(OFFICIAL VIDEO) VITA INAYO ENDELEA DUNIANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 เม.ย. 2022

ความคิดเห็น • 80

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 2 หลายเดือนก่อน

    A MEN I ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu akubarki san

  • @emmanueltambo2530
    @emmanueltambo2530 2 ปีที่แล้ว +10

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji, Jina langu naitwa Emmanuel Tambo natokea Mombasa Kenya, nashukuru kwa video na jumbe ambazo ziko kwa mtandao huu GOD BLESS U ALL.Ujumbe huu kwa hakika umenifungua macho sana yaani yakiroho, nasio huu tu ziko nyingi mno.Mwenyezi MUNGU akubariki namapenzi yake yawe pamoja nawe.U r ma Spiritual Role Model.Tuko pamoja natubarikiwe sote.

  • @oman798
    @oman798 10 หลายเดือนก่อน

    AMINA

  • @stanfordsaulo5403
    @stanfordsaulo5403 6 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana kukuelewa lakini Leo sijaelewa

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 2 ปีที่แล้ว +2

    Amina pasta ubalikiwe Sim yangu waliiazima imekaa wiki Yan nmefungua tu nakutafta mahubir yako ubalikiwe nmekupata

  • @damareschikuo633
    @damareschikuo633 2 ปีที่แล้ว +1

    Yesu anakuja tuandae maisha yetu wapendwa asante Pr kwa ujumbe wako

  • @amanimgeni3325
    @amanimgeni3325 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante mchungaji mbaga MUNGU azidi kukutumia ilituzidi kusogea miguuni pa BWANA wetu

  • @josephartsenet7001
    @josephartsenet7001 2 ปีที่แล้ว +1

    Hello Man of God josephart watching u from Kenya Nairobi God bless u

  • @kalebumela9073
    @kalebumela9073 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @bartolomeuhenrique1574
    @bartolomeuhenrique1574 ปีที่แล้ว

    Amen Niko Mozambique, pastor ubalikiwe sana

  • @margretmwita8745
    @margretmwita8745 ปีที่แล้ว

    Bwana yesu asifiwe mchungaji ,Jina langu ni Margaret mwita natokea Nairobi Kenya mungu akupaliki KAZI zuri 🙏🙏

  • @bwirenelson4045
    @bwirenelson4045 ปีที่แล้ว +1

    GLORY TO GOD BE BLESSED PSTR ,CONTINUE TO IMPACT US is GODS WORD AMEN.HE is using you as a tool to fight antchrists that are at large now as ur equiping our souls .

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 ปีที่แล้ว +2

    Huu wakati kweli ni wa kufunga na kuomba kwa kuwa hizi nyakati ni dalili za mwisho. Ameni mchungaji barikiwa

  • @erasminemakundi8552
    @erasminemakundi8552 2 ปีที่แล้ว +2

    BARIKIWA SANA MTUMISHI WA BWANA KWA MAFUNDISHO HAYA

  • @gracej876
    @gracej876 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atupatie macho ya kiroho kuona na kuelewa kinachoendelea hapa duniani katika kipindi hiki cha mwisho

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa pastor Mmbaga na mahubiritv kwa kutujali

  • @bigmandubesamuelndetsa268
    @bigmandubesamuelndetsa268 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru Mungu kwa neno ambalo Baba amekupa kutulisha kwa siku yaleo

  • @moseselinisafi6425
    @moseselinisafi6425 ปีที่แล้ว

    Mchungaj mbaga ubarikiw na Bwana Yesu Kristo kwa mafundisho yako

  • @emmysam7938
    @emmysam7938 ปีที่แล้ว

    Mh..makubwa jamani..😢😢

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa BWANA

  • @stadiusjustus6167
    @stadiusjustus6167 2 ปีที่แล้ว

    Naitwa Stadius Kutoka kagera muleba baba mch nimebarikiwa kwa neno lako hili

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 2 ปีที่แล้ว +1

    Onja msisimko😆😆😆😆😆😆😆
    IMEISHA HIYO

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 2 ปีที่แล้ว +1

    AMINA...🙏Nimebarikiwa sana.

  • @beatricempiga-ex9wz
    @beatricempiga-ex9wz ปีที่แล้ว

    MUNGU atusaidie

  • @curthbertsimbao4636
    @curthbertsimbao4636 2 ปีที่แล้ว

    Subiri tu mch. Utaona ambao hujawahi kuyaona. Soma vema kuhusu taifa la kasikazini na wana wa mashariki, huyo unayesema kaka mkubwa atakuwa mdogo tu

  • @marympemba3865
    @marympemba3865 2 ปีที่แล้ว +2

    Umenifungua macho mchungaji, nilikuwa najiuliza maswali kuhusu hiyo vita, umejibu maswali yangu yote. Asante sana kwa ujumbe mzuri sana.

  • @definitelykoechy8726
    @definitelykoechy8726 2 ปีที่แล้ว +5

    God bless you pastor David 🙏

  • @joelfrancis2181
    @joelfrancis2181 2 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU ASIFiWE

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d ปีที่แล้ว

    Amen

  • @gracejames2395
    @gracejames2395 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna kitu kibaya kama kutengwa na kanisa.usipomtazama kristo unaweza kweli ukaliacha kanisa na imani yake.

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul352 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana

  • @LeahKirimu-nu9xg
    @LeahKirimu-nu9xg ปีที่แล้ว

    Bwana Yesu asifiwe mchungaji mbaga naomba ushauri wako mimi niko kahama natamani sana kuwa msabato nakila nikichukuwa hatua sasa nakwenda sabato vita kubwa inainuka juu ya mume wangu pamoja na vipigo yani ni mashambulizi mpaka nawakwe zangu natumefungia ndoa kanisa la RC yani mpaka ninaenda2 kusali humo ukatoliki lake moyo wangu haumo kabisa naomba ushauli wako

  • @fidelenyarukemba7279
    @fidelenyarukemba7279 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 2 ปีที่แล้ว

    Acha na haya mambo wanayajua wenyewe

  • @kadodochagama256
    @kadodochagama256 2 ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji. Mungu akubariki zaidi.

  • @josephatjosephat9109
    @josephatjosephat9109 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana pasta

  • @curthbertsimbao4636
    @curthbertsimbao4636 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji napenda tu kukuambia kwamba Putin na Urusi we muache tu, usiseme watamunyoosha, so kweli je wajuaje

  • @florencenyaruri5695
    @florencenyaruri5695 2 ปีที่แล้ว +3

    Glory to God. God bless and continue using you to his glory.

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 ปีที่แล้ว

    Hicho kitabu cha siraha saba za kiroho kinauzwa sh ngapi na kinapatikana wapi

  • @gracejames2395
    @gracejames2395 2 ปีที่แล้ว

    Mawakala wa ibisi waliomo kanisani hasa viongozi wanaweza kuwa chanzo kikubwa chakuwafanya watu waiache imani .

  • @fidelenyarukemba7279
    @fidelenyarukemba7279 2 ปีที่แล้ว +1

    Wwww

  • @sportevents220
    @sportevents220 2 ปีที่แล้ว

    Namba ya sadaka

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 ปีที่แล้ว

    love you mr pastor

  • @Jean-MarieKaserekamwalit-sb6pd
    @Jean-MarieKaserekamwalit-sb6pd ปีที่แล้ว +1

    Asante kbs pasteur,ila natamani Siku moja ukuye kwa Congo hapa kutulisha piya neno la Mungu,kanisa la wa adventiste ni mengiii zaidi.

  • @unitysendingpeacetoalltrib2285
    @unitysendingpeacetoalltrib2285 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks 🙏🙏🙏 Sir Reverend

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 2 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi

  • @eliuskivuyo7599
    @eliuskivuyo7599 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina Mchungaji Mbaga mungu aendelee kukutumia kama itakavyompendeza Nina shida binafsi naomba Namba zako tafadhali kama hutojali.

  • @floragatwiri3063
    @floragatwiri3063 ปีที่แล้ว

    Glory to God

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 2 ปีที่แล้ว

    Hamna kitu hapo

  • @kalebumela9073
    @kalebumela9073 2 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji MUNGU Akubariki Sana nimebarikiwa kwa kumbe Zako kweli kila mtu ana Vita yake na hawezi kuishinda kwa NGUVU zake mwenyewe Hadi tutakapo mluhusu Yesu Kristo apambane maana sio Vita yetu ni Roho mbili na sio ya kimwili

  • @kahilimawilliam6563
    @kahilimawilliam6563 2 ปีที่แล้ว

    7u7îl

  • @atwityngumbi2153
    @atwityngumbi2153 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @gabrielsaelie8091
    @gabrielsaelie8091 ปีที่แล้ว

    Ni vyema kuendelea kuomba mwongozo wa Mungu. Maana katika uelewa wangu kwa kizazi hiki dunia imepitia misukosuko ya mateso ya kutisha kwa wanadamu wakati wa vita vya kwanza na vita vya pili vya dunia. Dunia nzima ilitikisika. Na kipindi hicho kukaibuka maelezo mengi kwa mfano kanisa katoliki kupitia miujiza wa bikira Maria aliyeelezwa kuwa alionekana kule Fatima nchini Ureno na akaonya dunia. Hata hivyo dunia ilipita. Vita vya Urusi na Ukrain ni vita ya mataifa mawili tu hii ndio itakuwa ya kinabii!? Ninaamini shetani bado hajajiinia bado. Bado Neema ya Mungu ingalipo. Siku ile ya CHUKIZO badooo.

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 ปีที่แล้ว

    ameeeen

  • @faustinemasumbuko279
    @faustinemasumbuko279 2 ปีที่แล้ว

    Nabarikwa

  • @sanukachristophersanuka9385
    @sanukachristophersanuka9385 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana !...lakini ninaushauri!..kwamba mnapoweka hii video!..Mimi nahisi zingekuwa zinapunguzwa muda!..na ni vyema ujumbe uwe hata na sehemu mbili mfano Kama ujumbe Una dakik60 basi sehem ya kwanza iwe na dakka30 na ya pili hivohivo

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 8 หลายเดือนก่อน

      Kwenye swala la muda usipunguzwa ujumbe mzito namna hii uupe nusu saa kweli
      Nakushauri uwe unaangalia ukichoka unaacha unaendelea baadae tena

  • @elishamakindya1021
    @elishamakindya1021 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @miye2215
    @miye2215 2 ปีที่แล้ว +1

    napataje kumuona huyu Mtumishi??? Naomba nipate mawasiliano yake pliz.

  • @benardchacha5590
    @benardchacha5590 ปีที่แล้ว

    Pr. Nabarikiwa sana kwajinsi Mungu anavyo kutumia kusema kweli katikati ya upinzani mkubwa ulimwenguni.

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 ปีที่แล้ว

    Niko dodoma mtumishi,nawezaje kupata hiki kitabu cha silaha 7 za kiroho?

  • @m2ibila
    @m2ibila 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji henoko naye alitenda dhambi

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 2 ปีที่แล้ว

      Kwani biblia imesemaje Soma mwwnzo4:1 sura nzima

  • @patrickkamau7754
    @patrickkamau7754 2 ปีที่แล้ว

    Nitapataje kitabu chako na Niko kenya

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 2 ปีที่แล้ว +1

    Kitu chochote atakachokufundisha Mmbaga ni AMINA na KWELI

  • @florentinaninah2417
    @florentinaninah2417 2 ปีที่แล้ว

    Elon Musk

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 ปีที่แล้ว

    Salama iko kwa Yesu tu. th-cam.com/video/wr4NLOcRbSc/w-d-xo.html

  • @promessebiryasi4391
    @promessebiryasi4391 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @beatricempiga-ex9wz
    @beatricempiga-ex9wz ปีที่แล้ว

    Amen

    • @marionoti5760
      @marionoti5760 ปีที่แล้ว

      Jamaa unajitahidi kuwalisha matango pori ukichanganya na ukweli.

  • @stanlychishimba2729
    @stanlychishimba2729 2 ปีที่แล้ว

    Amen