Women Matters (2): Kwanini Tendo la Ndoa husisimua zaidi wakati wa Ugomvi? Sababu zitakushangaza!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Tendo la ndoa lina maajabu yake, na moja wapo limegusiwa kwenye sehemu hii ya #WomenMatters. Je, wajua kuwa tendo hili husisimua zaidi wakati wapenzi wanapokuwa na hasira au kwenye ugomvi? Ndio. Wasikilize Dr Elly, Dr Chris Mauki na Aunt Sadaka wakifafanua

ความคิดเห็น • 106

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 5 ปีที่แล้ว +49

    The only thing i learn from Dr' Ellie sio tu kuwa mzungumzaji mzuri but kuwa msikivu mzuri pia. God❤ bless y'all

    • @rahillhamidu2544
      @rahillhamidu2544 5 ปีที่แล้ว +2

      Your Wright, Dr.Elie alisema kusikiliza ni siri kubwa ya mafanikio lakini sisi hatujui

    • @alphamenson3784
      @alphamenson3784 5 ปีที่แล้ว

      @@rahillhamidu2544 absolutely

    • @eddalubinza8087
      @eddalubinza8087 5 ปีที่แล้ว

      Right

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 5 ปีที่แล้ว +20

    this Dr knows the power of a pause in a sentence, it keeps the audience glued to you.

    • @eddalubinza8087
      @eddalubinza8087 5 ปีที่แล้ว +1

      Absolutely

    • @macochieng5872
      @macochieng5872 5 ปีที่แล้ว +1

      He observes the punch lines and speaking skills plus the material content he deliver

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 5 ปีที่แล้ว +18

    Dr Elie unanikosha baba yaan una nondo za ukweli uko vzri Dr asiye elewe kwa darasa zako basi hata kaa elewa kamwe barikiwa Dr.

  • @LD-kp2lt
    @LD-kp2lt 5 ปีที่แล้ว +15

    Ok...this Dr. W is officially my Man Crush, He knows what his talking about👌👌👌

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 4 ปีที่แล้ว +9

    Aliyesikia not changanyaring kwa liliy like hapa

  • @africanspotless
    @africanspotless 5 ปีที่แล้ว +10

    Dr. Elly akiudhuria kipindi, Mauki asikose, ni mtafsiri na mfafanuzi mzuri wa Dr!

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 5 ปีที่แล้ว +8

    nimesha mtumia mke wangu maongez haya ili ayasikilize. always no comment juu ya mkiongeacho zaid ya ahsante

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 5 ปีที่แล้ว +15

    Hakika mahaba sirin, upendo hadharan Dr love u kwa somo

  • @africanspotless
    @africanspotless 5 ปีที่แล้ว +6

    Dr. Elly ni konki but unaongea nondo ka Yesu! Tatizo "unauelewa mkubwa sana, wengine ni vigumu kukuelewa maelezo yako!"

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 5 ปีที่แล้ว +5

    Women matters naikubali Asilimia Mia moja na moja ...mnatoa Nasaha vyema sana Kiukweli Sema Mmenikosea hamjamleta Mama Terry sasa....Nakupenda bure Lilian Mwasha unajua#Womenmatters#SnS...

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 5 ปีที่แล้ว +8

    Dr ellie napenda sana aendelee kuongea mana maneno yake yanaingia vzr nakuyaelewa namkubali sana.

  • @irenefaustine2579
    @irenefaustine2579 5 ปีที่แล้ว +3

    Women Matters is a Life Changing TV Show.
    Big Up Guys!!

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen8249 5 ปีที่แล้ว +14

    Hawa madaktari ndio wanotakiwa kuwa kwenye kipindi hiki

  • @luckydavid7475
    @luckydavid7475 5 ปีที่แล้ว +3

    Dr. Eli asanteee dah nakupendaa sn baba yani nakuelewaaa mnoooo ❤❤❤

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 ปีที่แล้ว +4

    Kama umemsikka lily akifurahia ashki gonga like hapa

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +3

    Asanteni sana wazazi wangu kwa kuendelea kutufundisha

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 ปีที่แล้ว +1

    Hili somo ni gumu najikumbuka "University" kwenye somo la "Determinism" yule Professor alinitesa sana.

  • @drpriscaantony7825
    @drpriscaantony7825 14 วันที่ผ่านมา

    Hii mixture nimeipenda❤

  • @jacklineswallo3643
    @jacklineswallo3643 5 ปีที่แล้ว +5

    My favorite show.....

  • @abuubakrachani1943
    @abuubakrachani1943 5 ปีที่แล้ว +5

    Nimejifunza sana....napend nione unaendelea kutoa mafunzo

    • @rhobbymwita2312
      @rhobbymwita2312 5 ปีที่แล้ว

      Mwasha host, tafadhali usiwe unaingilia mazungumzo mpe nafasi mtu ukiwa anachangia ,upoingilia kunakuwa hakuna continuity ya mchangiaji. Plse

  • @naskipya790
    @naskipya790 5 ปีที่แล้ว +4

    Ahsanteni sana kwa somo zuri

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard8977 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kweli mmetimia.
    Asante kwa hii team, Lilian and the rest I salute you

  • @alamnyopo9739
    @alamnyopo9739 4 ปีที่แล้ว +1

    Lilian nakukubali sana...😘 heko kwa wote kipindi kizuri mno...❣

  • @erastdapimp
    @erastdapimp 5 ปีที่แล้ว +3

    Auntie Sadaka usiwe na shaka dadaangu.. jaribu ku-update hiyo version angalau ikaribie kuwa Dr. Sadaka then utaona jinsi itakavyokuwa rahisi kumuelewa Dr. Ellis... Mama Terry pia msiwe mnamuacha nyumbani anapokuja Dr Ellis kwenye kipindi..atajifunza mengi na yeye!!!

  • @siwazabron8198
    @siwazabron8198 5 ปีที่แล้ว +3

    dah,madoct hao noma sana

  • @mwashamramadhanbilali4138
    @mwashamramadhanbilali4138 5 ปีที่แล้ว

    Waooo nime enjoy kipindi kizuri na kinafundisha big up kwa Dr Ell e Dr Chris

  • @zawadifrancis6550
    @zawadifrancis6550 4 ปีที่แล้ว

    Hongereni Sana kwa kuzidi kutuelimisha

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimeelewa sana!!

  • @Jizams
    @Jizams 5 ปีที่แล้ว +13

    Aisee,tangu nilipoanza kufwatilia #sns leo ndo nimepata content ninayoitaji,hawa wazee wako vizuri kichwani.
    They got more to tell.
    Naitaji kumeza vitu from ubongo wao

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 5 ปีที่แล้ว

    Mungu awape Maisha marefu,mnatuelimisha Sana.

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n 7 หลายเดือนก่อน

    anafanana sana Whozu

  • @halimahassan1599
    @halimahassan1599 4 ปีที่แล้ว +1

    nampenda bure huy alievaa nguo nyeusi

  • @user-qz2fh6mw2u
    @user-qz2fh6mw2u 5 ปีที่แล้ว +1

    shukraan sanaa..kwa somo zuri.

  • @raxking2928
    @raxking2928 5 ปีที่แล้ว

    Nawapenda sana Dr Elie na cris mko vizuri.

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 ปีที่แล้ว

    Shukran Nyiewot❤👍👌

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว

    Nawaelewa sanaaa !

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 5 ปีที่แล้ว +2

    Nawapenda sana❤

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 ปีที่แล้ว +3

    Dr.Elie i miss you #mahabasiriniupendoadharani

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 ปีที่แล้ว

    Kweli wanaojuakupenda ni wachache Asante doctor.

  • @jacklineswallo3643
    @jacklineswallo3643 5 ปีที่แล้ว +2

    Dr Elly axante .......

    • @luckyvoxtv2999
      @luckyvoxtv2999 5 ปีที่แล้ว

      Jackline Swallo somo zuri sanaaa kwaambae anaelewa what's is talking about

  • @shajamijoseph2088
    @shajamijoseph2088 5 ปีที่แล้ว +1

    Yani nimeipenda

  • @kulway4669
    @kulway4669 ปีที่แล้ว

    Sio kweli

  • @04704803
    @04704803 5 ปีที่แล้ว +4

    Its true,yaan nilikuwa sijuagi kwa nini?

  • @sumaiyamihrma7852
    @sumaiyamihrma7852 5 ปีที่แล้ว +1

    Lilian, aunt sadaka nawapenda, hiki ndio kipindi bhana

  • @masoudjuma159
    @masoudjuma159 5 ปีที่แล้ว +2

    thanks

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 5 ปีที่แล้ว +3

    Looh! Leo mmenikosha kweli

  • @gloryjutta7888
    @gloryjutta7888 4 ปีที่แล้ว

    Nimependa mifano hiyo ya equaliser, yaani nimefurahi kwasababu pakipungua kitu kwenye mahusiano patatokea shida naomba namba yake kwa ushauri zaidi

  • @rahmakimbombo7365
    @rahmakimbombo7365 4 ปีที่แล้ว

    Wow yan najikuta nacomment coz Dr chriss anaongea kwa uwaz coz weng wetu watz tunapenda direct story NC wenye uelewa km Wang wa kuelewa kwa haraka Dr chriss anatuelewesha cc wabongo

    • @jamilarajab4287
      @jamilarajab4287 3 ปีที่แล้ว

      Jamn nmempenda Dr,naomba namba yake

  • @stemcellstc30superlife77
    @stemcellstc30superlife77 5 ปีที่แล้ว

    Dr Elly🙌🙌🙌

  • @gracedismas1108
    @gracedismas1108 4 ปีที่แล้ว

    God bless you dct elly

  • @nicksonlwiwa144
    @nicksonlwiwa144 5 ปีที่แล้ว +2

    Daaah naenjoy Sana hich kipind nahawa guyz

  • @ecabelmwai3474
    @ecabelmwai3474 5 ปีที่แล้ว +3

    Dr.Ellie i looooooooooooooooooooooooove you....mama mwasha plz tell dr......nimempenda mnooooo yaaaani nikimuona ntafurahiiiii😍😍😍😍😘😘

  • @MwanahalimaMohammed
    @MwanahalimaMohammed 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaa very true kaka zng hehee

  • @halimahassan1599
    @halimahassan1599 4 ปีที่แล้ว

    kwa docta elieeee

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +6

    Ila Lily swali alilomuuliza Cris jamani

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 4 ปีที่แล้ว

    Sante sana

  • @zakiyajuma3454
    @zakiyajuma3454 5 ปีที่แล้ว

    Jamaa linajua hiliii

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 5 หลายเดือนก่อน

    Ukiyasikiliza haya maneno nirraha mnno mananiukweli halisi wamwanadamu ulio

  • @hudhaimaissa3151
    @hudhaimaissa3151 2 ปีที่แล้ว

    Mapenzi hadharani# mahaba sirini #

  • @chalamossi6656
    @chalamossi6656 4 ปีที่แล้ว

    Nikweli

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement9868 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza kitu

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 4 ปีที่แล้ว

    Nyie jamani nyiee hapo nimepapenda sana UMEME

  • @halimahassan1599
    @halimahassan1599 4 ปีที่แล้ว

    dr.elie

  • @anamichal2345
    @anamichal2345 5 ปีที่แล้ว

    Huyu doctor ana roho yangu jamani khaaaa

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n 7 หลายเดือนก่อน

    sasa haya nayo ni ya kufundishana public jaman?

  • @happyhaule5865
    @happyhaule5865 ปีที่แล้ว

    Sikosi kipindi chenu kinanisaidia sana

  • @halimahassan1599
    @halimahassan1599 4 ปีที่แล้ว

    piga keleleeeeee

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 ปีที่แล้ว

    Kuna vichwa vina akili wuiiii

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 ปีที่แล้ว +1

    💖💖💖💖💖💖💖💖

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 4 ปีที่แล้ว

    Lillian unavituko wewe😁😁😁

  • @thurayaalriyamy8635
    @thurayaalriyamy8635 2 ปีที่แล้ว

    Mume wangu anatizama video za ngono jee kunisaidia vipi wenzangu nikimwamb ia ananijibu kwa hili niwachie

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa ปีที่แล้ว

      Uwe unaangalia nae dear

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n 7 หลายเดือนก่อน

      😅😅 jaman nacheka kama mazuri

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 3 ปีที่แล้ว

    Lili unaboa unaongea sana.

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 4 ปีที่แล้ว

    W

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 4 ปีที่แล้ว

    MWANAMKE NDIO ANAENJOY ZAIDI. SAWA NAKUBALIANA NA WEWE LKN, NIKWANINI SASA WANAWAKE HAWATONGOZI???? WAELEZE UHITAJI WAO.

  • @theofridankamu9754
    @theofridankamu9754 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha nyie jaman ukiwa unahasira unasex vzr

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 ปีที่แล้ว

    Lkn mkifanya mapenz km mna hasira naona itakuw mnabakana

    • @bertinaafonsorapaz8345
      @bertinaafonsorapaz8345 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂uwiiii

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 3 ปีที่แล้ว

      Aaa ugomvi ndio unaishia hapo na mnaongea huku mnafanya aliyekosa anaomba msamaha huku karot iko ndan weee inanoga mapenzi yAnanoga kuliko siku yeyeyoteee

  • @frenchygigi
    @frenchygigi 5 ปีที่แล้ว

    What is the meaning of changa moto

  • @ritharithafabian5240
    @ritharithafabian5240 5 ปีที่แล้ว

    Dah mko poa sn mnaelimisha vby mno

  • @nyasindemiggo4684
    @nyasindemiggo4684 5 ปีที่แล้ว

    Huyu Lily anabisha bisha vitu vya ukweli Sana sijui Kama Ana mahusiano mbona vitu viko wazi kwenye swala la ugomvi na sex

    • @lilianmmbaga4239
      @lilianmmbaga4239 5 ปีที่แล้ว

      nyasinde miggo hatulii akaelewa kwanza anakurupuka kubishaa ila ana ndoa

  • @MwanahalimaMohammed
    @MwanahalimaMohammed 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli sex mkiwa nahasira nitam aisee

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 4 ปีที่แล้ว

    S

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 5 ปีที่แล้ว

    😳🤣🤣🤣 lol

    • @jubilatemariki5967
      @jubilatemariki5967 4 ปีที่แล้ว

      Liliani anamakelele sana
      Halafu hii topic inamhusu alivunja ndoa ya mtu