WAZIRI SILAA ASHANGAZWA NA MBUNGE WA ZAMANI | ANADAI HEKA 10 ZA MASHAMBA | MZEE BENDENDA HUNA SHAMBA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 22

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 หลายเดือนก่อน

    Matatizo ya aridhi na makazi ni meengi mnooooo waziri unajitahidi ila uwezi kuyamaliza kwa njia hii lazima uongeze waasaidizi na vikosi maalum kusikiliza matatizo yao nchi nzima na wakuletee yale ambayo yanahitaji nguvu ya waziri ….
    Ila nawe endelea , kazi nzuri saana 👏👏👏👏👏👏

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 2 หลายเดือนก่อน

    Clip za slaa sy tam we nambie mi niko hapa mawazo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Anafanya kama makonda ila zamakonda tamu sana zinasikika vizur

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  2 หลายเดือนก่อน

      Na sisi tumeiona Hii shida ya Sauti Next time tutalifanyia kazi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 หลายเดือนก่อน

    Silaa ya drone hinapiga mabomu kwa Mazuluma ya mali za masikini😂😂😂

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 2 หลายเดือนก่อน

    Ulishindwa kutunga sheria bungeni nawewe mwenyewe unaumia komesha huyo mbunge

  • @davidlinus6940
    @davidlinus6940 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu bunge

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpiga picha ubalipwa nunua boom tupate sauti nzuri. Video ni sauti kama hamna unaaribu kazi za watu na unatupa makelele

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwenye upala sina imani naye

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  2 หลายเดือนก่อน

      Mjanja mjanja au ha ha

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa mwandishi mfikishie ujumbe slaa awe makini na huyo kamishina

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 2 หลายเดือนก่อน

      Halafu kama anatumia dumba huyo anaonekana mwizi

  • @cclaudeshilling957
    @cclaudeshilling957 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mheshimiwa umekosea sana ungetakiwa usimamishe mahujiano mpaka azana hiishe alaf ndio uendelee mazungumzo yen

    • @nth3512
      @nth3512 2 หลายเดือนก่อน +4

      We nae, wadhani kila mtu ni muislamu? Mi mwenyew ni muislam ila inabidi ufaham huyu sio muislam, unayoyajua ww haina maana kila mtu anayajua. Em tumieni akili na uhalisia wa mazingira

    • @melkizedekikalanga3349
      @melkizedekikalanga3349 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tumia akili, usifananishe kitambi na mimba

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe unajua sheria za liturugia? imani yako ni yako wengine haituhusu.

    • @sakayonsakihunga3496
      @sakayonsakihunga3496 2 หลายเดือนก่อน

      Umekalili

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe usileti mambo ya udini hapa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน

    HAO NDO WANAOTUMIA VYEO KUJILIMBIKIZIA MALI. 😂😂😂. VIONGOZI WETU WA KITANZANIA NI MIMI, MIMI, MIMI. WENGINE WAJIJUWE.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน

    Azana ndo nini wewe

    • @musayosia4081
      @musayosia4081 2 หลายเดือนก่อน

      Ni uwito kwa waislam pindi wanapotaka kufanya ibada.