SHK RUSAGANYA VIJANA MUSIJISAHAU ZAMA ZA MWISHO HIZI BADILIKENI | ACHENI MISIMAMO YA KUBURUZANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ย. 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkRusaganya

ความคิดเห็น • 24

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 ปีที่แล้ว +1

    Jazaaka llah khair.waislam tusomen dini yetu tujilazimishe kufuata kheir

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah tabaraka llah nasaha nzuri sana allah atujaaliye tuwe wenye kuzingatia

  • @mariammasalu6547
    @mariammasalu6547 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shekh Mungu akulinde kwa kusema kweli

  • @kabirigisaidi8253
    @kabirigisaidi8253 2 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallahu haira sheikhe

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaaallah❤❤❤

  • @umugumyabangakhadjraty8319
    @umugumyabangakhadjraty8319 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani saaaaaana mwalim

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 11 หลายเดือนก่อน +1

    Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว +1

    Shehe rusaganya mungu akupe maisha malef

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว +5

    Kweli sheikh.umenena kweli.

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว +5

    Jazaqallah kheyr kwa ukumbusho.
    Allah akujalie uwe na umri mrefu wenye manufaa na akujaalie mwisho mwema 🙏

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah Allah barik

  • @ussihamza-xn7bx
    @ussihamza-xn7bx 11 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Shukran Sana.

  • @aminashabani9526
    @aminashabani9526 ปีที่แล้ว +3

    Allah atuhifadhi

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 ปีที่แล้ว +1

    Huyu sheikh nampenda Kwa ajili ya Allah ,Huwa haogopi mtu akisema mambo ya kweli hususan yanayoathiri jamii Kwa ujumla!! Allah barik Yaa sheikh....

  • @khadijadirunga6715
    @khadijadirunga6715 8 หลายเดือนก่อน

    Allah akijaaliy Pepo

  • @ayubojoao7460
    @ayubojoao7460 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alaikum ostazi nachukuru k wa ukumbucho wa alha

  • @jiyaaabdillahi
    @jiyaaabdillahi 2 ปีที่แล้ว +1

    Dalili za kiama hizo ustadh

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว

    Yani uyu shehe wallahi nampenda sana yan hapindi pindi alaf akiongea ukwel moyo wng hua unapanda iman na uwoga unabak kw Allah pekeyake na sio mungne

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 2 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania

  • @samyamohammed4568
    @samyamohammed4568 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah atuhifadhi