Ina lilahi waina ilahi rajiun, kwa kweli huyu Ndacha anawapotosha watu sana ila anajuwa ukweli In Sha Allah Allah ampe ufahamu huyu Ndacha aingie kwenye uislam In Sha Allah
Ahsante mlm Ndasa waambie hao waisilamu ukweli,,,wamekuwa gizani kwa muda mrefu,,, Ndo maana hawajui hata tofauti Kati ya Mungu Jehovah na .....mungu wao allah mungu wa kiarabu Pia Hawajui hata maana ya kusujudu,,, Ndo maana wanajua kuchamba tu na maji wakijua dhambi imeobdoka kumbe Ni kuacha dhambi,,,, Mungu awape macho ya rohoni Hawa wasilisha mashetani Wapo kwenye kiza kinene kweli kweli,,,, Damu ya Yesu ya thamani iendelee kunena mema juu wa wapiga ramli Hawa na wasoma albadili Janelitha From Tanzanian
Mungu ni mmoja kwa kuwa watu wote habadunianihatuelewanivizuri mambo yakusali vitabu vinaleta mabishano katiyetu Naye siku ya hukumu mungu atangalia matendo peke take kwa hivyo tutende mema.
Wanaoendelea kupinga pinga ukweli huu sababu ya kutetea dini ya kiislamu, Remember that th Judgement is waiting for u & me. Tengeneza uhusiano wako na Mungu aliyekuumba kabla hujafa ukishikilia dini bali si Mungu!! *Utalia siku ya mwisho!!!
Amali ya kuhesabiwa siku ya kiyama mbele ya Allah SWT ni swalah na chenye kinatofautisha Uislamu na Ukristo hapa duniani ni swalah.Je,hao wakristo wanaswali huko kanisani au hapana?Na Yesu mwenyewe kaswali wanamuamini yupi ilhali wanampinga Yesu mwenyewe? Hakika dini ya haki mbele ya Allah SWT ni ya Uislamu,enyi kina Ndacha na wafuasi wake Mungu awaongoze ili mpate kalima njema siku yenu ya kuondoka kwenu hapa duniani la sivyo ni motoni expresssss.....
Sasa dini ya uislamu inaandamana na majini na shetani pia anabudu huko Yani kweli wewe ukiwa na akili penye shetani anaabudu itakua ni dini ya MUNGU wa kweli? Tumia akili yako vizuri. Dini ya shetani haiwezi kua ya MUNGU. Uruke ju ufanye Nini ni hivio. Ju shetani alisilimu naye akawa muislamu.
@@interiorpaintingdesign9307 haina neno wacha iwe kama unavyosema lakini kumbuka nlichokuambia mwanzo cha moto utakiona baada ya mauti kukufika hapo ndio utajua maharagwe ni mboga na kua hamna dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu isipokua uislamu
Watching from Lusaka zambia, Islam won this debate, Christian lost,we love and admire and appreciate the way you conduct those debates in your respective countries, they are very educative
Maashalah mabruk vidume vya Allah waelimishe wajue dini ya haki kua mwisilamu ni rahaa huyu mwalimu pasta ana jichanya hata haeleweki kejeli ndio zakee tu !
Kwani huyu ndacha mnadhani ana elimu yoyote ya maneno ya Mungu huyu anatafuta ucheshi kwa kumtumikia ibilisi kwa kuwapoteza watu wasimuabudu Mungu huyu ni kafiri mkubwa hajui chochote amekaririwa aya za kumtusi Mungu akiniamini I asiingie jahannam pekeyake ila nawaambia makafiri wa kikristo msiposoma wenyewe mkajua Mungu anaabudiwa vipi basi hatakuwa na wa kumlaumu siku ya majuto mtajuta majuto makuu na muda wa kutubu haupo
kwenda ndacha yuajua ukweli lakini yuapotosha ao wasio jijua watu waliswali msikitini na walivaa kanzu wajua kila kitu lakini upuzi ndio wako na wapotosha wenzio mungu arakuadhibu
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp unaunga S Tu mjomba Hujui lolote kuhusina na Biblia😀😀😀,wewe unavyoisoma Biblia unamawazo ya kiQurani ndio maana inakusumbua hata kuielewa, kwanza hilo Fungu halihusiani na matendo ya ibaada, hilo Fungu unataka kulitafsiri wewe unavyofikiri katika akili yako na haiwezekani, sasa hilo hilo Fungu tusome tuone kama kunauharisia wowote wa kuhusiana na Ibaada, Mathayo 22:24-30 [24]wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao. [25]Basi, kwetu kulikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia nduguye mke wake. [26]Vivyo hivyo wa pili naye, na wa tatu, hata wote saba. [27]Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye. [28]Basi, katika kiyama, atakuwa mke wa yupi katika wale saba? Maana wote walikuwa naye. [29]Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu. [30]Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni. Basi tujaribu kuingiza akili zako apo kama zitatoshana na hilo andiko , kwanza Yesu kusema hivyo kwamba " Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu" Wapo watu waliokuwa wakimuuliza Yesu kuhusiana na habari za kuoa wake wengi kama ninyi WAISLAMU mnavyofanya mnaoa wanawake mia kwa tamaam zenu wenyewe, lakn Yesu ndio anawajibu wanapotea kwasababu ya mafikiria yao kama ninyi Mnavyoamini kuwa katka Paradise( makao ya milele) mtaenda na wake zenu huo ni uongo Mkubwa kama Yesu alivyosema mnapotea inamaana hiyo hilo andiko linasawazisha hoja Yenu ya madai hayo kwahiyo WAISLAMU mnapotea kwa Mujibu wa Maandiko matakatifu (Biblia) mbingu hakuna kuoa wala kuolewa Njooni kwa Yesu mkawe kama malaika mbingu wachaneni na Muhammad, sasa wewe hapo unatoa hilo andiko kwa mantiki ipi? maana haliingiliani na matendo ya Ibaada wala halina uhalisia wowote kwahiyo Hoja yako au makusudio yako ni Dhaifu.
Message kutoka Canada. Wapendwa Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Tatizo nyi mnatamba kuiamini eti korani iko sawa kuliko biblia,wakati korani vya hovyo vingi na ndiyo hivyo mlivyodhani hatuvifahamu Sasa ndio tunawaekeza kuwa tunavifahamu hivyo mnavyoficha
Masha-Allah ustadhi Yusuf hiyo mhadhara ulifanya nimelala na furah sana tena sana, Leo umezika ndacha mzima mpaka akakwambia amwachie mwalimu Abbas, inalilah wa inalilah rajuni, ustadhi Yusuf ungekuwa humurumil huyu ndacha kama Leo angekuwa anakuona na anakimbia mbio sana, mpaka saai ustadhi Yusuf nakupongeza sana, siku yoyote ukikuja huku side ya kisumu na western nijulishe nkuletee zawadi yangu, kwa haki ustadhi Yusuf Mungu akuzidishie muda Leo umefurahisha waisilamu sana, umenipa maandiko mazuri yenye ntafundishie hawa makafiri,Mungu amjalie
Kile napenda ni waislamu ni watu wakulalamika Wala hawana helimu. Na ndio maana muhumad akawambia waulize waliotangulia waislamu Yani wakristo. 87:18 Qur'an photocopy
Ambao ni nyinyi waislamu hamkubali kushindwa,Sasa Hapo Ndacha kashindwa nini?Hata mjitahidi kuficha tumeshajua Kila kitu Cha waislamu hamna Mungu wa kweli
Ndacha shida yako huna hoja, umeambiwa utetee ibada ya kikristo na Nani ameamrisha ifanywe hivyo... Sasa yeye aruka ruka kuthibutisha hawezi... Alafu maskini wale walioko pale pia wanajichekea tu na ukweli hawaujui...watu wapenda vya rahisi kweli yani raha tu..
Ndacha alipeleka urongo Tanzania ssa maana amemuacha yesu kenya amenda kutafuta pesa ..vile munavyopenda pesa waenda kutafuta hela chenji yake iko chin sana kenya ...usije ukazeekea huyko maana ujaz her ungeenda yuganda
Shukran masheikh wt lkn huyu ndacha c Kama haelew kuwa ukiristo c dini c unamuona anavotapatapa cjui kusujudu c kufany hiv au vp yn anajuw ukwel asaa. Ila anadangany wt
Umesema kusujudu kumeandikwa kwenye bibilia sasa umekiri mbona hausujudu kwenye Ibada zako.sasa hapo kuna agano la kwanza na la pili sasa hivyo vitabu vimeandikwa na nani kama kweli?Hoja yako haina msingi na wanawake wanasali wakiwa na nguo fupi?
John 4:23, 24 23 But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him. 24 God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth. This is how we worship " In spirit and in truth"
Mr ndacha nakupenda sana, wendeleye vile usipo zimiya roho Mungu atakulipa
Matayo 24:24
Ndacha MUNGU akubariki sana unawafundisha waislamu
Huyo haezi kufunza anawapotosha wakirsto tu
@@farhathamdansalum9725 Pole sana kwa kuwa ungali gizani ndiyo maana unasema Ndacha anapotosha.
@@daudijoseph4340 anapotosha watu
Mchungaji nakupenda sana kwa huduma yako ya maandiko matakatifu hakika ubarikiwe sana
Amepotea
Vidume vya Allah MashaAllah!
Ndacha is good at confusing people, misconceptions. Deep in his heart, he knows the truth.
Jamani ndacha anatisha MUNGU akubariki sana kaka yangu unawafundisha waislamu kama watoto Ukristo ndo dini ya manabii na mitumee
Huo ni ushabiki lakini sio eti umejifunza chochote kutoka kwake, mm namuona kuropoka tu nakubabaika
Masha Allah, Sheikh yussuf muendelee na dawah vizuri; Jazakumullahu kheyran .
Amin sote
Mashallah sheikh yusuf Allah atakupa kauli thabith
Amin sote
Allahu Akbar, may Allah guide our christian brothers and sisters...surely wako kwa upotevu
Amin
Mashallah mashekhe, Allah awajaalie afya muipambanie dini yetu inshallah.
Amin sote
Masha Allah Ustadh Mohamed amefika . Dawa ya masabato
Ina lilahi waina ilahi rajiun, kwa kweli huyu Ndacha anawapotosha watu sana ila anajuwa ukweli In Sha Allah Allah ampe ufahamu huyu Ndacha aingie kwenye uislam In Sha Allah
Masha Allah, Allah wazidishie kila la kheri masheikh wetu na waekee wepesi katika mambo Mambo Yao in shaa Allah
Amin sote
Thanks to ustadh wetu for that commitments and dedications for the religion of Allah.
Alhamudulillah
Ameen
Ahsante mlm
Ndasa waambie hao waisilamu ukweli,,,wamekuwa gizani kwa muda mrefu,,,
Ndo maana hawajui hata tofauti Kati ya
Mungu Jehovah na
.....mungu wao allah mungu wa kiarabu
Pia
Hawajui hata maana ya kusujudu,,,
Ndo maana wanajua kuchamba tu na maji wakijua dhambi imeobdoka kumbe Ni kuacha dhambi,,,,
Mungu awape macho ya rohoni Hawa wasilisha mashetani
Wapo kwenye kiza kinene kweli kweli,,,,
Damu ya
Yesu ya thamani iendelee kunena mema juu wa wapiga ramli Hawa na wasoma albadili
Janelitha
From Tanzanian
Mathayo 24:24
Mashallah sheikh Yusuf wape dozi hao wakristo,Huyo pastor ndacha kachanganyikiwa hajui anachikiongea ila ni porojo tu zake
MASHA ALLAH, mashekh wetu Allah awatangulie kwa kila hatua na awape humri mrefu pamoja na afya njema Aamin yarabi
Amin sote
Ustadh muhammad napenda unqvyofunza sanaa huwa nafrai sanaa inshaallah naomba ustadh mpeni mic muhammad mwanzo mwanzo
Sema sheh wachungaji wengi niwapinga kristo
Huyu dacha ana neno LA mungu mungu amubariki
Anajicheka mwenyewe Ndacha mwalimu mara aitwe yesu mara mwalim.
SubhanaaAllah may Allah(SwT)show him the right path
Amin
Ameen
Mungu ni mmoja kwa kuwa watu wote habadunianihatuelewanivizuri mambo yakusali vitabu vinaleta mabishano katiyetu Naye siku ya hukumu mungu atangalia matendo peke take kwa hivyo tutende mema.
Subhanah Allah, huyu Ndacha anasoma vitu bila kufafanua maneno yake uzuri anapotosha wakirsto tu
🤔
Kazi nzuri sana mnayo ifanya masheikh wetu kz ya kufikisha ujumbe muhimu mungu awaepushie kila baya lililopo karibu yenu by Ahmed Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ameen
Amin sote
Wanaoendelea kupinga pinga ukweli huu sababu ya kutetea dini ya kiislamu, Remember that th Judgement is waiting for u & me. Tengeneza uhusiano wako na Mungu aliyekuumba kabla hujafa ukishikilia dini bali si Mungu!! *Utalia siku ya mwisho!!!
Matatizo hunjui tafsiri ya neno dini
Masha Allah.watching from Boston USA
Jazakallahu kheri thanks so much sheik Yusuf
Amin,Afwan
Amali ya kuhesabiwa siku ya kiyama mbele ya Allah SWT ni swalah na chenye kinatofautisha Uislamu na Ukristo hapa duniani ni swalah.Je,hao wakristo wanaswali huko kanisani au hapana?Na Yesu mwenyewe kaswali wanamuamini yupi ilhali wanampinga Yesu mwenyewe?
Hakika dini ya haki mbele ya Allah SWT ni ya Uislamu,enyi kina Ndacha na wafuasi wake Mungu awaongoze ili mpate kalima njema siku yenu ya kuondoka kwenu hapa duniani la sivyo ni motoni expresssss.....
mashaAllah jamani baada ya kuhuzunika nimecheka eti ndacha akilala ndo anaabudu,hahaha jamani,Mwenyezi Mungu atunusuru
Wislam raha siraha 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ma shaa Allah mungu awe pamoja nanyi mashekh wetu yani duh ni kz iliyo na ndacha
Amin sote
Wanajaribu kuficha nuru ya Allah
Kwa midomo yao Allah ata timiza nuru yake hata makafiri hawapendi. AS-SAFF 7-9
Hata mfiche machafu ya humo kwenye korani yenu tumeshayajua,acha Yesu atukuzwe
Allahu Akbar
Alhamdulillah yarabiin kwanem yakuwa muslim kila mwislam ananur kakita uso wake tazama jinsi walivyo pendeza hapo
Masha Allah🇹🇿 Wafundishe wajue dini yakweli
Nipe andiko uislamu ni dini ya kweli na uzima. Ukinipa nasilimu
@@interiorpaintingdesign9307 ww usisilimu baki hivyo hivyo cha moto utakiona baada ya mauti kukufika
Sasa dini ya uislamu inaandamana na majini na shetani pia anabudu huko Yani kweli wewe ukiwa na akili penye shetani anaabudu itakua ni dini ya MUNGU wa kweli? Tumia akili yako vizuri. Dini ya shetani haiwezi kua ya MUNGU. Uruke ju ufanye Nini ni hivio. Ju shetani alisilimu naye akawa muislamu.
@@interiorpaintingdesign9307 sheta niwewe
@@interiorpaintingdesign9307 haina neno wacha iwe kama unavyosema lakini kumbuka nlichokuambia mwanzo cha moto utakiona baada ya mauti kukufika hapo ndio utajua maharagwe ni mboga na kua hamna dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu isipokua uislamu
Watching from Lusaka zambia, Islam won this debate, Christian lost,we love and admire and appreciate the way you conduct those debates in your respective countries, they are very educative
Mashallah
Maashalah mabruk vidume vya Allah waelimishe wajue dini ya haki kua mwisilamu ni rahaa huyu mwalimu pasta ana jichanya hata haeleweki kejeli ndio zakee tu !
Safi ndacha,Mungu Yuko pamoja nawe,hakika hao mashekhe jasho linawatoka
Ukristo ndio dini inayomtukuza Mungu si uidlsmu
Maasha sheikh yusufu
Huyu ndacha ni wale watu hupiga ukweli wakijua kupoteza wengine .Mungu amuongoe
Kwani huyu ndacha mnadhani ana elimu yoyote ya maneno ya Mungu huyu anatafuta ucheshi kwa kumtumikia ibilisi kwa kuwapoteza watu wasimuabudu Mungu huyu ni kafiri mkubwa hajui chochote amekaririwa aya za kumtusi Mungu akiniamini I asiingie jahannam pekeyake ila nawaambia makafiri wa kikristo msiposoma wenyewe mkajua Mungu anaabudiwa vipi basi hatakuwa na wa kumlaumu siku ya majuto mtajuta majuto makuu na muda wa kutubu haupo
Sheh yusuf ipo cku nitakutafuta ninakufuatilia Sana unavyo wanyoosha akina ndacha pia mshauri huyo ndacha aache kmtukana alaah
sema kweli kweli ila saiz hawezei ona ivo
Kweli
Sheikh Yusuf umempeleka mbio huyu , pole pole sheikh huyu Ndacha hana elimu na hikma walahi.
kwenda ndacha yuajua ukweli lakini yuapotosha ao wasio jijua watu waliswali msikitini na walivaa kanzu wajua kila kitu lakini upuzi ndio wako na wapotosha wenzio mungu arakuadhibu
Nyinyi ndio mna potosha watu wasipokua makini wengi mtapotea nyinyi ndacha songa mbele na injili hongera sana ndacha
@@ritharitha1685 sasa ww unasifia ndacha na hata hayo maandiko ya bibilia anayasoma nusu,mbona hamalizi maandiko
I love you all my brothers for the sake of Allah. I love your debates, continue your dawa. May Allah bless you all and your families.
Amin us all
Mashallaw mungu awabariki sana
Amin
Masha allah
Thank you brother Ndacha for teaching the truth of the Lord. May Jesus Christ strengthen you in His service. Amen.
😂😂😂Matthew 22:29
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp unaunga S Tu mjomba Hujui lolote kuhusina na Biblia😀😀😀,wewe unavyoisoma Biblia unamawazo ya kiQurani ndio maana inakusumbua hata kuielewa, kwanza hilo Fungu halihusiani na matendo ya ibaada, hilo Fungu unataka kulitafsiri wewe unavyofikiri katika akili yako na haiwezekani, sasa hilo hilo Fungu tusome tuone kama kunauharisia wowote wa kuhusiana na Ibaada,
Mathayo 22:24-30
[24]wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao.
[25]Basi, kwetu kulikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia nduguye mke wake.
[26]Vivyo hivyo wa pili naye, na wa tatu, hata wote saba.
[27]Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.
[28]Basi, katika kiyama, atakuwa mke wa yupi katika wale saba? Maana wote walikuwa naye.
[29]Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
[30]Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.
Basi tujaribu kuingiza akili zako apo kama zitatoshana na hilo andiko , kwanza Yesu kusema hivyo kwamba " Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu" Wapo watu waliokuwa wakimuuliza Yesu kuhusiana na habari za kuoa wake wengi kama ninyi WAISLAMU mnavyofanya mnaoa wanawake mia kwa tamaam zenu wenyewe, lakn Yesu ndio anawajibu wanapotea kwasababu ya mafikiria yao kama ninyi Mnavyoamini kuwa katka Paradise( makao ya milele) mtaenda na wake zenu huo ni uongo Mkubwa kama Yesu alivyosema mnapotea inamaana hiyo hilo andiko linasawazisha hoja Yenu ya madai hayo kwahiyo WAISLAMU mnapotea kwa Mujibu wa Maandiko matakatifu (Biblia) mbingu hakuna kuoa wala kuolewa Njooni kwa Yesu mkawe kama malaika mbingu wachaneni na Muhammad, sasa wewe hapo unatoa hilo andiko kwa mantiki ipi? maana haliingiliani na matendo ya Ibaada wala halina uhalisia wowote kwahiyo Hoja yako au makusudio yako ni Dhaifu.
Message kutoka Canada. Wapendwa Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Masha Allah
Kweli mchungaji Ndacha,nakupata vizuri sana nikiwa Mererani Tanzania
Nami pia Ndacha nampata100% nikiwa Kigoma TZ
Alafu uyo Ndacha anamatatizo kweli ety Qur an anaamini baadhi ya vipengele ila tumuombe mungu amuongoze aamini yote
Tatizo nyi mnatamba kuiamini eti korani iko sawa kuliko biblia,wakati korani vya hovyo vingi na ndiyo hivyo mlivyodhani hatuvifahamu Sasa ndio tunawaekeza kuwa tunavifahamu hivyo mnavyoficha
Kwa hiyo nami nasema wenye matatizo ni nyinyi waislamu
Masha-Allah ustadhi Yusuf hiyo mhadhara ulifanya nimelala na furah sana tena sana, Leo umezika ndacha mzima mpaka akakwambia amwachie mwalimu Abbas, inalilah wa inalilah rajuni, ustadhi Yusuf ungekuwa humurumil huyu ndacha kama Leo angekuwa anakuona na anakimbia mbio sana, mpaka saai ustadhi Yusuf nakupongeza sana, siku yoyote ukikuja huku side ya kisumu na western nijulishe nkuletee zawadi yangu, kwa haki ustadhi Yusuf Mungu akuzidishie muda Leo umefurahisha waisilamu sana, umenipa maandiko mazuri yenye ntafundishie hawa makafiri,Mungu amjalie
Alhamudulillah
Nashukuru MUNGU kwa kuwapa wanadamu maaarifa yakuweza kusoma bibilia takatifu. Na waislamu waweze kuokoka.
Ndacha kiboko yao
Lakini Mimi huwanga najiuliza enyi waislamu mna akika mtafika kwa MUNGU wa kweli ili hali mnaabudu na shetani msikitini?
@@interiorpaintingdesign9307 hata yesu alikuwa na mwanafunzi wake shetani Hiyo huiyoni? Na toa andiko inayo sema tunaswali na mashetan mskitini
mungu ambariki dancha, mimi ni mkristo msabato,
Wapi ukristo ni dini ya kweli?
Maashaallah
Mtabatizwa kupitia kweli tuu
Uwongo mtupu uwongo mtupu, hahaha😂
Pole kwa ndoto yako ya mchana
Allahuakbar.
Mashaallah
Mwanaidi shibe classmate👋
@@prettyaysha7892 mbona sijakufahamu
Huyo Ndacha mgumu na mshindani sana ihali anajua Ukweli
Jezakha''Allahu kheir
Kile napenda ni waislamu ni watu wakulalamika Wala hawana helimu. Na ndio maana muhumad akawambia waulize waliotangulia waislamu Yani wakristo. 87:18 Qur'an photocopy
ما شاء الله
Ndacha anajua ukweli
Asokubali kushindwa simshindani. " NDACHA " lazima tumsilimiahe in sha Allah 🤲🤲🤲🇰🇪
Kabsa
Ambao ni nyinyi waislamu hamkubali kushindwa,Sasa Hapo Ndacha kashindwa nini?Hata mjitahidi kuficha tumeshajua Kila kitu Cha waislamu hamna Mungu wa kweli
Ndacha Mungu akulinde na na hao waislamu uwafundishe kwani wanadhani hatujui wanachoabudu ni uchafu mtupu
Ndacha laxima ubatize waislamu hao
Ndacha lazima awabatize mashekhe hao
ndacha wewe ni baraka toka kwabwana amina
Waislamu poleni kwa kuwa mnalazimisha kuvaa miwani ya mbao ili mupotee maksudi
Kazi njema kila la kheri Allah awafanyie wepesi kazi mzito Sana..... jazzaka Allahu
Amin sote
Ata usipoiamini Kur,an huzidishi hupunguzi kuna wengi sana tunao iamini kwaiyo kwanyie wakiristo tu nikama ulo dondosha shindano kwenye bahari
Ndacha shida yako huna hoja, umeambiwa utetee ibada ya kikristo na Nani ameamrisha ifanywe hivyo... Sasa yeye aruka ruka kuthibutisha hawezi... Alafu maskini wale walioko pale pia wanajichekea tu na ukweli hawaujui...watu wapenda vya rahisi kweli yani raha tu..
Ndacha kabeba vitabu Au Nn Jmn 😃 Ndacha muogope mungu.. unawapoteza tutu karibu ktk uisilamu dini y hakh
Ushindwe kbsa wewe kwa jina la ALLAH
Asalam alykum www ndacha rundi school unapoteza wa kristo
Kazi nzuri ustadh
Alhamudulillah
we ndacha wajua lugha ungesema kifur fir kifudi.fudi sio kuanguka kifur fur
Hakuna kushidani hapa nikujua kweli
NDAcha hawezi kushindwa
Eee ndacha kwamashidano ameshida, but kwa kufundisha hawezi, labda waisilam wamupatie elimu
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp huyo ni mwalimu kutoka mbinguni
Wewe mutangazaji unapengamiya haupo serieuse
Ndacha alipeleka urongo Tanzania ssa maana amemuacha yesu kenya amenda kutafuta pesa ..vile munavyopenda pesa waenda kutafuta hela chenji yake iko chin sana kenya ...usije ukazeekea huyko maana ujaz her ungeenda yuganda
The debate is good between christians and muslims
Alhamudulillah
enzi zile dozz ilionja kama coctail ya pilipili dasha ilimwashaa😀
NDACHA NIPE KABILA LA YESU TAFADHALI?
Ndacha biblia imeshuka kutoka wapi? Je imeandikwa na nani?na imeteremkia wapi na malaika gani kaishusha?
Mashaallah wisilam ustadh yusufu we kimboko ya ndacha 😃😃😃🤝wape 🤣 wataelewa tu
🕋huyu mungu wenu ni hili jiwe waislamu machukizo
Hakika Ndacha kiboko ya hao maustadhi
Leo ndacha kapatikana
Mbona wewe hulali na kiatu kitandani kwako Ndacha acha upotofu,kiatu unachovaa kinakanyaga uchafu sasa chukua kiatu weka mezani wakati wa kula.
Shukran masheikh wt lkn huyu ndacha c Kama haelew kuwa ukiristo c dini c unamuona anavotapatapa cjui kusujudu c kufany hiv au vp yn anajuw ukwel asaa. Ila anadangany wt
Ndacha huyu alikufuru kitambo muache Ile cku yake ikifika ndo atajua hajui
Nyinyi ndio mnakufuru ngojeni siku ya mwisho mtasema tungejua
huyu jamaa yuko na akili kweli . wewe haujui maana ya kusujudu acha kudanganya watu mbona waogopa
JE ?YESU KATEREMSHIWA KENYA MBONA UNAMTA WEWE NA YESU SIO KABILA YAKO?
Umesema kusujudu kumeandikwa kwenye bibilia sasa umekiri mbona hausujudu kwenye Ibada zako.sasa hapo kuna agano la kwanza na la pili sasa hivyo vitabu vimeandikwa na nani kama kweli?Hoja yako haina msingi na wanawake wanasali wakiwa na nguo fupi?
Naona ndacha haoneshi ibada za kikristo, kazi yake ni kupinga za waislam
Ndacha amka kutoka usingizini. Eti hiyo ni biblia ya kiafrika, kwa hiyo biblia zinatofautiana 😭 basi sio kitabu cha kukitegemea wala kukifuata.
Ndacha is very intelligent congratulations
Shindwe
Ni mchovu sana
Shindwe kbsa kwa jina la M.MUNGU
mutafute ungine mucungaji ana iyirimu aje kuwateteya
Ndiyo,Ndacha anaweza hajawahi kuzidiwa na waislamu
Ndacha anafundisha kiswahili na anasema kifuri kifuri badala ya kifudi kifudi.....huyu ni sarakasi na ukafiri na hata kiswahili hafahamu
Ndacha anakuja kuharibu na kuchafuwa uisilam haje kufundisha wala kujifunza hatumie elimu anaongea maneno ya mitani.
Ndacha show us how christians worship.
John 4:23, 24
23 But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him.
24 God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth.
This is how we worship " In spirit and in truth"
furaha kuona Mohamed Yariti
Ndacha hajujui lolote
Huyu Ndacha anajua kweli lakini-------
Ijumaa ni siku ya mauaji siyo ibada
Kwa andiko ripi?, wacha chuki bila sababu
WAISLAMU NJOONI KWA YESU, ndacha anajitahidi sana kuwafungua akili zenu lakn mnamzihaki acheni ziaka maana hazina faida yeyote,
Yesu ni muisilamu
Tuje mara ngapi nyie ndio mmemkataa yesu mmemfuata paulo
Ndacha hauwezani na Yusufu mwalimu wako huyo