Unachozungumza mkuu ni ukweli kabisa bila ya kodi huwezi kuijenga nchi na mwisho wa siku haohao ndio watakusema umeshindwa kuijenga nchi kuwa mkali mzee kwa maslahi ya nchi
Siasa hizo...haiwezekani ndani ya miaka 3 ufukuze kazi makamishna 4 halafu unatuambia mapato yako juu. Kama mapato yako juu kwanini wanao kusanya uwafukuze? Kitillya alikua kamishna kuanzia utawala wa Mkapa hadi utawala wa kikwete yaani miaka 20,. Mwanaume anae oa na kuacha mara kwa mara mara nyingi yeye ndo mwenye matatizo na wala sio wanawake anao waoa., wenye akili wananielewa.
tanzania ni nchi kati ya nchi zinazokomba makodi kwa wingi kwa raiya lakini hatimae raiya wananjaaa miundo mbinu hamna majumba ya raiya mabovu. lakin nchi za wenzetu wanachukuwa kodi kwa raiya lakini hawatumii kwa vitu vengine zaid kuwajengea majumba raiya wake maskini na kutoa huduma za afya bure . elimu bure, masikini wanalipwa posho kila mwezi pesa ya kula yeye na wanawe. je tanzania lini?
Nakuelewa Sana Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Untouchable, touch them seriously🎉🎉🎉🎉
Fukuza watu wote wa TRA ajili wapya
Jameni huyu rais halali.
Uko sawa
Yani uyu mzee sijui nisemeje ila munqu akupe maisha marefu
Unachozungumza mkuu ni ukweli kabisa bila ya kodi huwezi kuijenga nchi na mwisho wa siku haohao ndio watakusema umeshindwa kuijenga nchi kuwa mkali mzee kwa maslahi ya nchi
Daa !mr president kwel wanakuangusha sanaa.
Tunakuelewa baba
Siasa hizo...haiwezekani ndani ya miaka 3 ufukuze kazi makamishna 4 halafu unatuambia mapato yako juu. Kama mapato yako juu kwanini wanao kusanya uwafukuze? Kitillya alikua kamishna kuanzia utawala wa Mkapa hadi utawala wa kikwete yaani miaka 20,. Mwanaume anae oa na kuacha mara kwa mara mara nyingi yeye ndo mwenye matatizo na wala sio wanawake anao waoa., wenye akili wananielewa.
Ww elewa kwanza sababu, Amesema malalamiko yalikuwa mengi
yahya majid yahya hilal al -harthi kwa hiyo leo ndo anakiri kuna malalamiko?? Najua uchaguzi mwakani tutaona mengi.
tanzania ni nchi kati ya nchi zinazokomba makodi kwa wingi kwa raiya lakini hatimae raiya wananjaaa miundo mbinu hamna majumba ya raiya mabovu. lakin nchi za wenzetu wanachukuwa kodi kwa raiya lakini hawatumii kwa vitu vengine zaid kuwajengea majumba raiya wake maskini na kutoa huduma za afya bure . elimu bure, masikini wanalipwa posho kila mwezi pesa ya kula yeye na wanawe. je tanzania lini?
Politics
We uache kujituma serekali ukijengee nyumba
Ww Shukuru Elimu ni Bure na miradi mingine inaendelea mikubwa. Hizo nchi hazikupata Elimu Bure, posho na Afya Bure bila viongozi kuchapa kazi
Not true.... duniani hakuna kitu cha bure bure...