Wewe jot anawasanii wake wakina sopa na kipande pia mama dame nawengine ukiona kafanya comedy yake namsanii tafauti jua wanatangaza biashara flani apo naona alikuwa anampa shish kampan kwenye tangazo laiyo coconut coz shsh amekuwa baloz waiyo kampun
@@ellenkamanzi3505 kaka Prince, uko sahihi ulichosema, minazungumzia kwa brand marketing perspective, joti afanye awe anafanya Cameo an watu walioko kwenye media hususa internet superstar, wasanii na ma social media influencers, in long run , JOTI MEDIA GROUP, will be the biggest media Tz hawajai ona..sababu kuu mooja , Joti mwenyew ni super creative na akiweza ku leverage hiyo chance..naamni atafika mbali sana
Hiyo mito umekosea kuweka picha zako umeacha kifua wazi Kuna wateja wanaojiheshim kwa mfano familia mke na mme na watoto wao waone kifua nje nje inakera sana kwa mwanamke
Wale ambao kwenye tangazo la pampass tunasogeza faster.... kuwahi story leo tugonge hapa
😃😃😃
Mimi kabisa wa kwanza
hamna pampas hapo kuna diapers za mtaani na giggles
hahahaha☝️
Tupo wengi✌
Omy Dimpoz kapendeza Mashallah...Mungu n mwema sanaaa 🙏🙏
Ndio
Joti tuletee kiboga 2memisi walio msi kiboga Kama mm twende sawa
Turetee ata reo
Yadada kiboga ruretee tumeimisiiii
Hahaha
😀😀😀SHISHI UNAJUIS YA MOTO NAONA INANYEWA KAMA UJI👏👏👏👏 HONGERA JOT
Kama huwa unapeleka mbele tangazo la JOTTI mwanzoni Gonga like 🙇🏽♂️🙇🏽♂️🙇🏽♂️
Mimi lishanichosha
Yaani
I'm the one
Angalieni tangazo joti alipike maana sisi kumlipa kwa uchekeshaji wake hatuwezi,, # Tuwashike wasanii mkono
Ommy dimpoz Kumbe kiboko wa Comedy Hatariii 🙏🙏
Shishi una juice ya moto
Shishi sasa Kwann
Joty ndio naiyona leo😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Team Joti kutoka Kenya 🇰🇪... Gonga like
@BIDNES BONGO [̲̅Y̲̅σ̲̅υ̲̅т̲̅υ̲̅b̲̅е] sides gani msa
Et shishi una juice ya moto 😂😂😂
Hapa shishi alikua sio kibonge sana
kama umemuona ommy dimpoz weka like
Hahaha mambo nimotooo naona
Safi sana mdogo wangu joti nakukumbuka toka shule ya msingi mburahat nilikuaa nakuzaba makofi kwa utundu wako
🤣🤣🤣🤣🤣
@@elizabethtarmo3711 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙆♀️
Aisee joti unajua kutuvutaa..Ila kama umefurah kukuon dimpos na shishi (👍)..😂😂😂😂😂
Dah full maraha kukesha raha jamani,,,wako wapi team popo💥💥
🙌🏽🔥🔥🔥muko juu joti na shishi 💯✔
😂😂😂😂😂 Poz kwa poz juice anavyoivuta kama inaunguza ulimi 😂😂😂😂😂
"Eti kwenye Kanga naweka ukuni" dah Joti Mbinguni utapaskia tuu
🤣🤣🤣🤣🤣 shishi baby na joti waoooow nimeipenda sana ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 wasema ndo maana anapigwaa aendee wp ( kwa mwakinyoo)
Joti chief....kipindi chako aanza kuweka cameo ya watu maarufu maarufu...this is a game changing strategy brother, hakuna atakayeweza 💪💪
@Omedia255 kaka unajua maana Ya Cameo?
Wewe jot anawasanii wake wakina sopa na kipande pia mama dame nawengine ukiona kafanya comedy yake namsanii tafauti jua wanatangaza biashara flani apo naona alikuwa anampa shish kampan kwenye tangazo laiyo coconut coz shsh amekuwa baloz waiyo kampun
@@ellenkamanzi3505 kaka Prince, uko sahihi ulichosema, minazungumzia kwa brand marketing perspective, joti afanye awe anafanya Cameo an watu walioko kwenye media hususa internet superstar, wasanii na ma social media influencers, in long run , JOTI MEDIA GROUP, will be the biggest media Tz hawajai ona..sababu kuu mooja , Joti mwenyew ni super creative na akiweza ku leverage hiyo chance..naamni atafika mbali sana
Nimecheka kifala 😄 😄😄 😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 joti we noma.
Mapema leo nikiwa wa pili weka like twende sawa
Ikusaideje
@@munamamirisho2466 Hayo maomba like ni mandezi kishenzi. Majitu ya FB hayo ushamba tu kama hizo Likes zinawapa hela!
@@munamamirisho2466 nimeipata lkn
@@lolanimals7206 jaribu kuomba na wewe uone utamu wake
@@munamamirisho2466 on. Be.
Eti mi mwanamke nampiga kwa kanga ila katikati ya kanga naweka ukuni 😂 😂
Daaaah huyu jamaa kwenye matangazo ni mbunifu sana aiseee
Joti mungu anakuona na shishi😂😁😄😄😄😄🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣
Shishi mwili uo upunguze bhaaaaaana
Jotii km unakubal anajua gonga like apa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hehe eti shishi changamka basi utaniaua😆😆😆😆😆juisi ya moto😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂kwani lazima aongee?
Heheeheheh..kweli hana upepo na wewe😂😂😂😂😂😂
Hehehehehe..eti shishi unataka kuniteka,kweli watakuroga wanaume😂😂😂😂shishi sweetie😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂shishi ndo maana unapigwaga wewe,nenda kwa mwakinyo😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆
😂😂😂😂joti ndio mana ana pingwa sio 🤣🤣🤣
Unapost asubuhi sana joti, uwe unasubir na wajumbe waamke
😃😃😝
😂😂😂😂😂Eti me nasemaga kuna wasanii wanaringaga
Shishi, una Juice ya Moto
Juice imenyweka kama ya Moto!!
Hiv ni mm peke yangu ambae huwa namuona Zuwena mzuri bila make up na akiwa na make up namuona wa kawaida
Sanaaaaa
Shishi unajuwice ya moto mana nimeiyona hapa
Masha Allah wow this is nice movie 😘😘😘😘❤❤❤❤🔥🔥🔥🙏🙏🇰🇪🙏
Me nasemaga wasanii wanaringaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😂
Hiyo mito umekosea kuweka picha zako umeacha kifua wazi Kuna wateja wanaojiheshim kwa mfano familia mke na mme na watoto wao waone kifua nje nje inakera sana kwa mwanamke
Uchebe yuko api..washaanza kuact kwa shishi
😂😂😂
Joti dishii sana eti Dunia nzima inajua wewe ni single😂
Jamn jotiii😍😍😍😍😍😍😂😂😂😂
😂😂 hili leo tangazo, 🙌
Eti wapiii 🤣🤣🤣
Mimi sitaki like 😬
Hhhaaa bc izo tunakupa utazipeleka wp😅😅😅
shishi ndo ulikoanza huko bongomovie
1:50😂😂😂😂😂😂 juice ya moto.
😂😂😂
Duuuuh ingekuwa kweli wakike yan umetisha saaaaaana
😂😂😂 kofia Kama kizoleo Cha taka
Imenyweka Kama ya Moto kumbe ya balidi waliona Kama mm
Joti mungu akupe myaka yote uweze kutupa vitu vizuri
Ww umejuaje kama atakupa yote😄😄🤪
Namimi one day ntaenda shishi food
Eti nenda kwa mwakinyo 😂😂😂🤣
Daah joti ni fire
Mnajua kutumia fursaa Vzrii saan 😂😂
Shishi unaendana sana na joti
Woooooooo nace
Mmetisha sanaa
Napiga kwa kanga na ndani ya kaka naweka ukuni😂😂
Uturi😂😂😂sio ukuni
@@yeasrmsafi7152 ukuni
hahahaha eti shishi huna juice ya moto hahahaha
Daah wale wanaomkubali Shishi na Joti tujuane kwa like jaman
😂😂😂😂😂kwenye kanga ndani anaweka ukuni 😂😂🙌
Sister Duu ulie ukataa Umama ntilie leo una mpa heshima ShiShi
Sahihi kaka Gucci
NDAN YA KANGA KUNA UKUNIIII
Anapga kwa khanga half ndan ya khanga anaweka ukuni !
Joti muhuni
Ana maanisha nn ukuni ndan
Juice ya moto...😁😁😁😁
😆😆😆😆juice ya moto
😂😂😂😂 Dunia nzma inajuwa shishi upo single na Mimi npo Single 🤣🤣🤣
Nimeipend 😋 hii
Eyooo nishai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Omy kala mikausho kibubu mimi sipigi tutawezana nipooo
Hahahahahaha shishi ndo maaan unapigangwa😀
hahahaa ndani ya khangaa anawekaa ukuni😂😂
Juice ya moto🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣
Unaliona tangazo la pampas unalisogeza mbele ili ukaone comedy. Unafika kule unakutana na tangazo la GIHESHIMU🤣 (GSM)
Shishi ana sura nzuriiii nyie
KAMA WEWE NI SHOMBE SHOMBE TUJUANEEEEEE🤣😂🤣😂
Sasa, Shilole, yale mazoezi kwa ajili kupunguza kitu gani? Pushapu kama unamkaza mtu bana! Hehehehee
Hahaha joti we fala sana
Shishi kwani una juice ya moto.... Kwa mara ya kwanza ndio naona kuna MTU hapa anakunywa nikajua kuna ya moto, Hahahahahaaa.....
Yawezekana ikawa ndo sababu ya kupigwa na uchebe
Napiga kwa kanga na ndani ya kanga naeka ukuni...😂😂😂
Shishi unanikataa moto💣💣🔥🤣🤣🤣
Eti unanikataa motoo😂😂
Shishi una juisi ya moto
2024 here ❤🎉😊
kama hupendi kuangalia matangazo ya joti na kuokoa muda anzia dakika ya 1:10.
Shishi unanikata moto lete haraka
Unatixha kk
Napiga kwa kanga kwa kanga ndo naeka ukuni😂😂
Joti anazingua sana. Eti kuna juice ya moto😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Eti shishi unajoice ya Moto 😀
We atariiiii jotiiiiiiiiiiiiiii
Dah Ila joti kashindikana daaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mamaeeeeeeee yan kwenye kanga tunaeka ukuni
Kama na we we umeona matangazo ya bidhaa matatu. Gonga like tujuane hapa.
😂😂😂😂muhudum anamwambia mteja anakula sana
Et shishi unajuis y moto ommy kanywa juice kama chai
Brother ommy achazalau
Utaniua kali sana 🤣🤣🤣🤣
Matangazo ya lazima!!! huo ni wezi. hata you tube inakupa sekunde tano ya kukataa matangazo.
Hm watu makin San asubuh tote tunaviziana kuwa wa Kwanza🤭 na unashindwa
Unanikata moto lmao🤣🤣🤣
He!!! Shishi una juice ya moto siku hiz??? Daaah naona kama umenyweka ya moto vile,
😂😂😂😂😂😂😂😂
Haki vile Joti wew hufai
😁😁😁😁😁😁😁