Yesu ndiye njia, kweli na uzima; mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya Yesu. Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya maji; na kila ulimi ukiri ya kwawa YESU KRISTO ni Bwana
Kweli hizi ni siku za MWISHO,Yesu anakuja kuchukua kanisa,injili haina budi kuhubiriwa kote duniani. Tiini neno ndugu waislam mpate kuokoka,Yesu anawapenda sana
Na nyie ndugu zangu ambao mnatukana nawasikitikia kwasababu hamjafanya uchunguz wowote bali mnasubiri mashekh...wawafanyie Kila kitu. Mungu atuongoze sote na atujaalie mwisho mwema
hapa naona kwa kweli watu wengi n wa dini kwa kuwa bado hawajaelewa haswa waislamu kwa kuwa bado wanamwita kafiri kwa kuambiwa ukweli lakini Mwenyezi awafungue macho,fahamu zenu na pia maskio yenu ili upate chenye anachojaribu watu wajue, kwa kuwa ni ukweli mtupu na shetani hufumba watu wasisikie wala wasiufahamu ukweli watu wengi badala ya kuona wanasaidika na hayo maneno watapuuza na kumrushia Manteno machafu ambapo haitakusaidia ila utapotelea kwa iyo unasema dini yako.....
safe saana nabi Elyas nakupongeza kuwa hubiri ndugu zetu waislamu na wakiristo wapagani unamthibitisha kuwa ndiye njiani ya ukweli na uzima bila kumwamini Yesu na kutubu but dhammbi huwezi kum won a Mungu Kwa kuwa Yesu Kristo ndiye njia ya kweli
NYIE TOENI MAPEPO KWA JINA LA YESU SIKU YA MWISHO ATAWARUKA FUTI 100 ANDIKO HILO👇 22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Mathayo 7 :22 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. Mathayo 7 :23
@@banjatvofficial186 limesema sema hivyo nimegundua ninyi hamjui mnachokisoma mnasikiliza mashekh ambao nao hawana elimu ya kutosha biblia haisomwi kama unavyotaka wewe biblia inasomwa kwa upana wake mfano huwezi soma neno moja ukaelewa inatakiwa usome fungu lote mfano umetoa mfano neno hili lakini anzia matayo 7 mtsari wa 21 inasema sio kila aniambiae bwana bwana atakae ingia ufalme wa mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya baba akiwa anamaanisha kuna wanao itajina lake lakini hawatendi mapenzi ya mungu elewa hilo na pia ukisoma mstari wa 22 inasema kwamba watasema tunetoa mapepo kwa jina lako alafu usiishie mstaru wa 22 tu nenda na wa 23 umalizie kusoma anasema ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu ukilinganisha na ule mstaru wa 21 inamaana kwamba wale wote ambao hawatendi mapenz ya mungu hata kama watatoa pepo kwa jina lake bado ni waovu na niwaovu kwa sababu gani kwa sababu matendo yao ni kinyume na mungu anavyofanya hata katika uislamu kuna wengine ni mashekh lakini ni mashoga hyo haimaanish waislamu wote ni mashoga japo wanaliita jina lana la allah
@@harrisonsamwel3112 Hahahaaaaaaa mtihani mkubwa sana unajua ukiisoma quran watu kama nyinyi wala hamtushangazi mwenyezi mungu kishawazungumzia. Ila anasema na siku kafiri atatamani kurudi kuwa mtt mchanga.
Waislamu acheni kujitoa akili...... ukimsikiliza kwa makini huyu kuna vitu anaongea ni kweli. Pamoja mimi nilikalilishwa tangu utoto ila sasa nina akili timamu ya uwelewa nimemuelewa vzr sana na nitamtafuta inshaallah
QURAN 19:34-Huyo ndio Isa Mwana wa Maryam,Ndiyo kauli ya Haki ambayo wanaifanyia shaka,YOHANA 16:6 Mimi ni njia na uzima,mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Menye kuelewa kaelewa.
Wewe kafiri mariuuni unadanganya unabadilirisha mane no ya mungu Kama Mayahudi kwa ajiri ya tumbo Ila ujue Kama unakula moto ndoo unajaza katika tumbo lako
Kazi nzuri hongera sana ndugu kwa kujulisha watu ukweli, ila ushauri wangu kwako ni kwamba mpiga picha wako hamna kitu kabisa, tafuta mpiga picha mzuri professional.
Uzur wa waislamu hawapelekeshwi na watu kama hawa, waislamu wanajua kusoma kitabu chao vzur, hivyo fuata njia yako nasisi tuna njia yetu, wewe sio ktk sisi wala sisi sio ktk wewe, Allah atakuhukumu kwa mujibu wa alivyo kupangia.
agrikola leo Ukweli unaua na UKWELI ulimfikisha yesu msalabani. Tazama akafufuka na sasa anayo hiyo kweli nayo kweli ndiye yeye. Ni nuru ya ulimwengu. Yeyote anayemkiri kristo ataipata kweli na kuiona nuru
Kwakukili kua yesu nimwanawa Mngu , na ndienjia yakweli , nayakwamba bilayeye huwezi kuuona ufarume w Mungu, hakika wewe umefanyika kua nduguyetu ,, nasasa naanzakuuona ujio wa babayetu Yesu kristo ,maana ujumbe huu nikwaajili ya wale wasioamini iliwaamini apatekuludi , nawaspoamini akiludi hukumuyao isiwelawama kwawote kwamba walidanganywa na mashehe , sasa kaja mwenzenu na kuwafundisha kupitia qruhni yenu wenyewe .
Wanajua sana ila shetani naye yuko kazini amewafunga akili na wanayemwamini hakuwahi ishi maisha ya utakatifu hata siku moja zaidi sana alioa katoto kadogo jambo ambalo hata asiyemjua Mungu hawezi Fanya
Nawashangaa shida wapi isa masih ni mtume wa Mungu tu wala cyo mungu wacristo nyie mnaamini yesu ni mungu Sasa shida wapi sis waislam tunamuamini kama mtume
Zaydat Haruna very beutiful masha'allah Tatizo unakaririshwa. Tafuteni UKWELI Huu ukafunikwe Kwa damu yake mwanakondoo ikapate kutenda maajabu siyo rahisi kuamini ila one day ipo siku moja utakiri hata mautini
Mtume wetu Muhammad aliletwa kwa ajili yenu mnaosema yesu ni mungu na Quran ndio kitabu pekee ambacho hakina shaka wala hakijatiwa mikono na mafarisayo waandishi NA Quran inamzungumzia Yesu karibia nusu yake kwakua watu kama nyinyi musipotee Ni kweli nabii Muhammad iliiubiri injili na utabiri wa nabii issa au yesu huu hapa 👇 12 Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. Yohana 16 :12 13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. Yohana 16 :13 14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. Yohana 16 :14 15 Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari. Yohana 16 :15 Ushahidi kua Muhammad kapewa Quran pia upo ndani ya bibilia 12 kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi. Isaya 29 :12 Quran 96- 1Al Alaq (96:1) Recite1 in the name of your Lord2Who created,3 1. As we have explained in the Introduction, when the Angel said to the Prophet (peace be upon him): Read, the latter replied: I cannot read! This indicates that the Angel had presented these words of the revelation before him in the written form and had asked him to read them. For if the Angel had meant that he should repeat what he recited, he should not have replied, saying: I cannot read! NDIO MAANA KUNA HABARI NYINGI AS NABII ISSA KATIKA QURAN ILIMSIPOTEE MUHAMMAD KAJA KUWAOKOENI KWA KUSEMA YESU NI MUNGU MARA YESU NI MTOTO WA MUNGU SASA SIJUI TUSHIKE VIPI WAKATI YESU NI MTUME TU NA NABII WA ALLAH
@@banjatvofficial186 kwaiyo ww unakubali bila yesu ufiki mbinguni au sinakuelewa au ww yesu kwako ni kama nani?jee upo tayali nikupe aya ya yesu ni mwana wa mungu au mungu upo upo tayali?na nataka kujua yesu unamuamini kama nani nabii wa kawaida au zaidi ya nabii?
QURAN 19:34-Huyo ndio Isa Mwana wa Maryam,Ndiyo kauli ya Haki ambayo wanaifanyia shaka,YOHANA 16:6 Mimi ni njia na uzima,mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Menye kuelewa kaelewa.
Njaaa mbaya hamza !!! Usidangany watu na aya zako 2 na Hadith mbili !! Inamaana ww Ndo umesoma kuliko waislam wote !!! Ushapewa pesa unalopokwa kumbuka umaut
Waislam muogopeni huyu shetani tena ananjaa ya kumwaga damu ya waislam, anatangaza uvunjifu wa amani, anataka kafara ya rusifa huyu ni mfuasi wa Roma mass, muogopeni sana, nakujibu dola ya kiislam ipo katika zama hizi ni IRANI tena tunajua vizuri tena lmamu nakuja kwa kasi,
Yesu ndiye njia, kweli na uzima; mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya Yesu. Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya maji; na kila ulimi ukiri ya kwawa YESU KRISTO ni Bwana
This guy is a revolutionist just like Issa bin Mariam. God bless you.
Kweli hizi ni siku za MWISHO,Yesu anakuja kuchukua kanisa,injili haina budi kuhubiriwa kote duniani. Tiini neno ndugu waislam mpate kuokoka,Yesu anawapenda sana
Kafiri mwenzenu huyo
Yesu Kristo ndie njia, kweli na Uzima. Watu maamuma kama kina Rashid wamuwezi muelewa huyu mchungaji.
@@laurentraphael5470 naona huna unacho fuata kwa yesu alafu unasema yesu ndiye njia ya ukweli na uzima
@@rashidjumamohamed3437 mm nilijua Quran haionyeshi yesu ni nani kumbe imeweka wazi kila ki2 ila amuoni !!
Nakutakia maisha marefu kaka kwa kazi ya kuhubiri injili juu kwa watu wote.
Binafc nakuelewa sana nakuombea baraka kwa mwenyezi MUNGU
Na nyie ndugu zangu ambao mnatukana nawasikitikia kwasababu hamjafanya uchunguz wowote bali mnasubiri mashekh...wawafanyie Kila kitu. Mungu atuongoze sote na atujaalie mwisho mwema
Inshallah
Kweli Dada yangu
Okoa roho ZA waislamu mzeee wape ukweri WA MUNGU
Siangejiokoa yeye kwanza akawa mkristo waislam wote wanamkubali yesu au nabii issa
Amen...YESU ni njia ya ukweli na uzima wa milele.
Hubiri neno la uzima mkuu..
Kristo Yesu.. ndiye njia kwel na uzima..
Nilikuwa nachukia sana mashehe wapokuwa wanapindisha ukweli. Lakini shehe HAMZA, yuko tofauti sana na waislaam wasiojitambua.
Ukweli gani uliyo pindshwa uwo
Nakufananisha na mtume paulo alivyokutana na YESU ubarikiwe sana hata kama unakosea baadhi ila roho mtakatifu ni mwalim atakufundisha
USTADHI UPO VIZURI
hapa naona kwa kweli watu wengi n wa dini kwa kuwa bado hawajaelewa haswa waislamu kwa kuwa bado wanamwita kafiri kwa kuambiwa ukweli lakini Mwenyezi awafungue macho,fahamu zenu na pia maskio yenu ili upate chenye anachojaribu watu wajue, kwa kuwa ni ukweli mtupu na shetani hufumba watu wasisikie wala wasiufahamu ukweli watu wengi badala ya kuona wanasaidika na hayo maneno watapuuza na kumrushia Manteno machafu ambapo haitakusaidia ila utapotelea kwa iyo unasema dini yako.....
Kwakweli Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Uko na jukumu kubwa mbele yako nakuombea Mungu ashindi kukujalia nguvu na hekima unapowafikisia waislamu habari njema ya Yesu Kristu
safe saana nabi Elyas nakupongeza kuwa hubiri ndugu zetu waislamu na wakiristo wapagani unamthibitisha kuwa ndiye njiani ya ukweli na uzima bila kumwamini Yesu na kutubu but dhammbi huwezi kum won a Mungu Kwa kuwa Yesu Kristo ndiye njia ya kweli
Upo sahihi Mtumishi wa Mungu, Mungu akulinde 🙏
ameeen God bless you
Uko sahihi kabisa hakika, Mwenyezi Mungu akujalie kheri
Kafili tu huyo atumthamini anafaa kufyekwa
Ubarikiwe na Mungu akujaliye neema, upewe ushindi.
Wooiiiiii wagonjwa wanapona viwete watembea vipofu waona na mapepo yatoroka kwa jina la YESU KRISTO.Amen.
NYIE TOENI MAPEPO KWA JINA LA YESU SIKU YA MWISHO ATAWARUKA FUTI 100 ANDIKO HILO👇
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
Mathayo 7 :22
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Mathayo 7 :23
@@banjatvofficial186 hao ni wale wanao toa mapepo lakini matendo yao ni machafu
@@harrisonsamwel3112 andiko alijasema hivyo
@@banjatvofficial186 limesema sema hivyo nimegundua ninyi hamjui mnachokisoma mnasikiliza mashekh ambao nao hawana elimu ya kutosha biblia haisomwi kama unavyotaka wewe biblia inasomwa kwa upana wake mfano huwezi soma neno moja ukaelewa inatakiwa usome fungu lote mfano umetoa mfano neno hili lakini anzia matayo 7 mtsari wa 21 inasema sio kila aniambiae bwana bwana atakae ingia ufalme wa mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya baba akiwa anamaanisha kuna wanao itajina lake lakini hawatendi mapenzi ya mungu elewa hilo na pia ukisoma mstari wa 22 inasema kwamba watasema tunetoa mapepo kwa jina lako alafu usiishie mstaru wa 22 tu nenda na wa 23 umalizie kusoma anasema ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu ukilinganisha na ule mstaru wa 21 inamaana kwamba wale wote ambao hawatendi mapenz ya mungu hata kama watatoa pepo kwa jina lake bado ni waovu na niwaovu kwa sababu gani kwa sababu matendo yao ni kinyume na mungu anavyofanya hata katika uislamu kuna wengine ni mashekh lakini ni mashoga hyo haimaanish waislamu wote ni mashoga japo wanaliita jina lana la allah
@@harrisonsamwel3112 Hahahaaaaaaa mtihani mkubwa sana unajua ukiisoma quran watu kama nyinyi wala hamtushangazi mwenyezi mungu kishawazungumzia. Ila anasema na siku kafiri atatamani kurudi kuwa mtt mchanga.
YESU KRISTO AKUBARIKI KWA KUMKIRI KUWA YEYE NDO UFUFUO NA UZIMA
Asante kwa kuelewa kweli na uilinde maisha yako kwa wafuasi wa jihad
Mungu akubarik sana
Mungu ameweka moto kinywani mwake wala haogopi mabaya yoyote praise God ✌️
Tatizo Tanzania ni nchi ya amani angekua nchi zengine mbona kitambo
Yesu christo ndiye njia iliyonyooka ....au sio
Usikate tamaa polepole wataelewa tu
Mashaallah!!! Endelea kufanya kazi Ya mungu Ust.. Na mungu akulinde sana tuko nyuma yako
Huyu hafanyi Kaz ya mungu huyu anfanya Kaz ya shetan uhalisia ukweli nkwamba sio muislam haujui uislaam nimpotoshaji
@@abuumaryam1922 wew unaujua tuambie ukweli tuwe waislam
@@abuumaryam1922 Hebu tuambie hicho kitabu anachosoma ni Kitabu chake mwenyewe?, au ni Quran?? 🤔
Waislamu acheni kujitoa akili...... ukimsikiliza kwa makini huyu kuna vitu anaongea ni kweli. Pamoja mimi nilikalilishwa tangu utoto ila sasa nina akili timamu ya uwelewa nimemuelewa vzr sana na nitamtafuta inshaallah
karibu ....tuko wengi tuonane na yeye live /live..
hamia huko kwa wenzako ndio ndio uhubiri hayo unayohubiri sio ujidai muislam halafu unahubiri upande wa wenzako.play your party
QURAN 19:34-Huyo ndio Isa Mwana wa Maryam,Ndiyo kauli ya Haki ambayo wanaifanyia shaka,YOHANA 16:6 Mimi ni njia na uzima,mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Menye kuelewa kaelewa.
Wewe kafiri mariuuni unadanganya unabadilirisha mane no ya mungu Kama Mayahudi kwa ajiri ya tumbo Ila ujue Kama unakula moto ndoo unajaza katika tumbo lako
@@venancegaspatv1961 kipi alikifanya yesu nawe unamfuata kama si mnafik.wew
mungu akubariki sana mtumishi endelea kuwapa ukweli iko cku watakuelewa tu
Waislam mpokeeni YESU acheni ubishi mnaenda motoni
Tungekuja ila bahati mbaya hakuna dini inayo itwa ukristo biblia nzima kwa iyo pole sana mana hatuwezi kuja wakati wewe mwenyewe huna dini mpaka leo
Amen,m/mungu akutie nguvu katika kazi hii kubwa unayoifanya
Huyu nabii kainuliwa kuwahubiri waislam wenye mioyo migumu walioshika dini badala ya imani.
Hakuna babii atakae kuja mwengine badala muhamad
Acha kuzuia watu wasimjue Kristo wa Kweli.Huwezi mfananisha Yesu na issa bunmariam
Good bless him msema ukweli kila siku anapingwa tu
Timiza wajibu wako mpendwa najua una deal na mindset sio rahis but inawezekana kwakuwa n kaz ya mungu sema ukweli wakuskia askie.
Kazi nzuri hongera sana ndugu kwa kujulisha watu ukweli, ila ushauri wangu kwako ni kwamba mpiga picha wako hamna kitu kabisa, tafuta mpiga picha mzuri professional.
taratiiiiibu tutaelewana
Nabii unasema ukweli mtupu may God protect you in Jesus name 🙏
Glory be to Jesus christ 🙏
Nabii Eliya ndio Muislamu wa kweli na anavijua Vitabu vyote vya Dini
Innalillah wa innalillah rajiuni .wemwendawazimu tu
Anayoyaosoma siyo kweli kwenye hicho kitabu kitakatifu?
Mnao mpinga huyu (muslims) maana huyu anawaambia ukweli mnamuona kafir Neema ya Mungu iwajilie mpate kuijua KWELI
Acha kelele sio mwenzetu huyo ni wenu kafili mwenzenu
@@mshindotv8475 we msenge nan kafili
Zabron Leonard kwa mujibu wa Qur'an wakristo ni makafiri ..coz Qur'an inasema kwa hakika wamekufuru wale wanaosema mwenyezi mungu kajifanyia mtoto.😎😎
Uyu sio muislam
Kilagoti litapigwa kwake yesu kristo
Goti LA Yesu Lenyewe lazima li pigwe
sheih ukopoa we follow you
Haleluyaaaa
Mwandawazima na weli pammoja na wale wanamsikiza. Issa hakusali hata Siku mmoja Kanisani. Hakuna hata sehemu Moja ndani y Quran imemwagika damu y yesu
Don't gain the world and loose your soul wisdom is better than gold and silver
Raana za mwenyezi mungu ziwe juu lako
Ubarikiwe Sana mungu azidi kukutumia
Uzur wa waislamu hawapelekeshwi na watu kama hawa, waislamu wanajua kusoma kitabu chao vzur, hivyo fuata njia yako nasisi tuna njia yetu, wewe sio ktk sisi wala sisi sio ktk wewe, Allah atakuhukumu kwa mujibu wa alivyo kupangia.
Ukweli huuma
Barikiwa mtumishi wa Mungu
MUNGU AKULINDE KWAKUUSEMA UKWELI.
agrikola leo Ukweli unaua na UKWELI ulimfikisha yesu msalabani. Tazama akafufuka na sasa anayo hiyo kweli nayo kweli ndiye yeye. Ni nuru ya ulimwengu. Yeyote anayemkiri kristo ataipata kweli na kuiona nuru
🤣🤣😂😂ety msema kweli hatar hii
Amina sana
Amen,Mungu akubariki sana
Amen
Kwakweli amza ww ni kiongozi bora nimekuamini leo bila yesu ufiki mbinguni waambie waislam yesu ndo njia
Dah bangi siku zote haimuwachi mtu salama
umesema kweli mungu akubariki
Ukweli gani uwo aliyo sema
Okowa roho chehe.....maputo Mozambique
Pole sna unatafuta moto kwa ngufu
Duuuu mambo ni motooooooooooo
Laana tullah
Vizuri
Kwakukili kua yesu nimwanawa Mngu , na ndienjia yakweli , nayakwamba bilayeye huwezi kuuona ufarume w Mungu, hakika wewe umefanyika kua nduguyetu ,, nasasa naanzakuuona ujio wa babayetu Yesu kristo ,maana ujumbe huu nikwaajili ya wale wasioamini iliwaamini apatekuludi , nawaspoamini akiludi hukumuyao isiwelawama kwawote kwamba walidanganywa na mashehe , sasa kaja mwenzenu na kuwafundisha kupitia qruhni yenu wenyewe .
Tumemkubali Mohammed rasoolallah!
Nisha kuchoka zamani rafiki yangu bye
Twanga, twanga, twanga twendeeeee
Jameni huyu bwana apimwe akili.Tena haraka sana. Takbir!
Takbir ndo nn ww kenge au ww ukapimwe hakiri
Huyu mwache aruke apae ila tunajua kua huyu sio muislam mana kanuni zote za uislam kazivuka na hakuna anaekubali kwa maneno anayosema
Huyu angekua mombasa ningempiga jiwe la kichwa nikamvunja mdomo wake.
Maisha yake anzingeweza kusema tena.angekua bubu maishani mwake.
Unamapepo sio bure maandiko hujui
sasa wewe ni shekh wa ukweli
😢😢😢😢😢
Kila ulimi utamkili
hutaweza kuwaondoa waislam wakweli kwenye njia yahaki we endelea kuwapotosha wakristo
ALLAH Anakwambia Hatukumuua wala Hatukumsulubu we Kafiri Hamza Unasem Yesu Alikufana Kufufuk INA Maana we Unajua Zaidi Kuliko ALLAH au???
Khairul Abdi Allha ni kafiri wewe una soma vitabu vyenu kweli.
Piga kazi wataelewa tu polepole!
Wanajua sana ila shetani naye yuko kazini amewafunga akili na wanayemwamini hakuwahi ishi maisha ya utakatifu hata siku moja zaidi sana alioa katoto kadogo jambo ambalo hata asiyemjua Mungu hawezi Fanya
Nikweli
@@elizamsisizio4502 mi naona nyini ndo mumefugwa akili
Kaka watakuchukia ila ndo ukweli
Hamza uko poa sana
Natamani sikumoja mujue kua Yesu ninjia yakweli kama qoran inavyosema , nasikuhiyo natamani kuona mkilia machozi kwauchungu hukumkimita Yesu awapeneema yakweli ,, najua iposiku yatatimia ..
Mbona humfuati
Allah akunusuru maana huwezi wazidi elimu kina mazinge, kinyogori, Dr sule, n.k hao tuu wangesha sema kua ukristo ndio dini
Nawashangaa shida wapi isa masih ni mtume wa Mungu tu wala cyo mungu wacristo nyie mnaamini yesu ni mungu
Sasa shida wapi sis waislam tunamuamini kama mtume
Wakina mazinge wapotoshaji huyu mtu ni kweli anaongea ukweli, Kama mnapenda Uongo endeleeni kupotea
Kama unamfuata mazinge shekhe mwaipopo pole sana jehannam inakungoja hawo niwanafiki kama wanafiki wengine
safi
Amina
Huyu ni wa kupuuzwa tu kwa wanaojua kwan ipo siku atakuja vuna anachokipanda so achen atafte ugali wa hapa dunian kesho akhera atakipata
Zaydat Haruna very beutiful masha'allah Tatizo unakaririshwa. Tafuteni UKWELI Huu ukafunikwe Kwa damu yake mwanakondoo ikapate kutenda maajabu siyo rahisi kuamini ila one day ipo siku moja utakiri hata mautini
Nabii isa ni yesu
@@neymermponde7810 mdomo Mali yako
Nabii wawagalatia
Bado kidogo tu huyo kafiri ambaye mnayemfata atajita mungu nawapumbavu watamfata kwa upumbavu wao
Wewe unaongea ukwel nandomaan wahengawana Seema ukwel una uma
Kwanza nenda ukasome
So Muhammad preached the gospel of Kingdom wow 😲But how do Muslims hide this for years????
Mtume wetu Muhammad aliletwa kwa ajili yenu mnaosema yesu ni mungu na Quran ndio kitabu pekee ambacho hakina shaka wala hakijatiwa mikono na mafarisayo waandishi
NA Quran inamzungumzia Yesu karibia nusu yake kwakua watu kama nyinyi musipotee
Ni kweli nabii Muhammad iliiubiri injili na utabiri wa nabii issa au yesu huu hapa 👇
12 Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
Yohana 16 :12
13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
Yohana 16 :13
14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
Yohana 16 :14
15 Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari.
Yohana 16 :15
Ushahidi kua Muhammad kapewa Quran pia upo ndani ya bibilia
12 kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi.
Isaya 29 :12
Quran 96- 1Al Alaq
(96:1) Recite1 in the name of your Lord2Who created,3
1. As we have explained in the Introduction, when the Angel said to the Prophet (peace be upon him): Read, the latter replied: I cannot read! This indicates that the Angel had presented these words of the revelation before him in the written form and had asked him to read them. For if the Angel had meant that he should repeat what he recited, he should not have replied, saying: I cannot read!
NDIO MAANA KUNA HABARI NYINGI AS NABII ISSA KATIKA QURAN ILIMSIPOTEE MUHAMMAD KAJA KUWAOKOENI KWA KUSEMA YESU NI MUNGU MARA YESU NI MTOTO WA MUNGU SASA SIJUI TUSHIKE VIPI WAKATI YESU NI MTUME TU NA NABII WA ALLAH
@@banjatvofficial186 kwaiyo ww unakubali bila yesu ufiki mbinguni au sinakuelewa au ww yesu kwako ni kama nani?jee upo tayali nikupe aya ya yesu ni mwana wa mungu au mungu upo upo tayali?na nataka kujua yesu unamuamini kama nani nabii wa kawaida au zaidi ya nabii?
Stand up Kenya Muhammad Ali rongwa
@@saitotisapiyo7167 kwa iyo hadisi yako inafunza nni
Eti Yesu Alikufa Na Kufufuka We Na ALLAH Nan Mjuzi Zaidi
sisi watu wa Allah na Issa ibn Mariam ni mtume wetu kwa waislamu wote wanaojua Quran so continue shouting iblis amekutawala
Aisha Swadakta wewe unajitambua mashaaAllah ningepata mke kama wewe 👏👏👏 Allah anijaalie nimpate kama Aisha anaijua dini yake
QURAN 19:34-Huyo ndio Isa Mwana wa Maryam,Ndiyo kauli ya Haki ambayo wanaifanyia shaka,YOHANA 16:6 Mimi ni njia na uzima,mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Menye kuelewa kaelewa.
Hamza tukadhabu, Innalillah waina ilayhi raajiun, laana tullah aleyh marhuun mkubwa unapotosha umma
Wew shahada yako !! Umeitoa wap!!! Na wew Pepo hyo yako acha kudanganya ww na mtume nani anajua !!! Dini
Njaaa mbaya hamza !!! Usidangany watu na aya zako 2 na Hadith mbili !! Inamaana ww Ndo umesoma kuliko waislam wote !!! Ushapewa pesa unalopokwa kumbuka umaut
Hekima inapatikana katika vitabu vya Mungu. Soma acha ubishi usiyo na maana. SOMA
Waislam muogopeni huyu shetani tena ananjaa ya kumwaga damu ya waislam, anatangaza uvunjifu wa amani, anataka kafara ya rusifa huyu ni mfuasi wa Roma mass, muogopeni sana, nakujibu dola ya kiislam ipo katika zama hizi ni IRANI tena tunajua vizuri tena lmamu nakuja kwa kasi,
Mjinga mushiriki unafundisha ujinga kwa wajinga wenzako
Huyu panga inamhusu
Ewe nafsi rejea kw mola wko ukiwa radhi na uridhie utakayo lipwa.
gyud
Sasa mkiesema hivyo wakati ulaya na Marekani yote wanaukimbia ukristo na kwenda kwenye uislamu?
ZIDI KUTUMIKA KATIKA KWELI YA MUNGU ... sasa MTUMISHI WEWE UMEBATIZWA KWELI