haki inang'aasiku zote kwa dalili bali batwil ukiitiloa nia kuwa utaendelea kubaki nayo shetan atakupendezesheeni mpaone pazuri katika batil Allah atuongoze tusifuate matamanio ya nafsi tukapotea
Msomeshe uyo shekhe yani %kubwa ya awa makhurafi hawajiekewi .kama uyu Yusuf diwani hajulikani hata aliposomea,kasoma vichochoroni na ao nduguzake, ndomana waborongatuu,nauongo mwingi
Msomeshe huyo ajili amefuatilia sheikh Abdurahman wa burundi tena huyu sheikh amesoma vyuo vikuu misri na saidia lakini tunamuona diwani haja soma chuo kikuu chochote kukosa adabu tu
Uyo mnganga wa kienyeji mpinga vipande Yusuf diwani msomeshe Uyo mushikina mpinga vipande Yusuf diwani Ni mkiya wa mashia Yusuf diwani kukata tauhidi uluhiya na rububiya na asmau wasifati ni fika za Kishia kukata hizo tauhidi tabu Mashia ndiyo waliyo kataa vigawanyo vya tauhidi
Mashehe wote wanaotetea maulidi kuyafanya kuwa ni dini tunawaomba watutafsirie vitabu ya maulidi ili watu wajuwe kilichomo ndani mbona hawa wanaopinga wantamba sana na wanaonesha ubovu uliomo ktk vitabu hivo
Hhhh ww upo kwenye serra wkt hp inazungumzwa ukatoliki w kitauhid mlio nao nyinyi mawahabi mkajinasibu n tauhid 3 ambazo hazina mapokezi yoyote kutoka kw mtume zaid y uzushi kumpwekesha Mungu n km kiumbe
Je Maulid yanamapokezi Kwa Mtume mbona haukubali ukiambiwa ni uzush au ambao sio sahahih ni bidaa ni hili tu Kwa kua haulitaki? Msikilize SHEKHE tu utelewa
Yooooote sijaona sehemu kafundisha mtume swahaba tabii na tabii tabiina bali ni jitihada tu za wanazuoni hujamwelewa na huto mwelewa nilitegemea upite kwa nahw swaraf kama yeye tupate elimu inshaalla
Itikadi ya Mawahabi Sheikh Alislaami Ibnu Taimia Alharaani: كما في الحديث الصحيح المرفوع عن قتادة عن عكرمة عن ابن عباس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: رأيت ربي في صورة شاب أمردُ له وفرة جعد قطط في روضة خضراء Kama ilivyo katika *hadithi sahihi almarfuu* kutoka kwa Qataadah kutoka kwa Iqrimah kutoka kwa Ibnu Abbaaas amesema: amesema Mtume wa Allah s.a.w.: “nilimuona Mola wangu akiwa katika sura ya kijana barobaro nywele timtimu nyingi chooko akiwa katika bustani kijani.” [Rf. Bayanu Talbiis Aljahmia 7/290]
Diwani elimu hana hata maulama wao hajui kuwa wamegawanya tauhidi 3 na aseme sasa kuwa na hawa ni wakatoliki Kweli kumsomesha mganga tauhidi ni kazi ngumu ....kwa sababu tauhidi inakataza shirki na Diwani na wenzake hawako tayafi kuacha shirki
Maansha Allah darsa lako limeeleweka,twamuomba Allah akuhifazi
Ma sufi nipeni maji ni kisema برب الناس na ملك الناس na اله الناس hapo nimetaja mungu watatu?
haki inang'aasiku zote kwa dalili bali batwil ukiitiloa nia kuwa utaendelea kubaki nayo shetan atakupendezesheeni mpaone pazuri katika batil Allah atuongoze tusifuate matamanio ya nafsi tukapotea
Msomeshe uyo shekhe yani %kubwa ya awa makhurafi hawajiekewi .kama uyu Yusuf diwani hajulikani hata aliposomea,kasoma vichochoroni na ao nduguzake, ndomana waborongatuu,nauongo mwingi
Msomeshe huyo ajili amefuatilia sheikh Abdurahman wa burundi tena huyu sheikh amesoma vyuo vikuu misri na saidia lakini tunamuona diwani haja soma chuo kikuu chochote kukosa adabu tu
Huyu anasema kajisomesha mwenyewe huyu
Musema. Ndimu kama sio ndimu na wakristo wanasema yesu ni mungu lakini sio kama mungu baba
Uyo mnganga wa kienyeji mpinga vipande Yusuf diwani msomeshe
Uyo mushikina mpinga vipande Yusuf diwani
Ni mkiya wa mashia
Yusuf diwani kukata tauhidi uluhiya na rububiya na asmau wasifati ni fika za Kishia kukata hizo tauhidi tabu
Mashia ndiyo waliyo kataa vigawanyo vya tauhidi
MAWAHABI OYEEEE......!! ASLIMIA 99% YA MASHEKHE WA ZAMANI WA ZANZIBAR HAWAJASOMA SOODIA VYUO VIKUU.
Sikio la kufa halisikii dawa, Yusuf Diwan sioni akitubu, atakufa msufi mpiga ramli
Katika watuwajinga huyu diwani kwakweli ni jinga kwelikweli!
Kama Yusuf Diwani hajafahamu somo la Leo basi atakuwa mbumbu
Mashehe wote wanaotetea maulidi kuyafanya kuwa ni dini tunawaomba watutafsirie vitabu ya maulidi ili watu wajuwe kilichomo ndani mbona hawa wanaopinga wantamba sana na wanaonesha ubovu uliomo ktk vitabu hivo
Hhhh ww upo kwenye serra wkt hp inazungumzwa ukatoliki w kitauhid mlio nao nyinyi mawahabi mkajinasibu n tauhid 3 ambazo hazina mapokezi yoyote kutoka kw mtume zaid y uzushi kumpwekesha Mungu n km kiumbe
Je Maulid yanamapokezi Kwa Mtume mbona haukubali ukiambiwa ni uzush au ambao sio sahahih ni bidaa ni hili tu Kwa kua haulitaki?
Msikilize SHEKHE tu utelewa
Diwan nakushaur ukaw kimya huyu shekh sıo saşz yako
Ukıangalia huyu shekh Muhammda İs'haka mdıo shekh peke yake aliyepigilia msumar kark Kırab cga maulıd kukıtafsr na kasqsıda fekı na mpka leo hakuna altmpinga
Maaana ni elimu kubwa anayooo mzee huyu !!!!
Yooooote sijaona sehemu kafundisha mtume swahaba tabii na tabii tabiina bali ni jitihada tu za wanazuoni hujamwelewa na huto mwelewa nilitegemea upite kwa nahw swaraf kama yeye tupate elimu inshaalla
Kumbe hapo ulipo unamakaratasi mwenzako anatuonyesha wapi tufat e ushaid ibn taymia nimshirikina
Itikadi ya Mawahabi
Sheikh Alislaami Ibnu Taimia Alharaani:
كما في الحديث الصحيح المرفوع عن قتادة عن عكرمة عن ابن عباس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: رأيت ربي في صورة شاب أمردُ له وفرة جعد قطط في روضة خضراء
Kama ilivyo katika *hadithi sahihi almarfuu* kutoka kwa Qataadah kutoka kwa Iqrimah kutoka kwa Ibnu Abbaaas amesema: amesema Mtume wa Allah s.a.w.: “nilimuona Mola wangu akiwa katika sura ya kijana barobaro nywele timtimu nyingi chooko akiwa katika bustani kijani.” [Rf. Bayanu Talbiis Aljahmia 7/290]
Kaka kakae usome kaka usisikilize hao mashia rafidhwa utapoteza dini yako,
Masufi tauhidi yao no moja tu
Wale hawafai kwenye jami
Inaonekana hawajiamin haya wazee wasifa
kama ashaaira si ahulusuna ahlusunna nimawahabi au milango ya tauhid hujui mzee wang bora unyamaze tu utafedheheka
Halafu kwann kina diwan wakitoa clip zao wanafunga sehemu ya coment.
Makafiri wasiingie na kubadisha maana
Huyu bwana n muongo kweli kweli
Sheikh utwambie hivi imegawanyika tauhidi kwakitabu hiki kisicho cha mawahabi wewe. Ni ndacha ujui usemalo akili yako ni mgando
MAWAHABIIII TUKISEMA NDIMU HII KAMA SI NDIMU HIYO BADO ITABAKI KUWA NDIMU ILA INASIFA ZA ZIADAAAAA
Sheikh Muhammad Abdul bi wahab
Ni Sheikh mkubwa
Wew endeleya kulishwa matango pori na masufi
ni shekh mkubwa kwko wewe
@@darajanida na kwako pia
laa mim najuwa vizuri historiya ya shekh muhammad ibn adulwahab mimi nlko mbali na daawa yake usinlsingizie nduguyangu
@@darajanidatupe hiyo history yke kma kwel unamjuwa
umekosa radhi ya shekhe hakusema diwani ni vitabu vyenu sio diwani mbona wajichanganya
Wewe Haj hujielewi kichwa box icho
Yusuph diwani khuraf mkubwa
Diwani elimu hana hata maulama wao hajui kuwa wamegawanya tauhidi 3 na aseme sasa kuwa na hawa ni wakatoliki
Kweli kumsomesha mganga tauhidi ni kazi ngumu ....kwa sababu tauhidi inakataza shirki na Diwani na wenzake hawako tayafi kuacha shirki