NILIPATA MZUNGU MVUTA BANGI | HELA YA MZUNGU NI NGUMU | WALITAKA MAHARI MIL 5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Janeth ameeleza kama ndoto yako ni kua na Mzungu basi usikate tamaa na ikazanie basi utapata.
    Wa kwako yupo.
    Anasema maisha ya kua na Mzungu Tanzania ni mepesi zaidi.
    Alipata Mzungu mvuta bangi dada yake akamkazata kua nae.
    Thank you Janeth for allowing this to be online
    www.Oda.international

ความคิดเห็น • 128

  • @adamabui6121
    @adamabui6121 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ulaya swainiii ngomaaa ngumu maisha magumu kazi ngumu stress zakutosha dada zetu kama ni kuja ulaya ok ila kama ni tamaa ya pesa msahauu hao wazungu njaaa kaliii hasa hao kutoka poland washamba wabaguzi. Afrika super 👍

  • @witnesshassan
    @witnesshassan ปีที่แล้ว +4

    Tunajifunza me likua najua ukipata mzungu umetobo kumbe hapana Asante kwalimu bule tunakupenda❤ god bless you

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 10 หลายเดือนก่อน

    Asante mdogo wangu unajitambua mwenyezi mungu akutangulie katika ndoa yako upendo na Amani ikataware katika family yenu

  • @nameno8608
    @nameno8608 ปีที่แล้ว +4

    Usemacho ni kweli Asante kwa masomo ila kuchanganya Damu ni kitu kizuri watoto walelewe nchi zote mbili

  • @calzy8167
    @calzy8167 ปีที่แล้ว

    Mashallah wa Africa ni warembo huyo dda ni mzur na ana tabasam zuri mpaka mpolish ameblow❤ mpolish sio rahis kupenda mtu mweusi kabisa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว +1

    Alooo baba angu mwalimu Christopher Mwakasege amefikiwa hapa!
    Hy dd alitoa sadk ya shukrani 😅

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 11 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo nilitoa unaachaje sasa🙏🙏

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 11 หลายเดือนก่อน

      @@Nyanjobhe123 haleluyaaa,huu ushuhuda

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 ปีที่แล้ว +1

    Jaman nimeipenda Sana hii interview,janeth mcheshi Sana na muwazi.

  • @Tupilike
    @Tupilike 9 หลายเดือนก่อน +1

    Janet ❤❤❤❤🎉Hana mambo mengi

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 ปีที่แล้ว +2

    Ukweli wenzetu tabia zao kubadilika especially Pombe au Sigara it’s God Grace for sure, so ukijielewa from the beginning is better

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

    Beautiful interview, beautiful lady ❤️

  • @cathypeter
    @cathypeter ปีที่แล้ว +3

    Mdada mcheshi sana

  • @mtotowaspurs
    @mtotowaspurs ปีที่แล้ว +1

    Aise huyu dada Janeth, ana undugu na Rayvanni (Vanny boy)

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi kabisa yaan

  • @Jenel-knitting-crafts
    @Jenel-knitting-crafts ปีที่แล้ว +1

    That's my friend ❤🤗👏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +2

    Dada yake apewe maua yake.🎉🎉

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana nimekupenda bure

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +3

    bangi ya ulaya nimeamini siyo kali aiseee,siku ukirudi bongo mwambie aende matejoo,ngare,au mpeleke kanda maalumu tarime,akipiga puli kama mbili anakata moto na ataomba poo atahisi afrika kuna winter

    • @glorymasy7687
      @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 chalii angu hutaki makasiriko kwenye mambo hayo kabisa yn

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +2

      @@glorymasy7687 hamnaga aisee gulo,huyu dingo wanavuta kushabu wanasema ganja asee,akija moshi nampeleka njoro relini.😂😂😂

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

      @@glorymasy7687 sema nn,tupambanie hizi madeting site zitatuokoa au kama vipi nenda pale coffee lodge au fifi tifimba ukasagule mmj chap

    • @glorymasy7687
      @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +1

      @@klaussteiner94 😄😄😄😄😄😄 si atazima huyo na kuwa mwekundu ghafla

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 ปีที่แล้ว +5

    Dada zetu waache ujinga wa kudhani wazungu wanatoa hela hovyo. Hizo ni akili finyu. Chapeni kazi, nothing is for free. Mnajidhalilisha!

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 11 หลายเดือนก่อน

      Ongeza sauti🤝😂😂😂wengi sisi wake wa wazungu tunafanya kazi👌

    • @user-iz9ci4rs3d
      @user-iz9ci4rs3d 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 11 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kujitokeza. Hawa wadada wa Africa , wanatamaa sana, na bahati mbaya ni watu waliosoma wengine, arafu wanajidhalilisha kwa kudhani wazungu watawapa maisha bora. Kuna mengine hawasemi hawa mbuzi wa kafara

    • @user-po1cq9so9h
      @user-po1cq9so9h 11 หลายเดือนก่อน

      Wanawake wa bongo mnafunga ndoa na wazungu baadae mtakua hamna family watoto wote watachukuliwa na wazungu

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +8

    huyo dadako cousin nae alitaka akubanie usipate mlami mbona yeye hajaacha/kurudi afrika?sema sisi wabongo tunaubinafsi mwingine akitaka kutoboa kwenda ulaya utaskia ohoo,,,,ulaya maisha magumu,,,sijui tunafanya sana kazi mara utaskia ooh kulea mtoto ni changamoto na mambo kadha wa kadha,chamsingi nafikiri ukiamua kupata mzungu ukaishi nae weeee pambana na hali yako,,,awe anavuta bangi,anakunywa pombe sijui nn weee pambana mwenyewe ikuuwe woiiiiiiiii

    • @glorymasy7687
      @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +1

      Ha ha ha haaaaa kikubwa utoboe au sio

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 ปีที่แล้ว +1

      Hahahaha kwa kweli, iyo ya kufukuzwa ulale Mhhhh, labda Amerika.

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 ปีที่แล้ว

      Maana ulaya kuna sheria kali ya kulinda wanawake na watoto. Kama mwaume anakunyanyasa ukishitaki ni aiza ye ahame akuache wew na watoto na ataendelea kulipia nyumba au maitaji, au wewe utafutiwe mahali pa kuishi, labda kama haushi kisheria iyo ni kesi nyingine.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @neemalema2545
      @neemalema2545 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂nimechekaaa kikubwa awe mzungu

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dada huyu mzungu anakuwa mwema kwako kwa sababu anaishi tz ungekuwa kwao ungeona cha moto

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda da'shena wangu❤

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 ปีที่แล้ว

    Wazungu ambao hawavuti bangi niwachache sana hasa kwa uku marekani na canada so dada zetu muelewe hilo kabla hamjasema yess

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy ปีที่แล้ว +1

    Very hot warembo!!!!

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 ปีที่แล้ว

    Hongera Janet, umepata dada mzuri kama dada yangu

    • @felipothomas1467
      @felipothomas1467 11 หลายเดือนก่อน

      Ukalimu wa ujinga ambao hauna uzalendo

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 ปีที่แล้ว

    Thank you Shena, unafanya kazi nzuri

  • @foumad6161
    @foumad6161 10 หลายเดือนก่อน

    Nenda Katembe Poland wamebadilika sana hasa katika miji mikubwa lakini nje ya miji mikubwa utachukia kila mzungu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera Lakini Mkataa asili yake atakuwa Mtumwa wa Tamaduni za baadhi ya Wazungu Hivyo upokee changamoto

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 10 หลายเดือนก่อน

    Una Dada Mzurii mnoooo

  • @LilianPhilemon
    @LilianPhilemon ปีที่แล้ว +2

    ❤❤❤

  • @NeemaKumila-gx3nz
    @NeemaKumila-gx3nz ปีที่แล้ว +2

    Niko makini kumsikiliza jane

  • @hariethmatungwa9293
    @hariethmatungwa9293 ปีที่แล้ว +1

    bora ulikataliwa wakerewe jaman wanatabia chafu sana tena wanaume

    • @leaherasto929
      @leaherasto929 ปีที่แล้ว

      Wanatabia zipi malaya au

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 11 หลายเดือนก่อน

      Wana tabia gani mbaya ? Mbona mpumbavu sans wewe

  • @njuka3515
    @njuka3515 ปีที่แล้ว +2

    Hapo kwenye kuomba ela mimi anveniacha wiki tu

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +1

    Ila alikua anapika mikate mitam jmn😂😂😂😂😂 shena nilisahau kukuhadithia hii

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 ปีที่แล้ว +3

    Na prefer kuishi Africa kama naolewa na mzungu kuliko kuishi nae Europe, na kuhusu sigara na bangi wazungu kwao ni kitu cha kawaida Tena wanaruhusiwa kupanda nyumbani kama unavyo panda maua but kuna kiwango ukizidisha ni kesi maana watafikiri unafanya biashara mind that, sio Wote Wanao vuta ni wabaya ati watakufundisha kuvuta sio kweli wazungu waelewa ukisema kitu hutaki hawakulazimishi ni wewe mwenyewe upende kutumia, 🇨🇭

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 11 หลายเดือนก่อน +2

    Dada mbona mahari ya 5m hapa bongo hata mchovu analipa tu

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 10 หลายเดือนก่อน

      Dada kaona 1milioni ni sawa kwake na karidhika❤

  • @amidasula52
    @amidasula52 ปีที่แล้ว +2

    Hi Janeth nimekutafu mitandaoni sijakupata tukitaka kuja Zanzibar nakupataje?

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 9 หลายเดือนก่อน

    Dada shena mi cjui jinsi ya kulipia mtandao imekuja imeli lakini nashindwa kuingia wananiambia niingize code niingize Ile password inagoma nafanyaje shena misaidie

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 7 หลายเดือนก่อน

    Janet duka lake lipo wapi Zanzibar ninaweza kununua nguo hapo kwake

  • @irenejohn8194
    @irenejohn8194 11 หลายเดือนก่อน

    Harusi zahlt wazungu zinazojaa watu ni zinazofungwa nje ya Ulaya 😂😂 kwa sisi tuliofunga ndoa Ulaya, tuna ushuhuda 😂😂😂😂

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 ปีที่แล้ว

    izo app ni zipi jmn tuzi follow na sisi alafu mbon tunaanza kuogopa hawa wazungu sas!!!!!!

  • @JanethMunuo
    @JanethMunuo 21 วันที่ผ่านมา

    Acha kuongelea makabila ya watu unmindful unatokana na mtu sio kabila

  • @elfriedemsechu5690
    @elfriedemsechu5690 6 หลายเดือนก่อน

    Wachagga 😌

  • @rachelmtemange5206
    @rachelmtemange5206 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥siku hizi sikosi live 😂😂

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +1

    Kama kawaida napenda story mimi😂❤

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว

    Kunazia Africa na mabara yote. Yapo maeneo mazuri na mabaya. Kuna matajiri na masikini. Kama Tanzania sio wote matajiri au masikini class zote zipo popote duniani

  • @Nipa9107
    @Nipa9107 ปีที่แล้ว +2

    Poland masikini sana Africa kuna nafuu

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

      😳😳😳😳

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 ปีที่แล้ว +3

      Kah wewe acha uongo eti masikin Africa nafuu daaah😂😂😂😂😂ndiyo ni maskini kwa upande wa Europe na USA lakin siyo kwa kufananisha na Africa mbona tena Tanzania au zambia au malawi 😂😂😂😂Ulaya ulaya tu hata ikiwa kijijin mbona mnaenda sasa😂😂😂

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +2

      @@Nyanjobhe123 ndugu mimi mwenyewe nimetahamaki nimechoka mwili na roho,guys tuwe seriously,,!!tusisikie story za vijiweni aiseee,hivi poland,macedonian,croatia,cyprus,moldova,hungary,bulgaria,siniulaya mashariki?kwanza tu poland miundombinu ake jmn ebu tuwe serious.unless kama alikuwa anatania tu ni sahihi.mwambie aangalie GDP

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว

      @cute1737 Unanichekesha 😅😅😅😅 comment yako initia aibu, unaifahamu Poland wewe? Umeishi kule au ulienda kusukuma siku tu 😅

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

      ​@@klaussteiner94 umesema kweli kabisa, huyo hajui kwanini inaitwa Europe 🇪🇺 Poland ina miundombinu ya maana kuna maeneo yako fresh hata sehemu kadhaa za France haziingii ndani

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

    dada weka ig ake hapo tumfolo tukapate kazi kwa shem kama shem zanzibar

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 ปีที่แล้ว +1

    Polish wa London ni wezi ajabu; wanaiba mpaka pombe na nyama kwenye supermarkets

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 ปีที่แล้ว +2

    Anaongea ukweli mkerewe mwenzangu

    • @felipothomas1467
      @felipothomas1467 11 หลายเดือนก่อน

      Poland Ni maskini sana wakomunisti hao hawana kitu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    CHA KWANZA KABISA , KIMAISHA, HAKUNA TOFAUTI KATI YA TANZANIA NA POLAND KABISA. POLAND NI MSIKINI KAMA TANZANIA, NA WAO PIA WANATEGEMEA SANA NNCHI JIRANI ZA ULAYA KATIKA KUISHI.

    • @joyceKingu
      @joyceKingu ปีที่แล้ว +1

      Kuna tofauti Sana. Tanzania ni Tajiri Sana ila hatujui kuchuma potential ya Mali zetu kama madini nk. Hatujieleei tumeaminishwa na wazungu kuwa sisi masikini huku nyuma yetu wanatuibia.

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +2

    Ha ha haaaa umenikumbusha mbali nilikutana pia na mfaransa Arusha alikuwa mpole jmn ila alikua mvuta sigara na anatumia pombe Kali lkn huwez kumjua

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +1

      ungepambania kombe tuu gulo😅😅

    • @glorymasy7687
      @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +1

      @@klaussteiner94 niliogopa dear sijui na utoto ulichangia 😂😂😂, eti ss hv nawasaka😂

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +2

      @@glorymasy7687 wasake kinyama aseee G,pambana chaliiiii ake mimi mwenyewe nawasakaje?woiiiiiiiiiiii,huyo huyoo ungepambana nae hata kama alikuwa anakula fegi

    • @glorymasy7687
      @glorymasy7687 ปีที่แล้ว

      @@klaussteiner94 umeona eeeeeeee mpaka kieleweke safari hiii yn zam ytu na ss lazma ifike hakuna kukatama tamaaa,

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 ปีที่แล้ว +2

      Fatilia tu app na muamini Mungu kwa imani yako atafanya wepesi🤝

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 5 หลายเดือนก่อน

    Kupatwa kwa wanaume wa kibongo maana Tinda imewaotesha watu mbawa

  • @johnmjuni3305
    @johnmjuni3305 ปีที่แล้ว

    Hotel gani Zanzibar inaitwa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Bado utoto mwingi huyu Europe hatoboi hata kidogo. Tena kalelewa kibaby baby..hmmm

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

      Wala si utoto ndio alivyo, na kalelewa vizuri tu, maisha popote sio lazima Europe

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 11 หลายเดือนก่อน

      Sasa nitoboe EU na wakati nishatoboa nyumbani jaman ya nini kutoboa mara mbili moja inatosha😂😂😂😂

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 10 หลายเดือนก่อน

    Mtafute bado unamda

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

    vipi ukaamua kwenda upande wa pili kupiga kimbola 😂😂😂😂badala ya church.

  • @claramboya2018
    @claramboya2018 ปีที่แล้ว

    Etiii nini,mchaga uwezi kumwamin na hela zk,unamaanisha nn,allaaaah ,bs tafuta kabila lk ili uweze kumwamin,upooo nyonyo

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 ปีที่แล้ว

      Nyooo hiyo vipi sasa kwani uongo😂😂😂😂😂

    • @claramboya2018
      @claramboya2018 ปีที่แล้ว

      😃😃😃😃aya bwana,mnatuonea sx lkn🤣🤣😂,

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

      Muache ni experience yake ,wala hajasema kwa ubaya

    • @ngowibeatrice1701
      @ngowibeatrice1701 11 หลายเดือนก่อน

      Wachaga ni kabila linajitambua si mabwege makofi kwa wachaga

  • @LoishiyeMollel-ck9bx
    @LoishiyeMollel-ck9bx 11 หลายเดือนก่อน

    Y

  • @kenedymdemu6943
    @kenedymdemu6943 11 หลายเดือนก่อน

    Kw ufupi wakina dada wa kiswahili huwa ni wajinga mnajidanganya wazungu hawana pesa na hizo hulks zenu za kuombaomba pesa kwa wanaume zimewaponza sana hata waswahili wenzenu hakuna short cut kwenye maisha fanyeni kazi kama mke wangu ondoeni tamaa

  • @user-uh5rj1do6x
    @user-uh5rj1do6x 10 หลายเดือนก่อน

    Sister plz help me ur whats up no.Kuna vitu nahitaj unijuze maana haya mambo sio ya kwenda kichwakichwa

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 10 หลายเดือนก่อน

    😅

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 ปีที่แล้ว

    Ushamba mzigo dada, huyo naye kwa wazungu haitwi mzungu anaitwa mzungu pori wahangaikaji tuu kama nyie wanakunya nje kama vijijini tuu , kama ndio ulikuwa unaenda kanisani kwa sababu ya kupata mzungu rudi tena ukaombewe.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  ปีที่แล้ว

      Mbona comment kali ? Makasiriko ya nini ?

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @Nyanjobhe123
      @Nyanjobhe123 11 หลายเดือนก่อน

      Makasiriko peleka kwa shangazi yako, huko mfyuuu mzungu wangu siyo toleo la sita ni la Kwanza orginal kabisa blondedhair upo👌👌🤣🤣ndiyo nimempatia kwa kuomba na liko wazi nimeingia dating site two-three day nikapata mtu sijachunda mwaka😂😂😂na nimeolewa naishi maisha mazuri hata kumzidi waziri nina uhuru,sipigwi nahudumiwa na nafanya biashara maana niliomba nikapata mme mwema na mtoto nikapata bonus chap Mungu alivo mwema🙌🙏 sasa makasiriko pelekea ndugu zako siyo mie😂😂😂😂

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 11 หลายเดือนก่อน

      Wasichana wa Africa, mnaendekeza umaskini, na tamaaa

    • @lucymsigwa443
      @lucymsigwa443 5 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie namna ya kutumia iyo dating site natumia siwezi Mimi ninaela zangu na biashara zangu ila natamani kuolewa na mzungu​@@Nyanjobhe123

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 ปีที่แล้ว

    😂😂❤

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 7 หลายเดือนก่อน

    Uje siku 3 mwisho 😊😅😅😅😅

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤