NILIJUA MTOTO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ย. 2023
  • Wenye magari jamani sio kila anaetaka kuvuka barabara ni mtoto mdogo.. Kuweni makini watu wapo na bebe zao...
  • ตลก

ความคิดเห็น • 462

  • @marcowawaghufa8197
    @marcowawaghufa8197 8 หลายเดือนก่อน +50

    najiweza kiuchumi, kiserikali na kichawi😂😂😂

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 8 หลายเดือนก่อน +33

    Wenye magari wengi sana wanazo dharau kwa watu wasiowafahamu

  • @musakaphu4581
    @musakaphu4581 8 หลายเดือนก่อน +19

    Najiweza saana kiuchumi,kiserekali na kiuchawi pia 😂😂

    • @halimamohamed5327
      @halimamohamed5327 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @BenardIsmail
      @BenardIsmail 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kakomaaa😂

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 8 หลายเดือนก่อน +43

    Joti ni mfupi kakutana na wafupi haris wanaukoo wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 8 หลายเดือนก่อน +10

    🤣🤣 Mr. Mtombagile Kitwango chukua zawadi zako🍇🍇🍍🌶

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 8 หลายเดือนก่อน +14

    From Japan and I love you YANGA bingwa 😃

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kesho tunawajaza mashine😅😅

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 8 หลายเดือนก่อน +6

    Nimeanza kucheka kablaa jotii jotii jotii❤❤❤

  • @paskomilesjohn5892
    @paskomilesjohn5892 8 หลายเดือนก่อน +2

    Daah anafanana na millad Ayo

  • @bboynickyy
    @bboynickyy 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 uyo mwamba amekomaaa 😂😂😂 mpaka makalio 😂😂😂

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 8 หลายเดือนก่อน +33

    Jotiii never disappoint Bro 😂😂😂😂

  • @adandida5727
    @adandida5727 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe we braza 😂😂 sijakuanngalia vizuri

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 8 หลายเดือนก่อน +3

    Naomba like zenu wa kwanza mimi

  • @dianerditto
    @dianerditto 8 หลายเดือนก่อน +13

    Hatimae joti kakutana na wafupi yeye ndio mrefu basi hapo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 8 หลายเดือนก่อน +5

    Yaan huyu jamaa ana bahati kuitwa mwanafunzi mmetishaaa fanya nao nyingi zitaendaaaaa saaana

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 8 หลายเดือนก่อน +4

    Daah asee noma sana Joti we ni mwehu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 7 หลายเดือนก่อน +3

    Najiweza kiuchumi kiserikali na kiuchawi ...Joti Fala sana

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mbona Hana chupa ya maziwa??😂😂❤❤❤love sanaa joti

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 8 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂 joti kakutana na kina sele sasa

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 8 หลายเดือนก่อน +10

    😂😂😂 Never disappoint jotiiii😂😂😂😂😅

  • @salvinhosn3916
    @salvinhosn3916 8 หลายเดือนก่อน +9

    ...kiuchumi, kiserikali na kiuchawi....he pulled out the Platinumz banter....😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 หลายเดือนก่อน +4

    Joti 🤣🤣 leo kakutan na rafik zake pamoj n Gari wote wamefanan

  • @evanssichalwe1716
    @evanssichalwe1716 8 หลายเดือนก่อน +2

    Sema mpiga picha kapata tabu sana akizumu hawapati inapidi awapige kwa mbali😅😅😅😅

  • @zainabthomas6960
    @zainabthomas6960 8 หลายเดือนก่อน +4

    Jot umezingua unapigwaje na watu wafupi😂😂

  • @Boaz22
    @Boaz22 8 หลายเดือนก่อน +22

    Wakwanza hapa,gonga like kama unamkubali joti 😂

    • @RuniHaruna
      @RuniHaruna 8 หลายเดือนก่อน

      Joti noma

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hahaha 😂😂 unyama mwingi joti

  • @user-md5cj8wh4x
    @user-md5cj8wh4x 8 หลายเดือนก่อน +3

    ❤ nakupenda San joti

  • @ozilxhaka2431
    @ozilxhaka2431 8 หลายเดือนก่อน +2

    Good Job mr Joti With Your Team

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 8 หลายเดือนก่อน +4

    Uwii huyu joti hivi anaitwa baba nan vile🤣🤣🤣🤣

  • @starjay3052
    @starjay3052 8 หลายเดือนก่อน +3

    anasoma kijijini mjini mbona kama kakomaa 😁😁🤣🤣

  • @AloyceMathayo
    @AloyceMathayo 8 หลายเดือนก่อน +5

    Joti on fire 🔥🔥🔥😂😂😂

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dah eti mbona kakomaa hivi anasoma la ngapi😊😅😂😂

  • @maquemkondela
    @maquemkondela 8 หลายเดือนก่อน +5

    Bom TRABALHO irmão😂😂😂

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 8 หลายเดือนก่อน +29

    Joti the real legend ❤

    • @user-gj1ct7bj5v
      @user-gj1ct7bj5v 5 หลายเดือนก่อน

      Uyu sio seleman kweli😂

  • @shanishani-qv3bc
    @shanishani-qv3bc 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona dar wamekuwa wengi jamani zamani tulikuwa tunawaona kwa harusi mabele wakicheza mziki🤣🤣🤣

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 8 หลายเดือนก่อน +6

    Joti the real legend❤❤❤

  • @salim4919
    @salim4919 8 หลายเดือนก่อน +5

    Furaha ya mtu mfupi ni kumuona mfupi kuliko Yeye 😂😂😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂nimekuelewa

  • @jamesndonde
    @jamesndonde 8 หลายเดือนก่อน

    Mrishoooooooo blazaa katisha sana nice acting

  • @babusharo
    @babusharo 7 หลายเดือนก่อน +2

    mambo vp😢😮😮

  • @wadhifatv8827
    @wadhifatv8827 8 หลายเดือนก่อน +13

    😂😂😂😂😂nikecheka asubuhi hii leo nitapata pesa naona mbavu zote zimefunguka

  • @user-im7nb4ld1i
    @user-im7nb4ld1i 8 หลายเดือนก่อน +3

    Woiii nampenda Sana huyu joti, hajawai kuniacha nisicheke jamani

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nishai kama harakati za Pimbi kitambo gazeti la Sani. Harakati hazifanikiwi siku zote 😂😂😂

  • @clodoaldusrutakangwa2702
    @clodoaldusrutakangwa2702 8 หลายเดือนก่อน +4

    Leo wa kwanza nipe like zangu🔥💪

  • @kitomarijames3507
    @kitomarijames3507 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi wa Kwanza ila Bado sijaangalia weka like nipate chai nitarudi baadae

  • @Mgala_jr
    @Mgala_jr 8 หลายเดือนก่อน +1

    Et najiweza kiuchumi, kiserikali na kiuchawi 😂😂😂

  • @mayalamapembe4916
    @mayalamapembe4916 8 หลายเดือนก่อน +8

    Nasubiri wale wanaocoment.. "Joti never disappoint" 😂

    • @user-zb2mj5nd5g
      @user-zb2mj5nd5g 8 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣nawewe mfukunyuku daaa!

    • @mathiasshayo6348
      @mathiasshayo6348 8 หลายเดือนก่อน +3

      Mi nasubiri wale wanaosema "siku yangu ndo imeisha hivyo sina stress"

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 8 หลายเดือนก่อน +192

    Mm wa mwisho maana kila mtu wa kwanza utadhan mnalipwa😂😂😂

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 8 หลายเดือนก่อน +10

      Yani huwa nakereka.😬😬

    • @Mummy452
      @Mummy452 8 หลายเดือนก่อน +2

      Waviona na ww dada utadhan wanlipwa million 😅😅😅😅😅

    • @thomascharles8535
      @thomascharles8535 8 หลายเดือนก่อน +1

      Umeitisxha

    • @danielbihuzu2365
      @danielbihuzu2365 8 หลายเดือนก่อน +1

      Basi wewe ulipwe 😂😂

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@danielbihuzu2365 😄😄😄

  • @user-vw5gy9mv6r
    @user-vw5gy9mv6r 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂anasoma kijijini au mjini mbon km kakomaa joti fala sanaaa

  • @Roby_Tz
    @Roby_Tz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahaha😂😂😂😂 kak nipe ujuzi

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 3 หลายเดือนก่อน

    Rahaaaaaaa joti unajiamin kiserikali, kiuchum a kiuchawi🔥🔥🔥

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi sitaki like mana kila mtu nipeni like zangu kama mme wapa bando

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 8 หลายเดือนก่อน +2

    M pia wa kwanza

  • @laurentwailes3557
    @laurentwailes3557 8 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaaah joti fala sana

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kiuchumi, kiserikali na ki uchawi... Ila joti.....😂😂😂😂😂😂

  • @seifmmaka5961
    @seifmmaka5961 8 หลายเดือนก่อน +5

    Joti 🔥🔥🔥

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dorris wajua kweli kumbananisha Nishai.😂😂

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 8 หลายเดือนก่อน +2

    Alijua mshikaji kumbe bloo 😂😂😂

  • @kanikisomanda578
    @kanikisomanda578 8 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅 mm nakukubali sana mwamba joti ww kiboko Chao, mm na chamq langu tuko pa1 naww

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye kiuchawi mi 😂😂😂

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 7 หลายเดือนก่อน +1

    Joti kaya timba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mejoomejoo-vl2vi
    @mejoomejoo-vl2vi 8 หลายเดือนก่อน +2

    Joti respect 😂😂

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 8 หลายเดือนก่อน +1

    Najiweza kiuchumi, kiserikali na kiuchawi😂😂😂

  • @rahimally3898
    @rahimally3898 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe familiaaaa

  • @IRENEMbando-qu1fn
    @IRENEMbando-qu1fn 8 หลายเดือนก่อน

    ❤😢😢 nakubar sana aeid

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 8 หลายเดือนก่อน +1

    Chuchumaa mtu anapiga magoti si dharau zingine kusimama tena notatizo😂😂😂😂😂😂

  • @kanikisomanda578
    @kanikisomanda578 8 หลายเดือนก่อน +1

    😅😅 Leo kasahau kuwa Kuna mitwango mitombangile Leo kaingia chama cha Wana 😅😅😅😅😅

  • @gama_liely
    @gama_liely 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂daah

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 8 หลายเดือนก่อน +2

    watanzania wanapenda usingzi weee

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahhah Nishai Leo kayakanyaga

  • @harryvice77
    @harryvice77 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahaha kumbe familia 😂😂😂😂

  • @vediantazvedastus6107
    @vediantazvedastus6107 4 หลายเดือนก่อน

    🤣kumbe familia...najiweza kiuchumi kiuchawi na kiserikal

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ahh kumbe familiaa😂😂

  • @user-fl7yd2st5b
    @user-fl7yd2st5b หลายเดือนก่อน

    Ila joti kwahy anajiona mrefu yeye😂😂😂😂

  • @user-rk9tu1il5r
    @user-rk9tu1il5r 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nan kasikia watagongwaa😂😂

  • @GidionKasenene-kc3yx
    @GidionKasenene-kc3yx 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wakwanza naomba like zangu

  • @user-pc2ow8rb8z
    @user-pc2ow8rb8z 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 asee Nishai bhana

  • @FRANKKALANDA
    @FRANKKALANDA 8 หลายเดือนก่อน +2

    Sijawahi mpo faster😂😂😂😂😂

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 8 หลายเดือนก่อน

    Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂🤣

  • @saimooyahya
    @saimooyahya 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubal jot

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 8 หลายเดือนก่อน +3

    kumbe Familia😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-fs7hl6vg2p
    @user-fs7hl6vg2p 8 หลายเดือนก่อน +5

    ❤😂🎉😢😮😅😊 umetishaass mwamba jotiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiuuuuuiiiiiii

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 8 หลายเดือนก่อน +17

    Mtoto😂😂
    Ila joti bhana,,
    Mm sigombanii namba moja wala wa mwisho😂😂
    Kikubwa nimeona🎉🎉

  • @habibhamza9766
    @habibhamza9766 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nahisi jina lilikua liwe “kumbe familia”😅

  • @nancembaga43
    @nancembaga43 8 หลายเดือนก่อน +6

    Raha ya joti hana dharau unaigiza na kila mtu na ndomana nyota yako haipoi❤

  • @edsonatupele9331
    @edsonatupele9331 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 Nishai kitwangoo

  • @MozesSimkonda
    @MozesSimkonda 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi

  • @ibrahimwali4457
    @ibrahimwali4457 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mtoto alie komaa anasomea almashauri 😂

  • @emmanuelmaiko8489
    @emmanuelmaiko8489 8 หลายเดือนก่อน

    Daaaaah ilaaa jotii noum😂😂😂

  • @nemesisumbe6840
    @nemesisumbe6840 8 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanawahi san na kabaridi haka hawalali😅😅😅😅

  • @kibombi
    @kibombi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nishai mtombangile kitwango mikazo miguno

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wallah nimeanz kucheka hata hii scene sjaimaliz😂😅
    Naach pending kwanz
    Ila nina ombi tu... hawa characters tungekua tunaletew majina yao mmoja mmoja...utambulisho wao utatufanya kujua wasanii wapya..mana wengin atuwajui

  • @DanielRukas
    @DanielRukas 8 หลายเดือนก่อน

    Leo mm wa 2023

  • @reginajustini5271
    @reginajustini5271 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂mhhh joti hatariiiii

  • @SalumJumanne-zk8ei
    @SalumJumanne-zk8ei 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaa mbona ananiangalia hvyo

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti nyonga baskeli 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-xl4zf8gi2i
    @user-xl4zf8gi2i 7 หลายเดือนก่อน

    Nakubal sana kaka jot

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 8 หลายเดือนก่อน

    joti na anduje squad mmetisha aise 😂😂😂😂😂mpaka mbavu zinauma aise

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 8 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂 eti huna wazi weeee naijua hio 😢😢😢😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 8 หลายเดือนก่อน +4

    My best comedian naomba like hap

  • @EmmanuelZengo-bj6rt
    @EmmanuelZengo-bj6rt 7 หลายเดือนก่อน

    Mpkaa asemeew😂😂😂

  • @shigojust3313
    @shigojust3313 8 หลายเดือนก่อน +2

    Leo wa kumi Like nyingi toka Mwanza