Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Lucas Mhaville ni maalum sana, kwa ki vyovyote vile utakakavyotaka wewe, ki maisha, ki muonekano, ki uelewa na jinsi anavyokua mpya kila siku kwenye ulimwengu wake, jinsi anavyo jipa matawi na kujigawa kisanaa. Jinsi anavyotoa character wapya kila mara kwaajili tu ya kuleta ladha mpya kwenye sanaa yake, hili linamfanya aendelee kuwa mchekeshaji pekee kwenye kizazi chetu ambaye huwezi kuona amechuja au hana jipya kwenye kukufurahisha wewe.
    Kabla sijaiandika hii, kipande kidogo cha video kilienda kwenye ukurasa wangu wa Instagram (@ecejay) kwaajili ya kuwafahamisha watu kwamba JOTI atakua ndo mgeni wetu wa usiku wa leo, na kwenye hiyo video nilimuuliza kuhusu kabila lake ambalo kwa mujibu wake ni kabila dogo tu kutoka huko Morogoro na yeye na Baba yake mdogo ambaye ni Polisi ndo watu waarufu zaidi, ila kwa wingi wa replies kutoka kwa watu wengi wa kabila hilo inaonyesha si kabila dogo kama yeye alivyodhani, ila hiyo ni tisa, kumi ni jinsi ambayo watu WANAMPENDA na kusikiliza KILA ANACHOSEMA, hiko ni kipawa tofauti kabisa, sio kila mtu anaweza kuwa na uwezo huo.
    Yeye ni mzaliwa wa Morogoro na alikuja Dar es Salaam baada ya mzazi wake mmoja kufariki, alichukuliwa na ndugu yake na kuja kulelewa hapa, amesoma hapa na sanaa yake pia ilianzia hapa alipokua shuleni. Nani alimsukuma? Na je alisoma mpaka daraja lipi? Mimi na yeye pia tunazungumzia umuhimu wa elimu na malezi bora. Maisha yake alipokua mdogo na mafunzo aliyoyapata growing up.
    Joti si wa leo, akiwa na miaka yake 38 anajielewa vizuri sana tu. Maongezi yetu pia yalitupeleka kwa uanzishwaji wa kundi la Original Comedy ambalo lilitufanya sote tuwapende sana na enzi hizo za EATV wao wanapokua hewani basi nchi nzima ilikua inasimama kwaajili ya kuangalia walichotuandalia. Yalikua mafanikio haswa! So nini kilitokea mpaka wakaomdoka EATV? Na wao kama kundi kuna lolote kwa sasa? Au kila mtu ndo solo? Na vipi kuhusu Vengu? Yule mwenzao (mwenzetu) ambaye alipata matatizo makubwa ya ki afya na mpaka naandika hii bado yuko kitandani? Shida yake hasa ni nini? Haina tiba?
    Humu pia tumeongelea mahusiano yake na Seki, ambaye alikua naye toka enzi za OC akiwa kama kiongozi na mtayarishaji. Mahusiano yake na Mpoki, Masanja ambaye sasa amejikita kwenye masuala ya ki kanisa, Wa Kuvanga na McRegan? Wako wapi? Kama kuna comeback ya kundi? Lini?
    Wakati nafanya hii pia nilitiwa elimu na Director wangu wa siku hiyo (Ms Lydia Igarabuza) kwamba, ukitaka kuongea na mchekeshaji, ili upate utakacho, basi usimpe nafasi ya yeye kukuchekesha mpaka ukasahau kilichomleta pale, namshkuru sana kwa hilo maana nadhani ki kawaida kama wana tungecheka zaidi kabla ya kuyasikia yote ambayo tumeongea humu.
    Respect nyingi ziende kwa Joti ambaye ameweza ku maintain status yake ya heshima ya juu kwenye kazi yake, na kama binadamu.
    Yangu matumaini utaokota mawili matatu hapa ambayo yatazidi kukutia mafuta ya kukufanya utake maendeleo zaidi na heshima kwenye jina lako na maisha yako.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 519

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว +36

    hii inatufundisha kwamba usione mtu kawa juu ukadhani ikitokea tuu,Fikiria Joti alianza long time kuigiza shuleni.Mungu akiamua hakuna mwanadamu anaweza kuzuia baraka zako.

  • @irenefaustine2579
    @irenefaustine2579 4 ปีที่แล้ว +35

    Joti ameongea uhalisia wa Wasanii wengi Nchini. Wana Majina Makubwa lakini,Maisha yao ni Mabovu Sana! Salama you're a Love❤️!

  • @zeyounhabibty6868
    @zeyounhabibty6868 4 ปีที่แล้ว +23

    40 yrs and still young! Masha Allah endelea kujitunza maa 🔥🔥🔥🔥

  • @redemptafesto8415
    @redemptafesto8415 4 ปีที่แล้ว +30

    Sis Salama,40 years looks so good on you hakii....I love you.

    • @antipasmgungusi1953
      @antipasmgungusi1953 2 ปีที่แล้ว

      Kama alivyosema ktk sherehe za ndugu ndo alikua densa, hata communion yangu ya kwanza alicheza show shekilango 1997.

  • @JérômeMkangya
    @JérômeMkangya 19 วันที่ผ่านมา +1

    Studieux Jérôme depuis RDC 🇨🇩✊👌

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla1814 4 ปีที่แล้ว +19

    Dahh...jana nafunguwa tv tu na shoo inakwishaaa nikaona dahh Nimekosa uhondo Thank you Salama Na

  • @mmn7480
    @mmn7480 4 ปีที่แล้ว +105

    wa kwanza jmni naomba like Ata kumi

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +23

    😂😂😂 Yani joti wewe comedy kabsaa mtu akkuangalia lzm acheke kwanza

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 4 ปีที่แล้ว +49

    Yaaan kama kuna mtu nlikuaga nataman kuona kwenye interview ni Joti wanguuuuuuu 😘😘😘,asante sana Salama kwa kufanikisha ndoto yangu🙏🙏🙏

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 4 ปีที่แล้ว +46

    Mimi joti ata akiongea serious bado ananichekesha maana nimejijengea kichwani kwamba ni mzinguaj tuu mda wote🤣

    • @ngasongwatv5595
      @ngasongwatv5595 4 ปีที่แล้ว

      Mwana wa pakaya awije mlogo awije

    • @vulfridakessy7148
      @vulfridakessy7148 4 ปีที่แล้ว +1

      Yaani hata mm simwelewagi nachekaga tuu

  • @mr.cofficially4220
    @mr.cofficially4220 2 ปีที่แล้ว

    Icho kitabu kinaitwa KILIO CHETU ambacho kamkubwa joti kapatia jina lake apo safi sana kamkubwa
    nakukubali miaka yote

  • @allykhamis9246
    @allykhamis9246 4 ปีที่แล้ว +7

    Dah aisee tunajifunza mengi kupitia kwako..asante anti salama.
    Allaah akubariki sana.

  • @iam_pacofx
    @iam_pacofx 4 ปีที่แล้ว +61

    Jamani hebu naombeni like 12 tuu zinanitosha😃

  • @frankjonas5941
    @frankjonas5941 4 ปีที่แล้ว +44

    Huyu jamaa kumpata kweny interview kazi sana

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 ปีที่แล้ว +13

    Mimi nilijua Joti atakuwa funny sana kwenye hii interview lakini yupo serious na funny kwa mbali vipi ww umeonaje

  • @tummkwawa1148
    @tummkwawa1148 4 ปีที่แล้ว +17

    Can’t believe you’re 40🤯.. you’re absolutely gorgeous Masha’Allah Salama!

  • @bonndatta7053
    @bonndatta7053 4 ปีที่แล้ว +20

    Dream and focus determine the destiny of a person

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 4 ปีที่แล้ว +8

    Mndamba halisi# Aisee Asante sana ndugu kwa kutubless Brother ....Mwana wa pakaya.

    • @selector728
      @selector728 4 ปีที่แล้ว

      Kutublessed ndo nn iø 😳😳😳🤕🤒🤒

    • @ottymaya7093
      @ottymaya7093 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂kutublessed

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 4 ปีที่แล้ว

      @@selector728 imejipanga kazi

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 4 ปีที่แล้ว

      @@ottymaya7093 ed kamejipanga kazi

  • @musahmichael3480
    @musahmichael3480 4 ปีที่แล้ว +2

    waliyo ichunguliya shule kama joti maisha yaosafi kaka mm like comments

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 4 ปีที่แล้ว +22

    Kabila letu ni dogo sana ila tumefanikiwa sana ktk kabila Leo,mafaikio gani hayooo,,baba yangu mdogo ni police kijijini kweli joti kiboko

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 ปีที่แล้ว

    Mungu ametuumba na Vipawa na Talanta....Joti anacho Kipawa na Talanta vinamfuata popote......Aendako

  • @irenesamwelilihawa8069
    @irenesamwelilihawa8069 4 ปีที่แล้ว +7

    Asante Dada Salama kwa kumleta Joti ! Be blessed all!

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid1628 4 ปีที่แล้ว +71

    Joti nikimuona tu naanza kucheka🤣🤣🤣

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 4 ปีที่แล้ว

    Mshukuru Mungu tu hukusoma. Ungesoma leo ungekuwa labda mwalimu na madeni kibao.

  • @prettycareen170
    @prettycareen170 4 ปีที่แล้ว +15

    Navompenda joti jamn mniacheeee😻😘😘😘😘😘😘

  • @ecostats51
    @ecostats51 2 ปีที่แล้ว +1

    Am your neighbor bro, from Mlimba. Japo sio Mndamba,ila kwa kiasi wandamba nawafahamu na nimeishi nao kwa kiasi kikubwa. Sifa zao; 1: Huwa ni watu wasiopenda kuendeshwa hata kama hawana kitu (kipato cha chini). 2: Ni watu wazungumzaji sana hususan wakikutana wao kwa wao. 3: Ni wagomvi kiasi fulani. 4: Chakula chao pendwa sana huwa ni Wali na Samaki(Kambare).

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +8

    Abarikiwe shangazi kwa hiyo neema ya kuona mbali na kumchukua Joti

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 4 ปีที่แล้ว +1

    I thank you Salama kwa kutuletea Joti.
    Mchekeshaji ninaemkubali zaidi.

  • @adamjuma9847
    @adamjuma9847 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwalm JJ
    Mwalm kiampa
    Mwlm namala
    Mwlm marijani
    Dah mzimun hapo

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 ปีที่แล้ว +15

    Undugu km huo haupo tena. Siku hizi ndugu hawapendi kabisa kukaa na ndugu zao

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 4 ปีที่แล้ว +11

    Huyo mwalimu anaitwa JJ ni moto kweli
    Lilikuwa lirefuuu jeusiii ana kinundu kwenye kichwaaa
    Anapiga bakora anavuta hapa na morogoro kabla haijatua matakoni
    Kitabu anazungumzia kinaitwa "KILIO CHETU"

    • @anordlaurent8751
      @anordlaurent8751 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 4 ปีที่แล้ว

      @@anordlaurent8751 Acha tu bro jamaa akikukuta nje muda wa mapumziko anakwambia "kumbatia mti" 😂

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂 hapa na Morogoro 😂😂😂😂😂😂

    • @ericernest2099
      @ericernest2099 4 ปีที่แล้ว

      Ahsante

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 ปีที่แล้ว +11

    Da Salama naomba nafasi Bana ya kushare story yangu na Watanzania maisha ya Gulf inaweza ku Inspire baathi ya wanaopitia magumu Huku nchi za Middle countries

    • @jacksonrichard4114
      @jacksonrichard4114 ปีที่แล้ว

      Inabidii umcheki dm yake uweze kuwasilisha ulicho nacho

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 2 ปีที่แล้ว

    Joti isay uko vizuri na umetupa motisha ya kupambana joti hakuna asie kukubali uko vizuri sanaa iko siku tutaonana

  • @mussambwilo2690
    @mussambwilo2690 4 ปีที่แล้ว +13

    🤣🤣🤣 kwani wee jamaa uwezi kuwa serious

  • @thecounter1122
    @thecounter1122 4 ปีที่แล้ว +5

    Hii enter view nimeisubr leo meipata mefurah sana joti uko vzr

  • @Kiragayana
    @Kiragayana 4 ปีที่แล้ว +6

    Natalia likes za watanzania kea mkenya hapab..show imeseti naikubali

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 ปีที่แล้ว +1

    Joti niliwah kufanya nae kazi kwenye kazi hacheki huyo mkali sana na yupo Serious sana

  • @yusuphnurdin3603
    @yusuphnurdin3603 4 ปีที่แล้ว +10

    My best interview tv session nkipenda coz kinnipa hamasa ya kuhustle zaidi

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 4 ปีที่แล้ว +7

    SALAMA NAKUPENDA SANAA YANI WEWE NI Crush wangu I wish😋

  • @gilberthelisha6230
    @gilberthelisha6230 4 ปีที่แล้ว +38

    kitabu cha kilio chetu... ukiachana na movie ya Titanic sterling Jack kufa basi na hicho Joti sterling alikufa

  • @hagobbeshsayyd3217
    @hagobbeshsayyd3217 4 ปีที่แล้ว

    Yaan vipindi vyote hiki ndio kipind no 1 tujifunzeeni kwa amabao hatuwezi kusoma congratulion SALAMA na team yake yote BLESSED snaa snaa

  • @cynthianicholas9110
    @cynthianicholas9110 4 ปีที่แล้ว +22

    So Lovely having Joti, yaani sijamaliza kuaangalia but nimeshaconclude its going to be an amaizing show❤️❤️❤️❤️

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 4 ปีที่แล้ว +3

    Joti nakukubali mnoo hata komedy zako👍👍👌👌👌

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 4 ปีที่แล้ว +9

    Leo salama utacheka sana🤣🤣🤣🤣🤣😂joti anachekesha😂😂😂😂

    • @hekimalufulani8160
      @hekimalufulani8160 4 ปีที่แล้ว

      Wandaba baba yake mdogo ni police🤣🤣🤣🤣

  • @dicksonntizirusha5408
    @dicksonntizirusha5408 4 ปีที่แล้ว +1

    Salama katengeneza Nywere Kidada zaidi, she look lovely

  • @joekabbz82kambo26
    @joekabbz82kambo26 2 ปีที่แล้ว

    These two are definitely the most eloquent bongo stars that I would love to meet; Salama and Nishai 🇰🇪 big up.

  • @emmanuelndulu677
    @emmanuelndulu677 3 ปีที่แล้ว

    Salama napenda Sana kipind chako jitahindi nakufanya pia na watu tofauti si wa sanii tu

  • @TheMastertz
    @TheMastertz 4 ปีที่แล้ว +3

    Truly Special! Nampenda sana Joti. ✌️

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela859 4 ปีที่แล้ว +1

    Salama na Joti itoshe kusema kipindi kizuri Hasa hiki na cha God luck

  • @filbetinyoni8105
    @filbetinyoni8105 4 ปีที่แล้ว +8

    nakukubali sana joti

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 3 ปีที่แล้ว

    Joti ungesoma ungekuwa boya tuu.Elimu Dunia ndio imekupeleka hapo.

  • @jacksonchiwalanga4817
    @jacksonchiwalanga4817 4 ปีที่แล้ว +25

    Tupambaneni jamani...maisha sio raisi..tusione watu wamefanikiwa

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaaa hkn kukata tamaa

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 4 ปีที่แล้ว +1

      Mdamba mwengine maarufu ni babake mdogo polisi😂😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana salama leo nimefurai sana kumleta joti. Interview mzuri sana nime enjoy sana na kipindi chako.big up joti✌🏼🇹🇿.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 4 ปีที่แล้ว +3

    Namkubali Sana Jot akiigiza Kama Babu.

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana mmetisha salama na joti nawakubali sana

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana Joti. Nimependa hofu yako kwa Mungu. Shikilia hapo hapo

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 4 ปีที่แล้ว +14

    Nimejikuta nacheka tuu baada ya kumuona joti kapiga glass chaaap ya sodaaaa na kushusha ikiwa nyeupe🤣🤣🤣🤣

  • @godfreymtemele1610
    @godfreymtemele1610 4 ปีที่แล้ว +3

    Wandamba ninao wajua ni Marten Lumbanga alikua katibu mkuu miula 3, butGodan Mapango, Mwonja Liseki, Chahali, Celine Kombani, Kibatala wakili, mbita, Dr Claude Mtemele Muhimbili, wapo wakina Mtega, Makaranga, Mrigi, Liangoo, Mkuni, Mgonga, sagamiko, Luselo, Malulika, kisweka, lyatuu,
    matanda, Liganga, Chalongite, Mndanga, Ligambasi, Mtemele, Mtemere, Likweme, Ng'ongolo, njaala, matemla, chidaula, liamwike, mpili, sokole, ngapemba, chigumbi, mbwagai, .mende, ngamesha, likali, mhuvile, kimbindu, ndaala, likwelile, mlimandola, likonoka, saimanga, mkatiela,

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 2 ปีที่แล้ว +1

    Seems like this country owe u a great debt sis Salama. U pave the matrix of all these new generation journalist's interview way of speaking

  • @anoldjose7793
    @anoldjose7793 4 ปีที่แล้ว +5

    Baba angu mdogo ni police😁😁😁

  • @ericernest2099
    @ericernest2099 4 ปีที่แล้ว +9

    Asante Shangaz yake Joti kutuletea Comedian mjini

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth7 4 ปีที่แล้ว +12

    Salama mama, Leo umenikosha

  • @__thereal_unclechibo_7953
    @__thereal_unclechibo_7953 4 ปีที่แล้ว +7

    The NETWORK you have is your net worth long live joti

  • @charleswillium4496
    @charleswillium4496 4 ปีที่แล้ว +10

    Nakuelewa sana joti,mndamba

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 4 ปีที่แล้ว +1

    Me niseme jambo hil nawakubali na ninawapend san #joti and #Salama 😘😘

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 4 ปีที่แล้ว +25

    Eti Baba angu mdogo Polisi!!!🤣🤣🤣🤣🙌

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani naomba mnikumbushe marudio ya hii kipindi

  • @eliaskashimba7884
    @eliaskashimba7884 4 ปีที่แล้ว +4

    Oh my God, icho kitabu ni kilio chetuu

  • @silverngimi
    @silverngimi 4 ปีที่แล้ว +15

    WANDAMBA GONGA LIKE

  • @itspatricklucas
    @itspatricklucas 4 ปีที่แล้ว +7

    Thats the GOAT outchea 🌹

  • @jeremiahthepreacher1092
    @jeremiahthepreacher1092 4 ปีที่แล้ว +2

    This is real talk ,inajenga Sana well done salama

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 3 ปีที่แล้ว

    Wakenya like zenu mpo kweli

  • @aliymwanafuno9848
    @aliymwanafuno9848 4 ปีที่แล้ว

    Nimekukbar joti mungu akubariki mungu anampenda mja mwenye kutoa shukran

  • @damsonkelvin1215
    @damsonkelvin1215 4 ปีที่แล้ว +10

    Daaaaah andunje ......asante salama kwa kuleta hii famba

  • @shukurumaulid8515
    @shukurumaulid8515 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa ukimwangalia tu Lazima ucheke hata Kama hakuchekeshi

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 ปีที่แล้ว

    Maskn Joti ametoka mbali sana,maisha ni kupambana hkn kukata tamaa

  • @pablodiego3658
    @pablodiego3658 4 ปีที่แล้ว

    Dah mwalimu JJ ni legend kafundisha watu wengii dah

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 2 ปีที่แล้ว

    Dada salama umetisha na mjomba joti mungu abariki kazi yko..

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 4 ปีที่แล้ว

    Salama mzuri jaman... Nampenda hata kama Dada kwangu

  • @nzambimanachantal5769
    @nzambimanachantal5769 ปีที่แล้ว

    😂❤we mama umenifulahisha kunionesha njoti wakati mwafaka yuko na sura ya kiume

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 4 ปีที่แล้ว +2

    Mulete na mzee Senga basi,, kipind kizur sn.

  • @yusuphathuman9144
    @yusuphathuman9144 4 ปีที่แล้ว

    Haya maisha yanabadilika sana
    Joti ni mpambanaji

  • @bonneytv9441
    @bonneytv9441 4 ปีที่แล้ว +7

    kwa mara y kwanza kumuona Jot yupo serious😄...anaetak dada kiboga aje kuhojiwa gonga like

  • @annamakenya5331
    @annamakenya5331 4 ปีที่แล้ว

    Jaman kama mnaweza mfanye mpango wa kuadvance original comedy we miss you guys😊

  • @VabraJerome-fy6nf
    @VabraJerome-fy6nf ปีที่แล้ว

    Kitabu cha kilio chetu icho joti 😅😅😅😅😅we umetisha kaka

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 4 ปีที่แล้ว +14

    joti nikimuona tu😂😂😂😂

  • @deotv503
    @deotv503 4 ปีที่แล้ว +18

    Hahaha nmelitafuta pengo LA joti mpk nmezoom naxjaliona

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 4 ปีที่แล้ว +25

    I was literally waiting for this thanks salama

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven 4 ปีที่แล้ว +1

      Hata mi nimeipenda hii

  • @bahrainstreetboxingbsb5170
    @bahrainstreetboxingbsb5170 4 ปีที่แล้ว +4

    Salama Watuboesha kukuona ww na joti kipindi kizima
    Angalau joto akitaja watu walete kwa picha kando ya video tuwaone au vitabu anavyotaka vilete sura yake tuone ili show inoge zaidi

  • @mduduemmanuel4585
    @mduduemmanuel4585 4 ปีที่แล้ว +4

    I like your voice dada

  • @CSMAPESA
    @CSMAPESA 4 ปีที่แล้ว +2

    Shemeji yangu kabisa

  • @gka9147
    @gka9147 4 ปีที่แล้ว +3

    Joti Asifwe sanda salauya Joti asifwe sanda Salauya ena Ena ena salauya... #KilioChetu

  • @nawawiqudus5286
    @nawawiqudus5286 4 ปีที่แล้ว

    aaaaah kubaabeki ile grass alivyoifany mungu mweny anajua

  • @mawiloofficial6225
    @mawiloofficial6225 4 ปีที่แล้ว +6

    Pengo hamna kumbe

  • @paschalnkuba6758
    @paschalnkuba6758 4 ปีที่แล้ว +8

    Joti 🤣🤣😁

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 4 ปีที่แล้ว +7

    kwan nani hapendwi na Mungu??sema mishe tu zinakua hajizaset

  • @machahilda5358
    @machahilda5358 4 ปีที่แล้ว +1

    Salama umependeza sana

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 ปีที่แล้ว +3

    Nice sana salama

  • @rahyanadam8328
    @rahyanadam8328 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali joti na salama

  • @sweetnana9915
    @sweetnana9915 4 ปีที่แล้ว +1

    Salama na diamond