ATHARI YA TOHARA NA MAHARI KWENYE MAHUSIANO NA WAZUNGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 34

  • @shelaabdu7155
    @shelaabdu7155 11 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana kwa Elimu nzuri 🙏❤️🔥

  • @annamussa185
    @annamussa185 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli kabisa,mume wangu aliniambia alifanyiwa Tohara akiwa mtoto Mama yake alimwambia kuwa alikuwa akiugua utotoni so akamfanyia Tohara lakini yeye anasema hakupenda coz anaona kama alifanyiwa ukatili so😊 basi huwa me nafurahi yeye anaona alionewa😅 ila yuko pouwa sana yani❤

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 11 หลายเดือนก่อน +3

    Akili kubwa Mungu akubariki Shena

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 11 หลายเดือนก่อน +5

    Me kuoa bila mahari naona kama bado sijaoa. Raha ya kuoa Utolewe upepo kidogo ili kujipima kama utamudu majukumu😂😂😂. Lakini Kama ulivyosema inatakiwa iwe reasonable sio kukomoana

  • @felisterjames5859
    @felisterjames5859 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hata Yesu aifanyiwa tohara

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shena big brain kabisa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nilikataa mahari mwenyewe, sikutaka kujisikia kama nauzwa.,nilitaka wazazi wangu wasaidike kila mara wanapohitaji msaada wetu. Na kwa upande wangu nilijihisi free.

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mweee Shena Mdogo wangu wazungu kweli wanamagovi,Mimi kijana wangu nilimpo mzaa nikwamwambia baba yake tumtahiri mtoto,alikataa kabisa basi nilipokwenda nyumbani sasa baba yangu alipomuona mjukuu wee aliniambia kesho huyu lazima atailiwe,nikamwambia baba sasa unanitafitia kesi na mzungu,basi kijana alitahiliwa Tanzania,na alikuwa bado Mdogo,basi tuliporudi Switzerland mbona karibu nipewe taraka ,mzungu alikasirika mno yaani,Leo hii kijana wangu mkubwa ananishukuru sana🙏🏾

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 11 หลายเดือนก่อน

      sio wazungu wote, ila nime ona sana wazungu wa ulaya wengi wao hawaja pewa tohara. ila wazungu wengi wa marekani wamefanyiwa tohara, japo wapo ambao hawaja fanyiwa hata weusi unakuta wapo ambao hawajafanyiwa.

    • @nafuwswedi2465
      @nafuwswedi2465 11 หลายเดือนก่อน

      @@sleeprelaxation8431 Yes wa Ulaya wengi tu👍🏾

  • @moana4987
    @moana4987 11 หลายเดือนก่อน +1

    Govinda Govinda Govinda I’m singing

  • @jumaiddy-jm5wo
    @jumaiddy-jm5wo 11 หลายเดือนก่อน +4

    Marekani wanajitahidi sana kwenye hili suala la tohara. Watoto huwa wanafanyiwa siku chache baada ya kuzaliwa hospitali. Kiasi kwamba watoto wengi wanafikiri wamezaliwa hivyo.

    • @Pattyneema
      @Pattyneema 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli wamarekani wanajitajitahid sana kwa asilimia kubwa tofauti na Europe

  • @annamussa185
    @annamussa185 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shena my mwanamke anakeketwa mwanaume ndo anafanyiwa tohara

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mume wangu andaa milion 10 zangu, stak kelele😂😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mmoja aliuliza kwani wanaume wa Kiafrika hawajui kujisafisha au ni maji hakuna ndiyo maana wanafanyiwa tohara?😂😂

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 11 หลายเดือนก่อน

    Mpaka serikali ya South iafrica metowa muongozo watu wawe wanafanyiwa thohara kwasababu inapunguza magonjwa ndani ya jamii

  • @ManyemaCollection
    @ManyemaCollection 11 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂weee Shena KO jamaaazetu bado Wana mikono ya Sweta duuuh hatar kwakweli dada km. Nimekutan na mtu mm huyo na mm sipend jins alivyo nawezaj mwambia Afanye tohar??

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน +5

      Wewe mkono wa sweta unakuumiza mahali ?

    • @amoskagika8884
      @amoskagika8884 11 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance daaah😂😂😂😂😂

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂​@@OfficialDatingAssistance

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hee sasa mimi niliamini tohora ilianzia kwenye Uislamu😅

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tohara Ujeremani ni haramu na tena ni kosa la jinai labla dokta ajirizishe ndio unaruhusiwa kufanya

  • @Pattyneema
    @Pattyneema 11 หลายเดือนก่อน

    Wamarekani wao wana tohara, nafikiri Europe ndo ambao hawana tohara

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni baadhi wenye tohara
      Sio wote kipenzi

    • @Pattyneema
      @Pattyneema 11 หลายเดือนก่อน +3

      @@OfficialDatingAssistance asilimia kubwa ya wamarekani wapo na tohara wengi kulinganisha na Europe asilimia chache dear