu , hauna point.
Financial Loan. Muislamu Wa Kwanza Si Mke Wa Muhammad Rehema Na Amani Ziwe Juu Yake. Muislamu Wa Kwanza Ni Nabii Adam. Soma Wacha Kukariri.
Toa andiko basi ktk vitabu vya kale tuone adamu alipo kua muislam...kweli waislam ni 0 wkt mama w Mohammad mpaka amekufa ajui neno uislam sasa adamu uyo vp?Mohammad kazaliwa ajakuta uislam kweli mwalimu wenu kipofu na kawaroga kweli kweli maana mnamshobokea yule mbakaji kamlala Aisha akiwa na miaka 9 so sad moto wa milele umchome yule kafiri wa kiarabu
BwanaYesu hakuleta ndini ndini ni mpango wa shetani
Yesu ni mmoja kati ya Kristo wengi
Asante. Huwauliza waongeze somo mpaka Yesu anasoma kitabu cha Isaiah. Swali ni vtabu gani vinasomwa katika sinagogi?
Nyakati za mwisho hizi kila mmoja atakuja na elimu yake kikubwa ni Kumwamini Mungu na kutii sheria zake maana mwanadamu ana mavumbuzi mengi na ndio maana alitushindwa lakini anatuoa neema ya uhai sababu sisi ni viumbe wake na anatujalia mema japo sisi tunamtenda uovu
Amina
Kanisa makanisa yametajwa katika Quraan lakini Yessu hakuwa hi ijenga kanisa wala hakuwa hi kuingia kanisani hata siku moja wala kupitia nje ya kanisa wala haja anzisha ibada yoyote ambayo nyie mnajifanya Sasa twambieni Hilo sinagogi ndio kanisa gani maana mnasema sio msikiti mbona hakuna andiko Yessu ameingia kanisani Imani ya Uislamu hakuileta yeye naye pia ameikuta Imani ya Uislamu
We unawapotosha bibila kwa wakristo wenzio
Kweli mtumishi
Kwanini sasa unalazimisha ukweli mtumzima ufikirilesho?
Umri unaenda. Haki bado hujaijua au makusudi?
Mungu hafanyiwi makusudi..
We endelea.
Hujasoma Mungu Anavyowaangamiza wanaofanya makusudi
Wewe unajina lako lkn unaitwa mkristo kwasababu dini yako ni mkristo sasa vipi tena nikuulize dini yako wakati tayari ni mkristo.
Yesu Kristo hakuja kuanzisha dini duniani. Hakuanzisha dini yoyote wala hakuagiza dini fulani ianzishwe kwa niaba yake. Ukristo wenyewe sio dini ila ni ufuasi tu
Kwanza wew Mtumish umeongea uwongo na unajaribu kuwapotosha Wakrito wenzako na watu wengine, uislamu haukuanza mwaka 622 kama ulivyosema bali mwaka huo ndio kalenda au tarehe ya uislamu. Hebu rudi ukasome tena Qur-aan tuquf halafu urudi tena.
622AD Muhammad alianzisha ilo diini. ISA MASIYA NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
Muhammad mwenyewe alikubali injili ya Isa masiya ila akupata mafunzo ya kina akawa amefanya kinyume na injili iyo.
Ukristo ulianza baada ya yesu kuondoka. YESU hatambui ukristo bali anatambua uislam kwani manabiii wote walimuabudu mungu mmoja na siii 1+1+1=1
Shida hapa ni pesa za Warabu zilizotumwa na kuwafikia Akina Lusekelo
Wewe ni bingwa kiukwel umetusaidia watu ni wabishi sana👏👏
Wacha kujificha marika jumba nenda huko ukajitambulishe wacha kufunza watu uwongo
Soma ufunuo wa 3;9-hio die wa waislamu jini akasilimu akawa muislamu sawa?
Yesu mwenyewe ndiyekiristo nawafuasi wake ndiowakiristo nahakuacha kanisa ila aliacha ukiristo yeye alikuwa anasimama tukilasehemu wafuasiwake walikusanyika na kusikiliza mahubili yake yaufalmewaMungu. Makanissyakiristo yalianzakujengwa namitume baada. YaYesu kupaaMbinguni.
USIBABAISHE NYOOSHA MANENO WEWE UNACHANGANYA WATU NA KUJICHANGANYA MWENYEWE
Yesu hajawahi kuwa mkiristo
omba friend match na ustadh mazinge kama ujatokea dirishani!
Mazinge hana kitu😂😂😂😂 umekos wengine wakutaja hapo
Dini ni upotovu wapendwa wa mungu nina imani mungu hakuumba dini wanadamu ndio walijigawanya na kuanza mambo ya dini ....mimi si mdini ata juu nshakua confused mungu ni yeye ataniongoza katika maisha
Yesu hakuleta uislam.synagogi sio msikiti bali ni nyumba ya kuabundia la la waisraeli ukristo ni ndini.
ubalikiwe
Hakuna vitabu vinaitwa biblia Wala dini inaitwa ukristo
Yesu alisema iko siku siri zote zitafichuliwa na ukweli utajulikana kwahiyo wakristo hata msiwe na wasiwasi
Akuna diini yeyote ipelekayo watu mbinguni bali NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE NI ISA MASIAH asiye badilika milele. Aya majina yaliwekwa ili watu wasimujue mungu wao wa kweri.
Yesu kristo
Yezu kristu
Jesus christ.
Mungu wa kweri abadiliki ata na jina lake alibadiliki au kubadilishwa
ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
Yeah amefata mtume Musa na mafundisho yake. Kwa hiyo Musa alikuwa muislamu na yesu kumfata inamaana naye muislamu
sinagogi ni sehmu ambayo kama wayahudi wasingeenda kinyume na maamrisho ya Allah basi ingekuwa ndio sehemu sahihi ya kuabudia hadi leo lakini kwavile wayahudi walikengeuka amri ya mola wao ndipo Allah akmleta Yesu aje kuwaonya juu ya adhabu ya Allah ktk kukengeuka kwao iwapo hawata tubu na kurudisha sheria ya Allah, kwaiyo yesu ndopo alilazimika kuwafata wayahudi ktk masingogi sehmu ya ibada walio igeuza soko la kufanyia biashara zao. jitihada za Yesu ziligonga mwamba wayahudi walimkataa Yesu na kutaka kumuua ndipo Allah akampaisha juu, pia Allah akawaacha wapotee wayahudi wasiotaka kuongoka na akamleta Muhammad salawahu alyhi waslssam. kuirejesha sheria yake itawale dunia ndio mana ikaletwa misikit sehemu takatifu toharifu kwaajili ya kutekeleza sheria hiza ndiomana waislam hatuingii katika masina gogi kwasababu Yesu kashindwa kuwarekebisha kuirejesha sheria ya Allah
Sinagogi ni mahari panapokutanika tena ilikuwa ni kawaida yao tena wakifanya ibada baada kuwa nyumba zao kubomolewa, hii inaonyesha kwamba nikweli walikuwa wakifanya ibada hapo
Kingine tafsiri hii imetolewa na mkusanyiko wa wakristo wote ambao ni viongozi
Mtahangaika San ila hakuna dini inaitwa ukristo au vitabu vya dini vinaitwa biblia
Waislam wanajenga hoja kwamba Yesu alitawadha kwahiyo ati ni mwislam.
Yani Hawa wachungaji hawaingii akili bora hata waislamu
N Hungarian kiyunani kanisa ni Ecclesius Au Colesium synagogue ni ki hebrania kiyahudi kiyunani Konik Greek eclesius au colesium ndio kanisa Kwa HIVYO WEWE BAADO hujuwi lugha Vizuri
Acha ushabiki zungumza ukweli yesu hatambuwe ukristo abadan Hana habari namnayo yafanya.
Mungu akubariki sana mtumishi.Umeeongea na kufafanua vizuri sana. Kama mtu anania ya kujua ukweli atakua amejua,ila shida ya wenzetu,Wanakalili na sio kuelewa.Maana kama wanaiamini biblia na kujua kuwa Sinagogi ni Msikiti.Kumbe inawapasa kuifuata biblia yote.
Mimi nilitegemea utatoa andiko kuwa aliingia kanisani lakini hakuna ndio maana umejifungia useme pekeako hata mfichie ukweli bado mtateseka sana mta wadanya wale wasio taka kuachia akili za huru kazi yao ni kuhubiliwa tuu hivi yesu alikuwa mzungu au mswahili leteni maandiko aliyo yatumia ya kiebrania mta danganya watu sana leo mna sema walio tafsiri biblia ni waislam hii yote mwelevu ataelewa likini mjinga hawezi kuelewa
Bwana yesu Asifiwe. Sema Amina
Usiongee pekeako mtafute shekh mkae woote tuoneapo maana akuna Mambo ambayo yesu alifanya na nyinyi mnafanya na wap yesu kaingia kanisani na je BIBIRIA yesu anaijua nakato agizo watu wasome BIBIRIA au yesu haitambui BIBIRIA usiwapotoshe watu mchungaji sema kweli
Binafsi nakusifu kwa uchambuzi mzuri ingawa kuna kupwaya kwa nafasi ya utetezi toka upande wa pili juu ya ulichokichambua nadhani ili kufafanua kama ulivyofafanua na nahdan hii ni njia nzuri zaidi kwakua maandiko na marejeo yapo waz ningependa kushauri juu ya hili kungekua na mdahalo wa hoja usiousisha watu wengi(hadhara).
th-cam.com/video/5UXoluZxSac/w-d-xo.html MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI
Kumbe sio kosa lenu mnasubiri kufundishwa na wachungaji badala ya kusoma vitabu sisi waislam tunasoma vitabu kwahiyo hakuna ambacho utamdanganya muislamu cz bibilia tunasoma agano la kale na quran tunasoma ko sijui utapita wapi tusipopajua pole rudini darasani
Apo unatetea Kwani ata Kwenye qur an. Lipo neno klisto sasa waliitafsili wakilisto?
Mbona husemi neno linalosema ni ukweli
Katika dini zote hii dini ndo inaongoza kuleta manabii wa uongo na mijitu inawaamini poleni sana mtayumbishwa sana na hao manabii njaa wenu sisi tulii dini ya haki lazima ipigwe mawe wala hatuna papara na kama mnajiamini kelele za nini?ila nyie bhana mna macho lkn hamuoni poleni sana maana hata bibilia mnayodai mnaisoma hamuijui
KITABU CHA KWELI HAKITAKI MANENO MENGI KIKOWAZI SANA WAMBIE WATU UKWELI
Tujiulize swali" kwa mujibu wa biblia, tukiangalia ibada za yesu ndani biblia zinaendana na ibada za makanisani au misikitini?"
Yesu alisujudu tena nyakati 5 kila siku jee kanisani mnafanya hivyo ndugu
Njia ni moja tu na ukiikosa hiyo umepotelea kwenye msitu mnene, nayo ni Yesu Chrito, na alisha sema kwamba 'mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi'
Not only Jesus was the way,life and truth but also other prophets were also the same and that doesn't mean that Jesus is God
@@ahmedhussein2393 only Jesus Christ .
Ni kweli
OK
Soma lugha asili ya bibilia yenyewe sio kiingereza au kiswahili ndio hautapata tabu mchungaji
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
Shame on you
romeo braoua unacho Ongea wewe na mada inayo ongelewa hapo nitafauti kabisa,so subri ufundishwe uskalili
Nimejifuza mengi sikukuwa naelewa mungu akumbariki sana
Musalabani kuna INRI,
Sinagogi siokanisa ni msikiti kwasababuhii aina ya sala inayo saliwa ndani yasinagogi nisawa na inavyo saliwa ktk msikiti wasasa 1)sinagogi msikiti hakuna benchi 2) wanasujudu 3) anaombewa duwa ibrahim kitu ambacho kanisani hayo ayafanyiki ndomaana yesu aliingia hekaluni nakupinduwa meza zote nakutawa nje
JE UNAAMINI KWAMBA BIBLIA IMEWEKWA MANENO YA WATU NA IKIWA UNAAMINI HIVYO ICHO KITABU UNACHOKIITA BIBLIA KASHUSHIWA MTUME GANI
Abraham alipokua akifanya ibada ana via viatu Yesu pia alivua viatu nyinyi mnavua viatu .??
Nani alikuambia kwamba Abraham na Yesu walivua viatu kufanya ibada? Unaweza kuleta ushahidi??