😂Dah nakumbuka tulichelewa shule tukapanga hakuna kupigwa watu wanne bas kufikw school mwalim wa zam kwann mmechelewa nenda chini nikagoma akasema kaa pembeni wenzangu saa ngap wasikubali dah bas nikaambiwa twende ofini kwa waalimu nilipigwa na waalimu wote na kengele juu utovu wa nidham suspension ndo nilichofaid tu😂
Daaahhh Zito anarohombaya kinyama
Wote stoloway harafu unamwachia mwenzio jumba bovuu
Napale ilikuwa wote mnatoboaa😅😂😂😂
Wa kwanza kutokea Burundi
warundi 🔥🔥🔥🔥
😂😅 Aliecheka kama mim nip like 👍
Sema zito kafany roh mbay ya kufunga get 😂😂😂
"Mwanamke atakuja kutuua, Me angeniambia tu ujue me nimetumwa" Joti is second to none when it comes to dismantling my ribs
Joti I surrender 🙌🏾🙌🏾🙌🏾😹😹😹
You have made my day ASANTE 🤝🏾
Sema joti umeshindikana ngozi kama ya mdudu 😂😂😂😂
😂😂
sema uyo mzee namkubali sana joti yani uyo mzee anajua kinoma yani
Mzee talent kubwa
Mzee mbaya sana😂😂😂
Hiv huy ni mzee kumbe
Eti bomu mzee mpaka mabomu anayo😂😂😂😂
Mzee mbembe na zitto mmeuwa leo 😂😂😂
Nimechelewa😅😅
😂😂😂JOTI MBUNIFU SANA!COMEDIAN WENGINE WAIGE KAZI HUKU WAWE WABUNIFU.
Mi wa kwanzaaaa leo 🤗🤸
Leo nnekua wakwanzaaa😂😂😂😂
Nimekuja Kuchachuka Kidogo 😂🤣
Naam 💥💥💥
Ngozi kama ya mdudu ngroooo😁😁😁
Saidi umemuacha mwizi mwenzio daah😂😂😂😂
Ani naipenda hii nailudia kila ck😂😂
Zitto cyo pow kumfungia mwenzio get😀😀
Joti wew ninoma
Nimemiss ngozi😂😂ngozi Kama ya mdudu😂😂
😂😂😂😂huyu jamaa fala sana
😂😂😂Mnara umesimama
Leo Nimekuwa wa Mwisho hakuna kunipa LIKE👍
mie nimekupa kipenzi
Umekuwa wa mwsho unafkl.hii video unaangalia peke ako
Bunduki zinaua jamani..🤣💔💔
😅😅😅😂 Zito kamuuza mwenzake
Wameelewana fasta humo uvunguni. Ghafla wamekuwa marafiki😂😂😂😂😂😂😂
ZITO KAKUUZA ANATKA WE UFE AWE ANAFAIDI PEKEAKE😅😅😅
Hongera Joti KAZI nzur na jopo lako
Zito ulicho mfanyia mwenzio Mwenyezi Mungu amekuona. Wamubania mwenzio gate akamatwe
Jaman wa 64 mie nipen maua yangu
😂😂😂😂 jot et ngozi kama ya mdudu,watu wanasubilia vifaa sait,ummeyatimba leo😅
Ila hizi akili jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 sasa zito umemuuza mwenzio wakati plani ilikuwa ya wote msepe
Kuna watu huo hawaaminiki kabisaa lazima wakuchomeshe tuu haijalishi mmepanga kipi...
@@Fgldesigns 😂 kabisa ndugu
😂Dah nakumbuka tulichelewa shule tukapanga hakuna kupigwa watu wanne bas kufikw school mwalim wa zam kwann mmechelewa nenda chini nikagoma akasema kaa pembeni wenzangu saa ngap wasikubali dah bas nikaambiwa twende ofini kwa waalimu nilipigwa na waalimu wote na kengele juu utovu wa nidham suspension ndo nilichofaid tu😂
Endeleeni kuyatimba wafanya usafi😂😂
nakuliza wenani 😂😂
Leo kidogo nimewah 😅😅😅😂🤣 like zenu
Wa kwanza mmekuwa wengi mpewe mauwa yenu🎉
Sawa traole
Watu kama Hawa hawajawahi kuwa wa kwanza darasani hata siku moja ndio Hawa huku wanaoomba like kuwa ndio wakwanza
Nimemiss iyo ngozii hahaha
Zitto kazinguwaaaa hahahahahaha
Uyo mzee anajua sana joti yuko vizuri sn
Baada ya saa moja nimepata mcezo
😂😂😂😂😂kimeumana bado hamjasema 😅😅😅
,hahahahahha nimemiss hiyo ngozi hahaha
Never disappoint jotiiii😂🎉
❤❤❤❤❤😅😅😅😅
Duu! zito fala xana kakuuza😂😂
Lazima Kwanza Mzigo Utoke Ndo Nione🤣😂
Zito manage kabc😂😂😂😂
Ngozi kama ya mdudu 😁
Acha upumbvu mweny nyumba unakuja uvunguni😂😂
Zitto snitch kweli ndo nini sasa kumfungia mwenzio geti 😂😂😂
Hahhaaaa leo nimecheka
Alichokufanya zito kuna wana weng wanatufanyia uku mtaan
Sasa lenyewe linazubaa tu 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 zito sio mtu poa kabisaaaaaaa
Sijapenda huyo jamaa kumfungia mwenzake mlango 😏😏
Zidlto umemuuza Kitombangile 😂😂😂😂 ila mzee leo katoka powa sana kama Cowboy 😂😂😂
Nilikua nimenunu ila ukitizama jot comedy lazimq ucheke ukitaka kicheka Wala isipate tabu mtazame jot 😂😂😂😂
Mbembe kama BILLY BLANKS😂
Wa kwanza leo naombeni like jmn
Joti hatari sana wewe ni mfalme wa comedy 😂😂😂 hongera sana😂sanaa 🎉😅😅😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
nakubali san jot
Nishai hapo ulikwama wapi?mbona ulishafanya mchongo wa kutoka wote getini,🙏🙏❤❤👍👍
Anhhhh jamn jaman
Joti nomaa
Jasho la kwapa leo😂😂😂
,,,,,,,This guy's is so funny like this from,,🇮🇱
Ila joti jamani kipaji unacho na unajua halafu unajua tena 👏 👏 👏 👏
Nimecheka asubuhi asubuhi hahahaahahaahahaha
Joti haya mpinzani katika fani
Dah huwa sipendelei kukoment ila ya leo kaliiii😂😂😂😂
Yaani Toka Siku Ile🤣🤣
😂😂😂 big up
Daa lakini sija chelewa sana
Good work
Mzigo utoke ndo niende😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mbavu zangu
Katika huu mwezi hii ni Kali zaidi😂😂😂❤❤
Ee😂
Tusikifulu nomaa
Mbona mtu wa usafi
Waze Baba mumetisha💪💪
KUMEKUCHA😂😂😂🤙🤙🤙
Ngoja tuanze jamali uyo
hahaha ngozi kama ya mdudu
Kazi zuri san brother mwenyezi mungu akubariki san 🙏🙏🙏🙏
Daaa bora ata mngeendelea tu kusafishaa😅😅😅
Ngozi kama ya mdudu😂😂😂😂
Jamaa aliefunga geti ana roho mbaya sana 🤣🤣🤣
One of the best😂
Mungu akulinde joti na timu yako yote from Kigali
Wasalimie kigali
Mpaka nishai useme🤣😂🤣😂
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 🤣🤣🤣😃
razima niwamwage damu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio kwa bunduki hiyo.🤣🤣🙌
Joti we nomaa
mbwaaaaaaa jotiii hahahahahahaha jembe kwriiii
Mzito..kamponza..mwenzake😂😂
😂😂😂😂😂Jotii u kill me
Daah 3:10 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kmamaee nmecheka kw nguvuuu mpk nmejaza watu
Joti umetish san... 🔥🔥
Jamani hii si chuma ya ukweli ukweli mimi na wake za watu bc😢😢😢
Joti plz naomba uwe unatupa 2 episodes per week bcz we love so much kazi yako!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Zito kamurushia mwenziwe paka wa uso hahahhahha
❤❤❤❤❤ umetishaass mwamba jotiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiuuuuuiiiiiii
Sijawa wa mia leo naomba like ata mbili 😂😂😂😂 Ijumaa ya kutoa stress wallai
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
video aweke Joti like upewe wewe.
utaliwa....
@@officialkamdudu acha makasiriko
Joti kudaadeki dah ...damn you can fain laughing