Ijumaa ya mwisho tarehe 29 December mwaka wa 2023 video ya mwisho ya mwaka 2023 ikienda kwa jina la FUNGA MWAKA.. kutoka kwa crew nzima ya team jotii....mimi mmejua kunivunja mbavu zangu😂😂😂😂😂😂 shabiki zenuu tunawapenda sanaaa endeleeni kutupa kazi nzuriii mwaka 2024 tunawaombea mvuke salama tuendelee kua pamoja wapenzi wetuu🙏🙏🙏🙏🙏
Kumekucha.. Funga Mwaka.. Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo Miguno! 🤣🤣🤣🤣❤🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
we ndo ulie baki mchekeshaji bora wa siku zote na mda wote GOAT
Funga Mwaka.. Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo Miguno! 🤣🤣🤣🤣❤🇰🇪
Joti Demu wetu kabaki ndani kwa Msela naomba uchukue washikaji ukamtoeeeee kwa kweli haiwezekan haiwezekan upigwe haraf dem umuache ndani kule
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅😅😅😅😅😅😅😅 joti we bwege mana nikikwambia unaweza we noma damu akuna Hanae kuweza bada ya king majuto ndo ww ❤❤❤❤❤❤
Hawa wasenge kweli😂😂😂 sasa badala wapigane wao kwa wao
Nishai ! TV tena? Mambo ni "MWENDO WA KUKU!" Umejisahau!!! 😁😁😁😂😂😂
yai la mbun nalipaslia wapi n kwere 🔥🔥💪
Ijumaa ya mwisho tarehe 29 December mwaka wa 2023 video ya mwisho ya mwaka 2023 ikienda kwa jina la FUNGA MWAKA.. kutoka kwa crew nzima ya team jotii....mimi mmejua kunivunja mbavu zangu😂😂😂😂😂😂 shabiki zenuu tunawapenda sanaaa endeleeni kutupa kazi nzuriii mwaka 2024 tunawaombea mvuke salama tuendelee kua pamoja wapenzi wetuu🙏🙏🙏🙏🙏
Nakurank top sanaa kwa comedy👌👌💪💪wewe ni mtu wa nguvuu sanaa🔥🔥🔥
😂😂😂😂 ila nyie 🙌🙌🙌🙌
Kweli hiyo funga mwaka
“Nishai” ni character bora sana kwangu 😂😂😂
Nyie mnaowah wa kwanza na kuomba like na kwenye maisha mngekua mnapambana hvyo hii nchi isingekua na vijana wa hovyo😂😂😂😂😂😂
Hhe
Kwakweli
Wallah 😅😅
We waache wazoee vya kuomba watakufa firwa siku ya siku,wananikeraga sana
Bora hata umewachana,,,
Nakbare mlewa , hujawaai feli 👊👊👊💯
Uyo jamaa anaefua anajua sana kuigiza yan ukimtazama anachokiongea utazani ni kweli
😘th-cam.com/video/G8Vrn3nS5wI/w-d-xo.htmlsi=E7qlFksQbul5oItz
Hahahaha 🤣🤣🤣😂🎉 hawa nyumbu wanajua aise respect kwen😅😅
Hahahah unatembea km tembo 😂😂😂😂😂😂😂
Hii funga mwaka kweli.
Nimependa kipigo Cha mabinti
Tunawapenda Sana mashabiki zetu pia tunawatakia heli ya mwaka mpya
Mnatisha Sana, ila Leo kuuza Ghetto la mshikaji 😅😅😅 balaa
Nakukubare sana kaka mlewa , ukiwa na nishai Huwa unyama sana kaka big up 👊👊👊
Nakukubali Sana mlewa usihame team Jotiii 😂👏🏼
Umeuza geto la Mwamba aisee 😂😂
Heri ya mwaka mpaya kwako pia ila kiboga ndio angefunga mwaka
🤣🤣🤣 Kweli funga mwaka. Baad ya kupigan wawo wanapig wanawke khaa.
Joti naomba 😅😅😅kiatu 2024 uache kuvaa nimechka Sana badaili😂😂
Kazi Nzur Sana Big Up Mr Joti With Your Team
😂😂😂😂unatembea Kama kibanda Cha simu
Hongera kaz nzuri kwel funga mwak💯
Nishai mtomba ngwile kitwango mikazo miguno ya mwisho 2023 🎉😂😂😂😂😂
Mwendo wa kuku. Hz nazo nahesabu
Mtomba ngile kama mtomba ngile 😂😂😂
Nawapenda sana mnajua kuigiza
Eti "babie wangu jamani uko wapi?!!" 😂😂😅😅😆😆😆
Baby wake anachezea kifinyo 😂😂😂
@@allymukhsin2962 hahahaha 😀😀😀 yaani nimecheka kinomaaaaa
kwel funga mwaka🤣🤣
Kumekucha 😂😂😂😂mwaka unaisha vibaya duuh 😂😂😂
Joto kali sana Dar
My best commedian
😂nakubar sana mwanagu joti
Mwenye deni hana geto mwenye geto hana dem😂😂😂😂
😂😂😂😂 funga mwaka hiyo👏👏👏
Hahahahaaa 😅 joti kiboko
dah, funga mwaka haswaa😂
Big up joti na crew yako mnajua Nini mashabiki wanataka na kwa wakati upi
Joti we tuzo zote ni zako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mr Joti this is too smart!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
hii kaka nishai umeamisha😂
NI YEYW 🎉❤😂
nakumbuka mau fundi alifanya hii comedy 😂😂❤
Saidy zito umeyatimbaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Kuku kuku style😂😂😂😂
😂😂😂!!! Hii kweli funga mwaka.
😂😂😂😂😂, wangepigana wanaume
This is best of the year😂😂😂😂
This is the best 😂
Nacheka kama mjinga kwa vituko vya Joti
Sema huyu msenge 🙌🏾🙌🏾✅
Hahaha nimecheka kifala
Joti Magician 😂😂😂
😂😂😂 Kama Azizi Ki
Naombeni like 100 jamni. Funga mwaka hii😅
Mwendo wa kuku Nishai 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahaha safi sana
Idear
😘th-cam.com/video/G8Vrn3nS5wI/w-d-xo.htmlsi=E7qlFksQbul5oItz
😅😅joti El magnifico,..🤣🤣🤣
akaaaa😂😂mijitu baada ya kupigana wao wanaume wanajifanya wajanja wanawapiga wanawake haaa
Si ndo apo sasa😂😂😂😂😂
😅😅😅😅 nmekeka joti chiz
Nmecheka.sana joti unarushwa2 😂😂😂 umepatikan
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti Jmni
Jot tena diagod❤❤
Jott nimecheka kwa sauti kubwa😂😂😂
doooh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nishai mtambongile ameyatimba
This is so funny, that's why you should never judge a book by it's cover
Nimeangalia wa 10😂😂😂
hahaha 😊😊😊😊😅😅😅😅I like this one ☝️ 😊😅
😘th-cam.com/video/G8Vrn3nS5wI/w-d-xo.htmlsi=E7qlFksQbul5oItz
😂😂😂 noma sana funga mwaka.
Dah kweli funga mwaka
Et fanya manuva mjombaa😂😂😂
Safi kaka
Oyaa nakuuwaa😅😅
Sasa si mpigane wenyewe jmn😂😂😂
kuomba like wakati hupati maokoto ni ushamba...😂😂😂
Washenzi Sana 😄😄 kwanini Msipigane Nyie
Ama kweli hii funga mwaka,,,,funga mwaka jot,,,,,funga mwaka kicheko
Yai la Mbuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana Huyu mkuu
😂😂😂😂daa
Kweli hii funga mwaka 😂😂😂😂
Kwan like zina Nini jmn usikute Dili mjini tusiachane bc
Mimi nampenda sana Zhu
Funga mwaka kweliii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 hii kwel funga mwaka jotiii ukifa hauozi aisee unavunja mbavu
Si mpigane nyiye😂😂😂😂 wanawake tena
C wapiganee wenyeweee😃😃😃😃😃😃😃
😂😅 kali sana
😂😂😂😂😂😂hiii funga limwaka kweli
😂😂😂😂😂😂 hii kweli funga mwaka
Hii ya leo umechemka kabisa
Mbavu zanguuu😂😂😂😂😂
Yai la mbuni😂😂😂😂😂
Ivi nyie waomba like mda wote mbona maisha yenu hayabadiriki mwaka CCA mpo vilevile
Nani mwengine kasikia mwendo wa kuku nishai hahahah😂😂😂😂 tutaelewa wana tu
Et mwendo WA kuku😂
Naombeni like 20k
Huyu amevaa yelo alinona haraka sana we! But akosawa tu bado mama lamama 😊
Namimi nimewahi naombeni Like Jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂