MHE.JERRY SILAA ASOMEWA DUA NA BABU WA KIJIJI TANGA || NINADAI HAKI YANGU YA MASHAMBA HUKO JUU

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 30

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 3 หลายเดือนก่อน +10

    VIVA MH. WAZIRI SILAA....UTAPATA BARAKA KUBWA KWA KUWASAIDIA WAZEE KAMA HAWA WAMEODHULUMIWA ARDHI, NYUMBA NA MASHAMBA YAO.

  • @salumally663
    @salumally663 3 หลายเดือนก่อน +11

    Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 3 หลายเดือนก่อน +7

    God bless you mheshimiwa waziri

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee Makata .
    Wazee wetu hawa wa Tanga Mjini.
    Allah awahifadhi

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 2 หลายเดือนก่อน +1

    SLAA , ALLAH AKUPE UWEZO, AFYA, UENDELEE KUSAIDIA WALIODHULUMIWA ARDHI NA NYUMBA ZAO AMIN

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbunge wangu Slaa,MITANO TENA!

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi ngumu waziri uwiiii Mungu akupe ulinzi tunakuimbea

  • @kibwanasimba6431
    @kibwanasimba6431 3 หลายเดือนก่อน +8

    Dah shekhe wetu huyo saidi abdala makata amezaaka kwakweli sasaivi

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah huyu wazil anatende haki bila kutak sifa na Allah amlipe hapa na kesho dunian

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kijana yupo kazini Hawa ndo watu wa kazi SS namuoma huyu na makonda ,joketi htr

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali
    MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli na Makonda angelipewa uwaziri nchi ingelienda mbio

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.

    • @iddydawood2020
      @iddydawood2020 2 หลายเดือนก่อน

      😅Vipi waziri wa kilimo, waziri wa maji na wa tamisemi Hao vijana unawaonaje???????!

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

      hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 3 หลายเดือนก่อน +4

    ila hawa watu wa ardhi shida nn

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 หลายเดือนก่อน

    Waziri Mungu akujaalie

  • @tukuyufm
    @tukuyufm 3 หลายเดือนก่อน +7

    uongozi kama huu niliumiss

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน +4

    heta kumi za peter hahaaaa mzee bhn

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla 3 หลายเดือนก่อน +1

    🇪🇸🤲🤲🤲🤲❤️

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 2 หลายเดือนก่อน

    Slaa wanyooshe tu watanyooka tu hap watu waArdhi hao washenze, madhwalimu wakubwa

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi hii nchi kweli tuna viongoz kweli wanaotenda haki,mbona aibu sana.

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 3 หลายเดือนก่อน +2

    Idara za ardhi wapewe pia waarabu waongoze. Maana kila kitu karibu kinatushinda.

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 2 หลายเดือนก่อน

      Kalubu mwarabu apewe aridhi zetu hakika wsislamu mmegeuzwa mazuzu na waarabu kwa harua ,Tende na ngamia kwa kujengewa masijid

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 2 หลายเดือนก่อน

      Waisilamu mnajipendekeza kwà waarabu sana mmewageuza ndio munguwenu

    • @mohamedomari6129
      @mohamedomari6129 2 หลายเดือนก่อน

      @@MACHOYATAI-jk6fu Na wakiristo wanajipendekeza kwa wazungu. Haya umefurahi

    • @mohamedomari6129
      @mohamedomari6129 2 หลายเดือนก่อน

      @@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi inatia aibu kusumbua wazee. Vijana tunasoma makaratasi tu. Kazi aibu.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Sio swala wazee, swali tulipo dai Uhuru. Tulidai wa nini? Tz tunavyo ishi sasa inaonekana hatutambui kwa nini tulidai UHURU huo ndiyo ukweli