Mh raisi umeanza vizuri sana sasa ikikupendeza raisi wetu naomba uwaite viongozi wa vyama vya siasa nadhani italeta picha nzuri zaidi katika kuwaunganisha wananchi wa vyama mbalimbali na kuwafanya kuwa Watanzania.Hatuna nchi nyingine isipokuwa hii hivyo tuungane kwa pamoja na kuijenga kuwa nchi bora kabisa ambayo vizazi vyetu vitaifuarahia na kujivunia thamani ya maisha yetu ya sasa.Tuijenge Tanzania na sio chadema,cuf,ccm,act wazalendo au chama chochote kile au kundi lolote lile na jukumu hili nakuomba mh raisi wangu ulifanye wewe ili wasaidizi wako wanapoona waache kufanya siasa na hatimaye wawaunganishe watanzania na kuwa kitu kimoja ili kuijenga nchi yetu hii pendwa kabisa.Nipenda Tanzania...Mungu ibariki Tanzania
Tanzania ni nchi ya kipekee sana...Ni bahati ya pekee pia kukutana na hazina hiyo. Chapa kazi mheshimiwa Rais kwa kuchota busara za Wazee wetu hao. Viva Tanzania..... Viva Magufuli.....aluta continue!
kwl umefanya kitu kikubwa sana ,na chakuigwa , ila mheshimia unaonaje hata one day ukiwaitisha wazee wavijijini na wao uwape heshima hio yakipekee nawao wajisikie kuwa wanaye raisi wa aina yake yakipekee kuyiongoza tz
Japhet Ntongani .Huo s utaratibu mpya ulojifunza, hakuna kipya na cha maana hapo Kikwete alikuwa anakutana na wazee karibu wote kimikoa bila kuchagua nyadhifa zao ,acha hawa wasofika hata 20
Fantson Mpango Nafkir kila mtu ana akili zake na nimeisemea nafsi yangu na sina shida na mzee kikwete Tatizo la watu mnaona madhaifu tu pongeza na mazuri na alojifunza ni mm sio wewe na haya ni maoni yangu ntashukuru kama ukinyamaza!!!
umeanza vizuri lakini kama kweli unahitaji busara za wazee usiifanye iwe public, ita makundi tofauti, Ongea na Maraisi peke yao ongea nao private, mawaziri wakuu peke yao majudge peke yao. ikiwezekana hata mmoja mmoja . hapa mbele ya makamera unategemea nani atakuwambia mapungufu yako
RAIS JPMAGUFULI NI MTU mwenye nia njema mwenye BUSARA na hekima ndo maana ameweza kufanya jambo km hili. Yuko ktkt ya kipindi chake cha kwanza cha uongozi, Vila shaka nia yake anataka kupima kupitia viongozi wenye uzoefu ktk nchi hii, sio Marekani, Misri na kokote. Nchi ya Tanzania hao ndio wanaijua Tanzania na changamoto zake, wakimshauri utakuwa ni ushauri sahihi unaoweza kumfanikisha sambamba na malengo binafsi aliyonayo. Mungu akuzidishie hekima, uzalendo, upendo hasa kwa wanyonge na Tanzania kwa ujumla. Hao viongozi ni hazina kubwa inayoweza kuisaidia nchi yetu kuwa na dira nzuri au mwelekeo kutufikisha tuendako. Kabla hawajaondoka dunia, watusaidie kuweka mustka bari mzuri wa nchi. Mbarikiwe viongozi wetu na watanzania wote wenye nia njema mbarikiwe! Tutafika tu! TANZANIA TANZANIA, NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.........!
Jamani Mungu azidi kukufunilia ili nchi yetu I we mfano kwa mambo mazuri,in mfano bora kabisa kukutana na watangulizi na kubadilishana mawazo.hongera sana...
Sina chakusema leo imebaki picha mkapa ayupo,malimsefumagufuri wangu ayupo tenanabaki kuangalia picha tu Mungu wetu ni mwema sana endelea kupumzika kwa amani
Very good President... ila naomba sana Tanzania waruhusu watu wake kua na passport mbili...pls pls...Baba Raisi wetu Magufuli. Mimi ni hilo tuu. Ila kwa hili tukio la kiistoria nakupongeza sana...ongezeni ushirikiano na serikali ya New Zealand...
Mungu azidi kuijalia Tanzanian iwenchi yaamani upendo ,namshikamano,bilakujali dini,ukabila,itikadi zakisiasa,na ujinsia,furaha ingenizidi mwalimu,nyerere pia angekua hapo Bali nimipango ya mungu ,tufuate mazuri,yake,.sasa naona JP atafuata ushauri,japo hataki kupangiwa.
Nafuatilia kwa ukaribu Ni hekima kubwa ameitumia. Itakuwa ya maana sana kama itakuwa na positive outcome. Kwa mustabari wa nchi yetu well done Mh Dr JPM
Mimi fikra zangu naona Kama kweli tuko na nia tubadilishe Katiba ituongoze tu, na sio maamuzi na fikra za mtu yatuongoze, hata waitwe nani ni bure sbb hatutekelezi, Trump kama si katiba yao USA angelishaitia moto..
Mungu akubariki sana Rais Magufuri,si tu umefanya jambo kubwa bali ni mfano wa kuigwa na nchi nyingi duniani,si kitu rahisi kukipata sehemu nyingine duniani. Hiki ni kielelezo cha upendo mkubwa tuliona watanzania.
Hivi nchi hiki inawaziri mkuu mstaafu?au kunamawaziri wakuu waliopitwa na muda kwakuachwa na marais au kwa kupitwa na muda,maana Tanzania haijawahi kupiga kura kumchagua waziri mkuuu.
Nimewahi kuwa kiongozi ktk uwakilishi wa kata, vikao kama hiv vina tija sana lkn kuna baadhi yao wanashindwa kuyasema walionayo, mh rais ongeanao kimakundi MF, majaji, maspika, mawaziri yawe makundi tofauti mwisho malizia na marais hapo utayapata mazuri zaidi ya Jana, Leo na ya kesho
Una moyo wa pekee baba wengine hawawezi kuwa na moyo kama wako, ubarikiwe sana ! Chuki na moyo wa ubaguzi hazileti masilahi kwa taifa letu! Mungu akupe maisha zaidi mzee wetu!
Metili Ole Wanashangaa, hawaelewi, wameshikwa na simanzi hawajui lengo lake. Wengine hadi wafike nyumbani ndio watazinduka na kuelewa kilichokuwa kinaendelea.
Nimemkumbuka huyu baba jamani MAGUFULI wetu jamani Eewe Mungu hili ni pigo Mungu tupe kama huyu tena wakutufuta machozi 😭😭😭😭😭
Naipenda hekima hii. Mungu akubariki Mh. Raisi wetu Dr. John P.J. Magufuli.
Nimefurahi sana kuwaona hawa viongozi wetu pamoja hivi. Halafu huo wimbo wa Tanzania Yetu nusura unitoe machozi. Mungu ibariki Tanzania.
Huu wimbo ni wa kipekee sana. Mungu ibariki Tanzania na watu wake!!! Mungu tubariki watoto wake!!
Mh raisi umeanza vizuri sana sasa ikikupendeza raisi wetu naomba uwaite viongozi wa vyama vya siasa nadhani italeta picha nzuri zaidi katika kuwaunganisha wananchi wa vyama mbalimbali na kuwafanya kuwa Watanzania.Hatuna nchi nyingine isipokuwa hii hivyo tuungane kwa pamoja na kuijenga kuwa nchi bora kabisa ambayo vizazi vyetu vitaifuarahia na kujivunia thamani ya maisha yetu ya sasa.Tuijenge Tanzania na sio chadema,cuf,ccm,act wazalendo au chama chochote kile au kundi lolote lile na jukumu hili nakuomba mh raisi wangu ulifanye wewe ili wasaidizi wako wanapoona waache kufanya siasa na hatimaye wawaunganishe watanzania na kuwa kitu kimoja ili kuijenga nchi yetu hii pendwa kabisa.Nipenda Tanzania...Mungu ibariki Tanzania
hicho ni kitu kizur sana kuzungumza na wazoefu ktk maendeleo y'a nchi
Mh Rais
Magufuli wewe ni kichwa mjanja vbaya mno.ILa wanakumaindi angalia sura xao
Never happened before
Congratulate to president JPM
Duh nilitamani nimuone hata RAIS KIKWETE
Michano Michano kwanini haja come
Ana kinyongo ana hasira alimtaka Membe sio Magufuri
Magufuli yuko vzr ,tuchape Nazi tu
lowasa nae ni mstaafu au alijihuzuru????
JPM kapigika hadi raha asante Mungu
Ukisikia serikal ni nani bas ndo hao Jpm piga job
Tanzania ni nchi ya kipekee sana...Ni bahati ya pekee pia kukutana na hazina hiyo. Chapa kazi mheshimiwa Rais kwa kuchota busara za Wazee wetu hao. Viva Tanzania..... Viva Magufuli.....aluta continue!
Msekwa hakuwahi kuwa Waziri Mkuu
Nlitaman nimsikie dingi kikwete
Kuna mwingine alisema malofa
kama kuna aliemuelewa anieleweshe tafadhali
Capt. A. Machano.
Ni busara tosha ulicho kifanya mr. Magufuli.
HONGERA.
Pumzika jpm kwaamani 😭😭
safi sana Mh. JPM piga kazi Tanzania ni vijana na wazee tuangalie maslahi mapana hasa ya kizazi kinachokuja
wasanii wabongo fureva
Mzee Mkapa, tukamlaza Lupaso, Magufuli amelala huko Chato, Lowassa tumemlaza Ngarash Monduli😢😢😢😢😢😢😢😢😢 ee Mungu tufundishe kuzihesabu siku zetu.
kwl umefanya kitu kikubwa sana ,na chakuigwa , ila mheshimia unaonaje hata one day ukiwaitisha wazee wavijijini na wao uwape heshima hio yakipekee nawao wajisikie kuwa wanaye raisi wa aina yake yakipekee kuyiongoza tz
Maombi Nsh Edson sasa atawaita wazee wa vijiji vingapi? au unataka afanye kampeni kila kijiji akutane na wazee? jambo hilo ni gumu kupita maelezo
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero
Mzee leo nimekuelewa sana kwa mara ya kwanza natoa complement yangu bila unafkir
"Asiyejifunza ni mjinga, mzee Maghufuli nakupongeza sana sana!
Japhet Ntongani .Huo s utaratibu mpya ulojifunza, hakuna kipya na cha maana hapo Kikwete alikuwa anakutana na wazee karibu wote kimikoa bila kuchagua nyadhifa zao ,acha hawa wasofika hata 20
Fantson Mpango Nafkir kila mtu ana akili zake na nimeisemea nafsi yangu na sina shida na mzee kikwete
Tatizo la watu mnaona madhaifu tu pongeza na mazuri na alojifunza ni mm sio wewe na haya ni maoni yangu ntashukuru kama ukinyamaza!!!
Japhet Ntongani kweli
Japhet Ntongani good sana
Ukiandika asiyejifunza unamaanisha nini!? Ndiyo sis tusiojifunza tunakujibu. Siku ingne semea nafs yako tu
lowasa kakunja suraa
umeanza vizuri lakini kama kweli unahitaji busara za wazee usiifanye iwe public, ita makundi tofauti, Ongea na Maraisi peke yao ongea nao private, mawaziri wakuu peke yao majudge peke yao. ikiwezekana hata mmoja mmoja . hapa mbele ya makamera unategemea nani atakuwambia mapungufu yako
Naomba nikushauri mh Raid na unilinde tafadhali sna Mara nyingine ukitaka kuongea na wazee wastaafu Waite bila makamera na uongee nao private .Asante
Kabarana Maganga umenena kweli.
Jambo jema sana endeleza utaratibu huo wazee ndo kila kitu japo namba wanaisoma nenda nao hivyo hivyo
j c ,nimeipenda dp yako ya Tb joshua
Thanx
You tubu
Muh tunakuombea usiku na mchana mbona tunaona unayoyafanya kwa minajili ya Tanzania mungu akubariki Sana
Hongera. Baba. Kwabsala. Ulzoonyesha. We. Nirais.wamufano.dunia.nzma
RAIS JPMAGUFULI NI MTU mwenye nia njema mwenye BUSARA na hekima ndo maana ameweza kufanya jambo km hili. Yuko ktkt ya kipindi chake cha kwanza cha uongozi, Vila shaka nia yake anataka kupima kupitia viongozi wenye uzoefu ktk nchi hii, sio Marekani, Misri na kokote. Nchi ya Tanzania hao ndio wanaijua Tanzania na changamoto zake, wakimshauri utakuwa ni ushauri sahihi unaoweza kumfanikisha sambamba na malengo binafsi aliyonayo. Mungu akuzidishie hekima, uzalendo, upendo hasa kwa wanyonge na Tanzania kwa ujumla. Hao viongozi ni hazina kubwa inayoweza kuisaidia nchi yetu kuwa na dira nzuri au mwelekeo kutufikisha tuendako. Kabla hawajaondoka dunia, watusaidie kuweka mustka bari mzuri wa nchi. Mbarikiwe viongozi wetu na watanzania wote wenye nia njema mbarikiwe! Tutafika tu! TANZANIA TANZANIA, NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.........!
Waiga jala
hongera sana mh. kwa kuendelea kuonyesha ukomavu na upendo wako kwa viongozi walio kutangulia kukupa mawazo mema ya kuendelea kuinyosha nchi yetu!
nimeipenda
Jamani Mungu azidi kukufunilia ili nchi yetu I we mfano kwa mambo mazuri,in mfano bora kabisa kukutana na watangulizi na kubadilishana mawazo.hongera sana...
Asante
mungu ibariki Tanzania hongera jpm
mbarizi
Asante san mwenyez MUNGU kwa muongozo mzuri kwa raisi wetu
R.I.P JPM
Congratulations to our President Dr Magufuli God may bless you because you have shown a love to all people in the country
big up sana Rais
JPM
Upo vizuri mheshimiwa rais
Juma Self nakupenda president wangu.
Respect to u President J P M kwa hekima na busara za kuwaita wazee hakik umefanya jambo la maana mno👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Pinda vp?
Hotuba hii ina mafundisho ya kuhusu uchumi naomba waandishi waichape inafaa kujifunza nchi inavyoenda mbele nimeipenda
Mungu akubariki sana rais wetu umefanya jambo, jema kiukwel hauna kinyongo na mtu, big up sana baba
Saf jp
Sina chakusema leo imebaki picha mkapa ayupo,malimsefumagufuri wangu ayupo tenanabaki kuangalia picha tu Mungu wetu ni mwema sana endelea kupumzika kwa amani
sijamuona Kikwete na Malecela
wap kikwete jaman hapo
Very good President... ila naomba sana Tanzania waruhusu watu wake kua na passport mbili...pls pls...Baba Raisi wetu Magufuli. Mimi ni hilo tuu.
Ila kwa hili tukio la kiistoria nakupongeza sana...ongezeni ushirikiano na serikali ya New Zealand...
Ushirikishwaji mzuri hongera sana rais wetu
Rais Magufuri Mungu akupe maisha marefu wewe ni mfano wa kuigwa
Mbona Mh.Rais ulisemaga ushauri hutaki? Alisema mh.yusuph makamba ulikataaga alichokushauri.Je leo watakayokushauri utayafanyia kazi?
alichokifanya presdent J. P. M. kingeweza kutuliza ghasia ilioghasilishwa na walioghasiwa maana ni cha busara Sana
Mungu azidi kuijalia Tanzanian iwenchi yaamani upendo ,namshikamano,bilakujali dini,ukabila,itikadi zakisiasa,na ujinsia,furaha ingenizidi mwalimu,nyerere pia angekua hapo Bali nimipango ya mungu ,tufuate mazuri,yake,.sasa naona JP atafuata ushauri,japo hataki kupangiwa.
Good Mr. President!!!
Kikwete wap
Ni muhimu sana kukumbuka wazee na mchango wao appreciation! Hongera Dr. John Magufuli kwa kutambua/acknowlegde viongozi wote walioitumikia nchi!
Binafsi nimependezwa na hili.... Ila jitahidi kufuata ushauri usiamini yako tu
Makonda mbona hujamwita na yeye ni rais
Dk Raisi Magufuli nakukubali Sana we ni kiongozi bora usiyeyumbishwa mwenyezi mungu akubariki uendelee kuwa na msimamo
Great my presider
Nafuatilia kwa ukaribu
Ni hekima kubwa ameitumia.
Itakuwa ya maana sana kama itakuwa na positive outcome.
Kwa mustabari wa nchi yetu well done Mh Dr JPM
Amepungua mutu mmoja muhimu ila yeye ni mwandishi wa habari na si mwingine nae ni "MAYALA"
JPM MAY ALMIGHTY GOD CONTINUE TO BLESS YOU
Nyie MCL mbona mnanong'ona chinichini hadi tunawasikia 😂😂😂
Hakika ulichokifanya ni zaidi ya Upendo na haijawahi kutokea kwa kiongozi yeyote binafsi ninakupongeza sana
mnafikiria magufuli fala anajijengea mazingira mazuri ya 2020
Mimi fikra zangu naona Kama kweli tuko na nia tubadilishe Katiba ituongoze tu, na sio maamuzi na fikra za mtu yatuongoze, hata waitwe nani ni bure sbb hatutekelezi, Trump kama si katiba yao USA angelishaitia moto..
Jamaani magufuli mungu akutolee adhab za kaburin
Mhe Rais kazungumza Vizuri sana pia kafanya Vizuri kuwaita wazee ikulu haijawahi kutokea. Mungu azidi kumbariki.
Spika huy n mxtaafu...? Mwite na cieijiii..
Haijapata kutokea chini ya jangwa la sahara! Nia njema ni tabibu, nia mbaya huharibu!
Mimi sikusifiiiiii hata chembe. man bado sioni unacho kifanya. unatuumiza wana tz.
Pia Mh. Rais hongera kwa kutaka ushauri kwa waliokutangulia hivyo ndivyo tunavyotakiwa kuishi Mungu Akuongoze zaidi.
Jambo la maana sana. Endelea na moyo wa kutambua mchango wa watangulizi wako katika kazi. Big up
kikwete mbonasijamuona
Mungu akubariki sana Rais Magufuri,si tu umefanya jambo kubwa bali ni mfano wa kuigwa na nchi nyingi duniani,si kitu rahisi kukipata sehemu nyingine duniani. Hiki ni kielelezo cha upendo mkubwa tuliona watanzania.
Hivi nchi hiki inawaziri mkuu mstaafu?au kunamawaziri wakuu waliopitwa na muda kwakuachwa na marais au kwa kupitwa na muda,maana Tanzania haijawahi kupiga kura kumchagua waziri mkuuu.
Mbona kama Bw.mkapa anaogapa kumuangalia Mr.president
Nimewahi kuwa kiongozi ktk uwakilishi wa kata, vikao kama hiv vina tija sana lkn kuna baadhi yao wanashindwa kuyasema walionayo, mh rais ongeanao kimakundi MF, majaji, maspika, mawaziri yawe makundi tofauti mwisho malizia na marais hapo utayapata mazuri zaidi ya Jana, Leo na ya kesho
Una moyo wa pekee baba wengine hawawezi kuwa na moyo kama wako, ubarikiwe sana ! Chuki na moyo wa ubaguzi hazileti masilahi kwa taifa letu! Mungu akupe maisha zaidi mzee wetu!
Unatulisha upepo unayo yasema hayatoki moyon wakileta fyoko wanatumbuliwa
Hongera sana Rais wetu mungu akulinde na akuongezee hekima maradufu
Maji yashaanza kuzidi unga.Busara inaanza kuingia n.a. kuwashwa washwa kunabadili upeo!
nimefurai sn hongereni Waze wa Tanzania safi sana magu hongera mkapa kwakumlea vyema rais wetu
Lakin Mr.President ungeanza na kuwaba msamaha jamani..Wengine waliambiwa wanawashwawashwa..ha ha haaaaa..Ni baraka pia hiyo
Nakupongeza sana Rais wetu Magufuli, siku zote Nakuombea mema Mungu akulinde Rais wangu.
Binura Rassi good sana
what I learn from you
Jamani nangoja povu kutoka sacos
hana lolote siku zote hajawaona anaona jahazi linazama ndio wanakua wa mhimuu mmm ukubwa dawa ,
kiukweli sijaona kama we we ijapo walio zowea kupinga watasema daima mungu akulinde magu
Hali ngumu mtaani wazee mwambieni ,ndugu yenu atatuua huku
Wazee full mnuno
Big up president
Eee mungu mrehemu baba yetu magufuli
Good idea
Mbona hawana furaha
Watafurahi tu
Mungu akuzidishie, akupe maisha marefu
Metili Ole Wanashangaa, hawaelewi, wameshikwa na simanzi hawajui lengo lake. Wengine hadi wafike nyumbani ndio watazinduka na kuelewa kilichokuwa kinaendelea.
Nilijua Umewaita Ujiuzulu kumbe upo.
HAPO BORA MKUBWA WA NCHI YAANI UMESHANGAZA DUNIA HASA KWA AFRICA HONGERA RAIS JONH