Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.
VIVA MH. WAZIRI SILAA....UTAPATA BARAKA KUBWA KWA KUWASAIDIA WAZEE KAMA HAWA WAMEODHULUMIWA ARDHI, NYUMBA NA MASHAMBA YAO.
Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
God bless you mheshimiwa waziri
Mzee Makata .
Wazee wetu hawa wa Tanga Mjini.
Allah awahifadhi
SLAA , ALLAH AKUPE UWEZO, AFYA, UENDELEE KUSAIDIA WALIODHULUMIWA ARDHI NA NYUMBA ZAO AMIN
Mbunge wangu Slaa,MITANO TENA!
Kazi ngumu waziri uwiiii Mungu akupe ulinzi tunakuimbea
Dah shekhe wetu huyo saidi abdala makata amezaaka kwakweli sasaivi
Allah huyu wazil anatende haki bila kutak sifa na Allah amlipe hapa na kesho dunian
Kijana yupo kazini Hawa ndo watu wa kazi SS namuoma huyu na makonda ,joketi htr
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali
MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
Kweli na Makonda angelipewa uwaziri nchi ingelienda mbio
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
😅Vipi waziri wa kilimo, waziri wa maji na wa tamisemi Hao vijana unawaonaje???????!
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
ila hawa watu wa ardhi shida nn
Waziri Mungu akujaalie
uongozi kama huu niliumiss
heta kumi za peter hahaaaa mzee bhn
Kitanga hicho ni zapita
🇪🇸🤲🤲🤲🤲❤️
Slaa wanyooshe tu watanyooka tu hap watu waArdhi hao washenze, madhwalimu wakubwa
Hivi hii nchi kweli tuna viongoz kweli wanaotenda haki,mbona aibu sana.
Idara za ardhi wapewe pia waarabu waongoze. Maana kila kitu karibu kinatushinda.
Kalubu mwarabu apewe aridhi zetu hakika wsislamu mmegeuzwa mazuzu na waarabu kwa harua ,Tende na ngamia kwa kujengewa masijid
Waisilamu mnajipendekeza kwà waarabu sana mmewageuza ndio munguwenu
@@MACHOYATAI-jk6fu Na wakiristo wanajipendekeza kwa wazungu. Haya umefurahi
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.
Nchi inatia aibu kusumbua wazee. Vijana tunasoma makaratasi tu. Kazi aibu.
Sio swala wazee, swali tulipo dai Uhuru. Tulidai wa nini? Tz tunavyo ishi sasa inaonekana hatutambui kwa nini tulidai UHURU huo ndiyo ukweli