ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • ตลก

ความคิดเห็น • 85

  • @Novath_dugange.LivingGod
    @Novath_dugange.LivingGod 19 วันที่ผ่านมา +24

    Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 17 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!

  • @agogomgagagigigogo
    @agogomgagagigigogo 20 วันที่ผ่านมา +15

    😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 17 วันที่ผ่านมา +3

    Wenye mama zao jamaniiii,
    Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤

  • @vitalesjoelkabonda1393
    @vitalesjoelkabonda1393 19 วันที่ผ่านมา +5

    A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu

  • @godfrey40255
    @godfrey40255 19 วันที่ผ่านมา +5

    bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa

  • @partypatriez4871
    @partypatriez4871 21 วันที่ผ่านมา +6

    Eliudi best comedy 😂😂

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 22 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa

  • @semanajmv
    @semanajmv 21 วันที่ผ่านมา +11

    Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂

  • @BabrayKharfani
    @BabrayKharfani 17 วันที่ผ่านมา +1

    Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku 19 วันที่ผ่านมา +2

    Kiongozi
    SAM ELIUDI,
    Nakutafuta

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 21 วันที่ผ่านมา +3

    Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 13 วันที่ผ่านมา

    Amen. Eliud wew the best and humble

  • @user-fm9gc5wt2c
    @user-fm9gc5wt2c 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤

  • @user-iq7xj3gz5j
    @user-iq7xj3gz5j 22 วันที่ผ่านมา +26

    Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi

    • @user-wi2td1lv6e
      @user-wi2td1lv6e 20 วันที่ผ่านมา +1

      Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁

    • @Bwiresimuliz
      @Bwiresimuliz 6 วันที่ผ่านมา +1

      th-cam.com/video/an8tMWrZjvc/w-d-xo.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_

  • @MoreenMichaelmichael
    @MoreenMichaelmichael 22 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu

  • @Shadia544
    @Shadia544 22 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂

  • @medeljoram5325
    @medeljoram5325 22 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉

  • @erickdeogratias7718
    @erickdeogratias7718 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 17 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti iko chini sana

  • @nathanmmasi3890
    @nathanmmasi3890 16 วันที่ผ่านมา

    Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂

  • @Onesmoboyz
    @Onesmoboyz 21 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉hii nzur sana 🎉❤

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 17 วันที่ผ่านมา +1

    😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule,
    Mungu azidi kumuinua.

  • @DoraZacharia
    @DoraZacharia 14 วันที่ผ่านมา

    Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 22 วันที่ผ่านมา +2

    Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA

  • @Elshadaiconsolateur
    @Elshadaiconsolateur 22 วันที่ผ่านมา +1

    Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂

  • @jacqlinemaganiko5108
    @jacqlinemaganiko5108 19 วันที่ผ่านมา

    wow!🥰

  • @janethmarealle3594
    @janethmarealle3594 8 วันที่ผ่านมา

    Hadi raha

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 21 วันที่ผ่านมา +1

    Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa

  • @Iampanther_
    @Iampanther_ 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it

  • @getrudezawadi184
    @getrudezawadi184 21 วันที่ผ่านมา +1

    mnafanana sana

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no

  • @mineflower_01
    @mineflower_01 16 วันที่ผ่านมา

    Mnacheka mama wawenzenu😂😂

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro1615 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 22 วันที่ผ่านมา

    Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana

  • @theogeorge3773
    @theogeorge3773 14 วันที่ผ่านมา

    K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 20 วันที่ผ่านมา

    Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂

  • @richardsesa7494
    @richardsesa7494 18 วันที่ผ่านมา

    Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap

  • @craty_01
    @craty_01 19 วันที่ผ่านมา

    Daaah Rest In Peace mama

  • @more_hundreds_TV
    @more_hundreds_TV 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nipateee likeee namm

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 21 วันที่ผ่านมา

    👍👍👍

  • @jaxjaxon8838
    @jaxjaxon8838 19 วันที่ผ่านมา

    Eti analia😢

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo3569 21 วันที่ผ่านมา

    kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah

  • @JacksonRungwe
    @JacksonRungwe 22 วันที่ผ่านมา +7

    Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza

    • @RooneyYohana
      @RooneyYohana 22 วันที่ผ่านมา

      Yaan eliud hahahhaha tunakupenda

  • @JasinthaAlex
    @JasinthaAlex 16 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥

  • @EdwinMedson
    @EdwinMedson 16 วันที่ผ่านมา

    If you have mother do samething for her

  • @franccoz94
    @franccoz94 20 วันที่ผ่านมา

    Eliud😂

  • @TetekoOg
    @TetekoOg 21 วันที่ผ่านมา

    Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q 21 วันที่ผ่านมา

    eliuid mbavu zangu😂😂😂

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 21 วันที่ผ่านมา

    Naona kaona dawa ya mkopo

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 21 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅 ❤❤❤❤

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 21 วันที่ผ่านมา

    mi sijasikia nisiwe mnafiki

  • @UwimanaRabia-q3v
    @UwimanaRabia-q3v 21 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nunueni camera yenye HD mnaboaa

    • @benshark3212
      @benshark3212 21 วันที่ผ่านมา

      Hata wakodishe tu

    • @mineflower_01
      @mineflower_01 16 วันที่ผ่านมา

      Nunua simu nzuri bby😂😂

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 22 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅

  • @irenekarume1470
    @irenekarume1470 20 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂

  • @adamsanga-g8x
    @adamsanga-g8x 13 วันที่ผ่านมา

    Aa,

  • @masangalitz
    @masangalitz 18 วันที่ผ่านมา

    WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui

    • @Kher__
      @Kher__ 20 วันที่ผ่านมา

      Kwani nyie mnatumia simu gani?

    • @Kher__
      @Kher__ 20 วันที่ผ่านมา

      Labda simu zenu

    • @noahmadali7150
      @noahmadali7150 20 วันที่ผ่านมา

      Kher uko ulimwengu gan ndg

    • @mineflower_01
      @mineflower_01 16 วันที่ผ่านมา

      Simu Yako bby😂😂😂

  • @kahenatz3594
    @kahenatz3594 22 วันที่ผ่านมา +2

    Sadaka buku unatunza comedian 100,000

    • @geofreyexaut5862
      @geofreyexaut5862 22 วันที่ผ่านมา

      Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu

    • @geofreyexaut5862
      @geofreyexaut5862 22 วันที่ผ่านมา +1

      Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula

    • @JohnMadusa
      @JohnMadusa 22 วันที่ผ่านมา

      Hahahhahahahah ukwel mtupu

    • @more_hundreds_TV
      @more_hundreds_TV 22 วันที่ผ่านมา

      Ww unatoa tsh ngap

    • @anuaryyusuph9705
      @anuaryyusuph9705 21 วันที่ผ่านมา +2

      hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa

  • @FazohMedia
    @FazohMedia 22 วันที่ผ่านมา

    Sauti ipo chini sana

  • @luluray2115
    @luluray2115 22 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂

  • @kesphaanyitike7751
    @kesphaanyitike7751 22 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂