Binti aliyeokolewa kutoka kwenye mzimu wa shangazi yake akitoa ushuhuda katika ibada ya Evening Glory (The School of Healing) Usharika wa Kijitonyama 21.11.2017
MUNGU kuna sisi ambao atujui wabaya wetu uenda n watu wetu wa karibu pia tunaomba kwa damu yako ututenge na mabaya yote juu yetu mabaya hayato tupata sisi wala tauni haito kariba hema yetu
Mungu endelea kutukomboa na vifungo vyote kwa jina lako wote mnaosoma posti hii mpone kwa Jina la Yesu kristo wapendwa kuna mahali Mungu amenitoa Asante Yesu
Yesu nakuomba uniokoe na wote wanaongea mabaya juu yangu. Wapo wanaonitengenezea story ya uwongo Yesu nakuomba uwe nao wanapotaka kutamka baya juu yangu midomo yao uwe mizito wawe mabubu
Zaburi 24: 1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake. Wafilipi 4: 19 Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. *TUNAPOKEA MLIPUKO WA KUFANIKIWA SANA KWENYE UCHUMI, AFYA, AMANI, BARAKA NA UKOMBOZI KATIKA KILA ENEO KWA JINA KUU LA YESU!!!*
Damu ya Yesu itufungue katika vifungo vya kichawi amen Mungu tazama watoto wangu waponyeshe
Mtumishi tunakuombea maisha marefu. Mungu wetu wa mbinguni azidi kukuinua utukufu hadi utukufu. Amen.
Kupitia maombi haya naomba na dadangu Nesia apone anateseka sana Yesu nakuomba umuweke dadangu huru kwa damu yako Takatifu
MUNGU kuna sisi ambao atujui wabaya wetu uenda n watu wetu wa karibu pia tunaomba kwa damu yako ututenge na mabaya yote juu yetu mabaya hayato tupata sisi wala tauni haito kariba hema yetu
Nakemea mizimu ndani yangu ya ukoo ya mashangazi kwa jina la yesu kupitia Mtumishi wa Mungu mch kimaro,nifunguke mimi na familia yangu
Amin sana mtumishi wa MUNGU akubariki sana
Amen 🙏🙏🙏 ukawe na maisha malefu Mchungaji
Mungu endelea kutukomboa na vifungo vyote kwa jina lako wote mnaosoma posti hii mpone kwa Jina la Yesu kristo wapendwa kuna mahali Mungu amenitoa Asante Yesu
Amina napokea kwa jina la Yesu
Amen
Shetani siyo rafiki wa binadamu Yesu ndiye rafiki wa kweli, tumwamini tumfurahie na tumtukuze katika jina la Yesu.
Yesu unapozuru wengine nami usinipite🙏
Hallelujah 🙏 Glory be to God 🙏
Ameen hakika Mungu anaokoa damu ya yesu ikazidi kunena mema daima kwenye familia zetu
Mashangazi wabaya Sana Sana hawapendi tufanikiwe wapuuzi sana
MUNGU akubariki baba mchungaji. Akuongezee miaka.
Damu ya Yesu iendelee kutullinda,.Amen!
Ushuhuda huu unatisha sanaa.Yesu tutee.
Kwa damu ya Yesu tunafunga mkataba yote ya Ibilis shetani ikashindwe kwa Jina LA yesu
Yesu nakuomba uniokoe na wote wanaongea mabaya juu yangu. Wapo wanaonitengenezea story ya uwongo Yesu nakuomba uwe nao wanapotaka kutamka baya juu yangu midomo yao uwe mizito wawe mabubu
Damu ya Yesu ikanene mema maishani mwangu
Mungu tusaidie 🙌🙌
Eeee mungu angalia familia zetu
Jina la Yesu lihimidiwe
Kimaro huduma yk kubwa sana ningekuwa na taasisi ningesema njoo utumike huku Yesu akusaidie
Asante Yesu kwa ukombozi wako nami niweke huru kupitia mtumishi wako uyu.
Ee Mungu Pigana na wachawi wanaowatesa watoto wetu.
Mungu Akuzidishie kibali Rev. Kimaro.
Amina napokea kwa Jina la yesu kristo
Jina la Yesu lina nguvu.
Kwakweli nakuombea sana mtumish wa Mungu
Ubarikiwe sana baba mchungaji
Amen Amen maroho yauchawi yatoweshwe
Nmecheka Sana, Mungu awatunze jaman
Amina sanaaàaaaaaa.
Huyu ni mchangaji mwema.
Kwa jina la Yesu Kristo nakemea mizimu yeyote kwenye maisha yangu Amen.
Wowww! Mungu ni mwema daima 👌🙏🏿
Nimeiangalia tena Leo May 2024. Naomba kufahamu kama huyu dada aliolewa
Ubarikiwe sana baba
Mungu atusaidie
Mungu atufungue kwa kweli tina kua vifungoni bila kujua
Amina Amina
Amen
Aleluya Amen
Amen Amen Amen
Mungu ni mungu tu
Mungu atusadie
Amen amen ...amen ..
🙋🙋
Maskin jaman ,Damu ya Yesu itamuweka huru
Jina la huyo binti ni la shangazi au lah!
Yupe mcho ya rohoni ili tuone adui
AMEN HALLELUJAH
Amna baba ang nae kafungwa na majn naomba msaada wa maomb
WAFICHUWE BABA TUKO WENGI.
Eeee Mungu tuaidie
Ohooo ni shida
Amen Amen
Amen amen
Damu ya Yesu itulinde
Damu ya YESU IKULINDE
Sasa mbona wamekucmamisha mh.
Emugu wagu turidiye famili zetu kupitia mazabau haya
Zaburi 24:
1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Wafilipi 4:
19 Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
*TUNAPOKEA MLIPUKO WA KUFANIKIWA SANA KWENYE UCHUMI, AFYA, AMANI, BARAKA NA UKOMBOZI KATIKA KILA ENEO KWA JINA KUU LA YESU!!!*
Jamani. Mndumii tarama wandu waphi
Mungu ni mweza
Ameen
Kweli damu ya yesu kiboko
Mungu abaki Mungu
😂😂😂😂
Hahahahahaha
Hakika mungu ni mwema !!! Na wakati wa bwana ndio wakati sahihi
Amen
Amen
Amen
Amen
AMEEEN. . AHSANTE MUNGU.
DAMU YA YESU ITUFUNIKE NA UBAYA WOWWOTE KUTOKA KOKOTE.RAFIKI WA KWELI NI YESU KRISTO.