Oyaaa unategea snake boy ukiwa mm Niko apa Riyadh 😂🇸🇦🇰🇪 alafu mmesahau saaana big boss 😢😢bana mnaboo n mnatoa ham mkieka bihide scene bana nawapenda Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee ♥️♥️♥️♥️
Ubaya ubwela kwa tanu jamani,,,n uyo jamaa ambae mkewe anapigwa dana dana ni mpuuzi tu kwanini tangu mala y kwanza kwa mgaya asimwambie kuwa yule ni mkewe n badala yake akamwambia kuwa n dadaake
Jamani Huyu VEVO na team yake wamedhamiria kufanya makubwa kwenye hii tasnia TUMPE nguvu hatutajutia, jamaa wanajituma yaan Hadi kufikia hii episode stor haijaharibika na Bado wanaonesha Energy Ile ile. Big up Team VEVO..
Zumba zumba nakuhisi jambo kijana wa hovyo sana😂😂😂n'a clam utagombanisha watoto wa shahidi😅ani moovie kila sik utam unazidi❤mnajua bhana🎉mauwa yako clam n'a. Team.yako kwaujumla🎉🎉🎉🎉from burundi❤
Bila kusahau like za clam vevo zote ziwekwe hapa jamani sijawai kupata hata like 1k Kazi nzuri clam vevo tupo nyuma yako bro...🫶💪💪 Tuzidi kusapot kazi ya kijana wetu 🥰
Nasemaje...am very happy comrades.This is the best series ever on this planet... Congratulations to Ntanzi,Kakoso, Famau..and all the actors and actresses. •Zumba impregnanted Kim. •Tanu killed kapera's wife. •Kapera revenged back by killing Tanu's children. •Ntanzi loves Sanura. ° .......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah ebhn nimechelewa sn kwasabab ya bando nipo porini congo kifurushi kimeisha hapa nimeomba wifi kwa mwana nimeburudika aswaaa niombe angalau like kazaa wandugu 🤝🙏
Em skizen jmn toen maon kuhus mnachoangalia me binafsi vita ya Tanu na Kapela daaah ni nzitoo mnoo wauwaji n wao wenyew lakin wao wao pia wamepewa kazi ya kuchunguza muuaji 😂😂😂 halafu kapela akarudisha msemo aloambiwa "Kuwa makini unaonekana una maadui wengi 😂😂😂" Big up sanaaa Clam ❤❤
Mnavyolilia kila mtu ni wa kwanza mnanikumbusha wazee wa zamani ambao kila mzazi anasema yeye alikua wa kwanza shuleeee, sasa cjui wa mwisho nani ukiniacha mimi😅😅😅
Wangapi tumependa mjomba mfupi alivomaliza ugali wote akanywa na maharage , 😂😂😂
N WA ngapi wamengojea hii series mbaka kuwa tumechoka kufutilia mahali tulikuwa tumeanjia ❤❤❤😂😂😂❤
Like🎉🎉❤
Naomba likes zangu leo wa mwisho kazi nzuri sana clam naipenda sana snake boy kutoka 🇰🇪 kenya❤❤❤❤
Movie nzuri sana master ❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊😊
Siku nyingine tena tuna kila sababu ya kumushukulu mwenyezi munguuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina🙏
Clam Vevo kwa kweli wewe pamoja na timu Yako muna juwa kazi nzuri sana ongereni
Clam tumemisi comedy zako umenifuilasha ulivyo sema nimzunguka nikatokea hapa😂😂😂😂😂😂
Jamaa kila akitoloka ana rudi pale pale
Good clamkwaunavyovifanya munguakuzidishie palepalipo pungua naakuepushiena viinimacho vyawaja mwisho mi nimgeni kwaiyo naombeni leik hatamoja tafanzali watanzania
Nipe like🎉🎉❤
❤❤❤@@Kib-jsanley
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo
Hivi nyie mnaoomba like kwan nyie ndo mmegiza .....asante clam kwa kaz nzuri❤
Kazi nzuri sana mungu aendelee kukubariki na kukufanya uwe juu zaid
Wa KWANZA Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa wa Snake Boy
Mnachelewa Sana kutoa muendelezo basi jitahidini kipande kiwe kirefu DK hata 50
kz nzuri sana, wanao mkubali clam wekeni like apa tujuane
Mungu awabaliki awawote walie cheza move hii awape maisha marefu na yenye mafanikio amen
Yeeeee nimewahi team strong kujeni nimewawakilisha vizuri leo❤❤❤❤❤kazi nzuri sana Vevo❤❤😊
Oyaaa unategea snake boy ukiwa mm Niko apa Riyadh 😂🇸🇦🇰🇪 alafu mmesahau saaana big boss 😢😢bana mnaboo n mnatoa ham mkieka bihide scene bana nawapenda Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee ♥️♥️♥️♥️
Jirani Mambo nipo Riyadh pia🇸🇦
Ubaya ubwela kwa tanu jamani,,,n uyo jamaa ambae mkewe anapigwa dana dana ni mpuuzi tu kwanini tangu mala y kwanza kwa mgaya asimwambie kuwa yule ni mkewe n badala yake akamwambia kuwa n dadaake
Tanu nimuoga sana but hajiamin
Hiko kiandunje kinakula ugali maharage sekunde tu 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Double tap🎉 uone maajab ya ujumbe wang snake boy kabsa
Jamani Huyu VEVO na team yake wamedhamiria kufanya makubwa kwenye hii tasnia TUMPE nguvu hatutajutia, jamaa wanajituma yaan Hadi kufikia hii episode stor haijaharibika na Bado wanaonesha Energy Ile ile.
Big up Team VEVO..
Bora ww umetoa ushauri siyo hao wanaopambana na like❤
Hii ndo shida ya kumiliki demu mzuri alf huna pesa mzee utapitia changamoto nyingi sn km una moyo mdogo mbona wanakuzika
I love the way clam is combining the actors
Tunao miss kumuona zinga goga like 😄 😆
Yaani movie bila zinga hata ainogi dah😢
@@User7700 kabisa ...
Nani aliye mu wa
Mnatufulaisha sana wakaka na madada fanyeni kazi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Toka lini ugali na maharage vikaisha mapema jaman hapa kitu kizito🤣🤣🤣
Duh! Umeona?
Nasema clam asipomla huy Dem hata kweny kuigiza najiua😢😅😅😂🎉
😂 hatari
Uy Dem mwenyeanajifany anamchukia lazimaliwe ikibid walwe wot😅
😅😅😅@@rosemarenga832
Watching from Kenya 🇰🇪 any Kenyan here gonga like tukisonga nawapenda Bure ❤❤❤
We love you too
Kenya 🇰🇪
Mimi na tokeya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩na taka like❤5 tano tuh !
Nikatokaa kushangaaa yaaan mbona mapenz mahaba hamnaa umuu kumbee yapooo😂😂😂😂
Wa Mia tisa. Kama umekuwa hapa tangu ep 1 nipe like
Hii snake boy n moto Zaid y 🔥🔥🔥🔥sijui kwa nin huag mnachlewa kutuletea mpka tunaisahau ila hongereni kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shisha ooh lala ola ola lala
Shisha ooh lala ola ola lalaa
Nan anapenda nyimbo
Sema unapenda shishaa acha kujifanya unapenda nyimbo 😂😂😂
Na Mimi naipenda sana😂😂
😂😂😂😂😂
mimi. appa. napenda. kuwa. msanii. kwelikweli. bye❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉😢😮😅😊
🎉,❤ kazi nzuri kutoka kenya
Zumba zumba nakuhisi jambo kijana wa hovyo sana😂😂😂n'a clam utagombanisha watoto wa shahidi😅ani moovie kila sik utam unazidi❤mnajua bhana🎉mauwa yako clam n'a. Team.yako kwaujumla🎉🎉🎉🎉from burundi❤
Jamani jamani leo mm wakwanza naomba lakes wapendwa
❤❤❤ vevo kazi zako nazikubali kabisa salimia darector kakoso hongera
Nimekuwa wa Kwanza Leo big up wapy like yangu jamen
mnazingua sanaaa nyie muv mnacherewesha kam kitu gan
Kutoka @TABORA nawapongez @clam na kundi lake lote🎉🎉🎉
Bila kusahau like za clam vevo zote ziwekwe hapa jamani sijawai kupata hata like 1k
Kazi nzuri clam vevo tupo nyuma yako bro...🫶💪💪
Tuzidi kusapot kazi ya kijana wetu 🥰
Kweli kwel
Kuku ww
Naombalike😂😂namimi🎉🎉 😂😂
❤❤❤
Nasemaje...am very happy comrades.This is the best series ever on this planet... Congratulations to Ntanzi,Kakoso, Famau..and all the actors and actresses.
•Zumba impregnanted Kim.
•Tanu killed kapera's wife.
•Kapera revenged back by killing Tanu's children.
•Ntanzi loves Sanura.
°
.......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Noma sana
Sanura loves ntanx
Wakwanza leo naomben maua yangu
Clam sehemu hii umenichekesha sana hadi mikono haitaki kutoka kwenye suluari mh unaweza sana bwana clam🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍💪💪💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂😂Kua makini inaonekana una maadui wengi sana 😂
Clam hi leo wakwanza like zangu nuchemshe nile sapa
Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😮❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
good
Watu badala ya kuangalia muvi wanawaza kutafuta like ukichunguza comments nyingi sanah za snake boy watu wanaomba like 😂😂😂😂
Tuko kumoja 😅😅😅
Na sijui ht hizo like zinakua na mtaji au vp maana wamezid
Kabisa yn wanaboa asa
Ata ww umeandika ivyo ili upate like
@@B.M-ix4rzmtaji ni bilion ndomana haujapata ata moja
naombeni hii snake isifike mwisho iendelee mole daima🎉
Mimi nimekuwa wamwisho ss kwasababu kilamutu yee wakwaza 😂😂😂😂 congratulations Brother 🎉🎉 VEVO 🎉
Leo nimekuwa wa mia tatu na 33 😅😅😂😂 Em naomba nisaidie likes zangu please tuzidi kusupport snake 🐍 boyyy
❤
Naomba munipitie pia ndugu zangu 🙏 huwa nafwatilia kutoka nchini Kenya nikiwa mjini Mombasa ❤❤❤
❤❤❤
😅😅😅
Tunaho Isi aliye mbaka kim ni zumba gonga like apa 😂😂😂
Ta mimi nahisi hivyohivyo
Mambo
@@hp2623 ni yeye uyo 😂😂
@@GodfreyMrema-ld7hk Poa
@@Amidaqueen-p9l mzima wew
M wa mwisho nataka like 1 tu
Snake girl ipo vizuri mnazingua sana
Safii jamaa zangu tuendelee kusapot🔥🔥
Jamani Vevo mungu Amlipe maan sio kwa Mafunzo haya❤❤
Jaman kwa ivi vifo si wataisha wote gonga like apa from mbeya kyela
Nimezunguka sana msituni nashangaa natokezea Tena hapa hapa😂😂😂
😂😂
😂😂😂
We chizi nini 😂😂😂😂😂
Nawasubiri finally mtakavyo haribu
kua makinii inaonekana unaa maadauii mengiii 👍👍👍👍
Awa machifu nimegundua wote Malaya 😂😂😂 ndo mana mipango Yao yafeli mizimu aitaki uchafu😅😅🎉🎉
😂😂wote ni malaya 😂
Oya mdogo wangu kipenz upo vizuri sana💪💪
wakwanza gusa like zangu hapa nyingi sana dondosha
Tanu anaiweza siasa✍️
bonge mov xnek boy ama
Mnachelewesha Sana mpaka tunasahau tulipoishia
Kama umegundua hua na like nisisahau kua episode hiyo nishaiona twende pamoja😂😂
Cram acha umalayaa😂😂😂cc jamii ya nyoka hatupendagii
Clam cris ni wa motomoto🎉🎉🎉🎉
Daaah ebhn nimechelewa sn kwasabab ya bando nipo porini congo kifurushi kimeisha hapa nimeomba wifi kwa mwana nimeburudika aswaaa niombe angalau like kazaa wandugu 🤝🙏
Umejieleza😂
@@avelynbetty1680 aloo acha tu ndugu yangu 😂
🇨🇩🇨🇩🇨🇩Congo. liké zangu clam criçe 🎉🎉🎉
Mimi huyoooo
Snake boy 🐍 inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥 umetisha clam vevo 💪
Moto Sana wakwanza Leo kutoka Kenya
Clam utapokuja south africa nipo hapa naomba unishirikishe kwenye movie yako ya big boss mimi naishi hapa south africa
Mm jamani Sina ata like 1 wapenzi wa snake boy
Number 1 like nyingi sana🔥🔥🔥
Unaye soma koment hii muda huu mola mwenyezimungu akubaliki ww na kizazi chako inshaallah
Amiin naww pia🤲
Amen atubark sote inshallah
Amiin Nawe Pia
Amin Inshaallah Mungu akubariki na ww
In shaa Allah
Leo ni mimi wa kwanza kama unampenda klamvevo gonga linki hapo namina toka congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
Tatizo clam unakawiza sana bana
Yani watu tunasubiri
Hadi tunasahau kama
Kuna eps tunayo
Fata kuweni
Fasta bwana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kakoso fundi aise...naona mnacheza na akilo yetu tu. Movie imekuwa tamu mnoo🎉🎉🎉
Mimi nimependa hy ngumi
Wakwanz nipen like zangu
Wanawo penda kazi za Clam gonga like APA nakomenty Niko🇫🇷 wewe uko wapi
Sasa nan kakuliza ulipo acha ushamba
Nip zanzibar
Na muache kuwauwa watu wenye moyo.. bwayu mzee,, farasi,,, adamu sistake shasha
😢😢 ntanzi ameanza kupendana oooh😂😂😂😂❤
Waoooh! Wakwanza toka uganda munipe laik zangu hapa alafu muni folllower please kwasapoti yenu
Nipitie ndugu yangu pia nitarudisha mkono 🙏
Nimekua wa mwanzo plz like zenu from Oman 🇴🇲
Mimi pia nipo Oman tutafutane
Wapi upo
@@Rizikialiamechannel763 Souk haram
@@AyoubHaji-g4t yaan kazin au
@@Rizikialiamechannel763 Ndio kazi natoka Unguja Zanzibar
Wakwanza kutoka KENYA nipe like jamani😂😂
❤❤kenya tuko ndani
Em skizen jmn toen maon kuhus mnachoangalia me binafsi vita ya Tanu na Kapela daaah ni nzitoo mnoo wauwaji n wao wenyew lakin wao wao pia wamepewa kazi ya kuchunguza muuaji 😂😂😂 halafu kapela akarudisha msemo aloambiwa "Kuwa makini unaonekana una maadui wengi 😂😂😂" Big up sanaaa Clam ❤❤
Kazi nzuri sana kweli watching from USA Illinois
Kiroho kinamuuma eti si nyoka 😂😂😂😂
Kazi nzuri
Ila zhumba ndo mbakaji
Afu sijapenda odama kufariki embu mfufue clam 😅😅😅
Team Clamvevo wenye hatuchoki kufuatilia hii tamthlia mpo,hongera kwa wahusika wote🥰🥰🥰
Mnavyolilia kila mtu ni wa kwanza mnanikumbusha wazee wa zamani ambao kila mzazi anasema yeye alikua wa kwanza shuleeee, sasa cjui wa mwisho nani ukiniacha mimi😅😅😅
Hiyo mimba n ya zumba😢😢😢
Huku snake boy huku komasava mnatumalizia bando jmn😂😂😂🤣
Wakwanza kutoka Lusaka zambia naomba like zangu jamani
Mapema sana nipeni like zangu watu wa Burundi
Tuko bro nivile tuka impande zitandukanye
❤❤❤❤❤😊😊😊😊
Nimeona wakwanza wengi . Haya me wapili nipeni likes😂😂
Kakoso ataliwa lini mzgo jamani au kwasababu yeye ndo director 😮