SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 2.3K

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 2 หลายเดือนก่อน +51

    Wangapi tumependa mjomba mfupi alivomaliza ugali wote akanywa na maharage , 😂😂😂

  • @dominicomari7040
    @dominicomari7040 2 หลายเดือนก่อน +30

    N WA ngapi wamengojea hii series mbaka kuwa tumechoka kufutilia mahali tulikuwa tumeanjia ❤❤❤😂😂😂❤

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 หลายเดือนก่อน +1

      Like🎉🎉❤

  • @saudasada6379
    @saudasada6379 2 หลายเดือนก่อน +41

    Naomba likes zangu leo wa mwisho kazi nzuri sana clam naipenda sana snake boy kutoka 🇰🇪 kenya❤❤❤❤

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 หลายเดือนก่อน +24

    Movie nzuri sana master ❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊😊

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 2 หลายเดือนก่อน +25

    Siku nyingine tena tuna kila sababu ya kumushukulu mwenyezi munguuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @KapendFiston
    @KapendFiston 2 หลายเดือนก่อน +23

    Clam Vevo kwa kweli wewe pamoja na timu Yako muna juwa kazi nzuri sana ongereni

  • @NatureMw155
    @NatureMw155 2 หลายเดือนก่อน +27

    Clam tumemisi comedy zako umenifuilasha ulivyo sema nimzunguka nikatokea hapa😂😂😂😂😂😂

    • @andrewkasiga
      @andrewkasiga หลายเดือนก่อน

      Jamaa kila akitoloka ana rudi pale pale

  • @SalimaJaribu-tw9qf
    @SalimaJaribu-tw9qf 2 หลายเดือนก่อน +18

    Good clamkwaunavyovifanya munguakuzidishie palepalipo pungua naakuepushiena viinimacho vyawaja mwisho mi nimgeni kwaiyo naombeni leik hatamoja tafanzali watanzania

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 2 หลายเดือนก่อน

      Nipe like🎉🎉❤

    • @SalimaJaribu-tw9qf
      @SalimaJaribu-tw9qf 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤​@@Kib-jsanley

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 2 หลายเดือนก่อน +37

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo

  • @vee4296
    @vee4296 2 หลายเดือนก่อน +12

    Hivi nyie mnaoomba like kwan nyie ndo mmegiza .....asante clam kwa kaz nzuri❤

  • @FaridaHaidari-d3l
    @FaridaHaidari-d3l 2 หลายเดือนก่อน +22

    Kazi nzuri sana mungu aendelee kukubariki na kukufanya uwe juu zaid

  • @modex_0376
    @modex_0376 2 หลายเดือนก่อน +74

    Wa KWANZA Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa wa Snake Boy

  • @princejonasgeorge5836
    @princejonasgeorge5836 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mnachelewa Sana kutoa muendelezo basi jitahidini kipande kiwe kirefu DK hata 50

  • @SiviriSuisse-yz2sp
    @SiviriSuisse-yz2sp 2 หลายเดือนก่อน +68

    kz nzuri sana, wanao mkubali clam wekeni like apa tujuane

  • @tonydancer1111
    @tonydancer1111 2 หลายเดือนก่อน +10

    Mungu awabaliki awawote walie cheza move hii awape maisha marefu na yenye mafanikio amen

  • @DorcasKadama
    @DorcasKadama 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yeeeee nimewahi team strong kujeni nimewawakilisha vizuri leo❤❤❤❤❤kazi nzuri sana Vevo❤❤😊

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 2 หลายเดือนก่อน +19

    Oyaaa unategea snake boy ukiwa mm Niko apa Riyadh 😂🇸🇦🇰🇪 alafu mmesahau saaana big boss 😢😢bana mnaboo n mnatoa ham mkieka bihide scene bana nawapenda Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee ♥️♥️♥️♥️

    • @AkimanaHawa-w1s
      @AkimanaHawa-w1s 2 หลายเดือนก่อน

      Jirani Mambo nipo Riyadh pia🇸🇦

  • @azizahmohamed3495
    @azizahmohamed3495 2 หลายเดือนก่อน +13

    Ubaya ubwela kwa tanu jamani,,,n uyo jamaa ambae mkewe anapigwa dana dana ni mpuuzi tu kwanini tangu mala y kwanza kwa mgaya asimwambie kuwa yule ni mkewe n badala yake akamwambia kuwa n dadaake

    • @AloyceBeda-d4y
      @AloyceBeda-d4y 2 หลายเดือนก่อน

      Tanu nimuoga sana but hajiamin

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 2 หลายเดือนก่อน +23

    Hiko kiandunje kinakula ugali maharage sekunde tu 😂😂😂😂😂😂

    • @jamesmligo8878
      @jamesmligo8878 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @Bongo_football-kzi
    @Bongo_football-kzi 2 หลายเดือนก่อน +22

    Double tap🎉 uone maajab ya ujumbe wang snake boy kabsa

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads 2 หลายเดือนก่อน +14

    Jamani Huyu VEVO na team yake wamedhamiria kufanya makubwa kwenye hii tasnia TUMPE nguvu hatutajutia, jamaa wanajituma yaan Hadi kufikia hii episode stor haijaharibika na Bado wanaonesha Energy Ile ile.
    Big up Team VEVO..

    • @Zainabu-q7v
      @Zainabu-q7v 2 หลายเดือนก่อน +2

      Bora ww umetoa ushauri siyo hao wanaopambana na like❤

  • @mushi6879
    @mushi6879 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hii ndo shida ya kumiliki demu mzuri alf huna pesa mzee utapitia changamoto nyingi sn km una moyo mdogo mbona wanakuzika

  • @siamejerry9239
    @siamejerry9239 2 หลายเดือนก่อน +6

    I love the way clam is combining the actors

  • @MsomaliBeka
    @MsomaliBeka 2 หลายเดือนก่อน +117

    Tunao miss kumuona zinga goga like 😄 😆

    • @User7700
      @User7700 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani movie bila zinga hata ainogi dah😢

    • @MsomaliBeka
      @MsomaliBeka 2 หลายเดือนก่อน

      @@User7700 kabisa ...

    • @PatrickkazadiAcess
      @PatrickkazadiAcess 2 หลายเดือนก่อน

      Nani aliye mu wa

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 หลายเดือนก่อน +13

    Mnatufulaisha sana wakaka na madada fanyeni kazi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @clemensiadaniel8479
    @clemensiadaniel8479 2 หลายเดือนก่อน +18

    Toka lini ugali na maharage vikaisha mapema jaman hapa kitu kizito🤣🤣🤣

    • @BrunojnrMz
      @BrunojnrMz หลายเดือนก่อน

      Duh! Umeona?

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 2 หลายเดือนก่อน +13

    Nasema clam asipomla huy Dem hata kweny kuigiza najiua😢😅😅😂🎉

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 2 หลายเดือนก่อน

      😂 hatari

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 2 หลายเดือนก่อน +1

      Uy Dem mwenyeanajifany anamchukia lazimaliwe ikibid walwe wot😅

    • @mariethachitema
      @mariethachitema 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅​@@rosemarenga832

  • @PurieMakena
    @PurieMakena 2 หลายเดือนก่อน +22

    Watching from Kenya 🇰🇪 any Kenyan here gonga like tukisonga nawapenda Bure ❤❤❤

    • @favourfuraha
      @favourfuraha 2 หลายเดือนก่อน +1

      We love you too

    • @wambuikimani8441
      @wambuikimani8441 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kenya 🇰🇪

  • @PostaMoisesinyeri
    @PostaMoisesinyeri 2 หลายเดือนก่อน +49

    Mimi na tokeya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩na taka like❤5 tano tuh !

  • @jescawadelanga8657
    @jescawadelanga8657 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nikatokaa kushangaaa yaaan mbona mapenz mahaba hamnaa umuu kumbee yapooo😂😂😂😂

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 2 หลายเดือนก่อน +44

    Wa Mia tisa. Kama umekuwa hapa tangu ep 1 nipe like

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hii snake boy n moto Zaid y 🔥🔥🔥🔥sijui kwa nin huag mnachlewa kutuletea mpka tunaisahau ila hongereni kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 2 หลายเดือนก่อน +25

    Shisha ooh lala ola ola lala
    Shisha ooh lala ola ola lalaa
    Nan anapenda nyimbo

    • @nickluca1512
      @nickluca1512 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sema unapenda shishaa acha kujifanya unapenda nyimbo 😂😂😂

    • @fey-ge9pm
      @fey-ge9pm 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na Mimi naipenda sana😂😂

    • @MiriamKolagwa
      @MiriamKolagwa 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @ZainaIsihaka
      @ZainaIsihaka หลายเดือนก่อน +1

      ​mimi. appa. napenda. kuwa. msanii. kwelikweli. bye❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉😢😮😅😊

  • @ATHUMANSALIM-c3v
    @ATHUMANSALIM-c3v 2 หลายเดือนก่อน +8

    🎉,❤ kazi nzuri kutoka kenya

  • @MerryAlly-s8p
    @MerryAlly-s8p 2 หลายเดือนก่อน +5

    Zumba zumba nakuhisi jambo kijana wa hovyo sana😂😂😂n'a clam utagombanisha watoto wa shahidi😅ani moovie kila sik utam unazidi❤mnajua bhana🎉mauwa yako clam n'a. Team.yako kwaujumla🎉🎉🎉🎉from burundi❤

  • @ChedeBou
    @ChedeBou 2 หลายเดือนก่อน +10

    Jamani jamani leo mm wakwanza naomba lakes wapendwa

  • @mrambastephen5
    @mrambastephen5 2 หลายเดือนก่อน +22

    ❤❤❤ vevo kazi zako nazikubali kabisa salimia darector kakoso hongera

  • @titochakaya3357
    @titochakaya3357 2 หลายเดือนก่อน +12

    Nimekuwa wa Kwanza Leo big up wapy like yangu jamen

  • @EstasiusBahama
    @EstasiusBahama 2 หลายเดือนก่อน +7

    mnazingua sanaaa nyie muv mnacherewesha kam kitu gan

  • @mariethajoseph6538
    @mariethajoseph6538 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kutoka @TABORA nawapongez @clam na kundi lake lote🎉🎉🎉

  • @Heis_Chudo_boy
    @Heis_Chudo_boy 2 หลายเดือนก่อน +120

    Bila kusahau like za clam vevo zote ziwekwe hapa jamani sijawai kupata hata like 1k
    Kazi nzuri clam vevo tupo nyuma yako bro...🫶💪💪
    Tuzidi kusapot kazi ya kijana wetu 🥰

    • @zackmen-ol3yj
      @zackmen-ol3yj 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kwel

    • @CalivinNjau
      @CalivinNjau 2 หลายเดือนก่อน

      Kuku ww

    • @SalimaJaribu-tw9qf
      @SalimaJaribu-tw9qf 2 หลายเดือนก่อน

      Naombalike😂😂namimi🎉🎉 😂😂

    • @FedrickPaskal
      @FedrickPaskal 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤

  • @Joramkatana
    @Joramkatana 2 หลายเดือนก่อน +14

    Nasemaje...am very happy comrades.This is the best series ever on this planet... Congratulations to Ntanzi,Kakoso, Famau..and all the actors and actresses.
    •Zumba impregnanted Kim.
    •Tanu killed kapera's wife.
    •Kapera revenged back by killing Tanu's children.
    •Ntanzi loves Sanura.
    °
    .......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nicholausmissana2018
    @nicholausmissana2018 2 หลายเดือนก่อน +23

    Wakwanza leo naomben maua yangu

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Clam sehemu hii umenichekesha sana hadi mikono haitaki kutoka kwenye suluari mh unaweza sana bwana clam🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍💪💪💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 2 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂😂😂Kua makini inaonekana una maadui wengi sana 😂

  • @TheladyKhadija
    @TheladyKhadija 2 หลายเดือนก่อน +66

    Clam hi leo wakwanza like zangu nuchemshe nile sapa

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 2 หลายเดือนก่อน +62

    Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😮❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

    • @WillyA4
      @WillyA4 2 หลายเดือนก่อน

      good

  • @Tariqgandu
    @Tariqgandu 2 หลายเดือนก่อน +59

    Watu badala ya kuangalia muvi wanawaza kutafuta like ukichunguza comments nyingi sanah za snake boy watu wanaomba like 😂😂😂😂

    • @mwanashamwalim-dx6wb
      @mwanashamwalim-dx6wb 2 หลายเดือนก่อน

      Tuko kumoja 😅😅😅

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na sijui ht hizo like zinakua na mtaji au vp maana wamezid

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yn wanaboa asa

    • @goshenaman
      @goshenaman 2 หลายเดือนก่อน

      Ata ww umeandika ivyo ili upate like

    • @goshenaman
      @goshenaman 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@B.M-ix4rzmtaji ni bilion ndomana haujapata ata moja

  • @wakunigeriafather
    @wakunigeriafather 2 หลายเดือนก่อน +7

    naombeni hii snake isifike mwisho iendelee mole daima🎉

  • @DelachanceKiza
    @DelachanceKiza 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nimekuwa wamwisho ss kwasababu kilamutu yee wakwaza 😂😂😂😂 congratulations Brother 🎉🎉 VEVO 🎉

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 2 หลายเดือนก่อน +165

    Leo nimekuwa wa mia tatu na 33 😅😅😂😂 Em naomba nisaidie likes zangu please tuzidi kusupport snake 🐍 boyyy

    • @KuruthumuMfaume
      @KuruthumuMfaume 2 หลายเดือนก่อน +1

    • @susanachieng6966
      @susanachieng6966 2 หลายเดือนก่อน +7

      Naomba munipitie pia ndugu zangu 🙏 huwa nafwatilia kutoka nchini Kenya nikiwa mjini Mombasa ❤❤❤

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤

    • @jocktanmliga12
      @jocktanmliga12 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

  • @Amidaqueen-p9l
    @Amidaqueen-p9l 2 หลายเดือนก่อน +90

    Tunaho Isi aliye mbaka kim ni zumba gonga like apa 😂😂😂

    • @hp2623
      @hp2623 2 หลายเดือนก่อน

      Ta mimi nahisi hivyohivyo

    • @GodfreyMrema-ld7hk
      @GodfreyMrema-ld7hk 2 หลายเดือนก่อน

      Mambo

    • @Amidaqueen-p9l
      @Amidaqueen-p9l 2 หลายเดือนก่อน

      @@hp2623 ni yeye uyo 😂😂

    • @Amidaqueen-p9l
      @Amidaqueen-p9l 2 หลายเดือนก่อน

      @@GodfreyMrema-ld7hk Poa

    • @GodfreyMrema-ld7hk
      @GodfreyMrema-ld7hk 2 หลายเดือนก่อน

      @@Amidaqueen-p9l mzima wew

  • @Linus-kn7tj
    @Linus-kn7tj 2 หลายเดือนก่อน +20

    M wa mwisho nataka like 1 tu

  • @AllenMwalimu
    @AllenMwalimu 2 หลายเดือนก่อน +10

    Snake girl ipo vizuri mnazingua sana

  • @MohaChai
    @MohaChai 2 หลายเดือนก่อน +5

    Safii jamaa zangu tuendelee kusapot🔥🔥

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg 2 หลายเดือนก่อน +9

    Jamani Vevo mungu Amlipe maan sio kwa Mafunzo haya❤❤

  • @KaisiMwakyusa
    @KaisiMwakyusa 2 หลายเดือนก่อน +64

    Jaman kwa ivi vifo si wataisha wote gonga like apa from mbeya kyela

  • @beatricesamwel9133
    @beatricesamwel9133 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nimezunguka sana msituni nashangaa natokezea Tena hapa hapa😂😂😂

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 2 หลายเดือนก่อน +6

    We chizi nini 😂😂😂😂😂
    Nawasubiri finally mtakavyo haribu

  • @LysonMshan-kf7rg
    @LysonMshan-kf7rg 2 หลายเดือนก่อน +5

    kua makinii inaonekana unaa maadauii mengiii 👍👍👍👍

  • @HamisiSalimu-d1n
    @HamisiSalimu-d1n 2 หลายเดือนก่อน +8

    Awa machifu nimegundua wote Malaya 😂😂😂 ndo mana mipango Yao yafeli mizimu aitaki uchafu😅😅🎉🎉

    • @claudepascal2290
      @claudepascal2290 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂wote ni malaya 😂

  • @PASCALSAMWEL-r1h
    @PASCALSAMWEL-r1h 2 หลายเดือนก่อน +5

    Oya mdogo wangu kipenz upo vizuri sana💪💪

  • @Samwel486
    @Samwel486 2 หลายเดือนก่อน +60

    wakwanza gusa like zangu hapa nyingi sana dondosha

  • @ClaudeDagiri
    @ClaudeDagiri 2 หลายเดือนก่อน +13

    Tanu anaiweza siasa✍️

    • @RaymondMwasembe
      @RaymondMwasembe 2 หลายเดือนก่อน +1

      bonge mov xnek boy ama

  • @paullluhanyapaullluhanya2446
    @paullluhanyapaullluhanya2446 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mnachelewesha Sana mpaka tunasahau tulipoishia

  • @traviegrey3434
    @traviegrey3434 2 หลายเดือนก่อน +31

    Kama umegundua hua na like nisisahau kua episode hiyo nishaiona twende pamoja😂😂

  • @ChristopherKayombo-o5m
    @ChristopherKayombo-o5m 2 หลายเดือนก่อน +6

    Cram acha umalayaa😂😂😂cc jamii ya nyoka hatupendagii

  • @annaki318
    @annaki318 2 หลายเดือนก่อน +7

    Clam cris ni wa motomoto🎉🎉🎉🎉

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 2 หลายเดือนก่อน +10

    Daaah ebhn nimechelewa sn kwasabab ya bando nipo porini congo kifurushi kimeisha hapa nimeomba wifi kwa mwana nimeburudika aswaaa niombe angalau like kazaa wandugu 🤝🙏

    • @avelynbetty1680
      @avelynbetty1680 2 หลายเดือนก่อน +3

      Umejieleza😂

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 2 หลายเดือนก่อน

      @@avelynbetty1680 aloo acha tu ndugu yangu 😂

  • @NelsonMandela-c8e
    @NelsonMandela-c8e 2 หลายเดือนก่อน +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩Congo. liké zangu clam criçe 🎉🎉🎉

  • @kitulelimwembe2157
    @kitulelimwembe2157 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi huyoooo

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 2 หลายเดือนก่อน +5

    Snake boy 🐍 inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥 umetisha clam vevo 💪

  • @FredKe-xb4bo
    @FredKe-xb4bo 2 หลายเดือนก่อน +8

    Moto Sana wakwanza Leo kutoka Kenya

  • @NtakarutimanaHassan-q9l
    @NtakarutimanaHassan-q9l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Clam utapokuja south africa nipo hapa naomba unishirikishe kwenye movie yako ya big boss mimi naishi hapa south africa

  • @AbdulkareemMtinge
    @AbdulkareemMtinge 2 หลายเดือนก่อน +21

    Mm jamani Sina ata like 1 wapenzi wa snake boy

  • @jakeed2594
    @jakeed2594 2 หลายเดือนก่อน +7

    Number 1 like nyingi sana🔥🔥🔥

  • @Ammary-
    @Ammary- 2 หลายเดือนก่อน +257

    Unaye soma koment hii muda huu mola mwenyezimungu akubaliki ww na kizazi chako inshaallah

    • @NajmaRajabu-y8b
      @NajmaRajabu-y8b 2 หลายเดือนก่อน +5

      Amiin naww pia🤲

    • @Lulukitelehassan
      @Lulukitelehassan 2 หลายเดือนก่อน +4

      Amen atubark sote inshallah

    • @HassanAhmed-if1bb
      @HassanAhmed-if1bb 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin Nawe Pia

    • @AngelaEmmanuel-b1f
      @AngelaEmmanuel-b1f 2 หลายเดือนก่อน +2

      Amin Inshaallah Mungu akubariki na ww

    • @nururama
      @nururama 2 หลายเดือนก่อน +2

      In shaa Allah

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 2 หลายเดือนก่อน +20

    Leo ni mimi wa kwanza kama unampenda klamvevo gonga linki hapo namina toka congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿

  • @PierreHeriIlungu-ks1mr
    @PierreHeriIlungu-ks1mr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo clam unakawiza sana bana
    Yani watu tunasubiri
    Hadi tunasahau kama
    Kuna eps tunayo
    Fata kuweni
    Fasta bwana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @fredytv8177
    @fredytv8177 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kakoso fundi aise...naona mnacheza na akilo yetu tu. Movie imekuwa tamu mnoo🎉🎉🎉

  • @covertv8081
    @covertv8081 2 หลายเดือนก่อน +13

    Mimi nimependa hy ngumi

  • @MohamediMuome
    @MohamediMuome 2 หลายเดือนก่อน +37

    Wakwanz nipen like zangu

  • @fathymosscooking6755
    @fathymosscooking6755 2 หลายเดือนก่อน +21

    Wanawo penda kazi za Clam gonga like APA nakomenty Niko🇫🇷 wewe uko wapi

    • @AyoubHaji-g4t
      @AyoubHaji-g4t 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa nan kakuliza ulipo acha ushamba

    • @EpimackLohayMatle
      @EpimackLohayMatle 2 หลายเดือนก่อน

      Nip zanzibar

  • @jeremiahngao4846
    @jeremiahngao4846 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na muache kuwauwa watu wenye moyo.. bwayu mzee,, farasi,,, adamu sistake shasha

  • @chrisitineamutala2043
    @chrisitineamutala2043 2 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢 ntanzi ameanza kupendana oooh😂😂😂😂❤

  • @ramsboyasingemambagang3966
    @ramsboyasingemambagang3966 2 หลายเดือนก่อน +25

    Waoooh! Wakwanza toka uganda munipe laik zangu hapa alafu muni folllower please kwasapoti yenu

    • @susanachieng6966
      @susanachieng6966 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nipitie ndugu yangu pia nitarudisha mkono 🙏

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 2 หลายเดือนก่อน +26

    Nimekua wa mwanzo plz like zenu from Oman 🇴🇲

    • @AyoubHaji-g4t
      @AyoubHaji-g4t 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi pia nipo Oman tutafutane

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 2 หลายเดือนก่อน

      Wapi upo

    • @AyoubHaji-g4t
      @AyoubHaji-g4t 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@Rizikialiamechannel763 Souk haram

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 2 หลายเดือนก่อน

      @@AyoubHaji-g4t yaan kazin au

    • @AyoubHaji-g4t
      @AyoubHaji-g4t 2 หลายเดือนก่อน

      @@Rizikialiamechannel763 Ndio kazi natoka Unguja Zanzibar

  • @okwomacomedy
    @okwomacomedy 2 หลายเดือนก่อน +26

    Wakwanza kutoka KENYA nipe like jamani😂😂

    • @holykidke
      @holykidke 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤kenya tuko ndani

  • @YusratSalum
    @YusratSalum 2 หลายเดือนก่อน +2

    Em skizen jmn toen maon kuhus mnachoangalia me binafsi vita ya Tanu na Kapela daaah ni nzitoo mnoo wauwaji n wao wenyew lakin wao wao pia wamepewa kazi ya kuchunguza muuaji 😂😂😂 halafu kapela akarudisha msemo aloambiwa "Kuwa makini unaonekana una maadui wengi 😂😂😂" Big up sanaaa Clam ❤❤

  • @MaendaEca-j6s
    @MaendaEca-j6s 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri sana kweli watching from USA Illinois

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kiroho kinamuuma eti si nyoka 😂😂😂😂

  • @Patricelasway
    @Patricelasway 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kazi nzuri
    Ila zhumba ndo mbakaji
    Afu sijapenda odama kufariki embu mfufue clam 😅😅😅

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu 2 หลายเดือนก่อน +6

    Team Clamvevo wenye hatuchoki kufuatilia hii tamthlia mpo,hongera kwa wahusika wote🥰🥰🥰

  • @officialjeazy1458
    @officialjeazy1458 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mnavyolilia kila mtu ni wa kwanza mnanikumbusha wazee wa zamani ambao kila mzazi anasema yeye alikua wa kwanza shuleeee, sasa cjui wa mwisho nani ukiniacha mimi😅😅😅

  • @chrisitineamutala2043
    @chrisitineamutala2043 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo mimba n ya zumba😢😢😢

  • @Steve.3175
    @Steve.3175 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huku snake boy huku komasava mnatumalizia bando jmn😂😂😂🤣

  • @Aloysdotosindiho-mb1mb
    @Aloysdotosindiho-mb1mb 2 หลายเดือนก่อน +115

    Wakwanza kutoka Lusaka zambia naomba like zangu jamani

  • @Hassan-gq3ft
    @Hassan-gq3ft 2 หลายเดือนก่อน +68

    Mapema sana nipeni like zangu watu wa Burundi

    • @monicahkaruru2518
      @monicahkaruru2518 2 หลายเดือนก่อน

      Tuko bro nivile tuka impande zitandukanye

    • @mohdsaad2736
      @mohdsaad2736 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeona wakwanza wengi . Haya me wapili nipeni likes😂😂

  • @ronaldomorata8528
    @ronaldomorata8528 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kakoso ataliwa lini mzgo jamani au kwasababu yeye ndo director 😮