SULE AMEHARIBU SANA KAMA ANA MAJINI AWALETE KWETU TUWAONE WAKOJE || Muhammad Bachu.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 มิ.ย. 2024
  • เกม

ความคิดเห็น • 197

  • @MgazaMhina
    @MgazaMhina หลายเดือนก่อน +9

    Allah akupe umri mrefu wenye faida

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 หลายเดือนก่อน +17

    Nakuamini sana Shekh wangu Allah akulipe.

  • @GHULAMCHANNEL1
    @GHULAMCHANNEL1 หลายเดือนก่อน +13

    SHEIKH BACHU UPO SAHIHI NA ALLAH AKUJAALIE KHEIR NA SALAMA DR. SULE ASEME PALE PALIPO NA USHAHIDI WA VITABU BASI NA HIUO NDIO DINI SIO KULETA HADHITHI ZA MITUME WAKTI HAO NI MITUME WA ALLAH. WEWE NI NANI?

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs หลายเดือนก่อน +18

    Huyu sheikh Allah amhifadhi

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน +3

      amiin

    • @SafariJournals
      @SafariJournals หลายเดือนก่อน

      Shakuwa mashekhe wenu Wa bongo feki.KUMTUKUZA JINI MAKOSA

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน +5

    Wallah mazungumzo yoooote ya baba kirwasha yameanguka huku mwisho Kwa kutegemeya fatawa aliyo tegemeya Muhammad bachu Allah akuweke ukupe umri mrefu ili tuzidi kupata faida nakusoma kwako

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn หลายเดือนก่อน +19

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia umri mrefu wenye kheri tunajifunza mengi kupitia Elmu unayotufundisha

    • @hasnakid
      @hasnakid หลายเดือนก่อน

      Ameen yaa Rabb

  • @ElsieMunezero
    @ElsieMunezero หลายเดือนก่อน +9

    Mung akuzidishiy elim sheikh wetu uzidi kutufundish mengi mung akuwezesh

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh Allah akuhifadhi...na Akubariki. Sasa vipi kuhusu hawa Masalafia Jadida... endelea kuwachambua masalafia jadida In sha Allah

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda kwa ajili ya Allah s.w. Allah s.w. azidi kukubariki.
    Tumuombee tuuu ndugu yetu maana tayari ameshatawaliwa au amepumbazwa na majini.
    Pia hata Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4, anaeleza vizuriii sanasana.

  • @shabaniumande
    @shabaniumande หลายเดือนก่อน +7

    Shukran sana sheikh Muhammad bacho nakupenda kwaajili ya Allah
    Lile genge la kihawariji masalafiya jadidah atuwasikiyi wakiwarekibisha hawa washirikina wanao tumiya
    majini
    Hawa mahawariji masalafiya jadidah wawatowa kwenye sunna doctor Islam na Muhammad bacho na sheikh salimu barahiyani kuwaradi ati ni watu wa bidah

  • @user-rx6io6vs9n
    @user-rx6io6vs9n หลายเดือนก่อน

    Naam hakika ktk hili umesimama vema sana mdogo wangu bachu bali wasia wangu kwako ni kwamba mche Allah ktk elimu yako na jiepushe na riaa kwakuwa ukijiepusha na hilo Allah atakufundisha usipo fanya hivyo Allah atakufeshehesha kama ilivyoonekana ktk baadhi ya mijadala mingine pima kwamba ikiwa kunawatu walikupinga mwanzo na sasa kwa hili wanakuunga mkono basi kuwa makini na ujue waru sio wajinga kama inavyodhaniwa Allah akulipe kheri kwa hili na akufungue ktk memgine ikiwa utasimama ktk taqwa inshaalah 55:20

  • @almuya
    @almuya หลายเดือนก่อน +3

    Akili inachaji chizi pia akiskiliza anatafakar. Umefahmika ila kwa mwenye ukaidi mwache andelee kubisha. Uko sawa apo kaka yangu . GOOD JOOB

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468 หลายเดือนก่อน +3

    Mtume Muhammad swallallahu alaihi wasallama alikua na pete kama nyenzo ya muhuri lkn hakuwahi kuwa na pete kwa ajili ya nyota ama ya jinni

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz หลายเดือนก่อน

    Shekh ukovzri allah atupe sote iiman pia shekh hikikisa kosa la mchamungu yule aliacha haki kwa maslah yake allah akamwondolea nguvu pia shekhe shida ninachokiona hapa nani anasema shida madhehebu yanapoteza mno dua zinaitajika kama kusema panasemwa vzr kabisa

  • @DotoOmary
    @DotoOmary หลายเดือนก่อน

    Allah akujaje kheri,shufaa
    Na mlisho mwema kama waliopita kabla yetu

  • @joezeno8
    @joezeno8 หลายเดือนก่อน +5

    Dr Sulle anatafuta umarufu

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 หลายเดือนก่อน +12

    Nilikua namuamini Baba kiruwasha ila naye ni walewale tu.Kanichefua sana.

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 หลายเดือนก่อน +1

      Yule angezungumzia mambo ya ndoa tu

  • @mohamedkhairudin6418
    @mohamedkhairudin6418 หลายเดือนก่อน

    Allah azidi kukuwezesha mpk mzee wa mipete mapepo yamtoke

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd หลายเดือนก่อน +3

    Sule bado mtoto sanaaaa na njaa inamdhalilisha

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot หลายเดือนก่อน +2

    Shekhe Muhammad Bachu Allaah akuhifadhi na akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini.
    Laiti wange zingatia juhudi yako, wengi ktk wazushi na washirikina wasinge kufanyia uaduwi na kukukashifu Wallaahi.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 หลายเดือนก่อน

      Yoyote atakaerithi kazi aliyoifanya Mtume hatosalimika na madhwalim Allah amlinde. awalinde na masheikh wote wa sunnah

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini หลายเดือนก่อน +6

    maashaaallah mwenye hofu ya Allah ameelewa mwenye matamanio ya dunia ngumu sana kuelewa Allah akuzidishie elimu

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc หลายเดือนก่อน

      ASALAM ALEY KUM ,ALLAH AKUJALIE UMRI WENYE MANUFAA UZIDI KUTUELIMISHA ZAIDI.MM NAPENDA KUJIULIZA INAMANA HILI SAKATA LA MAJINI KUWA NIHALALI KUWATUMIA JE HAWA MASHEIKH WETU AMBAO UWA TUNAWAONA MWEZI MUANDAMO WA RAMADHANI NA ARAFA NDIO UWA WANAWAKOSOA MASHEIKH WENZAO SASA MM NAPATA KIGUGUMIZI SIMSIKII HATA MMOJA JE KUKAA KIMYA INAMANA NAWAO NIMIONGONI MWA WANAOTUMIA MAJINI.??? MAANA DK SULE ALISEME MASHEIKH WENGI WAMEVAA PETE ZA BAHATI NAYEYE DK SULE ATAKUWA ANAWAJUWA NI MTIHANI.MAANA TANGU HABARI HIZI ZIMEJITOKEZA MASHEIKH KIMYAA !!! ILA MTU AKITANGAZA MWEZI KOSA UTAWASIKIA SHURA YA MAIMAMU NA WANAZUONI UTAWASIKIA NANI MWENYE MAMLAKA YAKUTAZA MWEZI ,!!!! KWA HILI LA MAJINI KIMYAAAAA SHARIFU MAJINI KIMYA KISHIKI SHEIKH WETU TUNAYEMUAMINI KIMYA YUSUFU DIWANI KIMYAA .MUFTI WETU KIMYA SHEIKH WALIDI KIMYA ALHADI MUSA KIKYA RUSANGANYA KIMYA. NGOJA IKIKARIBIA ARAFA UTAWAONA WANAIBUKA !!!! NINAANZA KUAMINI KUWA MAISHEKH WENGI WA MAULIDI WATAKIWA WANATUMIA MAJINI .HERI MAKAFIRI WA ZAMANI KULIKO WAISILAMU WA SASA WANAWEKA NA USHIRIKINA KISOGO MAELEZO YA SHEIKH AMDALAH SH FARSI.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc หลายเดือนก่อน

      Kisa kizuri kinaukweli NDANI YAKE dalili zipo unaweza ukawaunakudia kheri ila anatokea MTU anakushauri anakwambia kwani LAZIMA ulifanye hili KWA mfano utasikia MTU anakwambia mpaka ukaswali msikitini swali NYUMBANI inatosha!!! Kisa kizuri

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909 หลายเดือนก่อน +3

    Twakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @HashimThabit-lp9dj
    @HashimThabit-lp9dj หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadhi sheikh nakuelewa vzr San.

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 หลายเดือนก่อน +4

    Allahu Akbar .
    Shekh bachu binafsi nilianza kufanya dawa za kisunna ila Kila nikenda wallahi ilikua ni hatari ..
    Nilifikia sehemu mpaka nikawa naota mtu atakuja nimfanyie dawa gani na kweli ukimfanyia anapoa basi nikaja nikajikuta natoka ktk mstari kidogo kidogo mpaka mwisho mama yangu mzazi alitumia nguvu nyingi Ili niache Allah amsamehe mama yangu na amlipe kheri ...
    Mambo haya wallahi ni mtihani nilipitia mambo mengi sana .
    Namuomba Allah anisamehe makosa yangu na aniongoze ktk haqi Amin Amin Amin

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @sadih5333
      @sadih5333 20 วันที่ผ่านมา

      Amien ​@@KhalfanMassoud

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shekhe haifai kutumia majini majini waongo binaadam unamuona na anakudanganya je jini usiemuona yy ndo nakithiri haswa alf mbali na ivyo kwani hakuna binaadam waislamu na ni waongo hao kupitiliza je hao majini baba kirowasha ache kwasbb kuna wanavypenda majini alf ukiwaambia inafaa ndo wanafurahi wanasema yes inafaa

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 หลายเดือนก่อน

    Mashallah uko sahihi sheikh .uvae hata kofia usiwe kama msela

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu หลายเดือนก่อน +1

    Mashallaaah allah akulipeni mashekhe zetu kwaelimi mujarrab

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 หลายเดือนก่อน +7

    زادك الله حرصا وعلماً وفهما ورزقك الإخلاص في الأقوال والأعمال.
    أحبك في الله. أخوك أحمد عمر سعيد من جمهورية موزمبيق مدينة نامبولا

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 หลายเดือนก่อน +1

    Jazaqallahu khaira Sheikh.. Mwenye kutaka radhi za Allah atakuelewa vizuri nawenye kutamani maisha ya dunia zaidi bado wataleta hoja mbadala kuaaminisha waislam kutumia majini hao sabb ndio njia mbadala inayotumika kwa wingi sasa na watu kupata riziki kwa kigezo cha kutibia na kutatua matatizo ya binadam Tumekuelewa Ahsante sana Allah atakulipa zaidi.

  • @cammackmarck
    @cammackmarck หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuhifadhi sheykh wetu unafny kazi kubwa

  • @jamalijamali6820
    @jamalijamali6820 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akulipe kheri kwa hili ahsante sana

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 หลายเดือนก่อน +2

    Muhammad bachu Allah akulinde wapige spana waxhirikina huenda wakajirudi inshallah

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน

      Tumuombee tu ndugu yetu Dr. Sulle

  • @user-rg3tu2nc2f
    @user-rg3tu2nc2f หลายเดือนก่อน +1

    Allah SW akupe ujira mkubwa mwema.Amin

  • @naimadam1588
    @naimadam1588 หลายเดือนก่อน +5

    Leo umesahau kofia ustadh bachu

    • @mwinyidullailovetheprogram7404
      @mwinyidullailovetheprogram7404 หลายเดือนก่อน +6

      Haja sahau ametaka watu wajifunze jinsi ya kunyoa wala sikujinyolea kihuni mipanki

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน

      kumb siko pekee kias nmkatae isingekuwa sauti

  • @JumaHaruna-yg6pt
    @JumaHaruna-yg6pt หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah, mambo umeyaweka wazi kabisa kwa mtu mwenye kutafakari.

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 หลายเดือนก่อน +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628 หลายเดือนก่อน +1

    Msifungue milango= =Kweli yake !. Bali tuwe waacha mungu, tumtegemee Mwenyezi Mungu mtukufu.
    Maisha ya duniani ni mafupi sana. Maisha ya baadaye ni ya milele. Chaguo ni lako!.. tumieni akili sio matamanio 🎉

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s หลายเดือนก่อน +1

    Shekh Muhammad Allah akuhifadhi Sana coz unapambana sana.lkn kwa hoja hizi umeshamaliza kazi,hawata elimika Tena .lkn wakiongea Tena usiwaache..waelimishe tu hata km hawataki.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 หลายเดือนก่อน +2

    Maa shaa Allaah sheikh bachu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

    Twaiby wanakuelewa shekhe sema muwamba ngoma uvutia kwake sule na baba kiruwasha waanaonekana wanatetea biashara wew unatetea hakki wale wapo kimaslahi ndomana wamekuwa wakaidi naimani washirikina humsapot sule hapa kwenye comment usikute watu wanayafuga ndomana wavutia ngoma kwao

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518 หลายเดือนก่อน +1

    Akili nyingi sana hiki kichwa Allah akuuhifadhi ndugu yangu

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu หลายเดือนก่อน

    Mashaallah akuzidishie elimu shekh wetu tena yenye manufaa

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 หลายเดือนก่อน

    Tabaraka Allah shekhe wangu ustadhi wangu, Allah azidi kukupa ujasiri na elmu ututoe taka .

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah baraka Llhah fyka

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda watu wa sunnah watu wa tauhiid na nasikitika baba Kiruwasha nilimuamini niisemamtuwa tauhid ila.kurudisha iman kwangu kwake sio rahis tena maana anavyoonekana ni tofaut kabisa na anayoyasimamia kwa maslah yake

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS หลายเดือนก่อน

    Mā-shā-a-llāh, Sheikh Muhammad. Tunstafiid sana. Najifunza mengi.

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda kwasababu ya allah

  • @AminiNdori
    @AminiNdori หลายเดือนก่อน

    Jazaaka llahu khaira kwa juhudi yako. Uko sahihi kwa walili ya Quran/surat KAHF aya 50. Baraka llahu fika.

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri หลายเดือนก่อน +2

    Mm naomba sana ipatikane angalau watu kumi kama sheikh Bachu inshaAllah

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน +2

      Watu 10 mfano wa bachu biidhini llah bidaaa itakimbiya kwakiasi kibwa nawakifanya watafanya kwakujificha mnooo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน +1

      Amin

    • @user-sv6ej5mv9q
      @user-sv6ej5mv9q หลายเดือนก่อน +1

      Watapatikana tukiwahamasisha watu katika kusoma.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      @@user-sv6ej5mv9q unaweza ukasoma lakn ulimi wako ukakosa ufasaha kama wa Muhammad bachu, na kujenga hoja or kuvunja hoja hicho ni kipaj Had Allah akupe.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 หลายเดือนก่อน +1

      Tizamen Alhajar online TV wapo wengi tu huko

  • @hassanbinbashir546
    @hassanbinbashir546 หลายเดือนก่อน +1

    HayyakaLlahu waHafidhak

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 หลายเดือนก่อน

    Ma Shaa Allah

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r หลายเดือนก่อน +1

    Baaraka llahu fik

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr หลายเดือนก่อน +1

    Mohd Bachoo darsa yako imeeleweka naamini ata yeye kiriwasha hasubutu kumtafuta jini asiwaaminishe watu wakaendea shirki

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008 หลายเดือนก่อน +1

    Dalili ziko wazi ila si kwamba hawaelewi tatizo lao hawataki kuonekana wameshindwa mbele ya umma, na hii inaonyesha wazi kwamba wameweka masilahi mbele kuliko dini. Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema kwa kweli maana ni mtihani.

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di หลายเดือนก่อน

      Kweli kaka juu unapata mtu anakuja mbele zawatu kujigaamba Kua Ako na Mali na magari makubwa wengine

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot หลายเดือนก่อน

      Maneno yakweli unayo sema ndugu yangu

  • @user-nh6hz2ms8s
    @user-nh6hz2ms8s หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله يا محمد 🌺

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe kwa elimu unayotupatia

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909 หลายเดือนก่อน +1

    masha'Allah

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 หลายเดือนก่อน

    ما شاء الله تبارك الرحمٰن

  • @user-wq3um3gr7u
    @user-wq3um3gr7u หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sanaa sheh.انا اسماعيل من بو رو ندي

  • @user-cz4yx7zv2o
    @user-cz4yx7zv2o 14 วันที่ผ่านมา

    Hatar sana 5:41

  • @user-hg7jb3ho2y
    @user-hg7jb3ho2y หลายเดือนก่อน

    Mungu akihifadhi sheihewetu

  • @nyanyambuli8101
    @nyanyambuli8101 หลายเดือนก่อน

    HIYU BABA KIRUWASHA KAMA HAWATOMZUIA WENZAKE BASI ATAMTOA NY'ONGO BACHU MAKOJO

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      Jifunze kuandika kwanza 😂😂

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 หลายเดือนก่อน

    Mashallah
    Faida kubwa hii

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani acheni uwongo

  • @hassanibrahim-fk1bn
    @hassanibrahim-fk1bn หลายเดือนก่อน

    Ustadh Muhamad, wanazuoni wanashauri kutahadhari na kuwatumia majini. Swali toka awali ilikuwa je watu wanaweza kutumia majini?. Na pili inakatazwa kidding, hadith na Quran. Toka mwanzo unatumia wanazuoni bila ya kuonyesha Nabi Muhamad saw, anasemaje. Mimi kwa spandex wangu namtegemea Allah sihitaji kiumbe yeyote, Allah ndie Khaliq.

  • @user-cz4yx7zv2o
    @user-cz4yx7zv2o 14 วันที่ผ่านมา

    Baba kiruwasha duuuh

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 หลายเดือนก่อน

    Baba kiruwasha kapinda yule nayeye anaonekana ni mshirikina

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official หลายเดือนก่อน

    yes🎉❤

  • @fatumatsopa5578
    @fatumatsopa5578 หลายเดือนก่อน

    Kuna tofaut Kati ya jini na shetani

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน +2

    leo umewavulia kabisa na kofia labda watakuelewa😊

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 صم بكم عمي فهم لايرجعون

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @user-zx8kl7qi3g
    @user-zx8kl7qi3g 26 วันที่ผ่านมา

    Assalam alaikum warahmatulullah wabarakatuh sheikh mungu akupe umri mrefu naomba number yako sheikh insh.Allah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 หลายเดือนก่อน

    Huyo baba kiruwasha pia ni akili kijiko.

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuhifadh ungevaa kofia ungependeza zaid

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน +1

      Aaaaah, sikunyengine kichwa kiachwe banaaa kipate upepo. Haha😂😂😂😂

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy หลายเดือนก่อน

      @@KhalfanMassoud 😂😂😂

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy หลายเดือนก่อน +1

      @@KhalfanMassoud Ndugu yangu mfuatiliaji sana wa vipindi hivi Maa shaa Allah

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน

      @@KhalfanMassoud akitoe inje kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน +2

      @@ARNOLDKARISA-fs3ht mmh watu wataondoka nacho ety.

  • @NazirJuma-gz6jv
    @NazirJuma-gz6jv หลายเดือนก่อน

    Asalam allaykum sheikh samahani naomba niulize inaruhusiwa kula nyama iliyochinjwa kwaajili ya matibabu ya kiganga

    • @ibrahimjumadr
      @ibrahimjumadr หลายเดือนก่อน

      Hairuhusiki hata kidg.

  • @agrolive4027
    @agrolive4027 หลายเดือนก่อน

    Dr. Sule hawezi kuelewa kwani ameshapingwa muhuri keaajili ya ushirikina kwa miaka mingi!

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u หลายเดือนก่อน

    SISI TUNAPOMILIKI MAJINI HUWA TUNAWATUMA KAMA WATOTO WETU NYINYI MAWAHABI HAMNA ELIMU YA MAJINI KWASABABU MASHEKHE WENU HAWANA ELIMU YA FALAQ AMBAYO NDIO INAYOELEZA NAMNA YA KUMILIKI MAJINI

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir หลายเดือนก่อน

    لا فض فوك يا شيخنا

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr หลายเดือนก่อน

    Sule nilikuwa namuheshim sana lkn kaniangusha yani mdomo hajauchunga kakurupuka

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt หลายเดือนก่อน

    Jazzakallah, Tabarakallah Alla akuhifadh shekh muhammad bachu kwa juhudi zako zote za kufundisha Tawhid. Allah atunusuru na washirikina wa kutumia majini.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 หลายเดือนก่อน

    Huyu Sule katusilibia sana

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do หลายเดือนก่อน

    watu wanauuza akhera wananunua dunia kutumia majini ni shirk kubwa

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 หลายเดือนก่อน

    Baba kiruwasha njaa

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr หลายเดือนก่อน

    Sule namkubali kwasababu ya kazi yake kuwalingania wakristo kushindananao lkn kwahili kakurupuka na abadilishe manhaji najua manhaji yake wengi wanatabia chafu zisofaa

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365 หลายเดือนก่อน

    Hakika uislam ni upuuzi na upotevu

    • @mohammedsalim3315
      @mohammedsalim3315 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa hiyo wewe ni kafiri ? Sorry

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 หลายเดือนก่อน +1

    Sule kasema ukweli mtupu 🤣😂😅

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 หลายเดือนก่อน +2

    Ninachokiona,
    Baba kiriwasha kaegemea ktk Sheria: Majini kutumika na Binadamu inafaa au haifai? Sheria Imeruhusu na kajengea hoja vizuri tuu.
    Sheikh Bachu:Yeye apingani na sheria ya kujuzu kuwatumia majini ila yeye anakubali inafaa ila kwa wakati wa sasa ni vyema Ikaharamishwa.
    Binafsi nilivyoelewa ndio hivyo,Sheria inaweza ruhusu jambo lakini kama lile jambo likiwa lina madhara ni bora likaachwa.
    Mfano,Kipindi cha Corona Hija ilifutwa baada ya kuonekanwa madhara ni makubwa kuliko hijja.
    Hata hili la majini,kwa sasa madhara ni makubwa kwa hiyo halifahi kwa sababu matokeo ya mengi ya kutumia majini zama zetu faida ni chache,japokuwa sheria haijaharamisha moja kwa moja.

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg หลายเดือนก่อน

      Inaonyesha Bado hujaelewa somo

    • @user-iv6hx2xv3t
      @user-iv6hx2xv3t หลายเดือนก่อน

      Kiruasha Nae mshirikona tu

    • @hawa6052
      @hawa6052 หลายเดือนก่อน

      Allah atuongoze

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 หลายเดือนก่อน

      Umeelewa vzur lkn hii kutumia majin si kama anaiharamisha kwa mda huu ila yeye anasoma vitabu vya zaman walivyokatawza watu kutumia majin yaan tangu zaman watu walikua wanakatazwa wasitumie

    • @nasoros.mgungo5502
      @nasoros.mgungo5502 หลายเดือนก่อน

      @@saadasaleh3177
      Kusomwa vitabu vya kale si hoja, mfano, Suala la Talaka Tatu kwa Pamoja, je Ni Tatu au moja?
      Ukiangalia Saidina Omar alipoona madhara ya watu kufanya Talaqa Kama mchezo, akapitisha hukumu ukisema nimekuacha Talaqa Tatu Basi Ni Tatu.
      Ila sheria ilikuwa inatambua ukitamka Talaqa Tatu Ni Talaqa moja.
      Kwa hiyo Jambo linaweza ruhusiwa kisheria lakini tukiona madhara Ni makubwa ikatengenezwa sheria ndogo hili kuzuia madhara.

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alaykum warahmatullah maaashaaallah

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน

      wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน

    mwambieni Sheikh wetu avae kofia jamenii

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 หลายเดือนก่อน +2

      Usijali tutamwambia inshaallah na atavaa biidhnillahi
      Allah akuhifadhi pamoja nasi na aendelee kutusamehe

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht หลายเดือนก่อน

      @@jamalijamali6820 amiin

    • @abdulkizeli9960
      @abdulkizeli9960 หลายเดือนก่อน

      Unashindwa kusikiliza mawaidha ukaelimika unaanzakufatilia kofia kwa shekhe ndo nn ss ebu jaribu kujielewa

    • @hawa6052
      @hawa6052 หลายเดือนก่อน

      Inshaa Allah

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 หลายเดือนก่อน

    Jee ikiwa mtu kapata jini na linamtesa anataka limuondoke inafaa kwenda kwa mwalimu akamtoa kwa njia ya kusomewa na dawa za mitishamba Ina juzu naomba jawabu

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 หลายเดือนก่อน +2

    Majini ni waislamu na mtume alikuwa anawasomea quran. Uislamu na majini ni ndugu 💯✅. Alah kaumba majini.

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 หลายเดือนก่อน

      Ukisoma vzuri au ukimsikiliza vzuri sheikh utagundua kuwa majini na binadamu hawakuumbwa ili wapate kumuabudu Allah sasa hakuna anaejua jini yupi mbaya yupi mzuri na usiabudie kiumbe muabudie m/mungu mmoja tu sasa ndo utambue kuwa binadamu pia huwa wabaya na wazuri

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 หลายเดือนก่อน +1

      Bila shaka wewe sio muislam nadhan Ivo ndo ulivo ndo mana unasema waislam na majini ni ndugu wakat hujui kama Majin wako mataifa mbali mbali makabila mbali mbali na aina tofaut za dini mbali mbali wapo wakiristo wapagani waislam n.k. sio wote waislam au wakiristo wako tofaut na ni wengi sana kuliko watu

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaiyo ww unatakaje?

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 หลายเดือนก่อน

      Majini Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72: 1-14 kwani ni vibaya waumini kusaidiana wa dini Moja kusaidiana? Muumini Mwenzako anawezaje kukufanya ukufuru? Majini ni ndugu wa Waislamu acheni kupingana!

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 หลายเดือนก่อน

      ​@@dulividuli5237 Anataka utumie majini maana ni ndugu zako katika Imani

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs หลายเดือนก่อน

    Hvi saut haipo au

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaomtetea Sule ni Wanafki tu

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di หลายเดือนก่อน

      Niwaganga wenzake

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน

      Enhee... obviously correct

  • @mawaidha-by-sheikh-Abrahamu
    @mawaidha-by-sheikh-Abrahamu หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum sheikh naomba kufundishwa je ati inaruhusiwa kumuoa jini wakiisilamu?

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      Haaha ww nawee sasa jini huyo utamua wapi yeye ana ulimwengu wake na ww una wako.. Maswali mengine basi tu

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud หลายเดือนก่อน

    Muhammedi usimsumbue Dr sure Kwanza zungumza ushirikina wa ibn taymia

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      Sule hajasubuliwa analinganiwa ache shiriki.. Shafii kashindwa na mada kila akijibiwa analeta mamb mengine hamna kitu pale debe tu na kama unafanta yule ufaham wako upo chini sana

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs หลายเดือนก่อน

    Mada hii ifungwe tu ili sheikh bachu aendlee kumfundisha yule gol Shia

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน +1

    KWA HIYO ENDAPO JINI ATAMKUTA BINADAMU YUPO PORINI KAPOTEA AU YUPO BAHARINI HAPASWI KUMSAIDIA ???

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน +1

      Na mm nakuliza Mtu akiwa porin hana kit cha kula ni halal kula nguruwe?

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน +1

      Ndio ni HALALI kabisa Kwa mujibu wa Quran japo sheria inaangalia Kiwango Cha tatizo

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 หลายเดือนก่อน +1

    Baba kiluwasha inaonekana anapata msaada kwa majini kwenye Mada zake za ukungwi

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468 หลายเดือนก่อน

    Mm swali langu , hivi nataka niongee na jini NAMPATA WAPI? nataka nimjue ni mzuri ama mbaya NAMUONAJE AMA NAMTAMBUA VP?

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 หลายเดือนก่อน

      Zama kwenye bahari ya kina kireeefu Kisha ita jinniiii

    • @hassanmohamedlaizer569
      @hassanmohamedlaizer569 หลายเดือนก่อน

      ​@@allymbarouk5362😂😂

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 หลายเดือนก่อน

      Kazi ipo simameni kwenye hoja

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 หลายเดือนก่อน

    Asalam Alaykum. Shekhe unavyosema ni sawa kabisa, lakini kwa ushuhuda wangu wako Maruhani wa tiba ambao ni Waislam Waumin ambao hawamshiikishi Allah wala hawafugwi wanasaidia kwa tiba peke yake sio kumnufaisha mtu kwa mali. Wanafanya kwa ridha yao wenyewe tena wanatumia quraan pia.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 หลายเดือนก่อน

      Swali linakuja utawajuaje pia Tambua kwamba Jini ambaye hamshirikishi Allah hawez kukaa kwnye Kichwa cha Mwanadamu pia Utambue kwamba hata Wanaofanya Tiba za kishirikina pia Wanatumia iyo iyo Qur'an katka Kuwatibu watu na hicho nd imekuwa kifichio chao.

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg หลายเดือนก่อน

      Swali umemuona wapi huyo jini au yupo kichwani Kwa watu na kichwani Kwa mtu basi huyo jini amemuasi mola wake jini mchamungu hakai kichwani Kwa mtu

    • @ahmadabdallah6641
      @ahmadabdallah6641 หลายเดือนก่อน

      Wala hawamuingi mtu. Infact wanasema kumuingia mtu ni makosa haifai.Wala hawataki kafara. Wala hawakupi oesa. Wao kazi yao kupambana na mashetani waasi peke yake. Makazi yao Makka.

    • @ahmadabdallah6641
      @ahmadabdallah6641 หลายเดือนก่อน

      Na ni khamsa swalawat.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 หลายเดือนก่อน

      @@ahmadabdallah6641 sas km hawapandi kichwani watakuja kwa njia ipi na jini haonekani