Jamani mm naomba kuuliza kwani wabunge wana Tax kwenye salaries zao, na kama hawana je kweli ndio tunajenga taifa letu wote au tuna jenga wachache. Pls ningepata jawabu ninge furahis sana
Maneno yenye hekima KABISA. Inaonekana uko sirias ktk maneno yako yanatoka moyoni Kwa jicho la tatu Lakini mkuu Sheria za tra zinaangamiza Patna wako sio WA eika ZOTE. Hivyo Patna ndogo anakufa KABISA Sheria ikisimama kivyovyote. Ikiwa fair au kinyume chake. Nakusalimu. KAZI iendelee
Vijana wako hawako makini kabisa wanazushia madeni wafanya biashara tena wanawaambia ni madeni ya nyuma na nimakubwa kiasi hawawezi lipa je wanampango wa kuwafilisi
Kama kina jambo baya nilifanyiwa na tax office Ilala ni kui lock account ya kampuni yangu eti nadaiwa while all the allegations over 90%were not so!! Be careful na vijana wako plz
Pole sana Bro,itakua walikua wanataka uwape rushwa,ukakataa, wakaamua kukupa kodi ya makasiriko ili wakukomoe...hivyo ndio wafanyavyo TRA woote wasio na uzalendo na hofu ya MwenyeziMungu
All the best C.G
Kwa pamoja tunajenga taifa letu🎉🎉🎉
Kabisaaaa
Wez ao
Jamani mm naomba kuuliza kwani wabunge wana Tax kwenye salaries zao, na kama hawana je kweli ndio tunajenga taifa letu wote au tuna jenga wachache. Pls ningepata jawabu ninge furahis sana
Maneno yenye hekima KABISA. Inaonekana uko sirias ktk maneno yako yanatoka moyoni Kwa jicho la tatu
Lakini mkuu Sheria za tra zinaangamiza Patna wako sio WA eika ZOTE. Hivyo Patna ndogo anakufa KABISA Sheria ikisimama kivyovyote. Ikiwa fair au kinyume chake.
Nakusalimu.
KAZI iendelee
Mh fungeni mifumo siyo kila anaeingia vikao
Kikubwa n haki na kufuata sheria
Vijana wako hawako makini kabisa wanazushia madeni wafanya biashara tena wanawaambia ni madeni ya nyuma na nimakubwa kiasi hawawezi lipa je wanampango wa kuwafilisi
Kama kina jambo baya nilifanyiwa na tax office Ilala ni kui lock account ya kampuni yangu eti nadaiwa while all the allegations over 90%were not so!!
Be careful na vijana wako plz
Pole sana Bro,itakua walikua wanataka uwape rushwa,ukakataa, wakaamua kukupa kodi ya makasiriko ili wakukomoe...hivyo ndio wafanyavyo TRA woote wasio na uzalendo na hofu ya MwenyeziMungu