REV. DR. ELIONA KIMARO: AMSALITI MKEWE BAADA YA KWENDA KUSOMA MAREKANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2022

ความคิดเห็น • 208

  • @emmanuelminja6179
    @emmanuelminja6179 ปีที่แล้ว +11

    Nakupenda sana Mke wangu Heavenlight Mungu akubariki sana kwa unavyotujali ,Mungu awabariki na watoto wetu

    • @felistamwashibanda7764
      @felistamwashibanda7764 ปีที่แล้ว +1

      Hongera kwa kumpenda mkeo kaka,nakusihi mpendwa Zaid na zaid

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 ปีที่แล้ว +8

    Waaaa ,hii nikama yangu ,, tuu ,but I thank God niko kazi ,watoto wangu Wana soma

  • @Bright__4
    @Bright__4 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza kitu kikubwa , God Bless You Pastor for this sermon

  • @marympango9247
    @marympango9247 ปีที่แล้ว +4

    Dr..Eliona yaan duuh..mm namshukuru mungu nimekua sugu gafla... Yan mwanaume haniumizi kabisa...

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 ปีที่แล้ว +13

    Duuuh,, Ahsante Mtumishi kiukweli wanawake tunapitia mengi na tulio wengi tumeshaumizwa sana na wanaume tuliowaamini,, ahsante kwa kututia moyo 🙏🙏

  • @yohanamasweko915
    @yohanamasweko915 ปีที่แล้ว +7

    Mwanamke ni mtu muhimu sana ktk maisha ya family lakini simameni ktk nafasi zenu MUNGU atawainua sana ingawa mnapitia magumu lakini MUNGU yupo upande wenu.

  • @agnesmangale3163
    @agnesmangale3163 ปีที่แล้ว +3

    Watu husahau fadhilaa....Lakini Mungu halaliii.. Amen halleluyaa Amen...

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda mahubiri yako sana yatanibadilisha amen

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine468 ปีที่แล้ว +4

    Mungu nirehemu mimi n wote tulio duniani tuepushe na yule mwovu ubarikiwe baba kimaro

  • @abdulllyhussein3224
    @abdulllyhussein3224 ปีที่แล้ว +4

    Somo zuri pastor MUNGU ATUREHEMU SANA JAMAN
    😭😭😭😭

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto267 ปีที่แล้ว +6

    Kwa kweli Dunia inayo mengi, ee yesu turehemu

  • @anaelsdaughtercathydaughte7926
    @anaelsdaughtercathydaughte7926 ปีที่แล้ว +2

    mchungaji napenda Sana mahubiri yako Mungu akubariki Sana

  • @user-li5hw2el3c
    @user-li5hw2el3c 10 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimekuwa mwananafunzi wako Asante umeniinua kihuduma Sana ubarikiwe mno Mungu akutunze

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 ปีที่แล้ว +6

    Ukifanya ubaya lazima ulipe gharama. Mungu Huwa hakosei. Upandacho, utavuna

  • @kelvinkyando3409
    @kelvinkyando3409 ปีที่แล้ว +3

    Mungu naafanye njia kwa hiki kinachoendelea

  • @maikovineventscompany1180
    @maikovineventscompany1180 ปีที่แล้ว +6

    Nakupenda Mke Wangu christina Michael. Haijalishi nini tunapitia nitakupenda daima milele Na ujumbe huu itaishi milele Na kuwa kama kumbukumbu yetu ❤ bila kusahau watoto Wangu nawapenda sana na Mungu atusmamie maisha Yetu yote 🙏🏻

    • @felistamwashibanda7764
      @felistamwashibanda7764 ปีที่แล้ว

      Hongera kwa kumpenda mkeo,mpendwa Zaid na zaid

    • @giftnkya
      @giftnkya ปีที่แล้ว

      Kazi kwelikweli jamani

  • @sia4867
    @sia4867 ปีที่แล้ว +6

    Ila mumewangu Samwel ,Kwa ulichonifanyia kwenye maisha yangu,kila chozi langu na kila jasholangu Atanilipia Mungu.

    • @siakiwelu3007
      @siakiwelu3007 ปีที่แล้ว +2

      Pole sanaa dada Mungu atakusaidia tuu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว +2

      Pole saana

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว +1

      @@trophywilson7211 asant dr

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว

      @@siakiwelu3007 Amen

    • @jeangodelo5349
      @jeangodelo5349 ปีที่แล้ว +3

      Pole sana dear muombe sana Mungu amini hajakuacha yupo upande wako, tupo wengi tunapitia hayo,, lakini yote kwa yote tumuombe Mungu bila kukoma 🙏🙏

  • @sausterchelela3522
    @sausterchelela3522 ปีที่แล้ว +6

    Mungu tutetee tu maana duniani tunapitia mengi

  • @renamwasenga5294
    @renamwasenga5294 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumish wa mungu

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 ปีที่แล้ว +1

    Amen kwa kweli mafundisho yako Mungu akubarki sana

  • @mankaben
    @mankaben ปีที่แล้ว +1

    Mungu atakuvusha my dia

  • @hurumamangula3027
    @hurumamangula3027 ปีที่แล้ว

    Baba Asante kwa somo zuri sana Mungu akubariki

  • @munyaburangacharles7415
    @munyaburangacharles7415 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe muchungaji

  • @reginakahesi3126
    @reginakahesi3126 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa ushuhuda

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว

    Pst. Uncle Mungu akutunze

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 ปีที่แล้ว

    You did a great thing today

  • @othmanmapunda2310
    @othmanmapunda2310 ปีที่แล้ว

    Dr kimaro upo vizuri mawaidha Yako yanaingia kichwani nakuombea kwa Mungu

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 2 หลายเดือนก่อน

    I love you Kwa mafundisho

  • @ahungu4677
    @ahungu4677 ปีที่แล้ว +4

    Tatizo huwa tunasikiliza kwa mihemiko. Mengi ni ya kutunga. 1. Kumsaliti mke sio lazima kwa Mwislam hata kwa Mkristo mwenzako. 2. Huyo mwanamme angetaka kumwoa huyo Rukia angemwolea huko huko Marekani. 3. Wakati wa kurudi Tz haikuwa na lazima ya kumwarifu mke aliye msaliti. Angekukuja kimya kimya. 4. SWALI, hivi MSOMI wa Masters asijue kanuni za kurudi Marekani tena. Mchungaji mwogope Mwenyeezi Mungu SWT ACHA kuchapia!

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +1

      Hadithi ya kutunga, miaka 15 iliyopita? Kwa Gharama za Chuo ulaya hiyo mke alikua na kazi ipi yenye uwezo wa kulipia Chuo Ulaya?

    • @rahmambugi1950
      @rahmambugi1950 ปีที่แล้ว +1

      😂😂🙌🏾 hatamimi nimeliona hi ilo apa timepigwa na kitu kizito, sema nini yeye mchungaji alitufikishia ujembe tuwe wa aminifu katika ndoa zetu sema namna ya kutufikishia kidogo katereza kwa msomi wa masta asijue prosese za kulud malekani niishie hapo

    • @edwardphhodoho7430
      @edwardphhodoho7430 ปีที่แล้ว +2

      Tumepigwa na chuma cha pua,,🤣🤣

    • @gibajr1569
      @gibajr1569 ปีที่แล้ว +4

      Umewah safiri ndugu, ukijikanyaga kwenye maelezo tena marekani Visa hupati mzee kumbka before alienda kwa ticket ya kusoma this tym around itakua alizngua kwenye maelezo visa unakosa kwa marekani iyo kukosa ni simple saana rafiki

  • @marianlemomomasia5499
    @marianlemomomasia5499 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie sanaa wanawake 🙏

  • @esterminja9374
    @esterminja9374 ปีที่แล้ว +2

    Da! Mungu turehemu

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 ปีที่แล้ว +2

    It's very painful...

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว

    Daa mchugaji nakukubali sana barikiwa

  • @annekaranjandigaconoka860
    @annekaranjandigaconoka860 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @dorakiyao4509
    @dorakiyao4509 ปีที่แล้ว

    Uwiiiii Mungu wangu,

  • @samsonisaack5145
    @samsonisaack5145 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 ปีที่แล้ว

    Dah!!!... Aisee

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 ปีที่แล้ว +8

    Kweli mwanaume sio kiumbe cha kuamini hata kama mwanamke ana hela kuliko mwanaume usijichanganye ukamuandikisha mwanaume mali zako itakula kwako

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 ปีที่แล้ว +2

    Ndo wengine tunayopitia mungu utuvushe

  • @violetwinluck4885
    @violetwinluck4885 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ututetee

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 ปีที่แล้ว +3

    Eee Mungu tukumbuke wanawake, jibu maombi yetu wamama.

  • @muna1165
    @muna1165 ปีที่แล้ว

    Nilikua nakupenda sana Mimi ni muislam safi tu maranyingi huwa naangalia mawaiza Yako lakini kwa Hilo Sina mapenzi tena nawewe

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว +3

    Daaah inauma sana Ndyomana nampenda Baba angu sijawai muona akimfanyia unyama wowote Mama angu

    • @happynessmathayo3278
      @happynessmathayo3278 ปีที่แล้ว

      Nampenda sana baba yangu Mungu akutunze jinsi ulivyomtunza mama yetu na sisi wanao

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว

      @@happynessmathayo3278 Hatuna sababu ya kumshukulu Mungu kwa kutzawadia Kina Baba wazur kiukweli Mm nampenda Baba

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwa kuwajua wanaume walivyo na roho mbaya

    • @maurinekastuli8998
      @maurinekastuli8998 ปีที่แล้ว

      MUNGU akuinue zaid na zaidi mtumishi wa MUNGU namshukuru sana hii itaendelea kuniimarisha nawewe ni majibu ya wengin amen

  • @hamurabani5386
    @hamurabani5386 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 ปีที่แล้ว +18

    I love my kids and my wife, thank you God.

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว +2

      Hongra Mungu akubarki akupe Afya njema uzidi kuwatunza watoto wako na mrembo wako

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 ปีที่แล้ว

      @@consolatamedard6593 Asante sana dada angu.Mungu akubariki pia wewe na familia yako.

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว +1

      @@godfreydavid6996 Amen 🙏

    • @annamjata1830
      @annamjata1830 ปีที่แล้ว +1

      Dar yamenikuta mm mungu nitiee nguvu

    • @afiamsangi3717
      @afiamsangi3717 ปีที่แล้ว

      akurudishe tunamisi ukweli aachana na wanaficha maukweli

  • @rizikiantwanette6081
    @rizikiantwanette6081 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Akuzidishiye karama mchungaji unayo fundisha ni mimi kabisa nikama Mbingu zilikuzungumuziya ingawa majina nitofauti kiliyo cha myaka tatu baada ya myaka ishirini na mitatu Mbingu Ndizo ziliniokowa nilipo taka kunyongwa na mume niliye jitoleya ili awe kama wanaume wengine.

    • @stanleymsenga9820
      @stanleymsenga9820 ปีที่แล้ว

      Poleni Sana wa Mama mlio patwa na hizo changamoto ya ndoa MUNGU atawafuta machozi yenu kwani yeye ni mwaminifu cku zote hata waacha kamwe, ombeni kwa Bidii

    • @regnazakariaelia
      @regnazakariaelia ปีที่แล้ว

      Mungu ww peke ako watosha Kila chozi ni mbengu chozi huwa linaandika 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 ปีที่แล้ว +6

    Kweli mshahala wa dhambi ni mauti, Mungu uturehemu 😭😭🙏

  • @sia4867
    @sia4867 ปีที่แล้ว +63

    Baba huyo dada ni Mimi kabisa,,Mimi mumewangu nimetoka naye mbal san nimepoteza kila kitu kisa yeye nimepoteza mtaji wangu wote kisa yeye,,nimezaa naye watoto 3 ,,,Ila Alichonifanyia Mungu Anawaona nimeondoka haijaisha miez 2 kashaowa tena kaolea palepale ndan kwangu,, Roho inaniuma Sana yaaan Akil bado hazijanikaa Sawa Nakwambia Mungu anilipie kila siku , kwasababu Ameniumiza Sana moyo wangu nikiangalia watoto bado wadogo wote,,,Kanifanya nimekosa Aman ya kuendelea kuish hapa duniani niombee Baba Tafadhal.

    • @annehk8185
      @annehk8185 ปีที่แล้ว +3

      Sasa mwenzangu umeondoka ukaenda wapi kama unampenda mumeo?

    • @messiasulleydidy2585
      @messiasulleydidy2585 ปีที่แล้ว +5

      Mungu Hajakuacha tangu Jana,, Leo, kesho., na hadi milele

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว +3

      @@messiasulleydidy2585 Amina

    • @saidmadizi9152
      @saidmadizi9152 ปีที่แล้ว +4

      Mbaya nikuchepuka lakn kma ameoa hyo sio shda we muombe Mungu akupe subira uishi na Mumeo madamu hajakuacha

    • @sia4867
      @sia4867 ปีที่แล้ว +3

      @@saidmadizi9152 asant dr Kwa kunitia moyo nimekupend Sana mpaka nimetabasam Kwa mara ya Kwanza.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS ปีที่แล้ว

    KATIKA maisha HAYA USEMI WA TUMETOKA MBALI HAUNA Tija ikiwa mtu alikuwa na wewe kwa sababu ya shida tu. Hakuwahi kukupenda🥲🥲

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Mungu amekuleta kwa wakati mahubiri yako yamenijengea imani kubwa kwa Mungu anayetenda KWA WAKATI

  • @shujaaprosper2892
    @shujaaprosper2892 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭 Daaah yesuuuuh

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid709 ปีที่แล้ว +4

    Mm nisingemchukua Tena Ndugu Zake Walioniimbia Taarabu ndio wangeenda Kucheza na Singeli 😂

  • @doramoshi6340
    @doramoshi6340 ปีที่แล้ว +3

    So sad

  • @vivienshubi8746
    @vivienshubi8746 ปีที่แล้ว +1

    Hii imenigusa sana kuachwa kubaya saana! Tumwangalie Mungu tu atatutetea

    • @sophiadavid1263
      @sophiadavid1263 ปีที่แล้ว

      Lia kwa MUNGU funga kwa maombi utajibiwa

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 ปีที่แล้ว +2

    Wanaume tunatakiwa tuishi nao kwa akili yaani mimi huwa najiuliza hawa watu kwani wameumbwaje Mungu alisahau kuwaekea huruma ndani ya mioyo yao maana Wanaume wengine mnyama ana afadhali

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 ปีที่แล้ว +2

    Mbuta! Hamna rangi angeachaona

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔

  • @JudithKimambo-dd8kl
    @JudithKimambo-dd8kl ปีที่แล้ว

    Mjukuu eliaichi scarlet. Kabatizwa

  • @violetwinluck4885
    @violetwinluck4885 ปีที่แล้ว +2

    Hui

  • @venantimapunda630
    @venantimapunda630 ปีที่แล้ว

    Munguataletaneema

  • @janethmagita6297
    @janethmagita6297 ปีที่แล้ว +5

    Afu bado yanaambiana eti usisomeshe mwanamke haya huyo aliyesomeshwa ni mwanamke au

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      Ajabu

    • @paulmapunda887
      @paulmapunda887 ปีที่แล้ว

      Wanaume Ni binadamu kama wewe siyo madudu pamoja na mapungufu tuliyonayo. Kwa hiyo nakuomba usitumie kauli ya " yanaambiana". Asante kama umenielewa.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 ปีที่แล้ว +3

    Mungu analipa kwelikweli nyie

  • @ajestaajesta5057
    @ajestaajesta5057 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭

  • @sonywajustus
    @sonywajustus ปีที่แล้ว

    Ndio maisha ya kina mama siku hizi
    Tushaa zoea
    Ndio tabia za wangu wa siku hizi
    Wapandacho watakihuna

  • @ibrahimmwamgohiganga6763
    @ibrahimmwamgohiganga6763 ปีที่แล้ว +1

    Hii haipo kwa upande mmoja tu,ni vile likitokea kwa wanawake huwa dunia nzima inaomboleza.Wanaume wangapi wamefilisika kwa kuwawezesha wanawake na wanapopanda viwango huwaacha ushagoo?

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 ปีที่แล้ว

    E mungu tusaidie wanawake tunayopitia ni magumu

  • @severaminja7406
    @severaminja7406 ปีที่แล้ว

    Mchungaji hata wanawake wapo tena wanaumiza kuliko maelezo Mungu tusaidie

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 ปีที่แล้ว +1

    Waambie Visa ni ya muhimu huko Marekani kwa kweli

  • @demetrianangela7793
    @demetrianangela7793 ปีที่แล้ว

    Mh!!!!!!!!!!!! Apaaa ndenga😳🤔🙌

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold6291 ปีที่แล้ว

    Tulio Kuja hapa baada ya kuckia kasimamishwa like tujuanee,😅

  • @LaurenceNdosi-yi5es
    @LaurenceNdosi-yi5es ปีที่แล้ว

    kijitonyama evening class20.3.2023

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 ปีที่แล้ว

    Wanyakusya Basi la Rungwe Mchungaji katoa ya mwaka 2022!

  • @angelmkini1508
    @angelmkini1508 ปีที่แล้ว +4

    Ndio yaliyonikuta mimi kabisa hakuna tofauti

    • @frankcharles2483
      @frankcharles2483 ปีที่แล้ว

      Pole angel

    • @jeangodelo5349
      @jeangodelo5349 ปีที่แล้ว

      Duuuh 🙆🙆 wanawake tunapitia mengi jamaniiii 😥😥

    • @emmanuelsanga7363
      @emmanuelsanga7363 ปีที่แล้ว

      Tatizo wadada wengi wanaolewa bila kupata mafundisho sahihi ya namna ya kuishi na mume

  • @robartlukata2932
    @robartlukata2932 ปีที่แล้ว

    Hunger sana mchungaji kimariyo

  • @muna1165
    @muna1165 ปีที่แล้ว

    Nitabia mbaya sijapenda kwa sababu waikristo pia ni wasaliti kuwa msaliti sio dini Bali ni tabia yamtu sivyema kuikashifu dini ya mwengine jifunze Hilo

  • @fulgensiakweka658
    @fulgensiakweka658 ปีที่แล้ว

    AbrahamMaslow

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 ปีที่แล้ว +1

    Mbona wamesaliti wengi tu??

  • @wemambonge6256
    @wemambonge6256 3 หลายเดือนก่อน

    Mawifi vigeugeu hatari. Hawafai hata bureee

  • @carolinemae2531
    @carolinemae2531 ปีที่แล้ว

    Mchungaji kwa Sadalaaa kule kwetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 ปีที่แล้ว

    Aseeee malipo Ni hapa hapa kaaaah,na huyo dada n mtumish wa Munguuu.... Ukingusaa masih wa bwan ndo malipo hayo

  • @godfreycheyo3396
    @godfreycheyo3396 ปีที่แล้ว +2

    Ni mhimu kukumbuka tulikotaka

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE 7 วันที่ผ่านมา

    Wala hajakashifu dini anaongelea jenero tu

  • @maryoswad7022
    @maryoswad7022 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mke alikuwa na moyo mkuuu

  • @michellekarisa5099
    @michellekarisa5099 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza mabo

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 ปีที่แล้ว

    Wakati mwingine unajiuliza kama kuna haja ya kuhangaika na wanaume!!

  • @user-zr6eo6hw7w
    @user-zr6eo6hw7w 3 หลายเดือนก่อน

    Amekashfu vp,kwani km ni kweli ni muislamu kun shida gan!

  • @muna1165
    @muna1165 ปีที่แล้ว

    Jifunze kutoa mawaiza Yako vizuri sio vyema kuikashifu dini ya mwengine

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ปีที่แล้ว +2

    MAWIFI NI CHANZO CHA KUCHOCHEA UGOMVI WA KUACHANA WANANDOA.

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 ปีที่แล้ว

      Mawifi wengine wanakuonea wivu utazani wanataka kulala na kaka yao

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 ปีที่แล้ว +1

    Dada naye pumbavu

    • @annehk8185
      @annehk8185 ปีที่แล้ว

      Eti kauza viwanja vyake😂😂

  • @julianalaurent664
    @julianalaurent664 ปีที่แล้ว

    Duuuu kumpa mwanaume moyo upumbavu

  • @saadamasabali7582
    @saadamasabali7582 ปีที่แล้ว

    Story ya kutunga huisha hivyo 🤣

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ปีที่แล้ว

    NDY UPUMBAVU WA WANAUME HUWA WANASAHAU WALIKOTOKA.

  • @hurumamangula3027
    @hurumamangula3027 ปีที่แล้ว

    Ha ha ha wanyakyusa

  • @titohaule4758
    @titohaule4758 ปีที่แล้ว +2

    Hapana hata wana wake wana tabia hiyo akifanikiwa kipesa au kielimu atakuacha wewe ambaye uliye msomesha na kwenda kwa mwanaume aliye kuwa na pesa au Elimu na Atakudhalau sana wewe uliye msaidia kufika hapo alipo

  • @carolinehillary8240
    @carolinehillary8240 ปีที่แล้ว

    Mwanamke mwema hujitoa kwajili ya familia yake

  • @annamitumba3981
    @annamitumba3981 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂

  • @violetwinluck4885
    @violetwinluck4885 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @neemamatey
    @neemamatey ปีที่แล้ว

    Mshahara wa dhambi ni mauti