Nyie nyamazeni acheni kukejeli watumishi wa Mungu huu ni msiba wa mtoto wake wa kumzaa, hamjawahi kufiwa ndio maana mna nguvu hata ya kuandika ujinga,, sisi tuliozaa ndo tunajua uchungu,, nne ni ya MWILINI huwezi jua ndani anaumia kwa Kaisi gani,, pole sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu akutie nguvu wewe na familia yako,, RIP MTOTO
Kitu cha mwisho Kwa mwanadamu ni uhai,aliyelala hapo ni binadamu aliyetaman kuendelea kuwepo dunian kama wewe unayecomment hapa,hao ni wazazi waliomleta Dunian,ndugu zangu kabla ujaandika kitu jiulize uyo angekuwa ndugu yako,Bora ukae kimya kuliko kukejeli na kuandika maneno yasiyofaa,Muombe Mungu akupe mwisho mwema na kumshukuru kwa nafasi ya uhai uliyonayo.
Poleni sana jmn mimi nimefiwa na mtoto. Akiwa tumboni na miezi tisa adi sasa naumia nimiezi miwili tu imepita vp nyie kijana mkubwa ivo polen tena jmn kuzika mtt kama mzazi ningumu sana
Watu wamefungwa ufahamu unapoenda kwa maombi Imani yako ndiyo inakuponya kwa kupitia like Neno la Mungu ndio linafanya kazi linaponya hakuna wanadamu anaweza kuponya Ni Mungu pm
Si kila m2 anaimani kubwa jna depend na una spend muda gn na Mungu... ndo maana kuna watu Yesu aliwaponya kwa imani yao wengine wengine walitumia imani ya Yesu... ila endelea kusema watumishi wa Mungu ivo, ukija kupata matatizo hayatakuja kukuachia mpaka uombe msamaha, tulia uone....
Kumbe mnajua anae ponya ni mungu nyie mnakaza kwenye makanisa kuwapa wenzenu utajili chakus shauri ludini kwenye dini ya haki na ni uislamu na vinginevyo
Mnakazanaga kusema waislamu maskin sis tunakula lizki ya halali na si kujiunga freemason Kisha mnasingizia kumtumikia mungu mjenge magorofa na kitawalamba tu subilini ISSA mwana wa Mariam atapo ludi mtaumbuka
Ila wanadamu mna dhihaka. Ila kiburi cha mwanadamu ni cha muda. Wakati mwingine ni bora kunyamaza kimya. Anayefiwa ni wa kumpa pole hata kama imani zenu zinatofautiana
sasa huyu nabii gani huyu anapeleka wenzie wao motoni alooo da kufruu hii haina dhamana mbele ya Allah atubie kabla ya mgeni ambaye hana taarifa anakuja muda gani
Achen mungu aitwe mungu tuu msishindane na vyeo vyake. Mungu mkali eti nambii mkuu ona leo mungu alivyokupa jaribu kubwa mno. Unajikaza tuu but mtoto anauma sana acheni maagano ya kijahili mrudien mungu dunia tunapita why mtake pesa kupitia dini ! Why usiwe muumin wa kwel nauachane na dunia. Vyeo vinaumiza .
Unashangaza wewe ni nani mpaka umsaidie mungu kutoa wenzio kasoro au kuhukumu na kujua huyu ni free mason huyo ni wakweli sio kazi Yako we angalia Kwa macho
wani ubaya uko wapi na kwanini mumkumu? Yesu alikuwa na uwezo mkubwa sana alifufuwa watu sana lakini mbona akuzuhia kifo chake? . Tusijitoe fahamu. Na mimi sio shabiki yake .
Aise inauma sana tena sana wazazi kumuzika mtoto
Nyie nyamazeni acheni kukejeli watumishi wa Mungu huu ni msiba wa mtoto wake wa kumzaa, hamjawahi kufiwa ndio maana mna nguvu hata ya kuandika ujinga,, sisi tuliozaa ndo tunajua uchungu,, nne ni ya MWILINI huwezi jua ndani anaumia kwa Kaisi gani,, pole sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu akutie nguvu wewe na familia yako,, RIP MTOTO
Poleni sana Wana Ngurumo ya Upako
Daaah nimeskia huzuni sanah😢😢😢 r. I.p nisher
Kitu cha mwisho Kwa mwanadamu ni uhai,aliyelala hapo ni binadamu aliyetaman kuendelea kuwepo dunian kama wewe unayecomment hapa,hao ni wazazi waliomleta Dunian,ndugu zangu kabla ujaandika kitu jiulize uyo angekuwa ndugu yako,Bora ukae kimya kuliko kukejeli na kuandika maneno yasiyofaa,Muombe Mungu akupe mwisho mwema na kumshukuru kwa nafasi ya uhai uliyonayo.
Kufiwa kuskie tu ndugu zangu
Pole sana am late but my sincere condolences.
Pole Mzee
Inaumiza sana poleni sana
poleni sana jmn duuh
Msiba wa Mbae Nabii anavaa suti ya kawaida , anakaa kwa kuandika 4 nk as if yuko shughuli ya sherehe!
Inauma jamani acheni kejeli
Poleeeee
Poleni sana jmn mimi nimefiwa na mtoto. Akiwa tumboni na miezi tisa adi sasa naumia nimiezi miwili tu imepita vp nyie kijana mkubwa ivo polen tena jmn kuzika mtt kama mzazi ningumu sana
😢😢😢😢
Innalilah wainnalilah raajiuna mbele yake.nyuma yetu
Kwani Huyo si mke wake why he can't even hold her hand jamaaaniii
M/mungu ataniwi ulisema umekaa kikao na Mungu tuambie mliongea nini
P0le xn baba yang nabii jordev kwa kumpoteza mwanao kipenz mwenyez MUNGU akutie nguv ktk kipind hik kigumu
Kuanzia Sasa Sito waamini wale wachungaji wanao fufua watu 😢😢 mungu tusimamie
Kafara zimeanza....huyu si mtumishi wamungu wa kweli mnaelezwa kila siku hamusikiii...
😂😂😂😂sijacheka ila tu nauliza vp leo nabiii afufu kweli nakumbuka maneno yake😊😊😊
Ww ni kuma
Cheka tu omba yasikufike
Naomba namba ya nabii
Acheni ku comment dhambi....
Acheni kejeli kwenye kufiwa
Watu wamefungwa ufahamu unapoenda kwa maombi Imani yako ndiyo inakuponya kwa kupitia like Neno la Mungu ndio linafanya kazi linaponya hakuna wanadamu anaweza kuponya Ni Mungu pm
Huna akili wewe....
Si kila m2 anaimani kubwa jna depend na una spend muda gn na Mungu... ndo maana kuna watu Yesu aliwaponya kwa imani yao wengine wengine walitumia imani ya Yesu... ila endelea kusema watumishi wa Mungu ivo, ukija kupata matatizo hayatakuja kukuachia mpaka uombe msamaha, tulia uone....
@@ShinersGospelBandWe ndy huna akil
Kumbe mnajua anae ponya ni mungu nyie mnakaza kwenye makanisa kuwapa wenzenu utajili chakus shauri ludini kwenye dini ya haki na ni uislamu na vinginevyo
Mnakazanaga kusema waislamu maskin sis tunakula lizki ya halali na si kujiunga freemason Kisha mnasingizia kumtumikia mungu mjenge magorofa na kitawalamba tu subilini ISSA mwana wa Mariam atapo ludi mtaumbuka
Uyu si alitokewa na yesu sasa awezi akamuomba amfufulie mwanae
Dhihaka hiyo. Kwani, hata mitume waliotokewa na Mungu walifufuliwa? Kuna mwanadamu anayeishi milele
Si kila kitu pesa inaweza hapana
Jaman zambi ya baba tusimpe mtoto tumuombeetu mungu ampokee
Kwan kua nabii uwezi kifiwa wanao Honda dhambi niwakosefu wa mahalifa
Mm niko natatizo
Ataijibu nini nafsi ya mtoto...???
Lkn Baba mwenyewe Hana huzuni
Nabii Gani huyo ni mpumbavu tu yeye si anafufua watu basi na afufue mwanae mjinga mkubwa
Mbna kunakitu kinaniambia mwenye msiba ni mama pekee
Alhamdullah tobe muslim. Hatuna upuuz huo wakujiita manabii huo n ufirau.
Si umesema dini yako? Si uendelee kuiamini?
😂 Eti! Nabii jamani kweli dunia imeisha
Ulitaka awe nani mpangie wewe basi
Awe binadamu wa kawaida. Wadhani unabii ni kula
@@khadijaomar7096 kamfanye basi wewe awe binadamu kama wamuona jini
Sacrifice
Apo sasa waumini wataongeza kanisani sadaka zitaongezeka
Mbona hajamfufua mwanae?😢
RIP Nisher
Wachungaji watakao kuja Ni frimason wenzie
Una hakika na usemalo kwani kwenye family yako hujawahi fiwa na ndugu tujifunze kuacha kuropoka
Kwakweli noma tupu
Ila wanadamu mna dhihaka. Ila kiburi cha mwanadamu ni cha muda. Wakati mwingine ni bora kunyamaza kimya. Anayefiwa ni wa kumpa pole hata kama imani zenu zinatofautiana
Moyon kuna kitu kinaniambia ni kafara😢
mmmh
Binadam ni nyama ya mchanga
Huyu jaman si anafufua wafu huyu!? Mbona anajisahaulisha hivyo lakini!?
Jaman tuachen kukejeli kweli anafufua lakin kazi ya mungu hawezi kuififua anafufua wanalazimishwa kufa .
sasa huyu nabii gani huyu anapeleka wenzie wao motoni alooo da kufruu hii haina dhamana mbele ya Allah atubie kabla ya mgeni ambaye hana taarifa anakuja muda gani
Kwan kua nabii ndousifiwe
Mbona huyu nabiii amfufue basi huyo mwanae
Kwan kua nabii ndoufiwi
Achen mungu aitwe mungu tuu msishindane na vyeo vyake. Mungu mkali eti nambii mkuu ona leo mungu alivyokupa jaribu kubwa mno. Unajikaza tuu but mtoto anauma sana acheni maagano ya kijahili mrudien mungu dunia tunapita why mtake pesa kupitia dini ! Why usiwe muumin wa kwel nauachane na dunia. Vyeo vinaumiza .
Acha mdomo ndugu Kufa ni wajibu wa kila binadamu.hukumu so kazi yako ni kazi ya mungu ndugu
Unashangaza wewe ni nani mpaka umsaidie mungu kutoa wenzio kasoro au kuhukumu na kujua huyu ni free mason huyo ni wakweli sio kazi Yako we angalia Kwa macho
@@pendomushi6351 sio inashangaza nyinyi mmezidi kufuru
@@HeriTarim-sm5tm sio acha mdomo mmezidi kufuru
Baba yake anasema,anafufua watu ,alikua amfufue mwanawe
Mganga hajigangi
Tutumie clip 1 tu aliyo wahi kusema hivyo acha uzushi 😂😂
Ndugu, umeshawahi kufiwa? Ni busara kutoa pole na sio kukejeli😢
Wanaofufuliwa ni wale wanaokufa kwa imani za kishirikina na si ambao wameitwa na M/ Mungu.
@@salummussa1139😂😂😂😂Nalo neno
wani ubaya uko wapi na kwanini mumkumu? Yesu alikuwa na uwezo mkubwa sana alifufuwa watu sana lakini mbona akuzuhia kifo chake? . Tusijitoe fahamu.
Na mimi sio shabiki yake .