| VOL. 3 | MWL TENGWA [Vitu 6 vilivyo nyuma ya uso wa Mungu]

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2023
  • BWANA YESU ASIFIWE!
    NI WAKATI WA MABADILIKO YA MSIMU MPYA WA MATENGENEZO YA KIROHO NDANI YA KITABU CHA INJILI YA UAMSHO.
    NILICHOPEWA NA BWANA YESU TANGU MWAKA 2014.
    SASA BWANA AMEYARUHUSU MANENO HAYO KUSIKIKA KWA MARA YA KWANZA TAREHE 8/10/2023 PALE SUMA JKT MWENGE DAR ES SALAAM TULIPOKUWA KATIKA KONGAMANO LA MAOMBI YA KULIOMBEA TAIFA.
    NA SASA NI MWENDELEZO NA MFULIZO WA MANENO HAYO YALIOMO NDANI YA HICHO KITABU KUANZIA MWAKA HUU 2023 HADI 2030
    KATIKA MTIRIRIKO WA VOLUME 1 HADI 40
    FUATANA NAMI KATIKA MSIMU HUU MPYA WA MATENGENEZO YA KIROHO NDANI YA KANISA LA MUNGU.
    #MUNGU AKUBARIKI SANA
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kufanikisha Makongamano:
    LIPA KWA SIMU
    M-PESA: 5143575
    TIGO PESA: 6749284
    JINA: UMOJA WA MAOMBI YA KITAIFA
    BANK
    NMB: 23210038745
    JINA: MAOMBI TOBA KITAIFA
    BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
    WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
    +255 769 515 808, +255 629 304 931
    #HudumayaUamshoNaMatengenezoYaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840
    #0658901901 RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:
    M-PESA: 0752 001 840
    TIGO PESA: 0678 304 931
    AIRTEL MONEY: 0694 331 055
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    AU KUPITIA BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    #HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840

ความคิดเห็น • 42

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 8 หลายเดือนก่อน +2

    Namshukuru Mungu sana sana kwa Ujumbe huu nahitaji kumjua Mungu.Sifa, Utukufu,ni kwa Bwana.

  • @danielambonisye6261
    @danielambonisye6261 28 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @jamesgervas577
    @jamesgervas577 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu wewe ni Mungu mkuu Mungu mkuu Mungu mkuu

  • @jamesgervas577
    @jamesgervas577 4 หลายเดือนก่อน

    Glory be to God. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @happinessmgonja8573
    @happinessmgonja8573 7 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu usiwasikikize wanaopinga maneno haya ya mwl Tengwa,uliyoyaweka ktk moyo wake..

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent 8 หลายเดือนก่อน +2

    EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE TUUMALIZE MWENDO SALAMA ILI YESU ATAPORUD KUNYAKUA KANISA ASITUACHE MAANA JEHANAM INATISHA

  • @user-zi3ri7rn7b
    @user-zi3ri7rn7b 5 หลายเดือนก่อน

    Haleluya, nabarikiwa sana! na Mtumishi wa BWANA.

  • @felisterligazio7151
    @felisterligazio7151 8 หลายเดือนก่อน

    Amina mwl. Tengwa, tunakuelewa

  • @danielambonisye6261
    @danielambonisye6261 28 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana baba ni magumu sana,lakini yanatuponya kabisa ninapokea sana nguvu zake na mabadiliko

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen balikiwa kwa ujumbe mzur

  • @emmanuelmtaita4068
    @emmanuelmtaita4068 6 หลายเดือนก่อน

    Jina la Bwana litukuzwe na mataifa yote ulimwenguni kupitia kazi hiibKubwa inayoifanya kwa uaminifu mkubwa...Mungu akutunze ,nasi tuwe upande wa Mungu na upande wako mtumishi.. Barikiwa sana .. Emmanuel Mtaita toka Arusha 🙏😥

  • @HappinessMgonja-dt3wg
    @HappinessMgonja-dt3wg 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukuinua na kukutumia ktk kazi yake,mimi naomba kujua kanisa lako liko wapi,barikiwa

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 8 หลายเดือนก่อน

    Utukufu nikwa BABA YETU YESU KRISTO,nimejazwa tena nguvu za Bwana mtumishi wa Mungu hakika ukinyenyekea katika Roho Yesu Kristo anakutengeneza upya.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 8 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Tunaomba neema na rehema zake Mungu ili tuyashike yote hayo katika jina la Yesu Kristo

  • @estersamwel721
    @estersamwel721 8 หลายเดือนก่อน

    Kwainjilii hii lazima nipokee nguvu ya Roho mtakatifu.

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 8 หลายเดือนก่อน +1

    Niliisubiria sana asante Mungu akubariki

  • @mariamyinga2141
    @mariamyinga2141 8 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumishi wa Mungu tunazidi kupokea kutoka kwa Bwana

  • @abrahammarress4344
    @abrahammarress4344 8 หลายเดือนก่อน

    Ninamshukuru Mungu kwa mafundisho haya.
    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu. Wewe ni mwalimu mzuri.

  • @SAAYAUAMSHOULIMWENGUNI
    @SAAYAUAMSHOULIMWENGUNI 8 หลายเดือนก่อน

    Amen amen!! MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeen ameeeen ameeeen ameeeen ameeen ameeeen na ameeeen.Hakika chakula ni kitamu

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 8 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli tukilijua hili na kuchukua hatua tutapata raha,nisaidie Bwana Yesu nakuhitaji.

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Bwana anza nami upya .Nitengeneze Bwana

  • @WinifridaCosmas-qh7ms
    @WinifridaCosmas-qh7ms 7 หลายเดือนก่อน

    Huu kweli ni Muda wa kutambua Kanisa halisi ni lipi na majira yaliyoamliwa,injili hili ni ya moto.

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 8 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa Mtumishi mi Niko kigamboni kisarawe 11 Baada ya Mambo haya tuliunga kikundi Cha maombi tunakitaka kila siku jion na Tunamuona Mungu Sana Mungu anafunua mambo makubwa Maji yatakavyoua watu lakini Anatuambia tuombe Sana Toba na Rehema

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 8 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi,Mungu atuponye

  • @reginacasimiromatias
    @reginacasimiromatias 8 หลายเดือนก่อน

    Amém

  • @carolinemasaka1400
    @carolinemasaka1400 8 หลายเดือนก่อน

    Amen Mtumishi wa Mungu

  • @rahelkimario1497
    @rahelkimario1497 8 หลายเดือนก่อน

    Amen MTUMISHI WA MUNGU.

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 8 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi Tengwa tunakupata,

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 8 หลายเดือนก่อน

    Amen!

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 8 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu nisaidie nisikwamie kwenye utisjo

  • @tumainichaula9937
    @tumainichaula9937 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Haleluya

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeen

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Ameeeen

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent 8 หลายเดือนก่อน

    ASANTE BABA YETU MUUMBA MBINGU NA NCHI KWA KUMWINUA MTUMISHI WAKO KWA NYAKATI HIZI ZA MWISHO AMBAZO DUNIA ILEWALEWA KAMA MLEVI

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 8 หลายเดือนก่อน

    Ameeen

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 8 หลายเดือนก่อน

    Wafunulie yaliyo fichwa ambayo hajawah kuyaskia hata wanaokpinga baadae watasema kwel ww umetumwa na mung mana ukwel hujitenga na uongo.

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 8 หลายเดือนก่อน

    Nauliza vyombo vyauzur nini?kwenye ile kutoka uliposoma.

    • @tengwatv3749
      @tengwatv3749  8 หลายเดือนก่อน

      Vyombo vya uzuri ni mapambo wa kujipamba!

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 8 หลายเดือนก่อน

    B