Kiukweli Sheikh Nurdin Kishki kakosea,,, ila kwakweli Hujatumia hekima ya hali ya juu kweny kumkosoa,, Lau kama ungemsogelea ukamkosoa akakataa ndio ungetumia njia kama hii,, Allah atustiri sote na atuongoze
Mashekhe zetu tunawapenda sana,ila tafadhalini kama kuna mmoja wenu anakosea ni bora kuwekana shura kuliko hii njia mnayotumia kwa sasa imekuwa hakuna tofauti sasa kati ya mashekhe na watu wengine,allah awaongoze
MASHEKH.. TUMIA MUDA MWINGI KUJIKAGUA WEWE MWENYEWE SIO KUKOSOA WENZAKO TUUU!! KWANI SIKU YA HISABU UTAULIZWA MAMBO YAKO WEWE SIYO FULANI ALINYA NINI. MNATUDUMAZA... HATUMJUI MUNGU WETU IPASAVYO
Yani hapa shekh umetaka kushusha tu heshma ya sheikh kishiki .mngekua mnatumia muda kuelimisha jamii na co kushushiana heshima .yani hili ulilo lisema ni jambo ambalo halina maana sasa ndonini!!!
Hiki kikundi kama jamat, tabligh tuu kwani amsomi maneno ya utheimin kuhusu usalafi wa kweli jamaa wamekuja na usalafi mpya arafu waita watu mahizbi kumbe kwa fatwa za utheimin wao ndo hizzbi
Nyinyi ni wapuuzi sana, na mna mambo ya kike, usalafi gani huo kukata vipande mawaidha ya msheikh? Hii si khiyana? Na huko si kufwatilia Aibu za Waisalam!! Alafu huyu dilele wenu mbona hakuwahi kumtukana mohamed mafuta kwa kusema kwake MANENO YA SHEIKH RABII NI KAMA WAHYI???
Maalimu,wewe unatafuta umaarufu tu kupitia mgongo wa mtu lkn hutoupata kwa njia hyo fanya daawa tumikia Qur an Allah atakunyanyua lkn kwa njia hyo utakua chini daima Sheikh Othman maalim ni msomi anaejua nin anasema nin anatenda nasi tunampenda sana kwa ajili ya Allah na tunamuombea kher siku zote. Kapewa na Allah nawe muombe atakupa sio kujibana migongoni kwa walio pewa .
Kiukweli Sheikh Nurdin Kishki kakosea,,, ila kwakweli Hujatumia hekima ya hali ya juu kweny kumkosoa,, Lau kama ungemsogelea ukamkosoa akakataa ndio ungetumia njia kama hii,, Allah atustiri sote na atuongoze
Mashekhe zetu tunawapenda sana,ila tafadhalini kama kuna mmoja wenu anakosea ni bora kuwekana shura kuliko hii njia mnayotumia kwa sasa imekuwa hakuna tofauti sasa kati ya mashekhe na watu wengine,allah awaongoze
Allah atuongoe kwakweli Kuna mashekh kazi Yao kukosoa wenzie tu kila siku
Barakallahu fika nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akuhifadhi
Akhy abdallah humeidi
😂😂😂😂 Maskini kishki
Cku zote mtu akisema hakki lzm wapingaji watakuwepo. pasua kaka yangu Allah yupo pamoja na ww ndio kishki haeleweki
Kishk hata Mimi simkubali na wewe huko ndiyo ufikishaji kwanini usifuate inbox
Duh hawa mahizby bwana wanajigonga sanaa... na hili wanalo watu wote wabaatil.
Mtume kasema hata kama mtu kafanya khatwa kweli lakini kumfikishia hasharani ni kumdhalilisha
Mtume Muhammad s.w.a alikuwa dhehebu gani
Madhehebu kwani kipindi cha mtume kulikuwa na madhehebu kulikuwa na uislamu tena walikuwa na umoja
Yani we unakosoaga wenzako na hatujawahi kukuona
MASHEKH.. TUMIA MUDA MWINGI KUJIKAGUA WEWE MWENYEWE SIO KUKOSOA WENZAKO TUUU!! KWANI SIKU YA HISABU UTAULIZWA MAMBO YAKO WEWE SIYO FULANI ALINYA NINI. MNATUDUMAZA... HATUMJUI MUNGU WETU IPASAVYO
Fanya yako bwana weeee kwani mtume Muhammad S.A.W alikuwa shehebu gani bwana weee
Du, mashekh nishida
Mbona waisilamu tuko hivi hatuwekani kitako kujadili mambo yetu kwa pamoja
Mbona unabana pua, we sheikh shogaaaa. Au ndo mamb ya Tangaaa
Yani hapa shekh umetaka kushusha tu heshma ya sheikh kishiki .mngekua mnatumia muda kuelimisha jamii na co kushushiana heshima .yani hili ulilo lisema ni jambo ambalo halina maana sasa ndonini!!!
Duh
Hiki kikundi kama jamat, tabligh tuu kwani amsomi maneno ya utheimin kuhusu usalafi wa kweli jamaa wamekuja na usalafi mpya arafu waita watu mahizbi kumbe kwa fatwa za utheimin wao ndo hizzbi
Arafu ndo nin we ,unasem uthamin km mdg wk hun adabu
Mtume alikuwa madhehebu gani?
Hata mimi nahitaji kujua mtume alikua dhehebu gani
Utopolo. Tu Umekosa kazi Ukaona utafute Views
Kweli kama kishki utamfutilia Kwa makin utagundua hayuko sawa anajigonga gonga
Na si umfuate na ukamwambie mbona wamkashifu kwa TH-cam hiyo daawa yako sio ya swa
ukiwa na elim ya Allah fanya kazi ya Allah usipende kuchunguza watu ulisoma kupeleleza watu washekhe vipi
Dhehebu la mafuta ni wahabiya.
La barahiyani tapeli hizb jahil murakab
Huna jipya humeid kazi kuraddi tu
Kama wewe unadhehebu bc dhehebu ni alokuwa nalo mtume s.a.w
Masalafy tushawajua hawatusumbui mayahudi tu hawa
Madhehema ni vyama vya sheitani.
Uislam hakuna madhehebu katikadini swadakta shekhe kishik
Loooh pole 😂😂nakishk wako
@@IssaSimbilla-hw9ev ww nipehadithi au aya mtumeanasema tuwenamadhehebu tusidanganyane
Sasa mbona huyo shekhe wako kishki hana msimamo
Mara yeye Salafy mara hana dhehebu. Dalili ya unafiq
@@Mapyatvmtume alifuata quran. Matendo yake ni sunnah kwetu. Salafy (ansaar) hufuata Quran na sunnah.
Sasa waulize hao wengine wanamfuata nani
Nyinyi ni wapuuzi sana, na mna mambo ya kike, usalafi gani huo kukata vipande mawaidha ya msheikh? Hii si khiyana? Na huko si kufwatilia Aibu za Waisalam!!
Alafu huyu dilele wenu mbona hakuwahi kumtukana mohamed mafuta kwa kusema kwake MANENO YA SHEIKH RABII NI KAMA WAHYI???
Hujaelewa maskin
@@aliyabasi2058 wewe tajiri umeelewaje?
Maalimu,wewe unatafuta umaarufu tu kupitia mgongo wa mtu lkn hutoupata kwa njia hyo fanya daawa tumikia Qur an Allah atakunyanyua lkn kwa njia hyo utakua chini daima Sheikh Othman maalim ni msomi anaejua nin anasema nin anatenda nasi tunampenda sana kwa ajili ya Allah na tunamuombea kher siku zote. Kapewa na Allah nawe muombe atakupa sio kujibana migongoni kwa walio pewa .
Hujaelewa
Chuki na hasad ndio zilizo kutawala
We auna KAZI nyingine ya kufanya mjinga wewe ata auna akili kiski sio mwenzako
Kishki yuko sahihi mana yuko na elimu kuliko wewe salafi usotaka kusoma